Тёмный

Dully Sykes afunguka alivyomtoa ALIKIBA, Queen Darleen, alivyomsaidia P-Funk arudiane na KAJALA 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 30 тыс.
50% 1

#ChillnaSky #Part1
Bonyeza link hii kutazama Part 2 - • Dully Sykes alizinguli...

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 98   
@nelsonmwaipaja3727
@nelsonmwaipaja3727 Год назад
All the way from Tunduma border post ##nakuombea maisha marefu brother prince dully Sykes 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@lilianjeremia1024
@lilianjeremia1024 4 года назад
Legend kama legend 🔥🔥wimbo bora kwangu kutoka dully ni baby candy 🥰🥰👌
@Tino_Official_tz
@Tino_Official_tz 4 года назад
🍁Daaah nime enjoy sana aisee... unajua brother Dully ni kama mvinyo kadiri anavyozidi kukaa kwenye game ndio anazidi kuwa bora. He deserves everything and still yuko humble 💥🔥💥. By the way haujaniangusha kwa maswali yako mazuri big up #Sky 🍁
@lucasjeremia8424
@lucasjeremia8424 4 года назад
Hhahaahaaa tino umeona ee
@chidiomari.65
@chidiomari.65 10 месяцев назад
Dully bana Mungu amtunze,Sky nyimbo ulizozitaja ni hatarii sana we love you guys 👁️👁️🇫🇮🤝
@fubanjenjele521
@fubanjenjele521 4 года назад
Dully, ww ni shida, balaa, mwanamuziki bora Tz
@rashidomar1558
@rashidomar1558 Год назад
MUSICIAN.....GREAT.
@thelonewolf4429
@thelonewolf4429 4 года назад
Baby candy one of my favorite songs from #MrMasifa huyu jama is a living legend
@florencemseja530
@florencemseja530 4 года назад
Kabisa
@wildatmsellem7531
@wildatmsellem7531 4 года назад
Same here
@fhvbvgkvgc8073
@fhvbvgkvgc8073 4 года назад
Swadkata.
@baby16mariki48
@baby16mariki48 4 года назад
I love you Dully Yani hii ni zaidi ya utamu
@rehemahussein748
@rehemahussein748 4 года назад
Alikiba angefanya bonge la collaboration na Dully!
@feisalshahar9212
@feisalshahar9212 Год назад
Kuna majani na prince dully syskes ni watuu waliotengeneza hii bongo fleva wasanii wengii wamesapotiwa na dully na wamepikwa na majani respect to them
@ismailmasanilo7018
@ismailmasanilo7018 4 года назад
Dully huwa interview zake sichoki huwa ananena ukwel maisha yake na inafundisha sana
@budebadeus3429
@budebadeus3429 4 года назад
Bro pia ucsahau kumtafta Mr blue byser tnamkubal sana mwamba
@Noah-se3ni
@Noah-se3ni 4 года назад
Huyu brother ajawai zeeka nice interview mr Sky
@mwanzashinyanga8060
@mwanzashinyanga8060 4 года назад
wewe dully Sykes wewe ni regend mkubwa umesaidia watu wengi sana na wakubwa ivi sasa na wana maisha yao hongera sana bro dully
@خسنموس
@خسنموس 4 года назад
Zamani airudi wasanii walikua wanapendana sahi game imechange kiki kibao na vijembe vingi
@marcsthinker3882
@marcsthinker3882 4 года назад
Hapana, chuki zilikuwa tangu zamani
@kagirasta1476
@kagirasta1476 4 года назад
Dully ana kipaji sana anavyozielezea izo biti 2020
@mpjozzegalvanize4926
@mpjozzegalvanize4926 Год назад
Sema dully kwenye sauti ya majani aliua sana
@msabaa3962
@msabaa3962 4 года назад
Nakubali Sana brother juliy ngoma zako unauwasana
@asheripeter419
@asheripeter419 4 года назад
Nikweli kaka sky nakukumbuka Sana RFA nilikuwa nakupenda Sana ghafla ckujua umeenda wapi kaka
@barackhuncho2432
@barackhuncho2432 4 года назад
Kiba....king
@georgeburchard4872
@georgeburchard4872 4 года назад
Gwiji Kama gwiji! Nimecheka Sana alipokuwa ana muigiza namna majani alivyokuwa anamwambia Nini Cha kufanya kwenye wimbo wa kajala!
@heriholder2937
@heriholder2937 4 года назад
Dully napendaga ile ngoma yako handsome dah nakumbuka nilikuwa A . Town na kwa sasa nipo Mara dah!!
@messaabbas8346
@messaabbas8346 4 года назад
The legend Dully ❤️❤️❤️❤️Thanks SNS,,,and Nice job 😍😍😍😍😍
@ucjvvjcjjvih9934
@ucjvvjcjjvih9934 Год назад
❤Dull skay Hay minakupa hay😂😂😂🤩💯👍
@robbyawesometv7030
@robbyawesometv7030 Год назад
Dully the king
@youngbona3804
@youngbona3804 Год назад
Such a nice interview
@felisterchimtunga7011
@felisterchimtunga7011 4 года назад
Huyu jamaa hazeeki lakini kikongwe🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@helenkambi3918
@helenkambi3918 4 года назад
Walahi mwanangu Dully weeky chache zilizopita nikua naangali hio nyimbo ya UTAMU wa TUNDA nokajiuliza hao wasichana Anna na Neema kama bado mnaonana
@feisalngowi1831
@feisalngowi1831 4 года назад
Legend mi nimeshuhudia upo juu enzi za misifaz camp
@suedhabibu3665
@suedhabibu3665 6 месяцев назад
Hapo kwenye kum imitate p funk eeh duly njoo ingiza chorus sikiliza nimeimbaje jaza chini piga mpaka yule akisikia arudi sema umempatia sana😂😂😂😂
@anthonyluganje8367
@anthonyluganje8367 4 года назад
Dully n Mwamba kwenye game ya Mziki wa Bongo flevar
@boniphacekajuna4782
@boniphacekajuna4782 3 года назад
Umesahau songs "Handsome" na "Hi"... bonge ya Mikito kitambo hicho Sky
@rayanndizeyes3161
@rayanndizeyes3161 4 года назад
Maisha ya nasiri yake kweli.Mungu akubariki bro
@focuspaschal5330
@focuspaschal5330 4 года назад
Kwenye sauti ya majan tuuu hapo hahaaaaa
@katahiko15
@katahiko15 3 месяца назад
@Simulizi na Sauti Hivi Kuteseka ya Ali Kiba na Dully ilitoka mwaka gani? Nakumbuka kama ilikuwa 2003 au 2002 hivi
@innocentsafari9159
@innocentsafari9159 4 года назад
Dully sykes is a great man🔥🔥
@stephanowillium8455
@stephanowillium8455 4 года назад
Kwa lipi
@medicaltz169
@medicaltz169 4 года назад
@@stephanowillium8455 kila kitu wapingaga hujui kua ndio walio tengeneza njia ya music kipindi kile babaako hataki uskilize mziki anasema ni uhuni asaivi ukiskiliza anafrai
@stephanowillium8455
@stephanowillium8455 4 года назад
@@medicaltz169 😂😅😂Sawa mjomba
@pulkeriafarayo8953
@pulkeriafarayo8953 4 года назад
🤣🤣🤣duh apo ulipomuigiza P Funk Funk nimecheka sana
@ramsikhamis7083
@ramsikhamis7083 4 года назад
😀😀Yaaaniii ata mm aiseee
@rachellebahati6126
@rachellebahati6126 4 года назад
Nampenda
@andrewkilave3532
@andrewkilave3532 4 года назад
safi nilikuwa naingoja kwa hamu
@RobbyRunnerON3
@RobbyRunnerON3 4 года назад
BROTHER MEN DULLY ❤👑
@amourbahatisha4293
@amourbahatisha4293 4 года назад
Hahah.....hapo kwa p funky tuu hio saut ulivoiiga me hoi😂😂😂
@ramsikhamis7083
@ramsikhamis7083 4 года назад
Kamaa yeyee aaiiseee 😀😀
@collyalinani2407
@collyalinani2407 Год назад
sky unavyocheka ishu ya pfunk kuzama kwa Kajala🤣
@kennedymwagambo7197
@kennedymwagambo7197 4 года назад
Good show
@kabamedestrong3917
@kabamedestrong3917 4 года назад
Ndugu zangu naombeni walau kwa dakika chache mtazame video yangu ya pineapple na Ku subscribe kwa kugusa picha yangu hapo juu🙏🙏
@harunakayega5531
@harunakayega5531 3 года назад
Kitu pekee ninachokupongeza kwa dully unajitunza sana kwenye mambo ya madawa
@hamzahussein4493
@hamzahussein4493 4 года назад
LETA PART 2
@mbembelatv
@mbembelatv 4 года назад
Kazi yako nzri bro sky🤙
@McheshiOnlineTv
@McheshiOnlineTv 4 года назад
😃😃😃😃😃😃shoo zote tupe part2
@stephanowillium8455
@stephanowillium8455 4 года назад
SNS 💙💙
@addo1018
@addo1018 4 года назад
Kaaaa
@yhasintakalenyula970
@yhasintakalenyula970 4 года назад
Kajala Kajala....Na wimbo ambao ulimfanya Dully apige show zote😂😂
@McheshiOnlineTv
@McheshiOnlineTv 4 года назад
Sns mko vizuri kila siku , maana hatujawahi Sikia story km hizi za dully
@khalidahmedwandera7086
@khalidahmedwandera7086 4 года назад
Namkubari sana dully, from Japan
@brightontv8019
@brightontv8019 4 года назад
Upo tandale unasema japan
@McheshiOnlineTv
@McheshiOnlineTv 4 года назад
Kipindi cha leo noma San
@chany9950
@chany9950 4 года назад
Nimewapenda saaana jmn
@lutifiaussi3728
@lutifiaussi3728 4 года назад
Nice sns
@nshonabdll9363
@nshonabdll9363 4 года назад
Lkn mpaka leoafahamiki yupo yupo tu
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 3 года назад
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍
@freddieelice6377
@freddieelice6377 4 года назад
❤️❤️❤️
@shabanimakata6519
@shabanimakata6519 4 года назад
Yaan duly umeipatia xn hiyo saut ya khalfan majan
@ramsikhamis7083
@ramsikhamis7083 4 года назад
😀😀😀Ilee mbaayaa kweli mtu wake wa karibu nimeaminii
@junuferjinu1444
@junuferjinu1444 4 года назад
Uyu kumbe kibabuuu ila akizeeki 😂😂uyu ndomflume
@jut1161
@jut1161 4 года назад
Kweli kabisa
@nshonabdll9363
@nshonabdll9363 4 года назад
Uyu mkubwa sn uyu ila mwili wkmzuri sn
@maryamm7765
@maryamm7765 4 года назад
👏👏👏👏
@ahmedsalumomar5002
@ahmedsalumomar5002 4 года назад
The greatest of all time huyu jamaa alikuwa anajuwa Sana sio Siri nilkuwa namkubal Sana especially kipindi nipo shuleni lkn nashangaa industry ya music tanzania imekosa kumpa tunzo ya heshima
@marcsthinker3882
@marcsthinker3882 4 года назад
Kwa jinsi unamzungumzia candy ni wazi ulimpenda sana 😂😂😂
@hansboy3491
@hansboy3491 4 года назад
Jamani me spendagi mtu aniambie mambo sasa unamwambia mambo mtoto wakiume akati na ww mwenyewe kidume wajuba mnazngua
@haimahaima9473
@haimahaima9473 4 года назад
😂😂😂😂😂😂😂😂
@McheshiOnlineTv
@McheshiOnlineTv 4 года назад
I'm driving na huku nacheka San
@issamatukano1451
@issamatukano1451 4 года назад
𝙳𝚘𝚗𝚍𝚘 𝚣𝚊 𝚊𝚜𝚞𝚋𝚞𝚑𝚒 Unaposikia kuwa mtu fulani hana nguvu za kiume huwa unaelewa nini? - Maana yake ana vichocheo vichache vya kiume vinavyoitwa testosterone,shida ambayo humfanya awe 1.Anapata shida kusimamisha uume wake 2.Hata ukisimama hauwezi kuendelea kuwa na nguvu kwa muda mrefu 3.Mbegu za kiume zinakuwa chache 4. Hawezi kumpa mwanamke ujauzito Wasiliana nasi upata usaidizi au ushauli lishe kamili kuboresha Afya yako mwanaume ya uzazi Whatsapp /call +255686128516
@McheshiOnlineTv
@McheshiOnlineTv 4 года назад
Hahahaaaaaa noma sana aseee
@khanafrica22
@khanafrica22 4 года назад
#Tarzan....wayback
@levienlevismmbenga2415
@levienlevismmbenga2415 4 года назад
Wekeni yakuhendeleya jammeni tunasubiri mwendelezo
@angeljasson4376
@angeljasson4376 4 года назад
Hii imebamba sana
@babuubarotti8418
@babuubarotti8418 4 года назад
Napenda kipindi cha huyu jamaa
@datikazumari515
@datikazumari515 4 года назад
Bongo flava king
@janatahmad7048
@janatahmad7048 4 года назад
nilikua natak kujua sns tafuta gigy kwa hiki kipind jamani
@raykibet9920
@raykibet9920 4 года назад
Goat 🐐
@richardkimela7900
@richardkimela7900 4 года назад
Tupe nyingine
@hamzaadrin941
@hamzaadrin941 4 года назад
Mjinga huyu alinichukulia demu wangu ha ha ha ha ngumi jiwe anajua hili ...mtaa wa muheza kariakoo
@mussasaid7025
@mussasaid7025 4 года назад
Oya Hamza nakutafuta jamaa angu
@mussasaid7025
@mussasaid7025 4 года назад
Oya Hamza nakutafuta jamaa angu
@alickodaniel4611
@alickodaniel4611 4 года назад
#Sns one Day naomba mfanye interview na #rayvany tumemis hiyo kitu
Далее
How many can you smash?🍫 IB : Florin
00:19
Просмотров 3,2 млн
One on One with Alikiba at Citizen TV, Kenya
46:53
Просмотров 78 тыс.
Queen Darleen feat Dully Sykes - Maneno maneno
4:04
Просмотров 40 тыс.
INASIKITISHA...! HISTORIA YA DULLY SYKES
11:15
Просмотров 1,3 тыс.
Mkasi - S02E07 with Dully Sykes
28:16
Просмотров 124 тыс.