Toa boridi kwenye jicho lako kabla uone kipenzi kwa mwingine hapa hakuna shule.... Wewe mwenye unajua Kiswahili ujuwi ndio nini???Ni hujui@@kashidimaope559
Nakukubal paschal cassian kama unajihakikishia ulinz wako uko vizur bas endelea kutaja usifiche watu wajue pengine tumefungwa hatuelew kwa kuimba nyimbo za mafumbo. Mungu akutie nguvu na juhudi ili ufikishe ujumbe dunian kote
mtumishi ulinzi wa damu na nyama unao kweli maana sio kwa kuwaumbua huko manabii wa uongo maana naamin ulinzi wa kiroho unao imara jee hawa manabii wa uongo wakija kimwili upo vizur kweny mazoez😂😂😂
Unaimba vizuri ila unahukumu sana,sasa mfano Good luck unamuitaje muimbaji wa uongo au kuwataja manabii hao? Si vyema,hata wewe Sasa unaweza kua muimbaji wa uongo
Kwa hiyo wewe umeona ni mwimbaji wa kweli? Muulize Roho Mtakatifu atakuambia, shida iliyopo ni kwamba, msaidizi yupo, lakini tunaongozwa na akili zetu. Pole.
Analoimba hapa Ni kweri Sana...Huu ndo mtindo Kwa makanisi siku hizi Ni drama Ni movies... Mungu hutumia kitu chochote kuwasilisha ujumbe..Huu ndo ujumbe was Sasa hivi..
Ndipo ukatimiza" Mathayo 10:32" .... atakayenikana mbele za watu NAMI nitamkana mbele za BABA YANGU aliye mbinguni" umejilipua ili watu wasingizie sikua na kipimo cha kuwajua manabii wa uongo!!!Sasa umemaliza mwenye masikio na asikie!!!
@@LUCKDRE Biblia ni ya wakoloni waliileta iliwatutawale waibemali ya afric weumeshaona mtume au manabii kwenye biblia wakiafrika mfano mangi shirima ngosha zulu
kweli ubarikiwe mtumishi imba unatufungua macho watu wengi watumishi wasikuhizi anajua MUNGU na binadamu wa sasa tulivyo tunakimbilia miujiza hatutaki kuishi na mtenda miujiza
Nyimbo nzuri sana kweli watu wanajisahau badara ya kuwa makini maana yote yalitabiriwa hakika Mungu akubaliki ili watu wajue niwakati gani tulio nao kweli watu watalalamika swali je niaheri tunyanze waangalie? Songa mbele Mungu akutie nguvu
Manabii wa kweli wa Mungu wapo, na kama una amini roho wa Mungu yupo atakuongoza, pia tuwe makini Mungu ana nguvu kuliko shetani tusije kumpa shetani utukufu kwa mambo anayofanya Mungu.Elisha aliita dubu wakala watu , Elisha aliita moto ukashuka . Wataje wa ukweli achana na waongo.
Samahani mweshimiwa mie shabiki yako mwaupina naomba utuonye kwa mafumbo maana unapomtamka mtu dhahili wengine huwa wanachukia sana maana kila mtu nauelewa wake
Ubarkiw mtumishi ila kweny waimbaji ndo umemwona ni Goodlucky peke yake jaman😂😂😂 duuh ila me sjapenda ulvowataja inamaan umejchukulia mamlak ya kuwahukum wenzako😊we mbon kipindi hujaokoka hawakukutaja kwa baya lolote mtumish kwa hilo umezngua😮😮