Endelea kuimba nyimbo nzuri kama hizi ambazo zinaendana na nyakati tulizonazo. Japo ni nyimbo ambazo wengi hawapendi huna budi kuendelea kuziimba kwani hata maandiko yanasema katika Zaburi 47:7 "Maana Mungu ndiye mfalme wa dunia yote. Imbeni kwa akili." Usikatishwe tamaa mtumishi japo vita ya Kiroho ni kubwa Bwana yuko atakulinda na wabaya wote.
Mungu naibaliki kazi kubwa aliyoiweka ndani ya mtushi wake paschal hakika Dunia itaelewa tu hata kwakuchelewa eemungu tuongee IMANI wakati huu wa majilio Yako wewe ulie mwanzo wetu sisi wenye mwili
Sasa HAPA( KIAPO CHA DAMU) patakuwa hapatoshiii..Kiukweli Inabidi Tukuombeesaana MUNGU Alie kufanya kuwa rungu lake na upanga wake basi Akulinde kwa nguzo ya 🔥 Moto.
Waaaaaoooooooh barikiwaaa San Nimeongeaa nimemalizaaa__________. Siku zinakujaa Kila mwenye kusikiaa na sikiee aziache njia zake mbaya amrudiee BWANA Naana saa imefikaa. Hakika tupo mwishonii Barikiwaa sana MTUMISHI WA MUNGU PASCHAL CASSIANI
Kikubwa Hawa manabii wauwongo unashangaa Kama wananguvu ya MUNGU kuombea watu Hadi mapepo yanatoka wanapona magonjwa wanashindwaje kuombea watu Kujazwa Roho Mtakatifu?hapo ndyo utagundua watumishi wa mchongo
Mungu akutue nguvu. Ktk kutenda kazi yake hapa duniani. Shetani ameuteka ulimwengu kupitia miujiza na watu hatutambui uwepo wa Mungu tena zaidi ya manabii. Mungu tuhurumie.
MATHAYO 24:5 👉 kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu,wakisema, Mimi ni kristo ;nao watadanganya wengi.Mathayo 24:11👉Na manabii wengi wa uongo watatokea , na kudanganya wengi.Mathayo 24:24✍️Kwamaana watatokea makristo wa uongo ,na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu wapate kuwapoteza ,kama yamkini hatawalio wateule. 24👉Tanzania, nimekwisha kuwaonya mbele.
Mungu amekuagiza uiambie Dunia ukweli, sema mtumishi wa Mungu, songa mbele, usisubiri Mungu alete mawe yaseme, timiza agizo alilokuagiza Mungu, tupo nyuma yako tunakuombea unamhubiri Mungu aliye hai, hakuna kupepesa macho wala kuchagua maneno, hiyo ndiyo tabia ya Mungu wa mbinguni, Nampenda Mungu, nakupenda kaka
WOOOOOW NILIKUA NASUBILIA HIII ASANTE SANA MWINJILISTI WA MUNGU WEWE NI SHUJAA SANAA NA OMBI LANGU KWAKO NI USIACHE SONGA MBELE KABISAA MUNGU AKUTIE NGUVU NA AKUFUNIKE KWA DAMU YA MWANAE YESU KRISTO WANAZARET,BARIKIWA SANA BROTHER SONGA MBELE USIOGOPE MAANA ALIYE NDANI YAKO NI MKUU KULIKO ALIYE DUNIANI, ANEEEEEENA🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu ndo mtetezi wetu hao wanabii wa uongo watapigwa fimbo na Mungu wasipo tubu kwa kuwaibia watu na miujiza ya uongo. Hivi miujiza ndo itawapeleka mbinguni maana kila nafsi itaonja Mauti, ni vyema kutafari Wimbo huu wa mtumishi anaetumwa na Mugu. " mwinjilist Pascal Cassian, kweli wimbo huu utaokowa maelfu ya watu kwenye kizazi cha sasa. MUNGU AKUBARIKI, Amina!
Mimi ck hizi,huyu ndio mchungaj wangu,kwanza ck nicpoona ujumbe wake hapa moyo wangu husononeka sana,Namuombea Mungu amlinde na vita anazopitia,hakika Mungu Yu pamoja nae
Kwa hii industry nimejifunza hapa kwamba kuna wale wanao burudisha na kuna wale wanao hubiri huyu ndo Nyimbo kama hizi ndo zinatakiwa zihitwe gospel songs
BWANA MUNGU na ukutumie zaidi,,yaani sichoki kuskiza hii wimbo,,na machozi yakinidondoka,,,hakika BWANA YESU na akutumie zaidiiii,uwambie watu ukweli na kweli iwaweke huru,🙏🙏🙏
Cjuiw kwanini Mozambique amufik Ijili ya sehem moja kwanini mchungaji tangaza Injili mataifa na mataifa Karibu Mozambque Uku bado watu awajuw Injili Ya Mungu🙏🙏🙏🙏
Ubarikiwe sana mtumishi.Ni kweli kabisa jina la Yesu limejitoshereza.Ongea ukweli mtumishi.Biblia inasema itanifaa nini nipate yote ya dunia nikose mbingu!Twenzetu mbinguni
Ujumbe umeshafika injili ya kitapeli ndio inafanya watu washindwe kumjua Mungu wa kweli na utendaji wake wa kazi, imagine eti mafuta ya upako, chupi, boxer, ndala, nowadays mpaka kondomu za upako zipo imagine. Huu ni utumwa kama wa mkononi tu hakuna tena ukweli kweli imebakia kwa wale wanaomjua Yesu wa kweli. Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu kazi safiiiiiiiii💥
Katikati ya kizazi chenye kuinuka kwa mitume na manabii wa shetani,Mungu nae anainua watu wake,Kama unatamani injili ya kweli kuhubiriwa Basi usiache kumuombea hyu mtumishi wa Mungu😩🙏🙇🙌🙌🙌🙌
We baba sijuiw niseme nini kwamahan nyimbo zako aisee 🙏🤲🤲🤲 zinanifanya nijuiw kweli Mungu yupo nilio pítia Sitaweza sahau Eeeh Mungu wangu 🙆 nikubuke Sasa namimi😭😭😭😭😍
HAUTAKUFA KAMWE,NA HAO KAMA NI WATUMISHI WA KWELI HAWATAKUINULIA VITA HATA KAMA UNAWATAJA KAMA SIO YA KWELI WATANYAMAZA KIMYA MAANA WE UPO KAZINI NA WAO PIA WAPO KAZINI KILA MMOJA ATALIPWA UJIRA MIKONONI
Mungu akulinde kakangu maaana watu wamepotea .....naungana nawewe Kaka kusema kwer ya mungu,,,,,,kwamaaan itanifaanini kuyathani maisha yangu na kumbe maelfu wanapotea najitahidi kutumikia mungu japo ni Vita kubwa najua mungu atatulipa hata pasipo mwili huuuuuu,,,,,,,,, ubarikiwe