Dah! Inastahili kuwa mbunge umefanya kitu kilichowashinda wenzako. We unatambua kuwa maendeleo hayana chama japo Nina mashaka na chama chako ambacho hakipendi kusifia hata vinavyostahili kusifiwa nahis watakutosa
Una kichwa chenye akili sana na ni mmoja kati vijana wa upinzani wenye hoja za msingi sana kila Mara upatapo nafasi mbele ya Rais na mbele ya watanzania kwa ujumla ila narudia tuu kusema kona uliyopo ndio tatizo kwako fikiri vzr nakwambia tena wewe ni zaidi ya mbunge watanzania wanakuhitaji zaidi ya nafasi uliyonayo
Uwezo wa kufikiri na kutatua mambo ni moja wapo ya utofauti wa binadamu na wanyama. Pili specie tuliopo sisi ni homosapienz ila ila kwa wanyama inategemea na grup la wanyama mf. Ukisema ng'ombe wako katika bovine spp ila ni vizur uka kaa ukaangalia we unafanana na mnyama gani afu utajua tofauti zaid.
@@kishimbamusic5116 haya mzee baba 2ache ss binadamu nyie wanyama endeleeni kuargue.... Hizo mada upeleke kene debate upate majibu zaid bt IQ yako na hao wananyama kama zinafana ndo undelee tutetea mada....👎👎👎👎👎👎👎