Тёмный
No video :(

Elizabeth Maliganya Haki Elimu (Sukuma Traditional Song HD) KalundeMedia 

Kalunde Media
Подписаться 20 тыс.
Просмотров 485 тыс.
50% 1

Directed by Doyer Maziwa

Опубликовано:

 

11 авг 2019

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 161   
@michymxhambiliajiwassimba7025
@michymxhambiliajiwassimba7025 3 года назад
Dah wasukuma mnaimba jamanii hongera Elizabeth huu wimbo naukubali Sana dada🔥🔥🔥🔥 ilifaa upewe tuzo💕
@amosmathias5368
@amosmathias5368 3 года назад
Kama umeuangalia huu wimbo zaid ya mala 3 Tonga like haa
@EpimacNdero-wg3zg
@EpimacNdero-wg3zg Месяц назад
Mi zinazidi hizo😂
@user-se5jx1fz5v
@user-se5jx1fz5v 3 дня назад
Mwimbi nzur San ubarikiwe mama mung azid kukup afy njem na kipay kizut
@user-xb2xu3sp9x
@user-xb2xu3sp9x 11 месяцев назад
Wasukuma oyeeeeeeeeee tusomeshen
@PaulOrenge-eo4hb
@PaulOrenge-eo4hb Месяц назад
Kutoka maeneo ya Marekani kusini nampata huyu Dada Msukuma mabaka Kisii Kenya 🇰🇪 👌 Nyanza wimbo hata sielewi lakini naona anasema Elimu ni Mzuri kwa mtoto msichana Waacheeni wasome vijana na Wazee msiwaharibie masomo
@thomastemu3332
@thomastemu3332 2 года назад
Dada kweli mungu amekupa neema ya kuiba unaimba vizuri sana wasukuma tunajidai jamani
@marymasanyiwa5738
@marymasanyiwa5738 3 года назад
Hii nyimbo nimekumbuka mbali Sana mzee alivyokataa kunilipia Ada yani 😭😭😭nimekumbuka mbali Sana Ila mungu mkubwa nimepata kazi kwa uwezo wake
@frankjoseph6609
@frankjoseph6609 3 года назад
Vijana wakisukuma wengi tumerudishwa nyuma sana
@zackhyomdh6067
@zackhyomdh6067 5 месяцев назад
Polle can mdog wngu dah hata me nmelia 😭😭😭😭
@fabiansendama5188
@fabiansendama5188 4 года назад
Safii Shemela. Utupie kwa kiswahili japo radha na mahadhi yanaweza kubadirika. Nimeipenda. Tulekagi kulekanya
@lucksoninnocent8996
@lucksoninnocent8996 4 года назад
Nimeipenda bure toka kwa wasukumu shemeji zangu
@frankmalale1887
@frankmalale1887 3 года назад
Poa
@paschalmayalla8105
@paschalmayalla8105 2 месяца назад
Mungu akubalk mama angu
@carolinazakary8870
@carolinazakary8870 2 года назад
Dah wasukuma muko vizur kwa uimbaji
@malilimagumba5778
@malilimagumba5778 3 года назад
Hapo Elizabeth umeimba.big up sana Mungu akuongoze
@NdattuMtogwa
@NdattuMtogwa 4 месяца назад
Hahaha mayo hatar!❤❤❤❤
@promotapromota4000
@promotapromota4000 4 года назад
umejitahidi dada japo sijui kisukuma ila nimekubali sana
@anthonyleonard6419
@anthonyleonard6419 5 лет назад
Bariadi safii
@NgeyeBususu
@NgeyeBususu 2 месяца назад
Tusomeshe watoto wakike tunatakiwa tujitambue sisi wazaz
@wakembetajaphary3648
@wakembetajaphary3648 2 года назад
Nyiiieeee huyo police sasa kumekuchaaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@johnkimathi9533
@johnkimathi9533 Год назад
Natoka Kenya na imenifuraisha kwani ndugu zangu wako huko tz I am looking for them
@raibasaid4816
@raibasaid4816 4 года назад
Asante sana dada unatuwakilisha wasukuma
@felicianholle3010
@felicianholle3010 4 года назад
Hongera Kalunde kwa ubunifu,nyimbo nzuri za kisukuma big up sana kwa mwimbaji
@paschalmayalla8105
@paschalmayalla8105 2 месяца назад
❤❤❤❤ wabeja
@gaudenciaamon7545
@gaudenciaamon7545 3 года назад
Honger dada kwa kutoa elim nzur ubarikiwe
@danielpius8111
@danielpius8111 3 года назад
Huu wimbo ni balaaaaaaaaaaaaaaa Aiseeee, Yaan dahhhhhhhhhhhhhh Mimi ni mluo lakini huu wimbo ni 🔥 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@user-ie4gu6qw9w
@user-ie4gu6qw9w 9 месяцев назад
Upo makini mama kwakuimba mama
@bonge1865
@bonge1865 3 года назад
Safi sana ww ni star mkubwa sana.
@ElizabethMaliganya
@ElizabethMaliganya 3 года назад
asante
@hadijalukas5959
@hadijalukas5959 3 года назад
@@ElizabethMaliganya yani we dada sijawahi juta kusikiliza nyimbo zako uko vizuri mpaka unanipa kisulisuli safi sana,🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️
@mhojasimiyu3827
@mhojasimiyu3827 3 года назад
@@ElizabethMaliganya Dada naomba mawasiliano yako Nina sherehe mwezi wa sita kasamwa geita
@kijabatano3020
@kijabatano3020 4 года назад
Nalumba sana Mayu longhuno udambhilija sana abhabhaji abhamo bhadelelagwa....
@christinantegwa7480
@christinantegwa7480 4 года назад
Nyimbo nzuri San nimeipenda maan ni shidaaah
@lucaspeter9596
@lucaspeter9596 4 года назад
Good
@geoffreysoloshija1909
@geoffreysoloshija1909 3 года назад
Nice song, beat is insane love my tribe the largest ethnic group in Tanzania, wabheja mayu
@herimasuka1622
@herimasuka1622 Год назад
😂😂😂 mayuzii chene...👏👏 Mwimbo mzuri ungeuwekea lugha ya kiswahili au ya kingerza ingependeza
@charlesemmanuel5687
@charlesemmanuel5687 3 года назад
Elizabeth maliganya your song is very impressive and enjoyable, keep on moving. God bless
@ZefaniaBoniface-id2ry
@ZefaniaBoniface-id2ry Год назад
🎉🎉🎉❤ nice song Boniface from Tanzania singida
@s2gkings187
@s2gkings187 4 года назад
I feel so emotional
@user-jo9nq2ls5x
@user-jo9nq2ls5x Год назад
Jamii inatakiwa kupewa fundisho kupitiwa nyimbo kama hizo hongera sana kwa wimbo
@evaismail3079
@evaismail3079 2 года назад
Najivunia kuwa msukuma ❤❤
@user-wx1mc9pu4o
@user-wx1mc9pu4o 9 месяцев назад
Best wishes you life of sing
@meshackmayenga950
@meshackmayenga950 4 года назад
Hakika wimbo umegusa uhalisia wa mambo yalivyo, ubarikiwe sana dada wa kisukuma.Ntuzu kamiligado
@farajaoyoo9675
@farajaoyoo9675 3 года назад
Farajaia
@farajaoyoo9675
@farajaoyoo9675 3 года назад
Havs
@danielpius8111
@danielpius8111 3 года назад
Mayo nisomishagi 🔥 🔥 🔥
@annayakobo7686
@annayakobo7686 3 года назад
Mambo moto
@neemageorge2603
@neemageorge2603 3 года назад
Hongera eliza nyimbo zako nszikubaliii saaan🥰🥰🥰
@peterndutu249
@peterndutu249 2 года назад
We unajua sema kweri you make me happy
@wakembetajaphary3648
@wakembetajaphary3648 2 года назад
Nyiiiee huu wimbo mzur ukuskliza yaliyomo
@MathewPetro
@MathewPetro 4 года назад
This song make me cry...since I grow up on such a family.
@ibraahmluckyibraahmlucky9254
@ibraahmluckyibraahmlucky9254 2 года назад
Ok
@gitimichael6587
@gitimichael6587 Год назад
😂❤
@regnacharles4725
@regnacharles4725 4 года назад
ngoma Kali nimeielewa sana
@estersamweli6439
@estersamweli6439 3 года назад
Simiyu moja dada angu piga Kaz i
@deusbahati1826
@deusbahati1826 4 года назад
Nime ipenda sana Dada yangu
@SicaliusMwombeck-vx9zv
@SicaliusMwombeck-vx9zv 2 месяца назад
Mayozi😅😅😅 dogo kilaza kweli mama kwa kingeleza ni mayozi😅
@edwardsingbert7107
@edwardsingbert7107 4 года назад
Asante sana sster kwa kawimbo kazuri
@colethamichaelkishinda903
@colethamichaelkishinda903 2 года назад
Nampenda Sana huyu mama pia napenda nyimbo zake,😍
@khadijatanzania7817
@khadijatanzania7817 Год назад
Waooo ujumbe mzur penda sana ❤❤
@lucasjohnmabanda7654
@lucasjohnmabanda7654 3 года назад
Elizabeth Maliganya,hakika wimbo huu unatoa hisia na fundisho kubwa kwa jamii hasa zinazoamini binti hapelekwi shule. Hongera sana dada
@yohana_kisinza27
@yohana_kisinza27 4 года назад
Hongera sanaa kwa wimbo mzuri
@PambeMasunga
@PambeMasunga 3 месяца назад
Nakukubali
@estarjuma7983
@estarjuma7983 3 года назад
Asante sana ubarikiwe 🙏 🙏 🙏
@manenosamuel343
@manenosamuel343 5 лет назад
Naipata vizur sana pande hiz za dsm
@user-wx1mc9pu4o
@user-wx1mc9pu4o 9 месяцев назад
Asante❤
@majigelucas9479
@majigelucas9479 4 года назад
Huu wimbo noma sana
@jovinekatwale772
@jovinekatwale772 4 года назад
hongera sana dada wimbo mnzuri......
@shambulibahini6326
@shambulibahini6326 4 года назад
Dada naomba kama itawezekana huu wimbo uweke kiswahili ili jamii nzima ielewe....ahsanten sana
@josephtinginya3860
@josephtinginya3860 3 года назад
Hapa nimsaidie kumjibia alikuwa anaelimisha jamii ya kisukuma kwan kuna wakati ilikuwa nyuma swara Zima la elimu hususani watoto wa kike walikuwa hawapewi kipaumbele kwenye kuoata Elim
@hadijalukas5959
@hadijalukas5959 3 года назад
@@josephtinginya3860 ahsante kwa faida yetu sote binafsi nimekuelewa
@dollokasuka8131
@dollokasuka8131 3 года назад
Mbona nyimbo za wazungu huwa tunasikiliza tu bila kuelewa kinachoibwa?
@charleslyuki691
@charleslyuki691 3 года назад
@@dollokasuka8131 ,🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@emmanuelpaul6842
@emmanuelpaul6842 3 года назад
Yan Siga Sana 🌹🌹🌹 Kimba Nagwine ki jaman 🌺🌺
@user-oj1dv7ci1v
@user-oj1dv7ci1v Год назад
Wasukuma mnawezaaaaaa
@lengan.magambo6670
@lengan.magambo6670 4 года назад
Safi sana et mama kwa kingereza anaitwaje jamaa anasema mamas na baba ,jamaa anasema babas🤣😁😃😁😁
@jacklinekansago1833
@jacklinekansago1833 4 года назад
Woooooow nimemis nyumban
@marryroberty8603
@marryroberty8603 3 года назад
Obeja dad
@sabinajames6539
@sabinajames6539 3 года назад
Ujumbe mzur san hongera dada 👏👏
@enerestimfaumeenerestimfau9789
@enerestimfaumeenerestimfau9789 3 года назад
VP sabana kwa majina na itwa juma
@enerestimfaumeenerestimfau9789
@enerestimfaumeenerestimfau9789 3 года назад
Umeolewa
@emmanueljonathan9332
@emmanueljonathan9332 3 года назад
Dada nimeelewa sana ujumbe wako.Be blessed
@wildcarnivore
@wildcarnivore 4 года назад
Sister minaitwa john malinganya bila sha ka tunaweza tukawa ndugu lakini hatujuani
@wakembetajaphary3648
@wakembetajaphary3648 2 года назад
Wanawake oyeeeeeee
@Lakhishi-oc3kt
@Lakhishi-oc3kt Год назад
Nimeipenda adi imenitoa machozi
@NzumbiRichard-bo2sc
@NzumbiRichard-bo2sc Год назад
Nyimbo nzuri Sana bigup mama
@esthersebatwale1574
@esthersebatwale1574 4 месяца назад
❤❤❤
@user-vc2rk8gb7e
@user-vc2rk8gb7e 8 месяцев назад
❤❤❤❤❤❤❤
@hmattakimbunga8631
@hmattakimbunga8631 4 года назад
Tisha sana sister
@user-wn8bd5qe1f
@user-wn8bd5qe1f 7 месяцев назад
Kisukuma 0:56 0:57
@kamtafuteTena01
@kamtafuteTena01 Год назад
Bonge la wimbo
@mbalumboje9172
@mbalumboje9172 4 года назад
Nimeipenda sana
@rehemaelias9529
@rehemaelias9529 4 года назад
Ulisawa gete ntunzu moja 👌👌
@aludomakori4230
@aludomakori4230 3 года назад
Pouwa saana ,mom wa kisukuma
@azizihamisi8885
@azizihamisi8885 3 года назад
Hakika wimbo mzuri
@busandaking5742
@busandaking5742 4 года назад
Dah had raha kw wimbo huu
@John-qq5ng
@John-qq5ng Год назад
Eliza gokaya
@yonamichael5242
@yonamichael5242 4 года назад
Dar safi sana dada wimbo wako unaujumbe munzuri sana
@deusdedithjoseph7588
@deusdedithjoseph7588 3 года назад
Dole Bose bamayo na ba baba
@reginarobert1914
@reginarobert1914 2 года назад
Naipenda sana kabila yangu
@reginandege7196
@reginandege7196 4 года назад
sanaDada
@selinakonda6724
@selinakonda6724 3 года назад
Wasukuma wAmezid San bola wapate fundisho kwa wote
@nchambitimotheo3013
@nchambitimotheo3013 4 года назад
safii Xaan kwa wimbo mzuri
@diakaseko734
@diakaseko734 4 года назад
Umependeza sana
@elizabethganai9520
@elizabethganai9520 3 года назад
Utafikambalisana Eliza
@dausonenock8070
@dausonenock8070 3 года назад
Love it vibe kal sana
@ramadhanmabiti3372
@ramadhanmabiti3372 5 лет назад
Huyu ndo aliimb bejaga kaya
@christinantegwa7480
@christinantegwa7480 4 года назад
Kumbe huyu
@farajaoyoo9675
@farajaoyoo9675 3 года назад
@@christinantegwa7480 vNnz
@kadokemarco9966
@kadokemarco9966 3 года назад
pye ganhana duhu ayo uliyomba
@fatmapanaguiton9783
@fatmapanaguiton9783 4 года назад
Ulinashilaka mayu kifuku
@serinakagambo82
@serinakagambo82 3 года назад
Ongera sana
@silyadamian5708
@silyadamian5708 4 года назад
Hii nyimbo tamu harar
@tanzanianchiyangutaifalang8376
@tanzanianchiyangutaifalang8376 4 года назад
Natogwa najigwa jaghukaya. Ila mwanafunzi mwenyewe anakata mauno.. 😂😂😂😂.
@mariamgeofrey6390
@mariamgeofrey6390 4 года назад
Hahahaahahahah umemuona na we kumbe
@tanzanianchiyangutaifalang8376
@tanzanianchiyangutaifalang8376 4 года назад
@@mariamgeofrey6390 nimemuona anakata kabisa. Sasa sijui ndo anahamasisha kuhusu umuhimu wa elimu.
@mariamgeofrey6390
@mariamgeofrey6390 4 года назад
Hatari sana Mungu atusaidie sio kwa mauno yale
@dollokasuka8131
@dollokasuka8131 3 года назад
Mzuka umempanda!!😁😁😁
@selinakonda6724
@selinakonda6724 3 года назад
Kwakwel inafundisha wasukuma waelimike
@sospeterj1909
@sospeterj1909 4 года назад
good societal messages
@andrewhamisandrew5319
@andrewhamisandrew5319 3 года назад
Nyimbo nzuli
@mariammasanja9211
@mariammasanja9211 2 года назад
Simiyu moja hiyo uko vizur dada
@katambikatambi4938
@katambikatambi4938 3 года назад
Predation life
@sebastianmoremi5211
@sebastianmoremi5211 3 года назад
Among of good song to our society
@charleslyuki691
@charleslyuki691 3 года назад
Ntuzu mmetisha aise 🤣🤣🤣🤣
@lameckbalekere1962
@lameckbalekere1962 3 года назад
Safi
@KisaMwasibata-ke2nb
@KisaMwasibata-ke2nb Год назад
Asante😂
@pmbalele
@pmbalele 3 года назад
Sure those two guys are tall. In USA they would make a lot of money playing basket ball which usually needs tall people to succeed. I also love the theme of the song. We need professionals to take over from us old people. A lot old males and old females end up in prisons here in US for messing around with girls or boys under 18 years old.
Далее
NGOMA ZA KISUKUMA ( BENI )
2:12
Просмотров 55 тыс.
Ng'wana Kang'wa - Mwalimu (Official Video) 4k
7:42
Просмотров 59 тыс.
Bob Haisa - Bhatoja (Official Video)
3:59
Просмотров 614 тыс.
Hanifa jikelachui - Ishu pambe
10:18
Просмотров 212 тыс.
SISI NI WAFUPI LAKINI... +255 755 265 290
8:13
Просмотров 2,4 млн