Тёмный
No video :(

MAGUFULI-OMKAYA-(Official music video) By Elizabeth Maliganya 

Elizabeth Maliganya
Подписаться 24 тыс.
Просмотров 971 тыс.
50% 1

Music video by Elizabeth Maliganya song titled ''MAGUFULI-OMKAYA '' Video directed by doyer Maziwa please share,comment and subscribe our channel thank you

Опубликовано:

 

19 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 285   
@danstanpanga8490
@danstanpanga8490 7 месяцев назад
Hakika wimbo mzuri kwa hisia kali hadi unahisi kutokwa na machozi..Kiongozi aliyewahi kukubalika sana mchapakazi ..Ama kweli ardhi haishibi imemeza wengi wazuri tuwapendao
@annalucas2430
@annalucas2430 3 года назад
Nakueleawa sanaa dadaake wap like kwamsukuma🌹🌹🌹
@rezegerezege691
@rezegerezege691 3 года назад
Kila nisikiliza najikuta nalia R.I.P BABA ANGU😭😭😭😭😭
@geey7893
@geey7893 2 месяца назад
mimi huwa machozi yanatoka na roho inauma sana
@danielbukwimba6149
@danielbukwimba6149 10 месяцев назад
Nimekumbuka mbali sana! Pumzika kwa Amani Baba yetu mkombozi wa Tanzania ya Magufuli. Hongera pia Elizabeth kwa kujaliwa kutunga wimbo mzuri .... Mungu akubariki sana!
@ricksonlyimo5594
@ricksonlyimo5594 3 года назад
Nashukuru sana mama angu kuolewa usukumani na nikapata damu ya chaga and sukuma nakukubali sana dada angu japo uncle magu atupo nae ila nyimbo hii itaendelea kuishi daima mioyoni mwetu,,,kisukuma raha sana
@user-xm2mf1ch3h
@user-xm2mf1ch3h 10 месяцев назад
Nakumbuka mbali enzi za baba yetu mpedwa pumzika Kwa Amani kipenzi chetu
@mossymtwana6422
@mossymtwana6422 3 года назад
Huu wimbo ni mzuri mno naupenda nampenda Rais wangu Lisu alivyokua akimtukana nilikuwa Nalia sikutaka tena kumsikiliza Lisu Moyo ulikuwa unaniuma niliumia saana mwimbo huu lugha Mama yangu usikiliza natoa chozi namkumbuka mama yangu Misuka Souz Mwana Masanja Mwenyeezimungu amrehe Mama yangu akipenda saana kuimba nyimbo za kisukuma na kinyamwezi maneno ni mamoja tofauti utamkaji.
@makobamasawemangu4122
@makobamasawemangu4122 Год назад
Lissu kumtukana alikua sahihi kwa sababu maguful nae alikua na mavisas ya hovyo sana
@ashamakwaiya8749
@ashamakwaiya8749 2 года назад
Wallàh nahuzunikaga sana mie,ila mungu yupo tunapita wote,yaani hakiyamungu namachungu sana,mungu nisamehe tu
@evelynebwire7684
@evelynebwire7684 3 года назад
Waooooh wasukuma mpo vizurii
@menradazakaria311
@menradazakaria311 3 года назад
Mimi. Cyo msukuma ila sichoki kisikiliza hii nyimbo kazi nzuri Dada lizy
@gavanaluyagwah1405
@gavanaluyagwah1405 2 года назад
Ni mgumu sana kusahau JEMBE, Mungu alitoa na ndie aliyetwaa. Kalale pema daima Watanzania tutakukumbuka.
@salambalukali216
@salambalukali216 3 года назад
Wimbo umetulia sana hongera mnooo!!!!
@annadotto2429
@annadotto2429 Год назад
Pumzika kwa Amani baba yetu lakn mioyon mwetu utadumu milele, ahsante dada Elizabeth kwa wimbo mzur.
@shumbusho8579
@shumbusho8579 3 года назад
Nimekuja hapa baada ya msiba wa Magufuli! Naamini Magufuli atadumu katika mioyo yetu!
@dannynsajigwa4661
@dannynsajigwa4661 3 года назад
Fikra zake zitadumu milele katika taifa hili
@calvinmwasambili4080
@calvinmwasambili4080 3 года назад
Sana nilikuwa nampenda sana magu
@mosesmjahas7778
@mosesmjahas7778 2 года назад
Nilikupenda Rais wangu Shujaa wa Tanzania na Afrika utaishi ktk mioyo yetu pumzika Baba..! 😭😭😭😭
@josephatkiliko2546
@josephatkiliko2546 3 года назад
Africa we need MAGUFULIFICATION for change and brings prosperity for citizens. His greatest Leader of Africa. Rest in perfect peace my late president Dr JPM.
@officalmsafijunior1031
@officalmsafijunior1031 3 года назад
Huu wimbo unatibu ugonjwa wa Msongo wa Mawazo 👏👏👏
@francismigongwa6112
@francismigongwa6112 3 года назад
Sala na Kazi
@veryfridackzm8493
@veryfridackzm8493 3 года назад
Dada Yuko vizuri kapambana sana
@zaitunirajabu9671
@zaitunirajabu9671 3 года назад
Hahahahaha uwiiiiiii nmecheka mpk watu wameniangalia ata mm kichwa kilikuwa kinauma hapa kimepona
@nicemwasumbi8922
@nicemwasumbi8922 3 года назад
😄👍
@gracejulius3966
@gracejulius3966 2 года назад
JPM alikuwa Jembe kweli Kweli ukimfikiria lazima upate msongo wa mawazo
@rehemamagulwa8143
@rehemamagulwa8143 3 года назад
Amen mubarikiwe kwakweli Magufuli ni Rais pekee wa Tanzania yani kila kitu handi Raha
@abellutonja4589
@abellutonja4589 2 года назад
, mwanga wa milele umwangazie eeee bwana 😭😭😭😭😭😭😭🇹🇿 Iko katka wingu ziti baada ya mungu kumchukua mja wake RIP Jpm
@ibrahimjohn8314
@ibrahimjohn8314 2 года назад
Sister Maliganya wa moto sana unaimba mpaka sichoki kurudia kutizama nyimbo zako
@wanzueni
@wanzueni 3 года назад
baba alifia Tanganyika 1943 mimi ni mKenya mjerumanihata mimi nataka kuzikwa Tanzania, Tanzania naipnda sana
@wannaproducts
@wannaproducts 26 дней назад
Karibu sana TANZANIA ndugu yetu
@lydiakatunguti8051
@lydiakatunguti8051 2 года назад
so nice song though we lost him 💔 but forever in our hearts 💕
@officalmsafijunior1031
@officalmsafijunior1031 3 года назад
WASUKUMA wenzangu naombeni like hata zenu kwa Wimbo huu Pendwa.
@ElizabethMaliganya
@ElizabethMaliganya 3 года назад
tupo pamoja
@kennedyngungu1220
@kennedyngungu1220 3 года назад
bro hata wale ambao sio waskuma tumpenda kama mm niko kenya lkn napnda xna huyo mzee
@anethmbwaga8814
@anethmbwaga8814 3 года назад
@@ElizabethMaliganya mm
@elimuvisioncenter
@elimuvisioncenter Год назад
​@@ElizabethMaliganyaunifundishe kisukuma bas jmn ?
@nusra2574
@nusra2574 3 года назад
Mwimbo wangu saaana🇧🇮🇧🇮
@salomesandiko6263
@salomesandiko6263 2 года назад
🙏
@VeredianaKalembi-gs4vs
@VeredianaKalembi-gs4vs 13 дней назад
R I P JOHN Pombe Magufuri kipenzi cha watu hakika utachukua muda mrefu kutoka mioyoni mwetu
@bahatimohamedi720
@bahatimohamedi720 2 года назад
Shunja wetu pumuzika kwa Aman 😭 😭😭😭😭
@michaelmayunga9747
@michaelmayunga9747 Год назад
Hongera Sana dada sina cha kukupa mngu akuzidishie Kwa nyimbo za kisukuma unatupa furaha wasukuma
@luhanyamipawantobi6888
@luhanyamipawantobi6888 3 года назад
Wimbo wangu pendwa,,,tumempata komba mwingine kutoka usukumani👏👏👏👏👏👏👏
@awajoseph9154
@awajoseph9154 3 года назад
I love this song
@chollejr_
@chollejr_ 2 года назад
😭😭😭kama yupo t JPM jaman ...mungu akuongeezee Eliza
@boniphacenyamhanga9395
@boniphacenyamhanga9395 3 года назад
Wimbo wa kutibu maradhi ya Moyo big up ELIZA
@ElizabethMaliganya
@ElizabethMaliganya 3 года назад
Hahaaaa
@lizzybahati9833
@lizzybahati9833 3 года назад
Kabisa 😭😭😭
@jacklinemashaka9027
@jacklinemashaka9027 3 года назад
Elizabeth maliganya pambeeeee wa simiyu tujuane apa
@jephtaidd4326
@jephtaidd4326 3 года назад
Tupo watu wa simiyu
@danstanpanga8490
@danstanpanga8490 3 года назад
Mwaka 2015 kulikuwa na wimbo unafanana na huu alikuwa anasema ccm chama kubwa ngombe mwenye pembe kubwa katikati ya wengine daaaaah nilikuwa naucheza bila kujua mwimbaji sasa hivi nimefurahi kumwona live
@fridamulinda5693
@fridamulinda5693 2 года назад
The man will be missed forever..It is hard to believe Magufuli has gone and will never come back. Life isn't fair.
@MichaelJames-qe5nz
@MichaelJames-qe5nz Год назад
Mayu ulinmhola napenda sana nyimbo zako mungu akujalie mwanamaliganya
@MichaelJames-qe5nz
@MichaelJames-qe5nz Год назад
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤mwana maliganya
@sylvesterjohn1493
@sylvesterjohn1493 Год назад
Huyu dada nazani aliongozwa na mungu kutunga nyimbo zinazoleta tiba ya kuondoa mastles mungu amlinde
@MathaJustin
@MathaJustin 2 месяца назад
Nakupenda Sana mtani wangu mungu akupe nguvu zamilele
@charleselijah-vq3hq
@charleselijah-vq3hq 6 месяцев назад
Aksante sana. CCM ni bomber siku zote kidumu Chama cha Mapinduzi.ccm safi sana
@saimonmasalu
@saimonmasalu 4 месяца назад
Dah! Dada unapiga , nyimbo zako ziko bomba Asante sana
@marysteward6203
@marysteward6203 3 года назад
Nyimbo haichoshi kwakweli bado naiskliza 2021
@fridathomassen5898
@fridathomassen5898 3 года назад
I miss Magufuli so terribly. This man will ever live in our thoughts.. He was the right man for Tz and never ever we will get a man like him. He was so special.
@moratwaya8923
@moratwaya8923 2 года назад
For sure!!!
@armelngondet2619
@armelngondet2619 2 года назад
Pas seulement à la Tanzanie mais à toute l'Afrique. Pour moi il est le meilleur président de toute l'histoire africaine.
@hemessolitei8571
@hemessolitei8571 2 года назад
@@moratwaya8923 fw MF l
@allenpeter5298
@allenpeter5298 4 месяца назад
Hiyo ngoma kwl iliandikwa na ikandikika n bonge la ngoma
@ntobolomasanja9564
@ntobolomasanja9564 3 года назад
yaàn huwa nipiga picha enzi hizo ,,Magufuri,,Mama Samia ,,Majaliwa,, Mangula,,,Bashuru,,Polepole na Janeth Magufuri,,,na team yake ilinipa raha sanaaa,,,lakin Leo yamegeuka maumivu makali 🙆🙆🙆🙆🙅🙅💔💔💔💔💔💔🤐🤐🤐🤐🤐🤐
@julianasamwel6469
@julianasamwel6469 3 года назад
Elizabeth hongera sana wew ni kati yawaliojifikiria kiburudisho cha watanzania na kujitoa kwa ajil ya uchaguzi hakika umeweza
@daviddotto3529
@daviddotto3529 3 года назад
Nilichelewa kuupata huu wimbo...hii ni passport hata nje ya nchi unasafiri kabisa ...john pombe omkaya ghedogatolele
@shaniabdul8866
@shaniabdul8866 2 года назад
Kila nikiutizama wimbo roho inaniuma jamani magufuri wetu
@chiefmtoto1365
@chiefmtoto1365 3 года назад
Fafanua au imba kwa Kiswahili maana hizo lugha wengine hatuzijui kabisaa
@ElizabethMaliganya
@ElizabethMaliganya 3 года назад
Asante Tunalifanyia Kazi
@presseg.6362
@presseg.6362 3 года назад
Kweli
@mariamubonifac3775
@mariamubonifac3775 3 года назад
@@ElizabethMaliganya unanyimbo mzuri sana mamy hongera nitakuita kwenye harusi yangu mwezi wa kumi na moja kalibu sana
@vumilialeonardi109
@vumilialeonardi109 2 года назад
Jamani nimekupenda kwa wimbo huu jamani
@bonifacechengula6117
@bonifacechengula6117 2 года назад
Tulishaanza kupanda basi la makabila......hatuwezi kurudi hoko!
@victorjohn2723
@victorjohn2723 3 года назад
Namkumbuka sana simba,wajina wa babangu, we kifo turudishie magufuli wetu tunalia bila matumaini
@khadijajacobo627
@khadijajacobo627 Год назад
Magufuri wangu masikini 😭😭😭😭😭 daaah ad machoz
@mauthamani
@mauthamani 3 года назад
Uje ufanye show haya maeneo yetu ndagalu-magu. Upo vzuri sana
@estamichoromichoro5634
@estamichoromichoro5634 2 года назад
Mwenyezi Mungu mlaze mahali pema peponi rais Magufuli 😭😭😭
@margarethorgenes4874
@margarethorgenes4874 3 года назад
Hahahaaaààaaaaaaaaaaa Yaani Elizabeth sikuwezi uko vizuri mnooo, havieleweki. Big up mummy.
@ezekielenock8249
@ezekielenock8249 2 года назад
Ukabhyala igembe sanaaa Mungu akutunze huko uliko
@registrationrumors
@registrationrumors 22 часа назад
2024,08,20 hapa chapu
@yohananjilemagembe8104
@yohananjilemagembe8104 3 года назад
Nagubali mwanakwetu elizabeth p1🙏 mwimbo mzuri 💚💛
@selemsigala4771
@selemsigala4771 3 года назад
Asante sana Dada kwa kutupatia burudani Safi kweli Ccm ya nyumbani
@ElizabethMaliganya
@ElizabethMaliganya 3 года назад
KABISA
@maryluhaga1589
@maryluhaga1589 Год назад
Nimejikuta nalia tu na kuuludia sana huu wimbo Mungu mulehemu laisi wetu ,,😭😭😭😭
@joycesamweli1219
@joycesamweli1219 3 года назад
Pumzika salama Rais Magufuli nimekumbuka Kasi yako na Mhe Majaliwa tulikuwa tunasikia Raha kuwaona piga kazi Mhe Majaliwa Mungu akufiche kwenye Damuni mwake Magufuli alikuwa ni mwanadamu sio Malaika tusimhukumu RIP JPM
@edimalankohapanakungojaleo5619
@edimalankohapanakungojaleo5619 3 года назад
😭😭😭 tunabaki kulia tu pumnzika jpm
@danstanpanga8490
@danstanpanga8490 3 года назад
Huu wimbo unaweza kusuluhisha mgogoro wowote wa kisiasa daaah hapa pembeni mwangu kuna mwanachadema anacheza kimyakimya hadi ameshindwa kujizuia kasema kweli awamu hii mnavutia kila idara mmejipanga
@faithmapondo7370
@faithmapondo7370 Год назад
Huu wimbo nlkuwa naupenda
@salamanauthar480
@salamanauthar480 2 года назад
Jamani nakupenda huu wimbo hadi basi
@twerkentertainment6362
@twerkentertainment6362 3 года назад
Likes from kenya
@ElizabethMaliganya
@ElizabethMaliganya 3 года назад
Karibu Tanzania
@abelianraphili5150
@abelianraphili5150 3 года назад
@@ElizabethMaliganya hahahhaha Tz kumenoga!!!!
@rafaelally2324
@rafaelally2324 3 года назад
Vichekrsho
@abelianraphili5150
@abelianraphili5150 3 года назад
Nyimbo nzur sema lunga gongana
@ElizabethMaliganya
@ElizabethMaliganya 3 года назад
Tunairekebisha Kuja Kiswahili Ikiwa tayari tuta wajuza na kuipost
@abelianraphili5150
@abelianraphili5150 3 года назад
@@ElizabethMaliganya pamoja Sana
@presseg.6362
@presseg.6362 3 года назад
@@ElizabethMaliganya Good
@lizzybahati9833
@lizzybahati9833 3 года назад
😃😃😃Ila wakisuma mnzur sana
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 3 года назад
You voice for milele na milele😭😭 joni pombe unatutia kiwewe
@zenapembe3170
@zenapembe3170 3 года назад
The best!
@mwajumajumanne6206
@mwajumajumanne6206 3 года назад
Yaani jamani kazi mungu Ha
@AnthonyNyanda
@AnthonyNyanda 5 месяцев назад
Ongopa ni Hatari 🚨🚨🚨🚨🚨🚨 kanyimbo kanzr mno Madam hongera san@🎉🎉🎉🎉
@Crabtree1844
@Crabtree1844 2 года назад
Magufuli, shujaa wa Afrika, dume kweli.
@rafikiwildlife4263
@rafikiwildlife4263 3 года назад
Ni machozi na huzuni nyingi kwa hizi kumbukizi. Mungu uikumbuke TZ
@SikudhaniRama-ye6be
@SikudhaniRama-ye6be Год назад
Upo vzr sana hongela dada
@estamichoromichoro5634
@estamichoromichoro5634 2 года назад
Huu unaushawishi nimeupenda
@nasrahassan7346
@nasrahassan7346 2 года назад
ELIZABETH ULIIMBA WIMBO MZURI SANA NAUPENDA SANA NIKISIKILIZA NAHISI MAUMIVU YA ANKO JPM PUMZIKA KWA AMANI BABA TULIKUPENDA SANA ILA MUNGU ALIKUPENDA ZAIDI AMINA
@user-rm4rh6le2x
@user-rm4rh6le2x Год назад
❤ pamoja Sana msukuma mwezangu
@tausiathumani9408
@tausiathumani9408 3 года назад
Nimelia Sana MAGUFURI uko wapi baba
@bethuelkonyuniofficial7930
@bethuelkonyuniofficial7930 Год назад
Wimbo mzuri sana
@user-ii4ys2nz7n
@user-ii4ys2nz7n 10 месяцев назад
Nataka nyimbo za
@aminamwivita7690
@aminamwivita7690 9 месяцев назад
Congratulations keep it up good job ❤🎉
@fatumamaiga8496
@fatumamaiga8496 2 года назад
Nalia Sana. Kipindi hicho Tanzania ilikuwa inawaka
@mengifrank7238
@mengifrank7238 2 года назад
Nabaki kuwa na huzunu tuuuuu kweli kipind cha jpm ccm ilikua inavutia jaman
@happinessmichael817
@happinessmichael817 3 года назад
Sahviii baba amelala jamniii naumia mie tongelaga baba
@JacksonNovatM
@JacksonNovatM 3 года назад
Wabeja Sana Elizabeth
@tabbywamtz501
@tabbywamtz501 3 года назад
Dada Elizabeth naomba niolewe na kaka yako kama yupo🙈jamani nakupenda bure, mie dadako kutoka kenya💃
@josephwilliam4727
@josephwilliam4727 3 года назад
Hello
@tabbywamtz501
@tabbywamtz501 3 года назад
@@josephwilliam4727 hello too
@gracejulius3966
@gracejulius3966 2 года назад
Acha kunivunja mbavu
@tabbywamtz501
@tabbywamtz501 2 года назад
@@gracejulius3966 🤣🤣🤣🤣💃💃💃
@doyermaziwa6382
@doyermaziwa6382 9 месяцев назад
Yupo kazi kwako
@teddylameck21
@teddylameck21 3 года назад
Wasukuma motooooo
@user-ii4ys2nz7n
@user-ii4ys2nz7n 10 месяцев назад
Nyimbo nzuri
@BarakaEkingo-gm8mq
@BarakaEkingo-gm8mq Год назад
Hongera sana dadangu
@magdalenaadam1149
@magdalenaadam1149 3 года назад
magufuli kipenzi chetu pumzika Baba yetu
@djngoshaoo6975
@djngoshaoo6975 3 года назад
PAMOJA SANAAAAAAAAAAAAAAAAAA 2020/25
@anahanah9145
@anahanah9145 3 года назад
Tulitaman afike 2025 lakn kaondoka mapema mno
@pianaemmanuel1687
@pianaemmanuel1687 2 года назад
Naiman mungu amekupokea baba yetu tuna juta kukupoteza baba yetu
@bahatimohamedi2945
@bahatimohamedi2945 3 года назад
Inapendeza Sanaa ❤️❤️❤️❤️
@alexkabeho5609
@alexkabeho5609 3 года назад
Wabeja Eliza❤️
@jumannejipigi1920
@jumannejipigi1920 3 года назад
.
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 2 года назад
Itapendeza
@saidmwayoyo9247
@saidmwayoyo9247 3 года назад
I love it
@marrymarco4455
@marrymarco4455 2 года назад
Daa pumzika kwa amani baba
@MarcoBulenganija-xr7uf
@MarcoBulenganija-xr7uf Год назад
Nyangurunguru kukaya hayati magufuli lalanga mola baba😢😢😢😢😢
@mariamm2724
@mariamm2724 3 года назад
Natamani nirudishe siku nyuma nimuone rais wangu akiwa na furaha , lkn ndoo ivo moyo unauma , r I p,
@yusuphmalongo706
@yusuphmalongo706 3 года назад
Hatuna budi kuyapokea rara mzee wetu
@samsonkazimoto856
@samsonkazimoto856 3 года назад
Baba amka uone ulivyokuwa unapendwa
@haruniaisha5905
@haruniaisha5905 Год назад
Mlitamba saaana miak 5 😭 mtalia milele
@samwelnzumbi284
@samwelnzumbi284 2 года назад
Kaz nzur dada
@joycesamweli1219
@joycesamweli1219 3 года назад
RIP President Magufuli Tanzania is crying
@shaniabdul8866
@shaniabdul8866 2 года назад
Magufuli wetu mungu amrehemu
@gervaskachana5062
@gervaskachana5062 2 года назад
Definitely yes!!!was the great Hero
@ilmeldaliwanga-5772
@ilmeldaliwanga-5772 8 месяцев назад
Tuko chisonga sana
@edinafaustine1142
@edinafaustine1142 2 года назад
Miss Sana jembe letu 😭😭😭😭
@vicentelias491
@vicentelias491 Год назад
R.I.P MY president
@user-pj1tk7zj9v
@user-pj1tk7zj9v Год назад
Nakubali ,
Далее
CCM MBELE KWA MBELE B CAPT.JOHN KOMBA
8:26
Просмотров 876 тыс.
BABA WA TAIFA ALIILILIA TANZANIA KABLA YAKUKATA ROHO.
21:57