#changetanzania #injili #mahubiri #upendokwawote #krismas
Wakati Masihi alipozaliwa ktk Bethlehemu, hapakua na sherehe wala sikukuu ktk uyahudi kwa sababu wengi hawakujua kwamba amezaliwa. Pamoja na kupewa unabii huu miaka mingi iliyokua imetangulia, bado wengi walipitwa. Nini tunajifunza ktk hili? Sikuliza ujumbe huu makini.
----------------------
Joy to The World instrument by Fly Wings Music:
Watch here: • Joy to the World 🎁🎄🎁 I...
13 окт 2024