Kenya ni yako ndio uamue nani wanafaa kukuwa huko ama wahame? Kati yako na Eriko labda wewe ndio utakosa shares. WaKenya wangapi wanajivunia wewe? Ni kama huelewi comedy so hebu toka kwa pages za comedy uende usome matangazo ya vifo juu ni kama hiyo ndio mnafanana nayo
@@peteremmanuelymatwimatwiem3258 Demokrasia inahitaji hivyo mwenzangu. Inaweza onekana jambo baya lakini ukweli ni kwamba nchi yoyote ya mamilioni haiwezi kuwa na watu tupu wenye tabia njema. Ukiona palipo na umati mkubwa wa watu wa kawaida, usiochaguliwa, utapata wenye hulka mbaya, na hulka nzuri. Ukiona maoni yote ni mazuri, jua tu kwamba kuna uoga wa kukashifu, au umati sio wa kawaida - hiyo ni jangwa kubwa kushinda matusi mitandaoni, kwasababu inamaanisha hakuna uhuru wa maoni, na ni serikali ya udikteta