Mpiga picha wako salehe kidogo ajirekebishe si mara moja anafanya hivyo kwa mfano pale ulipokuwa unashangaa kuhusu kitanda hatujaona,badala ya kuonyesha kitu au sehemu unayoongelea yeye anaonyesha sehemu nyingine si kwa ubaya ni maoni yangu tu ili kunogesha kipindi kwasababu tunakipenda ❤
Mie mshamba kama Saleh kizunguzungu siwezi kuishi nyumba yenye gorofa kama na naanguka ivi siwezi kwa kweli rabda nikatmbee nirudi basi hongera sana super woman