Asha hadi raha kuongea nae hapo kasahau kam ni interview 😂 dah napenda sana kuona wasanii wazaman wakiishi maisha mazuri kiukwel wameteseka sana 😢hata kama kapanga ila haombi ombi anapata kodi ndo maisha hata ulaya watu wanapanga apartment wananunua nyumba wanapangisha maisha yanasonga
Hii nyumba inaoshesha ndio kwanza imemalizika ujenzi na iko mikononi mwa madalali bado haiĵapata mpangaji ila asha book kakodi kwa masaa tu ya intavuu😂😂😂😂
Hivi tatizo liko wapi basi hamna exposure ulaya mgeni akiingia anapitiliza anachukua glass anamimina wine anaendelea na stori au anatengeneza coffee wabongo ushamba tu
Dotto Magari anasema kuna waandishi walimfuata wakamwambia atafute nyumba kali wafanyie kipindi aseme ndio kwake atrend akakataa, huwa najiuliza sana ni waandishi wa channel gani