Naomba ni comment japo sio kwa ubaya maana sipo upande wowote ila tujiulize suala la msingi kwa ukubwa huo ilo jengo na hali iliyo mtaani wakina nani watapanga kufanya biashara.?? Kwa maana tunaona huku mtaani hasa Dar es Salaam, Mwanza na Arusha majengo mengi mapya kwa sasa hayana Wapangaji zadii ni mabango ya "TO LET CALL ....." sasa tujiulize kama hayapati wapangaji faida yake inarudi vp na lini.?? NARUDIA NIMEULIZA IN GOOD SENSE SO NAOMBA MAJIBU IN GOOD SENSE NO MATUSII
Kama si milad ayo nisingejua mambo mengi sana aliyofanya rais presentation ya kiwango cha juu sana ningekua raisi kwa maadili yako ningekupa kazi ikulu kama mwandishi maalum
Rais kajenga au ni Halmashauri ya Jiji la Dodoma limejenga kwa kodi za wananchi .....muache kuaminisha uma kila k2 kafanya rais, vingine vimefanyika mbona kabla hata hajawa Rais, Kwa mfano sisi huku Halmashauri yetu imekopa pesa kabla hata Magufuli hajawa Rais, kwa ajili ya ujenzi wa Barabara za Manispaa, na sasa hivi Manispaa imependeza sana na wameweka na taa, sasa hapo utasema ni rais na wakati ni Kodi yangu nayolipa katika Halmashauri yangu,.....ndio sikatai ipo miradi ya Rais ila kwa Miradi hii inayohusu Halmashauri huwezi sema ni Raisi maana kila mtu anajua kodi au mapato ya Halmashauri hufanya kazi gani na ndio hayo maendeleo kama Zahanati, Stendi, Miundo mbinu, nk.
@@brightnetwork7406 mbona ilikua haitekelezeki kirahisi wakati wote wa nyuma kubali ndugu rais ndio anayepewa sifa apo angeweza kuwaacha wapige izo hela lkn anasimamia mpka halmashauri wanaona aibu kuiba hela za wananchi maana ilikua ni kawaida lkn saiz JPM amerudisha heshima hivyo huwezi zuia kusifiwa yeye ni mtu makini na nchi iko chini yake ukitaka uamini hilo alipoenda chato wakati wa Corona wapinzani walitaka wajenge hoja kua anakimbia majukum lkn alichokifanya dunia inashangaa angalia watoto kesho wote wanaendelea na masomo kwasababu ya ushujaa wake
@@brightnetwork7406 nan anaidhinisha fedha kumbe ukizingatia mladi mkubwa ka huo km c rais ata km usipo umkubali Ukitulia bila kusema c mbaya ndg kuliko nawe kusema anatuaminisha akat tunaona, pole sanae
@@brightnetwork7406 pia nadhan umesahau sahv pesa yote serikali kuu afu ndo mnaletewa haya hzo unazosema za halmashauri wanakopa wap fkr ata km humpend sahv tunampenda kiongozi anaeleta vitu tukaona
Jamani watanzania naomba tuyatunze mazingira na miladi iliyo jengwa ili tuweze kufaidika nayo maana tusipo yatunza ita kuwa nisawa na kuchota maji kisimani na kumwaga baharini Mungu ibaliki Tanzania #Mungu# mubariki lais wetu asante
Mungu ibariki Tanzania lakini pia na Nchi zingine ambazo Hadi leo hii amani imetoweka Vita kila Kona Hadi wananchi wametawanyika kila pande za dunia kama Nchi yetu ya congo Nina Imani tu siku moja utatuteulia mtumishi wako atakae ongoza Kama upendavyo nao wafurahie matunda ya Nchi Yao Kama wengine 🙏🙏🙏🙏
Da! Imeniuma umeandika kwa hisia sana, kwakweli inaima dunia yetu sote lakini kwaajili ya wenye tamaa wanasababisha baadhi ya binaadamu wasione raha kuwepo duniani, wanasababisha vita kila kukicha duniani., IPO siku yataishatu Dada.
Wow! Asante sana Millard Ayo kwa kupost hii clip. This should be the best in the entire continent of Africa! Kinachobaki ni watanzania kumuunga mkono mkuu JPM, aendelee kuliongoza taifa. Mungu ibariki Tanzania. This is beautiful!
Rais kajenga au ni Halmashauri ya Jiji la Dodoma limejenga kwa kodi za wananchi .....muache kuaminisha uma kila k2 kafanya rais, vingine vimefanyika mbona kabla hata hajawa Rais, Kwa mfano sisi huku Halmashauri yetu imekopa pesa kabla hata Magufuli hajawa Rais, kwa ajili ya ujenzi wa Barabara za Manispaa, na sasa hivi Manispaa imependeza sana na wameweka na taa, sasa hapo utasema ni rais na wakati ni Kodi yangu nayolipa katika Halmashauri yangu,.....ndio sikatai ipo miradi ya Rais ila kwa Miradi hii inayohusu Halmashauri huwezi sema ni Raisi maana kila mtu anajua kodi au mapato ya Halmashauri hufanya kazi gani na ndio hayo maendeleo kama Zahanati, Stendi, Miundo mbinu, nk.
@@brightnetwork7406 Hata akina Daud walikua hawaendi vitani kipindi chote lkn wanajeshi wake wakishinda alikua anatambulika kua ni Daudi kashinda acha ubishi kiongozi wako ni JPM ndio sifa zinamuelekea kua watu walio chini yake wanatimiza maagizo na pia ni irani hio ya CCM kwahio usilete ubishi bila sababu Magufuli apewe miaka 20 basi Mzee wa watu anaijua Kazi ya urais kama amesomea kumbe ni kipaji tu Mungu kampa
Nani aliyesimamia ustuchoshe ndiyo ni pesa zetu wanainch pia mbona marais waopita walifanya faida kwenye matumbo yao wakajisahau pesa zote zikaisha ila magufuri katusimamia na wala hana tamaa na pesa wala mali katufanyia maendeleo na kasimamia ipasavyo
Halafu utasikia wajinga fulani eti wanataka kuikomboa Tanzania.. mara wanataka mabadiliko.. mabadiliko kwa wake zao.. kwa mambo haya anayofanya magufuli. Naanzaje kuhangaika na watanua mikono.. nitawafikiria JPM akiondoka madarakani.. kwa sasa nipo kwa JPM.
Naomba ni comment japo sio kwa ubaya maana sipo upande wowote ila tujiulize suala la msingi kwa ukubwa huo ilo jengo na hali iliyo mtaani wakina nani watapanga kufanya biashara.?? Kwa maana tunaona huku mtaani hasa Dar es Salaam, Mwanza na Arusha majengo mengi mapya kwa sasa hayana Wapangaji zadii ni mabango ya "TO LET CALL ....." sasa tujiulize kama hayapati wapangaji faida yake inarudi vp na lini.?? NARUDIA NIMEULIZA IN GOOD SENSE SO NAOMBA MAJIBU IN GOOD SENSE NO MATUSII
@@herielstephenmsanga kwani unajua maana ya uwekezaji? Hilo jengo siyo la siku 2, wala mwaka mmoja.. litakuchukua miaka mingi. Kwa sasa dunia ina janga la corona.. mataifa makubwa ya magharibi bado yamejifungia. Hivyo ni lazima lazima kuwepo na tatizo la kiuchumi.. mzunguko wa pesa ni lazima ushuke.. kwa sababu third world countries tunaishi kwa kutegemea mataifa ya magharibi. Hali ya corona ikipita mzunguko wa pesa utaanza kurudi km mwanzo.. uchumi utakaa vizuri.. watu wataenda kuchangamkia fursa.. watawekeza.. ajira zinapatikana.. serikali itapata kodi.
Naomba ni comment japo sio kwa ubaya maana sipo upande wowote ila tujiulize suala la msingi kwa ukubwa huo ilo jengo na hali iliyo mtaani wakina nani watapanga kufanya biashara.?? Kwa maana tunaona huku mtaani hasa Dar es Salaam, Mwanza na Arusha majengo mengi mapya kwa sasa hayana Wapangaji zadii ni mabango ya "TO LET CALL ....." sasa tujiulize kama hayapati wapangaji faida yake inarudi vp na lini.?? NARUDIA NIMEULIZA IN GOOD SENSE SO NAOMBA MAJIBU IN GOOD SENSE NO MATUSII
Watanzania MUNGU atupe nini tenaa ?? Au tunataka Rais wa aina gani tenaaa??? Duuuuh!!! Hii ni miaka mitano tuu. Nawaomba watanzania wenzangu wanaoipenda nchi hii tusifanye makosa October
Big up sana Rais wetu JPM kwa maendeleo yasiyo na mfano ktk jiji la Dodoma na Tanzania kwa ujumla. Kweli kabisa bila kumumunya maneno, stand ya mabasi Dodoma ni nzuri sana kama Ulaya. Hongera sana Milard Ayo kwa kutuonyesha live muonekano wa stand ya mabasi Dodoma. Natamani nikija huko nitatembelea hiyo stand pamoja na Ikulu yetu mpya ya Dodoma.
Jamani Rais Magufuli sio wa mchezo ana fanya mambo mazito sana . Yani ambacho nimejifunza kumbe kiongozi akiwa mzuri nchi inapona hadi korona , mashamba yanasitawi , mito nayo ni mitulivu, Ardhi inarutuba pia na maendeleo ya kutosha
@@temuemanuel4671 hiyo ni fact brothervimagine marais wote waliopita wangekuwa na upendo na nchi yao na wakafanya haya anayoyafanya Rais magufuli Tanzania leo ingekuwa wapi?? Madini wanafaidi wadhawa inapendeza sana . Yani unajisikia uko kwenye nchi huru jamani
@@priscambwambo1030 Napenda watu wazalendo kama wewe. Tuendelee kuwaombea viongozi wetu na taifa kwa ujumla. Tanzania baada ya miaka michache tutakuwa mbali sana. viongozi wa upinzani au walioko ndani ya CCM wasiokuwa na nia njema na taifa letu washughulikiwe ipasavyo. Ikiwezekana waende uhamishoni kabisaaa. Hatutaki tena siasa uchwara na za kiwizi
Rais kajenga au ni Halmashauri ya Jiji la Dodoma limejenga kwa kodi za wananchi .....muache kuaminisha uma kila k2 kafanya rais, vingine vimefanyika mbona kabla hata hajawa Rais, Kwa mfano sisi huku Halmashauri yetu imekopa pesa kabla hata Magufuli hajawa Rais, kwa ajili ya ujenzi wa Barabara za Manispaa, na sasa hivi Manispaa imependeza sana na wameweka na taa, sasa hapo utasema ni rais na wakati ni Kodi yangu nayolipa katika Halmashauri yangu,.....ndio sikatai ipo miradi ya Rais ila kwa Miradi hii inayohusu Halmashauri huwezi sema ni Raisi maana kila mtu anajua kodi au mapato ya Halmashauri hufanya kazi gani na ndio hayo maendeleo kama Zahanati, Stendi, Miundo mbinu, nk.
@@brightnetwork7406 huko halmashauri hipi iyo??? hivi tangu tupate Uhuru halmashauri zilikuwa hazikusanyi mapato????? Kwa nini mambo haya yanafanyika wakati huu??? HACHA WIVU MAGU NI JEMBE!
@@brightnetwork7406 uo unaitwa uchoyo wa fadhira cousin yangu ,. Usitake uwa Aminishe watu vitu ambavyo ata chizi uwezi kumuaminisha . Tume yaona mengi yalio pita kwamba izo almashauli azikuepo before .,! Tujifunze ku Eka uchama pembeni kwenye maswala ya kimaendeleo ktika taifa letu ,.nchi kibao zina tamani kua Na Rais kama ambae cc wa Tanzania mungu katugea Tumpe credit zake ili awe Na moyo wakufanya makubwa zaidi.,
Ndo maana unabii unatimia kuwa nabii hakubaliki isipokuwa kwao. Watanzania hatuoni yale yanayoonekana na mataifa mengine. Asante sana Ayo kwa kujuza umma habari za nchi yetu na yanayotendwa na Rais wetu Dkt JPM.
Jamani jamani nawaombeni Rais jpm akimaliza mda wake wa miaka kumi tumlazimishe hata kwa maandamano nchi nzima aendelee hata miaka 35 atake asitake ili nchi hii tufike mbali na sisi tukopeshe
Wooooow Hongera sana muheshimiwa magu Allah akulinde akuepushe na kila baya akujalie mwisho mwema hiv kuna haja gan yakufanya uchaguz jaman binafs magufuli tuongoze tu baba mpaka mwisho wa dunia
Justine. Sikuona vizuri vyoo vya Walemavu. Samahani. Hongera sana Raisi Wetu kwa jitihada kubwa. Kwa kweli ni stendi ya ajabu. Millard Ayo ni mtangazaji mzuri. Kila la kheri.
Hivi kumbe mambo yanawezekana . Nani huyu ni Rais wetu alietukuka kwa maadili asie mbinafsi tunaona kazi yake jamani. ,Ama kweli jamani . Libarikiwe hili tumbo la huyo Mama aliemzaa huyu Rais magufuli Amlizaa hazina kubwavsana . Alizaa mtu wa Thamani kubwa . Alizaa Mfalme mwenye hekima , mcha Mungu mpenda watu wake na Taifa lake. Ninani kama Rais magufuli Tangia kuubwa Kwa Tanzania hajawahitokea kiongozi wa namna hii . Hili ni Jembe la chato . Ni mwaume pekee aliesimama kupinga ushetani wa corona duniani mana hili gonjwa lililetwa na siasa vitisho vingi ila huyu Mwanaume wa wanaume Peke yake alisimama na Mungu wake na Mungu akamsaidia . Kiongozi akiwa mcha Mungu nchi inapona . Mungu hapendi watu wanowategemea wanadamu. Nakupenda sana Rais wangu. Umeitendea Tanzania haki na watanzania . Nakushukuru sana Rais wangu Magufuli .wewe ni Rais wangu wa kweli .
Asante sana kwa kumpongeza Rais wetu mpendwa pongezi za dhati kabisa kutoka moyoni mwako ubarikiwe dada. Mungu ibariki Tanzania mungu mubariki Rais wetu mpendwa kipenzi cha wengi Tz jpm
Prisca mbwambo.hakika mungu. anawajuwa walio wake.tunakila sababu ya kumshukuru mungu, kwa kutupa kiongozi mahiri shujaa.mchapakazi.kubwa kuliko.mwenye hofu ya mungu.huyu ndo mfalme daud.mungu mlinde rais wetu.pamoja na nchi yetu.zidi ya watu.wabaya wasio itakia mema.nchi yetu.pamoja na rais.wetu...
@@winifridarobart9014 anina ndugu yangu Robart umeongea ukweli mtupu! Unaona na mawàzo yako ni sahihi kabisa. Me nawaambia watu hivi ! Nimezaliwa Tanzania nimekulia Tanzania najua nchi yangu vizuri . Huyu JPM ni kiongozi bora sana
Mbwambo.ndugu yangu.hi nchi hii niyaketu.nijukum letu kuilinda kwa nguvu zetu zote.na kupigania amanani yetu.tuwe wazalendo wa kweli.kwasababu tunaona vitu vinavyo fanyika. huko nyuma hatukuwahi.kuviona.penye ukweli uongo hujitenga.ninani km.magufuli.tuzidi kumuombea.
@@winifridarobart9014 Amina kaka yangu. Unajua Robert kuna watu me nawashangaa sana utazani sio wazaliwa wa Tanzania au kana kama huko nyuma hawajakuwepo. Yani nikiona mtu aneongea negativ kuhusu Rais wetu huwa nashangaa sana. Brother hukonnyuma tuliburuzwa tu. Na maskini alikuwa hana say yeyote ach ukiwa tajiri au mkubwa au hata rafiki wa mkubwa ! Unapeta? Nchi ilikuwa haina Adabu kabisa. Sasa ivi tuko sawa . Nampenda Rais magufuli anapenda watu wa hali zote. Angalia kipindi cha nyu mamantieie walivyonyanyaswa na Migambo jamani! Rais ana hofu ya Mungu. Tuzidi kumuombea sana Rais wetu.
“🤩Haswa😍 👏🏾” 👇🏾 “Ndiyo inavyo takiwa namna hii 💪🏾” “🤩 Haya ndiyo maendeleo ambayo Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ali sema kwamba”; 👇🏾 “Wa Tanzania 🇹🇿 wana yataka ndani ya CCM, na waki yakosa tu, basi wata yatafuta nje ya CCM, ambavyo ni vyama vingi vya siasa” 👇🏾 “MWENYEZI MUNGU ibaraki Tanzania 😍🇹🇿🦚🌴🏝🌳🥀🌹❤️” “MUNGU Ibariki Afrika 🌍, Amen 🙏🏾”
Kazi nzuri sana na pongezi nyingi sana kwa wote walioshiriki kufanikisha hili na Asante Mh. Rais JPM kwa uongozi thabiti unaosababisha mambo kama haya yawezekane Tz. Mtihani huu umekamilika ila mtihani mkubwa zaidi ni Matunzo "Maintenance", hii ni changamoto kubwa sana sana sana kwa nchi zetu nyingi za kiafrica, Flyover ya Tazara wajapan walikabidhi wakiacha na bustan nzuri ya majani leo ukiangalia aibu, daraja la nyerere wachina waliacha taa nzuri na nyingine za urembo leo haziwaki. So mkuregenzi wa Dodoma kwenye hiki kituo usituangushe! "Maintenance" iwe effective.
Mbali ya stend mpya wananchi wamepata ajira za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja . Mungu azidi kumbaliki Rais Wetu Magufuli pamoja na wasaidizi wake wote.
Safi sana kwa kweli. Kumbe kila kitu kinawezekana. Mungu aendelee kumlinda huyu mwamba Magufuli hata kama nchi itakuwa na madeni kwa kujenga hii miundombinu tupo tayari kulipa hayo madeni kwa kulipa kodi kwa hiari.
MashaAllah kweli hyu INDIGO anaimani kubwa sana kwa Mungu yaan hadi Nyumba za Ibada zipo. Kweli Nchi hii inaongozwa na Mungu. Kwani kiongozi Mkuu wa Nchi hii anamtegemea Mungu wa mbinguni na c miungu Watu.
Yani ukisikia mijitu mijinga haijui nini hitaji lao kama taifa,.. utasikia mara oh demokrasia mara uhuru wa kujieleza. Uhuru wa kujieleza unahitajika kwa daktari na kwa mwalimu wanaokufundisha na kukutibu mengine ni unataka kutupigia kelele tu. Wanaojua hufahamu kuwa watu kama Magufuli hutokea mara chache na wakiwaona huwag'ang'ania hadi wawafikishe mbali...mfano china, Urusi nk......sisi eti demokrasia, nimesema wanatokea mara chache si kwa maana ya uadilifu bali kuwa na vitu vingi kwa wakati mmoja..mtu anaweza kuwa muadilifu asiwe jasili wa kujitoa, au asiwe mfuatliaji wa mambo akaharibiwa na wasaidizi wake Watanzania tuache ushabiki tuipende nchi yetu acheni kushikwa masikio na wazungu
Kwa hakika mm natokea +254 yani kwetu kumeoza kama kuna uwezekano na mm nije niwe raiya wa tz kabla kura kufanyika nataka kumpa kura yangu mzee wa buswara ..mzee wa hikma .. mzee muaminifu .. mzee anae jali watu wote kwa jumla yani siwezi maliza kama nikumsifia ... chazaidi Allah amjazi heri mzee magufuli azidi kulinda boma lake love tz