Тёмный

UWEKEZAJI WA MIZENGO PINDA DODOMA NI BALAA EBU SHUHUDIA ALICHOKIFANYA 

Uhondo TV
Подписаться 601 тыс.
Просмотров 110 тыс.
50% 1

#UhondoTV #Uhondo

Опубликовано:

 

11 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 70   
@fikiliogambi5042
@fikiliogambi5042 5 месяцев назад
Kwa kweli Mzee Pinda uishi maisha marefu mzee wangu! Mimi ni kijana lakini natamani sana kuinvest kama wewe ila changamoto ni mitaji
@joshuakusena707
@joshuakusena707 4 месяца назад
Tupeane namba za simu hapa. Labda tutapata wazo kaka. Maana na Mimi shida hiyohiyo
@patricknamangoa6468
@patricknamangoa6468 4 месяца назад
That's Mzee Pinda, humble and caring. May God continue to strengthen you Mzee.
@omtuya5892
@omtuya5892 4 месяца назад
Huwa namkubali sana huyu mzee. Very simple, cooperative na yuko available kwa yeyote kujifunza
@lucymarandu4790
@lucymarandu4790 4 месяца назад
OO wonderful inafutia kilimo fresh kina Tisha. I wish vijana wangejifunza na kuwezeshwa, wanywa gongo na madawa ya kulevya wangejiajiri wenyewe.
@user-oy5dz5xl8s
@user-oy5dz5xl8s 5 месяцев назад
Kweli mzee pinda we ni tofauti sana tutakuja kujifunza kwako baba yetu udumu na upendo wako
@emmanuelmchome3071
@emmanuelmchome3071 4 месяца назад
Mh. M.K.P.PINDA Umeonesha mfano mzuri Sana Bwana akubariki Sana. Nimejifunza Sana.
@user-xb4qj5pd7x
@user-xb4qj5pd7x 5 месяцев назад
Hongera sana mzee. Ikimpendeza Mungu, siku moja nitakutembelea shambani kwako.
@edithmushy1010
@edithmushy1010 Год назад
Hongera baba. Napenda kilimo na nitafanya kwa ukubwa wa uwezo wangu. Natafuta tu Kama heka 5. Sehemu yenye maji na rutuba
@user-mt2gc7mi5v
@user-mt2gc7mi5v 5 месяцев назад
Mzee mugu hakuogeze maisha mema hira naomba unique namm nimeaza na kuku sabini nitume kiripu yangu
@mamachris6811
@mamachris6811 5 месяцев назад
Wewe kweli ni kiongozi,unaonyesha kwa viyendo Ulichopata kwa halali,umekiwekeza Hongera sana
@user-uy3lo8oj5r
@user-uy3lo8oj5r 4 месяца назад
Mzee Linda Mnyezi Mungu akusimamie!!!!
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 Год назад
hongera sana baba yetu Mizengo pinda kwakutupatia elimu ya kujitegemea
@igihamanuel1
@igihamanuel1 5 месяцев назад
Hongera sana Mzee Pinda. Umekuwa mfano mwema, ubarikiwe
@rafaelikimati4276
@rafaelikimati4276 4 месяца назад
Safi sana Mkuu napenda sana hii kazi ila mitaji tu unanisumbua mimi ila naipenda sana hii kazi mimi kiukweli
@AlexJunior-ls4ul
@AlexJunior-ls4ul 4 месяца назад
Saafi sana mheshimiwa Acha na sis tujifunze
@DONALDMTOWE-u9g
@DONALDMTOWE-u9g 5 месяцев назад
Mzee pinda hongera sana,Ila mikopo ya halmashauri madiwani wanazila,wanavikundi vyao.
@TENGAMSOGOYA
@TENGAMSOGOYA 5 месяцев назад
Hongeraa sanaaa mheshimiwaa natamani Sanaa niweee kamaaa wew
@joycebenjamin6017
@joycebenjamin6017 4 месяца назад
Ni kweli kbs degree ni cheti,wasomi ndo wawekezaji wazuri sana hapa New jersey👍🏻👏🏽
@amanmyolo5359
@amanmyolo5359 Год назад
Hongera baba mungu akutunze frm mwanao KISIWA BENEDICTO PAULO
@paulm.kaponda2300
@paulm.kaponda2300 4 месяца назад
Ubarikiwe mzee wetu Pinda.
@LeornadKiyungi
@LeornadKiyungi 5 месяцев назад
Hongera sana Mzee wetu.
@GodfredAlfredNgarama
@GodfredAlfredNgarama 5 месяцев назад
Hongera sana mzee pinda tunapenda wazee aina yako sio wazee wasiokubali kustafu wanauchu wa madaraka mpaka kufa kwao
@mwitawambura2548
@mwitawambura2548 4 месяца назад
Hello Peter, Leo nimekuona bhana nakumbuka kipindi hicho ukiwa spika wa bunge la chuo flani Keep it up brother una kiu ya uongozi
@PaskaliCharles-pz8ds
@PaskaliCharles-pz8ds 5 месяцев назад
Hongera sana mzee
@agastokissatu2667
@agastokissatu2667 4 месяца назад
.......mwamba kama mwamba kweli kweli....!!!nadhani ni viongozi wachache wanaoweza kusema hapana(no) mheshimiwa
@elineemamndeme5634
@elineemamndeme5634 5 месяцев назад
Safi sn baba hongera
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 4 месяца назад
Asset Yetu Ya Taifa....mkuu kamtaji ndo Shida vijana tunapendaa kilimo na ufugaji..ila vijana tuwezeshwee
@josephnjella4919
@josephnjella4919 2 года назад
Hongera mzee nitakuja nikusalimia
@tanzaniampyakaulimbiu3553
@tanzaniampyakaulimbiu3553 Год назад
Tunaomba mchango wa kugharamia harusi ya MBUNGE (David Ernest Silinde (MTANZANIA)) na Mcheza soka (Misa Rodríguez (Mhispania)) ITAKAYOFANYIKA MBINGUNI MBEYA
@josephineseruhere-cv4wc
@josephineseruhere-cv4wc 5 месяцев назад
Wewe ni malaika ulietumwa DODOMA Mungu akubariki
@mudhihirumikidadi6066
@mudhihirumikidadi6066 4 года назад
Mzee hongera mzee naomba kukuwakula sikukuu
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 5 месяцев назад
Acha omba omba
@mwerindejackson5001
@mwerindejackson5001 Год назад
Hongera mzee ww kama muizraheli vile karibu same
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 6 месяцев назад
Wewe nakuhabarisha unasifia usichokijua wewe ni miongoni mwa wale wanaopenda kutawala wajinga ambao wanaendelea kupungua hapa TZ vyuo vikuu walivyovianzisha,sekondari zakata watu wanasoma uraia na ndiyo somo mhimu katika kuwatambua hawa na jamaa zetu halafu unaendelea kwenye kundi LA kusifia kwa taarifa utakuwa umechelewa utakosa hata kujisaidia haja ndogo itakuwa kwu au nachafua mazingira kwa jirani yako hiyo utaijua uzeeni sijui kama unakaa kwako au umepanga hawataki katiba mpya kwa sababu hata Mali za Watanzania kama viwanja vya mpira wa ni Mali ya chama chao wakati Watanzania wote wafanyakazi, wakulima , ndiyo waliojenga miundombinu hiyo bila kujua, bila walojenga kutambua kuwa wanatakiwa kujua kuwa ni Mali ya Watz siyo ya Chama cha siasa kama alichokitumikia hiyo mzee? Kuwa chanya kama unajitambua
@ChachaNyahende
@ChachaNyahende 5 месяцев назад
Hongera sana
@ezrakiduko6135
@ezrakiduko6135 4 месяца назад
Salut pinda
@andreamathew4585
@andreamathew4585 4 месяца назад
Tutapata kazi kiongozi
@KaijageEvodius
@KaijageEvodius 2 месяца назад
safisana mzeepinda
@VincentKija
@VincentKija 4 месяца назад
Aendelee kuwekeza kiongoz hana mambo mengi huyo.
@hassannjiku
@hassannjiku 6 месяцев назад
Mzee pinda umenipa somo zuri nn nimepata pa kujifunza
@maselemaziku4875
@maselemaziku4875 4 месяца назад
Saiv unKUMBUK na kukosea lkn vip kuhusu wapigwe tu ,AANA hakuna namna
@user-wc6dl8kp9p
@user-wc6dl8kp9p 6 месяцев назад
Watu wanatafuta Degree wapate ajira Serikalini kisha wakaibe wapate mtaji kisha wakalime hapa kisa nl mitaji.
@Egbethelneus-wj3bq
@Egbethelneus-wj3bq 4 месяца назад
Tanzania siyo maskiniii ila watanzania tumekosa maalifa
@johnsaningo226
@johnsaningo226 2 года назад
Great mind
@josephmpanda2237
@josephmpanda2237 Год назад
Naomba Mimi ni mstaafu nilipenda kujifunza kuhusu kilimo na ufugaji ni namna gani naweza fika hapo Kwa muheshimiwa Waziri Mkuu mstaafu Mimi Niko mwanza Nina mapenzi makubwa na kilimo naomba kupata utaratibu
@user-qb6dx2kv3z
@user-qb6dx2kv3z 5 месяцев назад
Tatizo kubwa kwenye nchi yetu wanasiasa wanatuambia vujana twende kijijini tukalime kijana ataanzia wapi Hana pesa ya mtaji hana kila kitu ataanzia wapi,,wao wakiwa madarakani wanachuma pesa nyingi baada ya hapo wanaanzisha miradi mikubwa so vijana tufanyeje
@mtanganyikahalisi4286
@mtanganyikahalisi4286 4 месяца назад
Kijana anamiliki simu ya Milioni mbili yupo mjini analalamika Hana mtaji anataka Serikali impe mtaji halafu hiyo simu haina kipato chochote inachomuingizia Zaidi ya kuji selfie Na kuwatambia watu unamiliki iPhone macho matatu mtasubiri sanaaaa
@shukranikikoti5261
@shukranikikoti5261 Год назад
Congrats
@nixonjohnson4908
@nixonjohnson4908 Год назад
Mmeiba vya kutosha sasa mnatufanyia msigizo ya ufugaji ..mbona haikuwa kabla ... kula hela kifo kipo karibu acha kujisemesha ..shida dodoma maji wkt ulikuw wazir mkuu
@amanilupembe9788
@amanilupembe9788 4 месяца назад
Baba unajua wambie hao wanataka kukaa ofisini tu kuchezea kompyuta tu
@user-mt2gc7mi5v
@user-mt2gc7mi5v 5 месяцев назад
Mm mueshimiwa niko bukoba naomba msaada kwako nimeaza kufunga kuku hila sina mtaji naomba msaada kwako nitashukuru kwa kunifikiria
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 5 месяцев назад
Duuu jamani watu tunaomba bila aibu...au Pinda katenga fungu la kugawa ? ,tuambizane
@judicalosika7642
@judicalosika7642 2 года назад
🇮🇱Mzee Pinda NAKUPA HONGERA SANA SANA. INAONESHA KABISA TANZANIA SIYO NCHI YA KUWA NA NJAA.
@mabondolawrence1812
@mabondolawrence1812 4 месяца назад
Waliochuma mali kwa halali wanadhihirika pasi shaka.
@HajiMakame-m8l
@HajiMakame-m8l 5 месяцев назад
Wakuu nyie wa nchi mnaogopa njaa Sanaa nyie wapiga dili sekalini nyie mmejipanga Sanaa nyie mapema mnachukua chakwenu
@tanzaniampyakaulimbiu3553
@tanzaniampyakaulimbiu3553 Год назад
Tunaomba mchango wa kugharamia harusi ya MBUNGE (David Ernest Silinde (MTANZANIA)) na Mcheza soka (Misa Rodríguez (Mhispania)) ITAKAYOFANYIKA MBINGUNI MBEYA
@user-xh9ko2cs1r
@user-xh9ko2cs1r 4 месяца назад
Kulimo pesa buka pesa ngumu
@abdallahmgaya7521
@abdallahmgaya7521 Год назад
ACHENI kutukana watu
@babuloliondo74
@babuloliondo74 Год назад
Umejirimikisha viyakutosha mbwa wewe sura kamatako nyambavu zako wewe
@martinegumbo7225
@martinegumbo7225 Год назад
Hivi kwanini watu mnapenda sana kutukana?,unadhani utaweza kujikwamua kiuchumi kwa kutukana?Tujifunze kutumia lugha za staha.
@ismailmdoe8616
@ismailmdoe8616 Год назад
Mzee uwekezaji uwo niwagarama huwezi kumshauri mtu asiekua na kipato afanye uwekezaji uwo..hata ww umeweza kufanya baada ya utumishi.
@user-lv1ki7nn7t
@user-lv1ki7nn7t 6 месяцев назад
Wewe mbwa ulaaniwe unaemtukana Mzee wetu Mzee PINDA
@user-lv1ki7nn7t
@user-lv1ki7nn7t 6 месяцев назад
Mbwa mkubwaaa wewe Tena ningekuona karibu yangu ningetanguliza kuzimu wewe
@salmanmagwe2612
@salmanmagwe2612 5 месяцев назад
Mzee pinda alikuwa kiongozi mkubwa na ni mtu mzima kiumri,na ni mwekezaji mkubwa wa ndani,hufai kumtukana na kumkosea adabu mzee km huyu.jufunze tabia njema na namna ya kuwekeza kwa huyu Kiongozi badala ya kumtukana
@EmmanuelLubuva
@EmmanuelLubuva 5 месяцев назад
Hongera sana mzee
@innocentlongino5664
@innocentlongino5664 Год назад
Hongera sana
Далее
EXCLUSIVE: MASHAMBA YA MSTAAFU MIZENGO PINDA NI GUMZO!
26:20
Новый уровень твоей сосиски
00:33
BeastMasters Hawk just had enough #ti13
00:30
Просмотров 358 тыс.