Shekhe sule hongera Sana lakin Kama mkeo mwambie avae hijabu na lipstick izo VP Halali au haramu na yupo macho juu kama sio mke WA shehe Mie nakukubali sana hutba zako lakin kwa hili Naona panamakosa kdogo😢
@@Alexthadey-lm3ju pia watu wa bara mnaoa zaidi ya wanne na si waislam. Kweni hujuwi watu walioa wake zaidi ya mmoja na si waislam?. Au ndiyo unachuku na waislam.
Mke wa sheikh anajianika huku amejipodoa :anavyoongea t utadhani si mke wa sheikh anarembua hiyo mikono sasa kama anavyofanya kama wasichana wa 2000 alafu ni mtu mzm :kwanza mke gan wa sheikh anavaa kama hana elimu :mke wa sheikh anajisitir hata wengine waige vazi zuri :
Acheni roho mbaya kwa wanawake wenzenu mtaingia jikoni kwa roho mbaya na ubinafsi tuu na wala sio dhambi zengine.Unadhani madhambi ya atakayofanya sheikh na nyie wenye chuki moyoni ipi lina uzito kwa Allah?😢😢
@@konshazikonsha6180 ndugu yangu uislam ni dini na ni mtindo wa maisha vile vile yaani Kuna utamaduni wa kiislam ,kuufuata ni lazima,Sasa kwa mtu kama sule ambaye anajinadi ni shekhe ,kiongozi wa kidini,angetakiwa angalau hata kidogo aonyeshe athari juu ya kile anachokiamini ,ili wanafunzi wake waelewe vizuri kile anachokihubiri,lakini sule kavuka mipaka katika kuacha asili yetu yaani utamaduni wetu ,yaani uislam,yeye Sele anaaminika na watu wengi muonekano wake tu na maneno yake ni athari Tosha kwa jamiii ya kiislam.aheshimu nafasi yake .
Dah mtihani kwenye orodha ya mashekh huyu namtoa asaa naona kabadilika kabisa haya sio mambo ya kislamu mambo ya kipuzi kabisa hawa ndo mashekh wetu wa siku izi nambo ya nyumbani kwake anayanika mitandaoni kwenye uislamu yapo kweli haya
Mtihan kwakweli japokuwa hatupaswi kumhukumu binadamu mwenzako lakn kwa hapa kwa mke huyo haya tumuombe allah maana hayuko kabisa kwenye stara ya mwanamke napia ogopa mwanamume anaeowa kwa malengo huyoo ni wakuchuma tu
Docta nilikuwa nafuraiyaga mawaidha Yako lkn ivi naona umekua tofauti un homme sage comme toi kumitandao Ayo siyo tena mafunzo inakua kuigiza kwani uyo nimke wa ajabu kuliko ulio kutwa nao uyo ni usta
Huyu mwanamke itakuwa anammezea mate sheikh mbona akili yake iko kwa sule.idadi imeshatimia tayari ya wake wanne ww kama unataka basi njoo nafasi huku bado ipo ya wake wawili 😂😂
Zamani ilikua wanaume njo wende hikma Léo wanawake njo tunakua n'a hikma kuliko wanaume iyo ni aibu Yako ya ndani unatoa inje wake wakubwa wa sure poleni la folie commence par le reste et sa terminé par le miracle mumchunge uyo mme wenu mumuangalie vzr
Wewe lia kwa uchungu mwachie sheikh ale kitu cha moto apate kuinjoyi unataka ale vilivyochacha na bado sio yeye tuu dunia ya sasa tutafata system hiyo hiyo tutaowa hata 7 ngoja maana nilyenae bado hajanishibisha njaa yangu
Dah, watu wanaamini watu wajinga wasiyo elimu ya dini leo wamepachikwa ushaikh badala ya Kuwaita waganga, huyu ni mganga, mtu mwenye elimu ya dini anaujua uislaam kisahihi hawezi kuwa na upuuzi wa namna hii, waislaam kuna haja kubwa ya kusoma na kuijua dini yenu, muepukane kusombwa akili zenu na waganga hawa
@@hidayarashidi5484 kweli unayosema kwasababi hawa ni walimu wetu inabidi tuwakumbishe nao ni binaadamu ndo maana mwisho nilimalizoa tuombeane dua kwa vile binaaaamu si mkamilifu na dini ya uislamu ni ya kuamrishana mema na kukataza mabaya
@@aminakasim1198 nasikia alikuwa mkristo akasilimu! Huyu jamaa misifa mno mara akuonyeshe wake zake mara atangaze nyumba yake mara aonyeshe keki ya birthday ya mkewe basi ni mashaka matupu
Mke wa sheikh anajianika huku amejipodoa :anavyoongea t utadhani si mke wa sheikh anarembua hiyo mikono sasa kama anavyofanya kama wasichana wa 2000 alafu ni mtu mzm :kwanza mke gan wa sheikh anavaa kama hana elimu :mke wa sheikh anajisitir hata wengine waige vazi zuri :
Dawa yako na wewe uongezewe mwenzako ndio kitatulia hicho kidomo chako unaongea kama chiriku hasa hivi wanawake itabidi musaidiane kazi mumlee mwanaume bhana mmoja hatoshi kila mtu akamate kiungo chake wawili mikono na wawili miguu mambo yatakuwa sawa