Тёмный

MAJINI WA DK SULE SIO WEMA USIMTETE || MAJIBU KWA BABA KIR'WASHA || Muhammad Bachu. 

Muhammad Nassor Bachu
Подписаться 62 тыс.
Просмотров 52 тыс.
50% 1

Игры

Опубликовано:

 

27 май 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 547   
@hamzaforogo
@hamzaforogo Месяц назад
Mwalimu kabisa huyu Ana ufasaha wa kuelekeza anaongea moja kwa moja .Allah amuhifadhi aaamiin
@SurprisedBirdwingButterf-gi9ym
@SurprisedBirdwingButterf-gi9ym 18 дней назад
Ameen yaRabbi 🤲
@zaydamos874
@zaydamos874 Месяц назад
Simba mkali sheikh Muhammad bachu Allah akuhifadhi sheikh wetu sheikh msomi
@UlamaaWaUlamaa
@UlamaaWaUlamaa 28 дней назад
Mwanzo nilikuwa simuelew ila kwa sasa naaaanza kumuelewa. Allah amhifadhi
@Athumaniomari-ge2gs
@Athumaniomari-ge2gs Месяц назад
Aise yafaa masheikh wamuunge mkono Zaid huyu bachu maan anafany kazi kubwa saaan
@UlamaaWaUlamaa
@UlamaaWaUlamaa 28 дней назад
Mm namba moja nitamuuunga mkono
@Munatiyahilwa
@Munatiyahilwa Месяц назад
Wallahi yametoka machozi May Allah reward you...awaongoze na Mashekhe wetu wote.
@dulividuli5237
@dulividuli5237 Месяц назад
Kiufupi nakupenda sna Muhammad bachu kwa ajili ya Allah,Allah akuzidishie elmu uzidi kuutoa Ummat muhammad kwnye Giza hata km watu wanakuchukia ila chuki zao zisikufanye ukarud nyuma katka kuuelimsha umma wa Kiislamu,Allah ndie anaejua yaliomo Moyoni mwako.
@anthonykariuki2438
@anthonykariuki2438 26 дней назад
Nimekuelewa mia fil mia shehe. Nafurahia kuongozwa na Allah nikaingia kwenye dini ya haki. Kwenye ukristo hakuna mijadala,huko ni imani potofu. Allah atuzidishie ufahamu na Insha Allah umauti utupate tukiwa waislamu.
@kennedyodhiambo8049
@kennedyodhiambo8049 22 дня назад
haki iko wapi
@anthonykariuki2438
@anthonykariuki2438 21 день назад
@@kennedyodhiambo8049 £££333"""*****
@JumaOmar-ku6cr
@JumaOmar-ku6cr Месяц назад
Ndugu yangu Abdul Abeid unafikiri kuna dhambi kubwa kuliko shirki usimlaumu bachu msikilize hata kama humkubali utapata faida hata ndogo
@amadeomarsaide5023
@amadeomarsaide5023 Месяц назад
حفظك الله يا ابن باشوا وأطال عمرك في خير ورزقك الإخلاص في القول والعمل وأسأل الله برحمته الواسعة أن يجمعنا في فردوس الأعلى مع النبيين والصديقين والشهداء والصالحين وحسن أولئك رفيقا
@biangwatv.1223
@biangwatv.1223 25 дней назад
آمين
@khalifa_kuchi
@khalifa_kuchi Месяц назад
Nimeelewa na nimefahamu vzr unavyoomaanisha, Allah akulinde akuhifadh na azid kutuongoza ktk wema InshaAllah...
@hamzaforogo
@hamzaforogo Месяц назад
Shekhe nasoro bachu hapa katuachia mtu
@hamzaforogo
@hamzaforogo Месяц назад
Allah anasema " jisaidieni katika mambo yenu kwa kusubiri na kuswali hakika Allah yupo pamoja na wenye kusubiri. Sio kutaka msaada kwa majini . Swala na subira
@AbdulAbeldi-km4po
@AbdulAbeldi-km4po Месяц назад
Sasa mie sie kuraishi... Bachu namuona WA kawaida Tu.. haswa kwenye elimu ya dini
@warshysaid8564
@warshysaid8564 29 дней назад
​@@AbdulAbeldi-km4poww umefanya nn kwenye iyo elimu yko ya dini
@abuuaidh6500
@abuuaidh6500 29 дней назад
​@@AbdulAbeldi-km4poinawezekana Akhiy Bachu kwako hana elimu ww upo Juu Ila Jee hili analosema nikweli au sio kweli
@AbdulAbeldi-km4po
@AbdulAbeldi-km4po 29 дней назад
SINA elim ya kumfikia bachu na wewe pia siiufikii sijasoma Mimi hata kidogo wabillah tawfiq
@abdillahsleyyum2768
@abdillahsleyyum2768 25 дней назад
Wewe ni nani na jitihadi gan umefanya?​@@AbdulAbeldi-km4po
@Hamis-ks1sy
@Hamis-ks1sy Месяц назад
Allah awahifadhi masheikh wetu
@husseinmongolare3417
@husseinmongolare3417 Месяц назад
Nakuelewa sheikh Muhammad Shukran
@CishahayoCishahayo
@CishahayoCishahayo 3 дня назад
Mashaallah, sheikh Muhammad bachu, namuomba Allah akuhifadhi na azidi kukuelimisha, ili na wewe upate kutuelimisha sisi, aamiin!
@user-gi2jv4kl7s
@user-gi2jv4kl7s Месяц назад
Shekh bachu anafanya kazi kubwa ya kuelimisha
@MwalimJecha
@MwalimJecha 25 дней назад
Hapana ya kupotosha
@muhammadmbaraka4515
@muhammadmbaraka4515 Месяц назад
MAA SHAA ALLAAH..Atakaekusikiliza hadi mwisho lazima akuelewe kwa idhni ya ALLAAH.. **ALLAAH Akujaalie mwisho mwema**
@mwanaishajuma4166
@mwanaishajuma4166 29 дней назад
Amiin
@aaa64sa13
@aaa64sa13 16 дней назад
Ameen..
@SimbaSCFansTZ
@SimbaSCFansTZ 29 дней назад
Elimu hii ni pana sana shukrani sheikh kwa ufahamu huu, ninachokiona kuna mstari mwembamba sana kati ya imani na ushirikina ALLAH atuepushe na ushirikina.
@user-ug8hc4yh5k
@user-ug8hc4yh5k Месяц назад
Shukran sana sheikh wetu Muhammad bacho Kwa kumrekebisha uyo aliye taka kuhalalisha ushirikina na Uchawi baba kirwasha
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw Месяц назад
Baba kirwasha ndiyo nani
@aswabikimaro3033
@aswabikimaro3033 Месяц назад
​@@Catherine-mh8swyule shekhe kwny kpnd cha wanandoa tv imani....
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw 29 дней назад
@@aswabikimaro3033 asante
@celestinshayo7295
@celestinshayo7295 29 дней назад
​@@aswabikimaro3033suluhu la yote hayo ni kujisalimisha kwa Yesu Kristo pekee. Kwa jina lake kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri kuwa Yesu ni BWANA (Mungu). ..wanaopinga hili ipo siku wataungama
@Noorein-ws8wk
@Noorein-ws8wk 29 дней назад
​@@celestinshayo7295 Uislam una sheria zake muhimu kusoma Quran na kuifuata,na nyie huko kanisani kumejaa mapepo kila siku yanatolewa mbona hayeshi? Majini pia kanisani yamejaa na nguvu za kiza zimejaa muhimu ni kuslimu na kusoma Quran tu na kufata sheria zote.
@barakoibrahim2710
@barakoibrahim2710 Месяц назад
Hii shida yoooooote imeletwa na Dr. Sule. Anafaa amrudie Allah ili kumuomba msamaha....Allah atuongoze🤲
@UlamaaWaUlamaa
@UlamaaWaUlamaa 28 дней назад
Nlikuwa namkubal sana sule ila alnitoka moyon baaada ya kusema kuwa huwez kwenda pepon kwa kuswal swali tu
@barakoibrahim2710
@barakoibrahim2710 28 дней назад
Haya nami nlimkubali sanatu yaani...nlidhani utamu was ulimi waki inaambatana na moyo wake kumbe wapi!!!!!
@ismailsoud3634
@ismailsoud3634 27 дней назад
Naam swadakta, Dr. Sulke amreje Mola wake kwa toba vinginevyo ATASUJUDU MOTONI. hivyo hasara ni kubwa kwake kuliko faida.
@LuqmanAndrew-nu9rx
@LuqmanAndrew-nu9rx 22 дня назад
Swadakta, na tatzo sio kukosea tatizo n kukosea alafu Kwa ule ukubwa/umaarufu unaozan unao unalazimisha lile ulilokosea liwe sahihi, inabid akubal makosa arud nyuma.
@hamishassan6784
@hamishassan6784 Месяц назад
Nimekupenda sana kama enzi za utoto wangu nilivyokuwa nampenda Marehem Baba yako Allah s.w amuhifadhi. Ahsante sana kwa kutumia hivyo vitabu kuvunja hoja yao, lakini mimi Binafsi nilishalikataa hilo na kuwa kinyume na Witch Dr. Sule mapemaaaaaaa kwa aya tu za Quran na ufahamu wa jumla lakini pia hii inaonesha wengi katika wale wanaoitwa mashekh hawaijui Dini na ni hatari sana hawa kwa Mustakbali wa Uislam na Waislam na jamii kwa ujumla maana sio tu ushirikina wao lakini pia wanasambaza mafunzo yasiyo sawasawa katika dini yetu
@saadasaleh3177
@saadasaleh3177 Месяц назад
Allah atakufufua pamoja na uwapendao❤
@hamishassan6784
@hamishassan6784 Месяц назад
@@saadasaleh3177 Aamin ajalie sote tufufuliwe na wema wote tuwapendao
@user412
@user412 29 дней назад
Masha Allah! Bachu Allah amekupa ufasaha wa kuongea. Hapo nakuunga mkono
@abdullahijma2073
@abdullahijma2073 29 дней назад
Mashallah leo nimependa hii Raddi ya kielimu na umeeleza kwa heshima sana...this is how it should always be...hataa kama ni kwa wale ambao hamuwafikiani nao.
@biangwatv.1223
@biangwatv.1223 25 дней назад
ALLAAH AKUHIFADHI NDUGU NA KAKA YETU .... NIMESTAFIDI KUTOKANA NA WEWE NIKIWA SAFARINI HAPA NA NIMEKUSIKILIZA KWA MAKINI .. Maana Mzee na baba yetu Kiruwasha alitaka kuingia kwenye Hilo wimbi. ALLAAH AKUHIFADHI NA AKUZIDISHIE ELIMU NA WATU WAENDELEE KUFAIDIKA NA WEWE
@UmarMasudi-so2hi
@UmarMasudi-so2hi 10 дней назад
Allah akulipe kila la kheri sheikh wangu kwa kunitoa kwenye ujinga...uku kwetu drc watu hao ni wengi sana piya dini imedhalilishwa sana na watu hao...
@aishamary2462
@aishamary2462 12 дней назад
Nilikuwa najiuliza maswali meng saan baada ya Dr sule alichko kisema Alhamdulilah hatimae nimepata elimu Mungu akulipe sheikh
@Hamis-ks1sy
@Hamis-ks1sy Месяц назад
Wallah,nataman siku1 Sheikh Muhaammad na Sheikh Qassim Mafuta wakae wawili waondoe tofauti zao kwa hoja za kielimu kisha wakaungana katika kusema hakki huwa nikiwasikiliza nafaidika sana na elimu wanayotoa na Allah amewajaalia ufasaha.
@SamMus-qn1pu
@SamMus-qn1pu 29 дней назад
Amiin
@ShekhKhamisi
@ShekhKhamisi 29 дней назад
آمين
@YahyaYahya-vp2pp
@YahyaYahya-vp2pp 29 дней назад
Amin
@OmarAlly-iz8ot
@OmarAlly-iz8ot 29 дней назад
Wanatofautiana kijuujuu tu ktk baadhi ya vijijambo havina nafasi ktk Dini wala Da'wah, lkn kiundani na ukweli uko hivi wako pamoja na kazi yao nimoja
@Hamis-ks1sy
@Hamis-ks1sy 29 дней назад
@@OmarAlly-iz8ot Allah afanye wepes
@mohammedjabir6128
@mohammedjabir6128 29 дней назад
Huyu ndio Simba Mashallah hayumbishwi. Allah amlinde, Amzidishie elimu ma ampe umri mrefu!
@ibrahimjumaa538
@ibrahimjumaa538 29 дней назад
Allahuma Amiin
@Athumaniomari-ge2gs
@Athumaniomari-ge2gs Месяц назад
Maaashaaallah sheikh mhammadi bachu Allah akuhifadhi saaan
@ARNOLDKARISA-fs3ht
@ARNOLDKARISA-fs3ht Месяц назад
amiin thumma amiin
@user-ye3fy9kk6r
@user-ye3fy9kk6r Месяц назад
Aamin
@user-cj9km2tk4q
@user-cj9km2tk4q 22 дня назад
Allah atupe mwisho mwema Allah amuifadhi shekh nassoro bachu kwakutuachia mwalimu
@HalimaAdow-wl6sp
@HalimaAdow-wl6sp Месяц назад
Shukran kwa mda na maelezo bora,jazakaAllahu kher.
@mfalmenajjash2128
@mfalmenajjash2128 Месяц назад
Ukiskiya back to back sasa ndohii yaani raha juu ya raha mashekh acheni kujifungiya navitabu tu vyumbani mwenu amkeni muje kuelimisha jamii,jamii inateketeya mashekh zangu .pwent yao kubwa utaskiya Nabii suleiman alitumiya majini nisawa ilakumbuka suleiman tumeambiwa tumuamini hatujaambiwa tumfuate. jaman hili ni balaaa shekh bachu Allah akubarik
@AbdulAbeldi-km4po
@AbdulAbeldi-km4po Месяц назад
Ndio zake huyo bachu Hana cha maana. Ukimswalia mtume kwake bidaa. Ukimpiga maulidi kwake bidaa kusoma wasilatu shafii kakwe NI bidaa sasa anataka tumfuate yeye
@mfalmenajjash2128
@mfalmenajjash2128 Месяц назад
@@AbdulAbeldi-km4po wapi alisema kumswaliya mtume ni bidaaa sasa ww wapi kuna dalili maulidi ni ibada, hapa tuko kwenye darsa za majini ww unakuja na maulid mbona kimekuumeni sana bachu kuisema maulidi basi ww kaa hadharani funguwa vitabu uwaambiye watu maulidi ni ibada kwadalili hii nahii nahii kama yeye bachu anavyo kuonesha kitabu andiko hadi andiko usilalamike upenuni njoo hadharani. halafu muache kurukiya mada hapa tuko na darsa za majini maulidi sisehem yake mjomba
@ameenaameena422
@ameenaameena422 29 дней назад
Kasome huko
@AbdulAbeldi-km4po
@AbdulAbeldi-km4po 29 дней назад
Nikasome Kwa bachu ili niwe m bishi na mimi
@mfalmenajjash2128
@mfalmenajjash2128 29 дней назад
@@AbdulAbeldi-km4po Hata mfalme namrudha alibisha na nabii Ibrahim nahaki ikapatikana sasa ww ikiwa hautaki kubishana basi umtupu ktk dini jee utaweza kubishana na mkiristo kimaandiko ww ikiwa ww mwenyew unajiogopa
@shenjamamzingi7950
@shenjamamzingi7950 Месяц назад
MAJINI HAYANA MAHUSIANO YENYE FAIDA KIVYOVYOTE KWA MUISLAM-JAZAKHALLAHU KHAIRAN
@saba-gv3mj
@saba-gv3mj 29 дней назад
Ki vp ww na majini mumeumbwa kuja duniani kufanya nn
@warshysaid8564
@warshysaid8564 29 дней назад
​@@saba-gv3mjkumuabudu Allah
@abuuaidh6500
@abuuaidh6500 29 дней назад
Kumuabudu Allah tu na Sio kushirikiana kumkufuru Allah
@saba-gv3mj
@saba-gv3mj 28 дней назад
Sasa kama kumuabudu Allah na majini wako wanao muabudu Allah ambao ni waisilamu kama ww na wale wanao mshirikisha Allah niwale majini wabaya na hata binadamu kunao wema na wabaya utapata binadamu anamroga mwenzake atamtua huyo huyo jini na utapa binadamu mwengine anamtibu huyo aliyerogwa kupitia quran na pia aweza mtuma jini yule mwema kuchukua madawa msituni ambapo ww binadamu ukitumwa huwezi zipata dawa zengine
@shenjamamzingi7950
@shenjamamzingi7950 28 дней назад
@@saba-gv3mj UNAJIKIA UNAVYOSEMa
@mohammedrajabumwamba1322
@mohammedrajabumwamba1322 Месяц назад
MaashaaAllah jazaakumullahu khaira nimekuelewa sheikh wangu maana ya kukuelewa
@KingPrince1917
@KingPrince1917 Месяц назад
Allah atusamehe kwakweli
@user-wq2xy5mw1z
@user-wq2xy5mw1z 29 дней назад
MaashaAllah sheikh bachu .waonyeshe hawo masheikh shetani wanachafua jina la Uislamu pamoja kuwapotosha waumini wa kislamu pamoja na jamii kufikiria Uislamu ni dini ya kufunga majini na kuwatumia watu ni shirk hiyo Subhanallaah ❤
@abuhamissi9082
@abuhamissi9082 Месяц назад
MashaAllah. Allah akupe umri mrefu. Uzidi kuelimisha wa limwengu.
@shijasagali5161
@shijasagali5161 Месяц назад
Jazakhallah khaira sheikhe Muhammad, elimu tumepata na faida kubwa tumepata, Allah akuhifadhi
@NassirKheri
@NassirKheri 27 дней назад
Mm nasema kila siku na wallah lau watu wangemsikilixa mualim Muhammad nassor bachu kwa leng la kumuelewa na sio kimjib wangepata faida sanaaaaa, kutoka kwake , namuomba Allah akupe ilmu bora na nzuri ili tupate kufaidika tunaokufuatilia. ❤ Tumekumiss kwa ajil ya Allah masingini msikitini.
@bomikassim4528
@bomikassim4528 Месяц назад
Sheikh Muhammad Allah akulipe malipo mema kwa kutuelimisha katika jambo hili. Naomba nitoe ushauri. Kama itawezekana, angalia uwezekano wa kuandika kitabu kitakacho husu suala hili. Kitabu hicho kitumie lugha nyepesi pamoja na mifano iliyo hai ili Muislamu wa kawaida aweze kunufaika. Kwa uwezo wa Allah, huenda jambo hilo likatoa manufaa makubwa zaidi kwa vizazi vijavyo. Nasema hivyo kwa sababu, ikiwa hata Baba Kiruwasha anahalalisha kutumia Majinn, ujuwe kuwa hali si nzuri kwa Waislamu wengi ambao hawana ufahamu na elimu kama alivyo jaaliwa Baba Kiruwasha.
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw Месяц назад
Baba kirwasha ndiyo nani
@dulividuli5237
@dulividuli5237 Месяц назад
​@@Catherine-mh8swww umeangalia hiyo video kuanzia mwnzo?
@IbrahimuSampa
@IbrahimuSampa 29 дней назад
Allah azidi kukupa umri mrefu wa kher shekh kama tulivyoambiwa wakulu bidaati zwalala wakulu zwalala ti finnari.
@GoodluckPaul-wf9gn
@GoodluckPaul-wf9gn 29 дней назад
Muhammad Bachu ALLAH azidi kukuongoza katika uadilifu na akujaalie kheri Duniani na Akhera. Nimejifunza mengi sana kupitia darasa zako tofauti tofauti.
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Месяц назад
Mimi jamani huwa sitegemei nipate shida aina yoyote niende kwa mtu anisaidie tumtegemee allah kwa kila kitu
@shaniisack1153
@shaniisack1153 27 дней назад
Allah amuifadhi Yuko imara Kama Baba yake
@atumanisudi6773
@atumanisudi6773 9 дней назад
MASHALAAH,Dah watu wamesoma aisee,upo dip sana..inatoshaa....MUNGU akulipe kheri.
@MohdAli-cn2cs
@MohdAli-cn2cs 25 дней назад
Mm nakuombea tu ujitaahidi kufikisha kwa njia nzuri na maneno mazuri kama hivi au zadi shukran akhy
@user-op5ii7bc1c
@user-op5ii7bc1c 29 дней назад
Allah akuhifadhi shk wetu uzidi kutuelimisha katika misingi ya dini yetu Allah akujaalie wewe na familia yako khery hapa duniani na kesho akhera
@user-fw6si9yd6x
@user-fw6si9yd6x 16 дней назад
Masha'Allah. Ilimu kubwa sana Shekh wangu umetupatia. Anayefuata mambo hayo baada ya sasa hana sababu zaidi ya ukaidi tu. Allah akuongezee ilmu na ufahamu amina!
@abdulmwakubambanya9091
@abdulmwakubambanya9091 24 дня назад
Barakh Allah Kher sheikh wetu kipenzi
@user-vz1el2xe5x
@user-vz1el2xe5x 28 дней назад
MashaAllah shekh umefafanua vizuri na itakuwa bora zaidi ikimfikia Dr Sule
@AhmedAlharithiy-sg5cq
@AhmedAlharithiy-sg5cq Месяц назад
Shukran shekhe moh'd Nakuomba ufanye fikra ya kumsomea ruqiyya dr.sule hawezi akaufahamu ukweli huu kwasababu majini yashamuweza hatakuelewa
@kimeajuma3267
@kimeajuma3267 28 дней назад
Jazakallah khaira Sheikh Bachu, Kila jambo lina kheri Dr, sule asingesema elimu hii tusingeipata.
@ahmadsiri3445
@ahmadsiri3445 19 дней назад
Subhaana Allah sheikhe muwe manfanya hivyo ili kuelimisha kwani mkikaa kimya na hayo maarifa wapotoshaji wanaongea na waislam tusiojua mambo tutakosa pakushika ila sheikhe umezidi kunifanya nijione mwenye amani na kuendelea kumuamini Mungu wangu ni zaidi ya mafundi.ALLAHU AKBAR.
@user-sf3jq7wo5e
@user-sf3jq7wo5e Месяц назад
Maashaallah shekh wetu
@user-sf3jq7wo5e
@user-sf3jq7wo5e Месяц назад
Allah akupe umri mrefu shekh letu
@issapandu1918
@issapandu1918 Месяц назад
Amiin naomb namba ya shk tafazl
@omarkhamys9818
@omarkhamys9818 Месяц назад
AMIN
@ChidySuleiman
@ChidySuleiman 16 дней назад
Mashaallah sheikh bachu allah atuongoze kwenye kheir
@augustomariosama1542
@augustomariosama1542 4 дня назад
W.salaam shaikh Muhammad Bachu ni mwepesi sana wa kufafanua mambo
@saidabdurahman9631
@saidabdurahman9631 29 дней назад
Huyu jamaa yuko vizur Allah ampe swiha na aman
@omarkhamys9818
@omarkhamys9818 Месяц назад
Ndugu yngu bachu haraka rud Zanzibar kama bado uko kenya tunahtaj darsa zako ..... Njoo tuone uyo mtu akusumbue
@mahfoudhcalender2747
@mahfoudhcalender2747 26 дней назад
kafungiwa znz asifanye mihadhara ya aina yyte
@mahamoddales4443
@mahamoddales4443 7 дней назад
Nafurahi sana kuwa wew nimoja kati ya watu walio nifunza nahau najivunia sana kwakweli Allah akuhifadhi
@omarussi7316
@omarussi7316 Месяц назад
Mashaallah yaa Muhammad
@ZaharaniZaharani-ts7wv
@ZaharaniZaharani-ts7wv 29 дней назад
Kaka wachane asaa wanga ao kazi kuruka na ungo . Allah awaongoze katika njia iliyo nyooka
@omarhamad4757
@omarhamad4757 29 дней назад
Mashallah Allah akujaalie her kwa kuelimisha umma
@user-ts9ql7mo3w
@user-ts9ql7mo3w 29 дней назад
Allah hafichi mnafki, na Dr sule mungu amemuanika live maana kifanyikacho gizani kitaonekana mchanga.
@MwanaidMagasa
@MwanaidMagasa 8 дней назад
Nakupenda sana kwa ajili ya Allah unaelimisha wanaopotezwa, wanauaibisha uislam,
@abdoulrahmanahmed5802
@abdoulrahmanahmed5802 Месяц назад
Mleberali Mashaallah Wachape Masufii
@musarashid-xw1qm
@musarashid-xw1qm Месяц назад
Somo nimelielewa allah akubaliki akuhifadhi na akuzidishie heri❤❤❤ namuomba allah salama wa afya
@HamisAbdallah-cj2sc
@HamisAbdallah-cj2sc 29 дней назад
Asalam aley kum mm kiu YANGU namtaka sheikh kishki naye azungumzie kadhia hii sheikh muhamadi bachu katuelimisha tumemuelewa.ila na sheikh wetu nurduni kishki nayeye atupe elimu pia amlinganie Swahiba wake DK Sule naona amekaa kimya!!!
@musarashid-xw1qm
@musarashid-xw1qm 29 дней назад
Hamisi hilo ulitakalo ndugu yangu simo
@johariabdalla3319
@johariabdalla3319 29 дней назад
M Mungu azidi kukuhifadhi Sheikh Muhammad Bachu,kwa hakika unaelimisha watu,na kuwatowa watu tongo,unazungumza kwa ufasaha yoyote atakuelewa tu,labda wale wanozitia nafisi zao katika upumbavu,na asiekuelewa wewe..basi hakuna mwengine watakaemuelewa.M Mungu azidi kumrehemu na kumpandisha darja za juu pamoja na mtume wetu Muhammad (saw) Sheikh Nassor Bachu,kwa hakika katuachia gitf,tunanufaika nayo..Alhamdulillah
@binhussein4411
@binhussein4411 29 дней назад
MashaAllah Allah akuhifadhi sheikh Mohammad Bachu simba wa Tanzania na Kenya
@user-qo8uj1ym4m
@user-qo8uj1ym4m 27 дней назад
مشاء الله تبرك الرحمن Allah akuhifadhi bin bachu
@MwanaidMagasa
@MwanaidMagasa 8 дней назад
Allah akupe umri mrefu akulinde na hasad yarab
@MgazaMhina
@MgazaMhina Месяц назад
Allah akupe umri mrefu wenye faida
@UmarMasudi-so2hi
@UmarMasudi-so2hi 10 дней назад
Nakupenda sana sheikh wangu kwa ajili ya Allah
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 29 дней назад
Allah akuhifadhi! Bila shaka na sheikh Kishki ata kusaidia kumwambia maana ni rafiki yake😊
@HashimJuma-en8je
@HashimJuma-en8je Месяц назад
mashalla shee Bachu tunanufaika sana allla akhifadhi naakulipe inshaallah
@user-bx3em9tm1b
@user-bx3em9tm1b 29 дней назад
Mashallah ALLAH akuhihifadhi shekh wetu tunakupenda sana uyo sule ni freemason sio shekh uyo mbwa ni shekhehena mpumbavu mkubwa uyo
@moodykombo329
@moodykombo329 29 дней назад
shukran ustadh kwa kutuelimisha Mungu akupe afya njema na umri mref wenye manufaa kwako na kwa jamii nzima ya kiislam na wasiokua waislam tumuombe Mungu atuongoe kujua haki tuifate na batil tuiepuke jazakallah.
@ChidySuleiman
@ChidySuleiman 16 дней назад
Shekh allah akurpe kheir na atusibitishe mpaka mwisho wa pumzi zetu
@habibbeiyye
@habibbeiyye 29 дней назад
100% حياك الله....... Wiqaayatul insaan mina ljinni wa shaytwan......kikovizuri sanaaa Mashallah....
@user-on5qx3cl7q
@user-on5qx3cl7q 18 дней назад
ALLAH akupe maisha marefu wallah umetupa uelewa shekhe
@bakarisalim4763
@bakarisalim4763 29 дней назад
atleast leo umekua na busara za hali ya juu sna,alkua nakuchukia sna ila kwa hii,mashaAllah Wallah Allah akulipe inshaAllah
@jumasalum2677
@jumasalum2677 Месяц назад
Masha Allah Kazak Allah khaira
@MwanaidMagasa
@MwanaidMagasa 8 дней назад
Mashallah nakupenda Kwa ajili ya Allah wallah wape elimu wanapotosha Sana watu.
@Fardadihd
@Fardadihd Месяц назад
Nimekuelewa sana ❤❤❤ bachu
@hailatomantatusefu3433
@hailatomantatusefu3433 26 дней назад
Kongole shekhe bachu Allah akuhifadhi na husd za wanadamu na majini napendaga kukusikiliza redio IMAN
@MirajiMiraji-yu4gg
@MirajiMiraji-yu4gg 22 дня назад
Shehe. Bachu tunakuelewa ..ila mm naumwa. Toka mdogo mpaka nshakuwa mtu mzima jee unanisaidiaje. Ili Dunia na mm. Niione nzuri .
@zuenajumashf3105
@zuenajumashf3105 23 дня назад
Jazaka Allah khery Ustadh kwa elimu
@khalifa_kuchi
@khalifa_kuchi Месяц назад
Wallah sheikh huko mwisho nimekuelewa vzr sana tena mno ila je kw mtu wa kisalafii ambae anafata sunna je huyo anaweza kupata jini mwema akamsaidia bila ya mafungamano yyte kw hofu ya kumuogopa mungu?
@saidaamourali8590
@saidaamourali8590 26 дней назад
Huyu mwamba namkubali katumia mda mdogo refrensi za kutosha na ufasaha wa kutosha. Shukranii sana
@feisalkhalid7225
@feisalkhalid7225 29 дней назад
Bachu you are on fire 🔥 big brain 🧠
@salimuhashimu1529
@salimuhashimu1529 27 дней назад
Shekh asantee sana na endelea kuelimisha umma.Yani elimu itolewe sana, maana baadhi ya mashekh wanasababisha waislamu waonekane wanaukubali ushirikiana na uchawi wakt kumiliki majini ni ktk madhambi.Allah akulipe kila la kher na Babu Kiruwasha ikiwezekana umuite umuelishe physically.
@Ramadhan6115
@Ramadhan6115 27 дней назад
Wallah mimi nilikuwa miongoni mwa wale ambao hawakuwa wakimukubali bacho,ila leo nimekukubali sheikh nimeelewa kabisaaaa alhamndulillah, basi mwenyezi Mungu akulinde na akupe umri mrefu wenye baraka ndani yake na atupe mwisho mwema 😭😭😭, nimengundua kumbe wenzetu waislamu weengi wako kwenye shirki kubwa, nayoote nikukosa tu i'ilmu
@ishakafaki3501
@ishakafaki3501 24 дня назад
Mashallaah ALLAAH BARIK
@user-lb5tt1kt4m
@user-lb5tt1kt4m 6 дней назад
Wala tushrq bii shaia jiulize mwanadamu kwa nn usiombe Mungu tusimame kwa Mungu jamani hii nidunia
@rashidabdulkadir7042
@rashidabdulkadir7042 6 дней назад
Mashaallah Allah akubarik Unatupa vitu na box
@mfalmenajjash2128
@mfalmenajjash2128 Месяц назад
Bachu anakimbiza washirikina kimya kimya Docter sule na wenzake wameyakanyaga mbona moto utawaka wikihii
@ShaibMohammed-lg5sk
@ShaibMohammed-lg5sk 27 дней назад
Sh Muhammad Bachu Allah akulinde naakuondolee kibr Mashallah
@aminahassani-jh5rp
@aminahassani-jh5rp 19 дней назад
Weuweeeee ahsante sana uko vizur Shekhe wetu mtoto Shekhe nasoro bancho ni marehemu sasa umenyoosha maelezo shekhe
@YahyaYahya-vp2pp
@YahyaYahya-vp2pp Месяц назад
Nani amegundua kua ukimsiliza muhammad bachu akiwa anaachambua kitu unataman asimaliize kuonge yani saa limojaa unaona kama katumia dakak 15 tu...
@KhalfanMassoud
@KhalfanMassoud Месяц назад
Kweli broo, ila kuna sheikh anaitwa Golo haeleweki dakika 5 zake utazani ni masaa mawili 2
@Hamis-ks1sy
@Hamis-ks1sy Месяц назад
@@KhalfanMassoud pale hamna sheikh ni mshenzi2
@KhalfanMassoud
@KhalfanMassoud Месяц назад
@@Hamis-ks1sy mmmmh. Mm mwenyewe huaga nasema yule kasoma kweli au pangu pakavu. Naona haeleweki, anachosha. Golooooooo njooo uku usome comments.
@dulividuli5237
@dulividuli5237 Месяц назад
Wa kwnz mm natamani asimalize yaani kw jinsi anavowez kuchambua mambo
@saadasaleh3177
@saadasaleh3177 Месяц назад
Allah amzidishie elim❤
@youngtomuller-vh2pu
@youngtomuller-vh2pu 28 дней назад
Antes de começar deixa ti dar oseu gosto irmao Allah ti abençoe ❤❤❤
@abubakaryomary8059
@abubakaryomary8059 19 дней назад
Ukosahihi shekhe Allah akulinde
@hashimsaid3766
@hashimsaid3766 28 дней назад
بارك الله فيك اخي الحبيب على هذا الموضوع
@user-tm2zk5gn4e
@user-tm2zk5gn4e 24 дня назад
Safi sana mzee alokuwa hajakuelewa hakuelewi teyna itakuwa anataka ubishani t hoja Madhuri sana za kielimu na kiakili
@MohdAli-cn2cs
@MohdAli-cn2cs 25 дней назад
جزاك الله خير اخي و استاذ محمد كلامك صحيح جعله الله لك في ميزان حسناتك
Далее
LISA - ROCKSTAR (MV Teaser)
00:10
Просмотров 9 млн
HATIMAE BABA KIRUWASHA ATIMIZA AHADI YAKE
17:15
Просмотров 15 тыс.
В поисках летнего заноса
1:59
Просмотров 20 тыс.
маленькие кошмары #вайб
4:9:33
Просмотров 427 тыс.
МОЙ САМЫЙ ЖЕСТКИЙ ФЛИК
14:20
Просмотров 107 тыс.
20 Неочевидных Саппортов [Dota 2]
37:05