#CloudsMedia Ipo mubashara kutoka Studio za Clouds Fm Mikocheni ambapo Msanii Stamina yupo akizungumza mambo mbalimbali ikiwemo ishu ya Ndoa yake kuvunjika.
@@fatmakiruwasha2378 yaani bado sijakuelewa kwa Nini unamkandamiza hivyo huyo mwanamke. Au wewe ni ndugu yao wa karibu kuwajua vzr? Ila Kama Ni wa mtandao Kama Mimi ungesubiri kusikia na upande wa mwanamke ndio utoe maoni yaliyo sahihi
@@ilovejesus9303 Kumbuka mchepuko siyo jibu la matatizo ya ndoa. Km stamina ndio mwenye matatizo kwenye ndoa, mwanamke alitakiwa aende kwa wazazi wa stamina au wazazi wake akaongee hayo matatizo, kisha utaratibu wa kuvunja ndoa ufanyike. Ila kwa hayo aliyofanya mwanamke ya kukimbilia kwa mwanaume mwingine wakati bado yupo kwenye ndoa siyo sawa. Anagombana na mume wake anakimbilia kwa mchepuko. Anaenda kwa mwanaume mwingine halafu mume wake anajua kila kitu. Mwanamke alikuwa na jambo lake. Endapo stamina angekuwa na matatizo, mwanamke angerudi kwao, kisha mpango wa taraka ungefanyika then ndo angefanya hayo aliyoyafanya.
Stamina wee ni mwanaume kamili!!! Uwezo wa kufunguka wanaume wengi hawananga, ndo maana wengine wao wanakufa na depression ndani ya nyumba . Kudos Stamina, that is the way to a total healing
1.Stamina 2.Adam 3.Dozeen Mko sahihi kuhusu mabeste lakin nendeni SNS mkasikilize full interview ya mwanamke afu muunganishe na hio story ya xxl mlofanya na mabeste nadhan mtaelewa
Pole sana stamina kuwa na moyo wa uvumilivu hiyo yote ni njia moja wapo ya maisha jtahid sana kumwomba mungu atakusaidia katika maisha yako sote tumepitia katka situation hyo daaaa inauma sana pole sana kaka ya mungu mengi kikubwa zidi kumwombea maisha marefu huko aliko ili azid kujua alipokosea ni wap
Nilichohofia ni kama stamina angekuwa ameudhika na comments za ROMA ila yeye mwenyewe amekiri yaleyale ambayo msimamizi wa ndoa aliyoyasema na kwamba ana mapungufu mengi Ila blaablaa etc..Amani sana team kijiwe nongwa. Nakupenda sana ROMA na nnasema Asante sana ndugu Stamina kwa kuwa mtulivu na kumwelewa bro. Wanawake mjifunze kubalance mambo msichukulie personal tuu na kuongelea mambo ya ndani kwa watu wa nje, mara nyingi walio nje ya ndoa yenu wanasubiria mgombane ili wawachukue au wawatenganishe. Kaeni mtatue mambo. Na wazazi pia mjifunze ktk hili, mmeona hapo alichofanya shangazi, alichemka!! #Nawaombea AMANI!!
This is amongst interviews that arouses emotions of every serious person in love wheither your married or not. Never give up Mr Boneventure and I give upper hand XXL in clouds now the entire society should learn something about love.
Dah hata mimi nilifunga ndoa bira kumjua ikatokea akiwa na ujauzito wa miezi 5 nilikuja kumfumania kalala na mwanaume mpaka asubuh mungu anazidi kunipa nguvu
Bravo yo men Boniventure hawa wanawake kama ilivo kawahida hawajawahi kuridhika sio kimapenzi tu kila upande so kigumu wakileta usengerema unajikataa unapiga michongo yako maisha yanaendelea
Daaaaaahh aisee bro anamoyoo sanaa.. kwa ninavo jijuwaa roho yangu huyo dem angenikumbuka hata kwa makovu. Uwezi ukanitia uchungu moyon mwangu bila sababu zisizo za maana kama angekuwa hataki angesema tu mapema ili niishi nae kwa tahadhari..
Andree#254 hapa...bro stamina....yaliokupata yashanipata...na chamuhimu brother ukishajijua huwa poa sana ki afya na kimaisha sababu wengi huwa hawataraji kama mume anaweza akapitia mateso kindoa kisa mke.picha halisi huwaficha wake ilihali machungu mume anayoyapitia huwa sumu sana.ni heri tu kila mtu ashike njia yako ya maisha kwasababu mikasa kama hi ya kindoa suluhisho bora kuachana tu....
Yes!!bro nimekukubali kwan umeongea kiume@mwenzi wako akizungua aijilishi awe ke au me mnapigana vibuti afu maisha mengine yanaendelea kwan maisha hayahitaji stress
hussein masito kweli kaka jamaa anaona kama joking ngoja na yeye yamkute au kama sio yeye Dada yake ,au familia yake .maana namuona anamuona jamaa kama Mtu flani hivi anatafuta kiki.!
Bro usichojua ni kwamba kila kipindi chenye watangazaji zaidi ya mmoja basi kila mmoja ana content yake... usifikili kila mtu atakuwa upande wa Stamina... wapo mashabiki wa simba watapingana nae na mwakilishi wao studio ndo Mchomvu. Simpleee
@@euvassammy8537 broo wakati wowote jua kua tuko tofauti kama vidole kuna wenye tunaelewa na kuna wenye hatuelewi mwisho wa siku maisha ya shonga mbele
Stamina hili Ni SoMo kwa sisi wanaume kweli yawahenge panapokupa utamu ipo siku patakupa uchungu tue teli kuavumilia Kisha kuyatatua kilohosafi pasipo madhara yoyote Asante Sana
Pole broh kwa maswahibu dar nimeku si Kiliza sana noma sana wanawake mmh Ndomana huaga wenye miyoo mepesi Wanafanya unyama mkubwa sana pole Naic hutamani tena kwa sasa kuhoa kaka umefunguka kinoma yani
hey cheer man sina majibu deal done, hapo mwanzo nilitaka kuaribu ndoa yangu kupitia simu, ila wakubwa wakaniambia achana na mapenzi ya kwenye simu yaani msifuatiliane au kuchunguzana kupitia simu na mke wako maana utakutana na maneno ya kutisha ambayo huvunja ndoa mara moja ila ASIWAZE
Pole Sana Stamina, Ila ulipo mtongoza huyo mwanamke alikuwa bado na uhusiano na x wake Ila walikuwa na migogoro ndo Mana alikubali kuolewa nawe, Ila mkeo anampenda Sana x wake kuliko ww, ulipo muoa alikuwa tayari kashagombana na x, alipo kuwa ndani ya ndoa walikutana wa kayamaliza wakakubaliana wa tembee kwa Siri, ila mwanamke ni Kama mtoto mdogo kashindwa Siri kwa kua kapenda Sana x wake,nakushauri Stamina mpotezee kabisa usimtafute asikutafute, ukiendelea naye atakuletea mimba ya msela.maoni yangu tu na muono wangu.
@@sir_ENOCKMACHA mi mwenyewe nishaumizwa sana.na ao waume..ata sina amu nao..eri niwe single nisubiri kufa...Yani tuseme dunia hii ya sasa wake Kwa waume wabaya..ukipata mzr mshukuru mungu Tu
Stamina umekanyaga pabaya ndugu Kabila hiyo yakinyarwanda sio ni watu wamaajabu Mambo yao hawanaga utulivu n'a niwabagusi hâta huyo mchezaji wasimba nae ajiandae lazima ataumia tu Siku moja sasa wewe mshikuru mungu tu kaokoa maisha Yako ulioa babaya bahati tu ukuzaa nae mungu atakusaidia pole sana
@sitamina pole sana ndowa ndowana piga chini twnzetu. Ila unaonekana I'm kutach sana pole brother 😍😫😫 some time adamu chomvu upunguze bang brother is too much, kama ume amuwa kuwa comedy u2 ambie you are brother lakin some time unazingua 🎤🎤🔊