Тёмный
No video :(

STAMINA: "KUNA MUDA NILIKUWA SITAMANI KULALA NAYE KITANDANI, SABABU NAJUA ALICHOTOKA KUFANYA." 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,3 млн
Просмотров 474 тыс.
50% 1

#CloudsMedia Ipo mubashara kutoka Studio za Clouds Fm Mikocheni ambapo Msanii Stamina yupo akizungumza mambo mbalimbali ikiwemo ishu ya Ndoa yake kuvunjika.

Опубликовано:

 

26 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 976   
@cynobaby8948
@cynobaby8948 4 года назад
Pole sana stamina...wewe ni zaidi ya mwanaume 😍😍😍😘😘mungu atakubariki sana
@Rolemodel_wa_taifa
@Rolemodel_wa_taifa 4 года назад
Cyno Baby mtu Akiwa zaidi ya Mwanaume anakuwa nani huyo tena?
@jumannekhalifa7761
@jumannekhalifa7761 4 года назад
achawehu nizaidi ya mumeo sio ya wanaume kosoa kauliako
@cynobaby8948
@cynobaby8948 4 года назад
Jumanne Khalifa ok
@eliasjoel7425
@eliasjoel7425 4 года назад
Unaongea kihisia pole sana kakangu
@festomapanga4720
@festomapanga4720 4 года назад
Nilichogundua yule demu hakukupenda kabisa stamina demu hakukupenda kabisa na ndomaana ndoa imevunjika haraka pole sana bro
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 года назад
Je kama na Stamina alikuwa na shida zake wakashindwana?
@fatmakiruwasha2378
@fatmakiruwasha2378 4 года назад
Kaka yangu mwamke ndiye am aye Hana adambu
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 года назад
@@fatmakiruwasha2378 yaani bado sijakuelewa kwa Nini unamkandamiza hivyo huyo mwanamke. Au wewe ni ndugu yao wa karibu kuwajua vzr? Ila Kama Ni wa mtandao Kama Mimi ungesubiri kusikia na upande wa mwanamke ndio utoe maoni yaliyo sahihi
@tanzanianchiyangutaifalang8376
@tanzanianchiyangutaifalang8376 4 года назад
@@ilovejesus9303 Kumbuka mchepuko siyo jibu la matatizo ya ndoa. Km stamina ndio mwenye matatizo kwenye ndoa, mwanamke alitakiwa aende kwa wazazi wa stamina au wazazi wake akaongee hayo matatizo, kisha utaratibu wa kuvunja ndoa ufanyike. Ila kwa hayo aliyofanya mwanamke ya kukimbilia kwa mwanaume mwingine wakati bado yupo kwenye ndoa siyo sawa. Anagombana na mume wake anakimbilia kwa mchepuko. Anaenda kwa mwanaume mwingine halafu mume wake anajua kila kitu. Mwanamke alikuwa na jambo lake. Endapo stamina angekuwa na matatizo, mwanamke angerudi kwao, kisha mpango wa taraka ungefanyika then ndo angefanya hayo aliyoyafanya.
@celinamgundoi5601
@celinamgundoi5601 4 года назад
Ukiona ndoa imedumu jua mmoja kajigeuza bwege
@susanruo8087
@susanruo8087 4 года назад
Stamina wee ni mwanaume kamili!!! Uwezo wa kufunguka wanaume wengi hawananga, ndo maana wengine wao wanakufa na depression ndani ya nyumba . Kudos Stamina, that is the way to a total healing
@maanohassan5579
@maanohassan5579 4 года назад
Ila si kutangaza in public that's why babu na bibi zetu walidumu mpaka sisi tukawaona
@susanruo8087
@susanruo8087 4 года назад
@@maanohassan5579 hukuwaona babu na bibi kwa public maana hakukuwa na media. Kungekuwa na media tungewaona tu. Tunaenda na wakati bro
@raphaelsamwel2640
@raphaelsamwel2640 4 года назад
Maono hujielewi!! Kabla hajaaondoka stamina alikuwa kimya sasa keshavunja unasema anyamaze asivunje ndoa!!??!
@ramsonjasson3916
@ramsonjasson3916 4 года назад
Nakukubal since i new you stamina,,,Kama unamkubal stamina toka kitambo,,like hapa nkuone👇
@generozakatima5849
@generozakatima5849 4 года назад
da! inauma pole sana Stamina jipe moyo utapata mwingne huwez jua Mungu kakuepusha na nini kutoka kwa huyo mwanamke
@elizabethsteephano2256
@elizabethsteephano2256 4 года назад
Gonga like kma unamkubali stamina
@pinerdapeculiar5674
@pinerdapeculiar5674 4 года назад
Wanaume mtakufa kwa kukaa na vitu moyoni, muongeee jmn... Hongera kwake stamina
@martinl.5497
@martinl.5497 4 года назад
1.Stamina 2.Adam 3.Dozeen Mko sahihi kuhusu mabeste lakin nendeni SNS mkasikilize full interview ya mwanamke afu muunganishe na hio story ya xxl mlofanya na mabeste nadhan mtaelewa
@veileronesmo9219
@veileronesmo9219 4 года назад
Mwenyew nimeskiliza sana
@lucaskituli1846
@lucaskituli1846 4 года назад
Duuh xo hurts end pain kiukweli, Mungu akuongoze Sana bro hawa watu nlishakataa kuwaamn kbsa Mungu anisamehe tu.
@nasriabdalah6574
@nasriabdalah6574 4 года назад
Hawa machoko wa clouds sipend interview zao story za kisenge na kudisi kama umeona hiyo tia like hapo chn
@benayasamson1270
@benayasamson1270 Год назад
Akil ndogo san wew
@oyay2821
@oyay2821 Год назад
Hasa huyu BiDazen.
@kombaadolfina2199
@kombaadolfina2199 Год назад
Like yanini ww
@remiomar7154
@remiomar7154 4 года назад
Hy Adam msenge sana mzaha wakideyuth pumbavu sana
@titomakuya2607
@titomakuya2607 4 года назад
Pole sana stamina kuwa na moyo wa uvumilivu hiyo yote ni njia moja wapo ya maisha jtahid sana kumwomba mungu atakusaidia katika maisha yako sote tumepitia katka situation hyo daaaa inauma sana pole sana kaka ya mungu mengi kikubwa zidi kumwombea maisha marefu huko aliko ili azid kujua alipokosea ni wap
@sainatv2688
@sainatv2688 4 года назад
Mtangazaji adamu unaboa sana broo kuna interview za matani na seriuosly
@kagarukifred7372
@kagarukifred7372 4 года назад
Utoto mwingi
@godiasjohn2915
@godiasjohn2915 4 года назад
Kabisaa anaboaa...
@sekelamwangosi3289
@sekelamwangosi3289 4 года назад
Umeona yan dar angeenda kwa milard ayo tunge enjoy
@jobamampuya5933
@jobamampuya5933 4 года назад
Bangi nyingi Adam..
@dennissuarez9415
@dennissuarez9415 4 года назад
Bangi nyingi
@preciousbae9465
@preciousbae9465 4 года назад
Mzee wa stamina me nimemkubali kwamba tuliaa kaa kunywa soda 😂😂😂😂 acha maisha mengine yaendeleee stamina nakukubali broo
@adelmgohele9155
@adelmgohele9155 4 года назад
Stamina yuko real saana like zake bas
@barakakings
@barakakings 4 года назад
Da,yalinikuta haya. Nimefanya kipindi EATV cha DADAZ tittle "Baada ya Kuachwa" , i know how Boniventure is feeling...
@samsonimatofari1432
@samsonimatofari1432 4 года назад
Nnt
@samwelimoshi5614
@samwelimoshi5614 4 года назад
Na ww ulipitia Kama ya stamina au
@oyay2821
@oyay2821 4 года назад
Kweli mambo ya wanawake ni nachungu sana
@jasmineshechambo3401
@jasmineshechambo3401 4 года назад
Poleeee
@angelmhenzi2905
@angelmhenzi2905 4 года назад
Baraka KINGS Music
@flawlessdiva1109
@flawlessdiva1109 4 года назад
Stamina is HUMBLE. ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@vevo3130
@vevo3130 4 года назад
you can't tell until you know him well....mimi hawa waongeaji maarufu hawa siwaamini...ingawa amejitahidi kujieleza na kujitetea
@happinessmwaipopo7426
@happinessmwaipopo7426 4 года назад
Very humble
@rahelnzengo3632
@rahelnzengo3632 4 года назад
This was emotional interview I Wonder watangazaji mna mcheka Cheka, na kuleta matani yasofaaa jifunzen kwa zamarad
@salimmussa999
@salimmussa999 4 года назад
Kwel hii interview ilikuw iwe kwa zamarad...ingekuw very emotional
@rahelnzengo3632
@rahelnzengo3632 4 года назад
Yani stamina angetoa machoz
@happymolla5274
@happymolla5274 4 года назад
Huyo Adam fala kweli
@brysonsabun4657
@brysonsabun4657 4 года назад
Nilichohofia ni kama stamina angekuwa ameudhika na comments za ROMA ila yeye mwenyewe amekiri yaleyale ambayo msimamizi wa ndoa aliyoyasema na kwamba ana mapungufu mengi Ila blaablaa etc..Amani sana team kijiwe nongwa. Nakupenda sana ROMA na nnasema Asante sana ndugu Stamina kwa kuwa mtulivu na kumwelewa bro. Wanawake mjifunze kubalance mambo msichukulie personal tuu na kuongelea mambo ya ndani kwa watu wa nje, mara nyingi walio nje ya ndoa yenu wanasubiria mgombane ili wawachukue au wawatenganishe. Kaeni mtatue mambo. Na wazazi pia mjifunze ktk hili, mmeona hapo alichofanya shangazi, alichemka!! #Nawaombea AMANI!!
@samsonphilmon6757
@samsonphilmon6757 4 года назад
This is amongst interviews that arouses emotions of every serious person in love wheither your married or not. Never give up Mr Boneventure and I give upper hand XXL in clouds now the entire society should learn something about love.
@ahimidiwemichael9948
@ahimidiwemichael9948 4 года назад
I salute wach yu say
@brucearakaza2173
@brucearakaza2173 4 года назад
Kutoka Bujumbura Burundi''''Stamina pole sana
@brunosanga9816
@brunosanga9816 4 года назад
Mademu noma sana
@mavelimathayo6426
@mavelimathayo6426 4 года назад
Dah hata mimi nilifunga ndoa bira kumjua ikatokea akiwa na ujauzito wa miezi 5 nilikuja kumfumania kalala na mwanaume mpaka asubuh mungu anazidi kunipa nguvu
@mtmatk5093
@mtmatk5093 4 года назад
M ningemfira huyo mwanaume kweli aone Kama vizur
@mohamedmuhajiri8348
@mohamedmuhajiri8348 4 года назад
@@mtmatk5093 duuu kumfira ten mwamba
@mtmatk5093
@mtmatk5093 4 года назад
@@mohamedmuhajiri8348unajua inaumaa
@gracemalatwe6064
@gracemalatwe6064 4 года назад
Du umenikumbusha ata mimi jaman ilikuwa hivyo😭😭😭
@samwelimoshi5614
@samwelimoshi5614 4 года назад
@@gracemalatwe6064 ulifumaniwa
@jaylztv.1713
@jaylztv.1713 4 года назад
Bravo yo men Boniventure hawa wanawake kama ilivo kawahida hawajawahi kuridhika sio kimapenzi tu kila upande so kigumu wakileta usengerema unajikataa unapiga michongo yako maisha yanaendelea
@marynyondo2763
@marynyondo2763 4 года назад
Daaaaaahh aisee bro anamoyoo sanaa.. kwa ninavo jijuwaa roho yangu huyo dem angenikumbuka hata kwa makovu. Uwezi ukanitia uchungu moyon mwangu bila sababu zisizo za maana kama angekuwa hataki angesema tu mapema ili niishi nae kwa tahadhari..
@zamdakimaro2973
@zamdakimaro2973 4 года назад
HAPA ANGEPATA WATANGAZAJI SIRIOUS TUNGEIENJOY SANA KUSIKILIZA LAKINI WANAFANYA MAUTANI HAIJAKAA POA ' HUYU DADA HAKUMPENDA STAMINA MUNGU ATAKUPA CHAGUO LAKO
@amanichelangwa7091
@amanichelangwa7091 4 года назад
Lili Ommy anaweza kuinogesha hii interview
@dionestermwinuka7520
@dionestermwinuka7520 4 года назад
Zamda Kimaro @kweli kabisa
@chifunyomboke6689
@chifunyomboke6689 4 года назад
Uyo dem hajakupenda mdoqowangu,anaekupenda anakueshim, uwenda huyodem ulimpata kwenyeshoo
@chifunyomboke6689
@chifunyomboke6689 4 года назад
STAMINA PUMBAVU HIYO INTERV,U WALIKULIPA BEIGAN? MBONA UMELAP SANA, ATAHAPO ULIPO STUDIO UENDA KUNAMCHEPUKO WA DEMU WAKO NDOMANA HAO MANIGA WANACHEKASANA,
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 4 года назад
Zamda Kimaro Angekua millad ayo
@eugenialeopord2283
@eugenialeopord2283 4 года назад
achana nae kaka angu ipo Siku ataikumbuka ndoa wengne wanalilia ndoa ye anapata ndoa anaichezea wako yupo uyo alikua daraja be hero
@vevo3130
@vevo3130 4 года назад
umenichekesha eti watu wanalilia ndoa!! seriously!!hahaaaaa wanawake wa mikoani hao watakua hahaaa
@joyknowless6323
@joyknowless6323 4 года назад
Kweli
@afyayabinadamunaneolife2162
@afyayabinadamunaneolife2162 4 года назад
Haswaaaaa atampata wa kucop nae
@adolphmathew1552
@adolphmathew1552 4 года назад
Much respect kwako mluguru mwenye msimamo big up kaka
@motamohele8252
@motamohele8252 4 года назад
Huyusio.mlugulu nimhehe full uluguluni aliishi tu due life stuation
@mwajumarashidi4298
@mwajumarashidi4298 4 года назад
Pole sana broo stamina mungu atakuletea Wa kwako atakae kukusamini na kukujali
@antoniolionfit
@antoniolionfit 4 года назад
mwanangu STAMINA be strong bro, aliyokufikiya is just an experience and made you to the next level...
@mtopwaally8733
@mtopwaally8733 4 года назад
Dah hizi mambo zipo san sema tu wengi wanakufanayo moyoni,,Ur humble STAMINA umewasemea wengi
@robertalmas7912
@robertalmas7912 4 года назад
Pole sana Stamina. Eenyi wanawake mnapokubali kuolewa na mkubali kuvunja mahusiano yenu ya nnje, haijalishi yalikua kabla.
@abduladhimually3542
@abduladhimually3542 4 года назад
Kama ulikuwa umesubiria vc note ya mchezaji.......like tujuane
@saidijuma9386
@saidijuma9386 4 года назад
Adam hua unachkulia vitu simple una utoto flan hv unayumbaaa
@jobamampuya5933
@jobamampuya5933 4 года назад
Si utoto tu kwa Adam na mibangi pia inamyumbisha..
@dottojeremiah2925
@dottojeremiah2925 4 года назад
Adam we n msenge sanaa inamaan we unaon hy issue n ndg xanaa
@halimaluhigo966
@halimaluhigo966 4 года назад
yaan wako km watoto vile wameboa kweli kweli
@jovinemanucho3169
@jovinemanucho3169 4 года назад
Haendan na hii show
@djblaqtanzanite
@djblaqtanzanite 4 года назад
Sio utoto bhana ananogesha kipindiii
@mohamedishabani5086
@mohamedishabani5086 4 года назад
Una bahati stamina maana ungeitwa baba jina . wenye watoto wangekua wengine
@saidcoutinhophillipe1845
@saidcoutinhophillipe1845 4 года назад
Nakukubali sana 🕴🕴STAMINA🕴🕴 since day one
@jastinmdaki8025
@jastinmdaki8025 4 года назад
Pole sana Stamina, hayo ndiyo maisha.Kukosea si kosa bali kurudia kosa, take care brother!
@elizabethsteephano2256
@elizabethsteephano2256 4 года назад
Pole xna bro stamina but mungu atakupa kitakachokupendza but I love u
@charlesrichard7270
@charlesrichard7270 4 года назад
HII MAMBO IMETUPATA WENGI TU SEMA WANAUME TUNA KAWAIDA YA KUWEKA MOYONI HONGERA STAMINA
@tupilikemwanyemba2853
@tupilikemwanyemba2853 4 года назад
Na kuweka moyoni ni hatari sana. Bora useme
@ramadhanikibenga6317
@ramadhanikibenga6317 4 года назад
Sanaa wahanga ni wengi sana ktk wanaume ila tunavumilia tu
@kasimrajabu2068
@kasimrajabu2068 4 года назад
Pole sana kaka
@saidiselemani7786
@saidiselemani7786 4 года назад
Hata Mimi nimuhanga hakiyamung
@chiblasimba5501
@chiblasimba5501 4 года назад
Haaaaa duu shoo ndg zarau stamin
@andrewnyambu9726
@andrewnyambu9726 4 года назад
Andree#254 hapa...bro stamina....yaliokupata yashanipata...na chamuhimu brother ukishajijua huwa poa sana ki afya na kimaisha sababu wengi huwa hawataraji kama mume anaweza akapitia mateso kindoa kisa mke.picha halisi huwaficha wake ilihali machungu mume anayoyapitia huwa sumu sana.ni heri tu kila mtu ashike njia yako ya maisha kwasababu mikasa kama hi ya kindoa suluhisho bora kuachana tu....
@officialmkerewe
@officialmkerewe Год назад
Nimerudia KUANGALIA hii interview aseee ni noma wakuuuuu
@asiajuma8330
@asiajuma8330 4 года назад
Love clouds 4 ever🔥
@judithkomba9744
@judithkomba9744 4 года назад
Ila Dom hamckiki cku ya 3 Leo jmn
@magrethludovick6992
@magrethludovick6992 4 года назад
Daaah haya Mambo yasikie kwa mwenzio,yakikukuta sio poa. Binafsi yalinikuta lkn maisha yanasonga mbele na Niko vizuri sana
@ashurashaka6878
@ashurashaka6878 4 года назад
Yes!!bro nimekukubali kwan umeongea kiume@mwenzi wako akizungua aijilishi awe ke au me mnapigana vibuti afu maisha mengine yanaendelea kwan maisha hayahitaji stress
@janethkilonzi4260
@janethkilonzi4260 4 года назад
Pole my dear
@fadhilimahonya4575
@fadhilimahonya4575 4 года назад
Dogo mwana mke usishindane naye ata kizaririsha iyo ndio siraha yao kubwa wana wake wote wapumbavu kasoro mama yangu mzazi
@scolabahametanzaniamwanza9217
@scolabahametanzaniamwanza9217 4 года назад
Hahaha yamekukutawewe
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 4 года назад
yeah tuko wengi mitihani imetufika na maisha tukiondokana na wanaume pia tunakua vizuri ktk maisha mana inakua mikoc sometimes
@robertndumbaro2249
@robertndumbaro2249 4 года назад
nikimaliza kipind narudi kwenye ngoma. "asiwaze"
@frankmkama5169
@frankmkama5169 4 года назад
Kweli mwana inaumaa kinyamaaa
@lucasernest6421
@lucasernest6421 4 года назад
Komaa na hal yako wanaume tunakufa kwa ajl ya kubeba mambo meng sana huo pia n ugonjwa big up sana ujumbe umeeleweka
@H-moneybags
@H-moneybags 4 года назад
Adam try to behave with respect sometimes no jok
@babasamiah4011
@babasamiah4011 4 года назад
hussein masito kweli kaka jamaa anaona kama joking ngoja na yeye yamkute au kama sio yeye Dada yake ,au familia yake .maana namuona anamuona jamaa kama Mtu flani hivi anatafuta kiki.!
@franklinemazera6658
@franklinemazera6658 4 года назад
Hii game lazima ucheshi ili refresh mind hope umeelewa
@euvassammy8537
@euvassammy8537 4 года назад
Bro usichojua ni kwamba kila kipindi chenye watangazaji zaidi ya mmoja basi kila mmoja ana content yake... usifikili kila mtu atakuwa upande wa Stamina... wapo mashabiki wa simba watapingana nae na mwakilishi wao studio ndo Mchomvu. Simpleee
@franklinemazera6658
@franklinemazera6658 4 года назад
@@euvassammy8537 broo wakati wowote jua kua tuko tofauti kama vidole kuna wenye tunaelewa na kuna wenye hatuelewi mwisho wa siku maisha ya shonga mbele
@danielmpokasye6108
@danielmpokasye6108 4 года назад
hussein masito sure sometimes aangalie emotional za mtu
@fatumayusuphu289
@fatumayusuphu289 4 года назад
Yani kila nikimuona stamina nakiona kidumu changu zuberi( Zubu) yani dah 😃😘
@allykasoni2729
@allykasoni2729 4 года назад
Hhhhhh fet ww
@yasiryusra3333
@yasiryusra3333 4 года назад
Dah pole sana broh wangu mmi mwenyewe nimepigwa chini nipo chumbani nimelala naugulia maumivu ya kuachwa inauma sans
@rajabukalikela8210
@rajabukalikela8210 4 года назад
😂😂😂😂😂😅mbao zitawaua mwaka huuu
@mishibabu8946
@mishibabu8946 4 года назад
Pole
@salmajuma4015
@salmajuma4015 4 года назад
Muhhh ambeye hayajawahi mkuta ndo ataongea inauma sana jamani sijui kama nitakuja kupenda tena😥😥😥😭
@mbarikiwambarikiwa3988
@mbarikiwambarikiwa3988 4 года назад
Pole sn
@mohamedmuhajiri8348
@mohamedmuhajiri8348 4 года назад
@@salmajuma4015 unaongea tu bhna
@frankmboyo8115
@frankmboyo8115 4 года назад
Leo ndo nimekuelewa kaka pole sana huwez jua mungu kakuepushia nn wa kwako yupo
@vamo2082
@vamo2082 4 года назад
Stamina anaongea kwa hisia Sana, inauma Sana
@hasnaabduly4945
@hasnaabduly4945 4 года назад
Adam siku nyingine acha upuuzi wako wa masiala kwenye mambo ya msingi
@lukalulambo6273
@lukalulambo6273 4 года назад
😂😂😂
@abysspaul5595
@abysspaul5595 4 года назад
I love you clouds fm mko poaw sana
@collinedward8449
@collinedward8449 4 года назад
Sanaaaa
@bakarikayugwa3295
@bakarikayugwa3295 4 года назад
Stamina hili Ni SoMo kwa sisi wanaume kweli yawahenge panapokupa utamu ipo siku patakupa uchungu tue teli kuavumilia Kisha kuyatatua kilohosafi pasipo madhara yoyote Asante Sana
@mateusjoao5584
@mateusjoao5584 2 года назад
Pole sana kaka stamina, na mimi pia niliumia from mozambique
@esterkimario1126
@esterkimario1126 4 года назад
hiv huyu adam mbona unaboa unaboa mnoo
@zuhuraabiki1103
@zuhuraabiki1103 4 года назад
Natamani hii interview Ange ifanya millilard ayo Inge noga Sana
@sekelamwangosi3289
@sekelamwangosi3289 4 года назад
Umeonaee yan hawa wajinga makelele tu🥴🥴
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 4 года назад
Zuhura Abiki Tungeelewa kila kitu hawa wapiga kelele darasani
@zuhuraabiki1103
@zuhuraabiki1103 4 года назад
@@sekelamwangosi3289 yaaan hawajauliza hata maswali ya msingi Mara interview imeisha Wana kera sana
@zuhuraabiki1103
@zuhuraabiki1103 4 года назад
@@veronicadaniel1122 Sana tu saa wamepiga kelele mpk interview imeisha jamaa bado ana endelea kufunguka
@oliviaanatory4415
@oliviaanatory4415 4 года назад
Umeona eheee Zuhura
@tinnaebunka8848
@tinnaebunka8848 4 года назад
Pole kaka umejifunza sasa mungu akupe moyo subra utapata wa kufanana nae
@allynyoni4587
@allynyoni4587 4 года назад
Pole broh kwa maswahibu dar nimeku si Kiliza sana noma sana wanawake mmh Ndomana huaga wenye miyoo mepesi Wanafanya unyama mkubwa sana pole Naic hutamani tena kwa sasa kuhoa kaka umefunguka kinoma yani
@tumathesonmacheteboy269
@tumathesonmacheteboy269 4 года назад
Stamina we ni mwamba..✊✊ umefunguka kiume kaka..Respact sana jombaaah..👊
@fatmasayid8895
@fatmasayid8895 4 года назад
Pole sana stamina DJ mamy naona yanakuingia vizuri mwache aende huyo kwa mchezaji wa simba wa yangu sikumoja atakumbuka mabaya yake
@paulwilliam507
@paulwilliam507 4 года назад
Ohh pole sana stamina mungu atakusaidia najua kama unapitia wakat mgumu ila mungu yupo pamoja na ww
@jumamagali5089
@jumamagali5089 4 года назад
hey cheer man sina majibu deal done, hapo mwanzo nilitaka kuaribu ndoa yangu kupitia simu, ila wakubwa wakaniambia achana na mapenzi ya kwenye simu yaani msifuatiliane au kuchunguzana kupitia simu na mke wako maana utakutana na maneno ya kutisha ambayo huvunja ndoa mara moja ila ASIWAZE
@jeunajuatv817
@jeunajuatv817 4 года назад
kweli
@medardpeleka7169
@medardpeleka7169 4 года назад
Tatizo watu wanamhoji kimasihara ila ndoa ni mtihani ulio mgumu kuliko mtihani wowote duniani
@alextonic7269
@alextonic7269 4 года назад
medard peleka ni kwel kabsaa, yaan watangazaj wanachukulia kawaida bila kujuwa jinsi gani mapenzi yanaathiri mtu. Washenzy san Watangazaj
@fineboytv1405
@fineboytv1405 4 года назад
Baba Ang stamina unatupa gundu sisi Simba tangu umetutaja ushindi umekua shughuli 🛑🛑
@gathjanedominic8692
@gathjanedominic8692 4 года назад
FineBOY TV hahahaha
@reybeka7673
@reybeka7673 4 года назад
Hahah
@isihakasultan1354
@isihakasultan1354 4 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@rajabukalikela8210
@rajabukalikela8210 4 года назад
😂😂😂😂😅
@saymarsaymar4654
@saymarsaymar4654 4 года назад
Bora angemtaja wa Yanga
@allymohamed5328
@allymohamed5328 4 года назад
Pole Sana Stamina, Ila ulipo mtongoza huyo mwanamke alikuwa bado na uhusiano na x wake Ila walikuwa na migogoro ndo Mana alikubali kuolewa nawe, Ila mkeo anampenda Sana x wake kuliko ww, ulipo muoa alikuwa tayari kashagombana na x, alipo kuwa ndani ya ndoa walikutana wa kayamaliza wakakubaliana wa tembee kwa Siri, ila mwanamke ni Kama mtoto mdogo kashindwa Siri kwa kua kapenda Sana x wake,nakushauri Stamina mpotezee kabisa usimtafute asikutafute, ukiendelea naye atakuletea mimba ya msela.maoni yangu tu na muono wangu.
@mbondokambi267
@mbondokambi267 4 года назад
Stamina hao hawasaidii unaendelea kujidharirisha kwenye media,,,pole shukuru Mungu huyo mwanamke hujazaa nae
@lydiathadeous6644
@lydiathadeous6644 4 года назад
Adam Embu tulia acha kuropokoa tusikilize interview
@lilianleopold1181
@lilianleopold1181 4 года назад
Lydia Thadeous anaboa?
@deusloraa1745
@deusloraa1745 4 года назад
Lydia Thadeous anaboa kweli mibangi mingi jitu zima lina zero iq
@karimsolyambingu6335
@karimsolyambingu6335 4 года назад
Adam una ufa*la sana kwenye issue serious.
@kagarukifred7372
@kagarukifred7372 4 года назад
Mpuuzi sana utoto mwingiii
@noelgodfrey41
@noelgodfrey41 4 года назад
Nikajua nmemsoma pekeangu
@alexandrinejuma5334
@alexandrinejuma5334 4 года назад
Stamina take time God will reward you mob love from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@abdulhakim7638
@abdulhakim7638 4 года назад
Sure pole Sana stamina sema ndoa za Christian kidgo Zina mashaka pole broo
@joharisimtowe5661
@joharisimtowe5661 4 года назад
Clouds media mwambieni Adam awe anatulia anaharibu sana kipindi
@amanpetro6820
@amanpetro6820 4 года назад
Me naona mchovu atoke kwenye hicho kipindi anambi ya kixhoga
@neemakutika9540
@neemakutika9540 4 года назад
Pole stamina uyo sio mwanamke aliekuwa tayar kuolewa .tulia utapata mwanamke ambae mungu amekuandalia.inauma kweli
@furahadastani8639
@furahadastani8639 4 года назад
Pole sana bro huyo mke hakufai tafuta pesaaaa
@amashamtama2761
@amashamtama2761 4 года назад
Kuna wanawake wa Aina 2 1.wengine wameumbwa kwa ajili ya burudani ya wanaume hao hata ukimuoa hamuwezi kudumu 2. Wengine wameumbwa kwaajili ya kuolewa
@aminajuma2981
@aminajuma2981 4 года назад
Pole sana duu hiyo pesa yako uliyo fanyia shelee ni ubola unge peleka kwa watoto yatima
@samwelimoshi5614
@samwelimoshi5614 4 года назад
Angeeenda studio kurekod tena
@jimmynwita8047
@jimmynwita8047 4 года назад
Bora umekua jasir dogo ungechukua hasira ungepoteza maisha yk
@jimmynwita8047
@jimmynwita8047 4 года назад
Hicho kibao hakitosh toa mistar mingine uelimishe jamii ndoa nying matatizo
@floracharles1306
@floracharles1306 4 года назад
Tulia stamina utapata akupendae kwa dhati
@derrickthedon91
@derrickthedon91 4 года назад
Mimi Kalista kapiga hela zangu kisha kanibwaga we banaeee nilichanganyikiwa.. Ila tunajifunza baada ya makosa
@marykavishe1331
@marykavishe1331 4 года назад
Kuishi na mtu mzima mwenzio kazii,,,
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 4 года назад
tena mtu mzima ambae munajuana ukubwani sasa
@abasihussein1166
@abasihussein1166 4 года назад
Sana
@ntilampebhailankunda8655
@ntilampebhailankunda8655 4 года назад
Cjui kama nitarudia kuoa tena mimi
@jasmineshechambo3401
@jasmineshechambo3401 4 года назад
@@ntilampebhailankunda8655 😂😂😂😂kwann
@ntilampebhailankunda8655
@ntilampebhailankunda8655 4 года назад
@@jasmineshechambo3401 yashanikuta magumu sana!
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 4 года назад
Sikiliza wimbo wa Perce slage "take time to know her" am a country boy
@_Miseh2
@_Miseh2 4 года назад
Aki pole sana stamina...ila kivyovyote lazima maisha yaendelee🇰🇪
@prisilahcleofasi7485
@prisilahcleofasi7485 4 года назад
Kama unakumbuka nyimbo ya kijiwe nongwa Roma kamuuliza vipi na ww wife simwoni nyumban Stamina chill bwana dili done nipe like
@halimasssomar8793
@halimasssomar8793 4 года назад
Kuna watu tunatamani ndoa .unapata ji mwanamke kupavu limepata ndoa na mume mtulivu bado Lina chepuka . walah uyo mwanamke atakuja juta
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA 4 года назад
Mnaumiza sana
@halimasssomar8793
@halimasssomar8793 4 года назад
@@sir_ENOCKMACHA mi mwenyewe nishaumizwa sana.na ao waume..ata sina amu nao..eri niwe single nisubiri kufa...Yani tuseme dunia hii ya sasa wake Kwa waume wabaya..ukipata mzr mshukuru mungu Tu
@sudysaidykamonongo7549
@sudysaidykamonongo7549 4 года назад
Halima naomba nitafuta 0685116065 naomba kuongea na ww
@halimasssomar8793
@halimasssomar8793 4 года назад
@@sudysaidykamonongo7549 INSHA'ALLAH
@preciouspeter6126
@preciouspeter6126 4 года назад
Huyo sijui Adam ana upuuzi mwingi sana, he should be serious kwenye issue serious. Anajiongelesha km mtoto wa Primary school.
@mohamedkalumba5379
@mohamedkalumba5379 4 года назад
Stamina umekanyaga pabaya ndugu Kabila hiyo yakinyarwanda sio ni watu wamaajabu Mambo yao hawanaga utulivu n'a niwabagusi hâta huyo mchezaji wasimba nae ajiandae lazima ataumia tu Siku moja sasa wewe mshikuru mungu tu kaokoa maisha Yako ulioa babaya bahati tu ukuzaa nae mungu atakusaidia pole sana
@bonniemsigalla4426
@bonniemsigalla4426 4 года назад
Pole sana bro..utapata mwingine wa maisha yako
@sophiashadrack7702
@sophiashadrack7702 4 года назад
Niko kwenye ndoa miaka kumi sasa,Stamina nakuelewa kinachotoka moyoni kweli tupu
@marysaravai5639
@marysaravai5639 4 года назад
hatariiii naelewa
@hijakhalifa845
@hijakhalifa845 4 года назад
Ivi ndoa ni ngumu xan jmn
@marysaravai5639
@marysaravai5639 4 года назад
nataman hata ningeingia nikiwa na miaka 35
@marysaravai5639
@marysaravai5639 4 года назад
@@hijakhalifa845 ingia ukajionee ukihadithiwa huwez elewa vizur
@bundukitv1322
@bundukitv1322 4 года назад
Ndoa bwana. Kama utani mwana, unaminya minya nyanya unanunua biringanya... Pole bwana BONIVENCHA
@noahmwaipopo9142
@noahmwaipopo9142 4 года назад
Hahaha balaa sana kuchamba kwingi
@paulebby1552
@paulebby1552 4 года назад
Noma sana
@mtiromsilanga2059
@mtiromsilanga2059 4 года назад
Duuh acha tuu bro😓😓
@mwambarockmwambarock739
@mwambarockmwambarock739 4 года назад
@sitamina pole sana ndowa ndowana piga chini twnzetu. Ila unaonekana I'm kutach sana pole brother 😍😫😫 some time adamu chomvu upunguze bang brother is too much, kama ume amuwa kuwa comedy u2 ambie you are brother lakin some time unazingua 🎤🎤🔊
@mwanadamtz1298
@mwanadamtz1298 4 года назад
Pole brother wanawake Mungu anawaona kuweni wakweli
@charlesblazio7597
@charlesblazio7597 4 года назад
We adam acha masihara ktk masuala ya ndoa sku nyingine usiropoke ropoke upuuzi wako fara nn
@marynyondo2763
@marynyondo2763 4 года назад
Adam anakulaga matako nn
@estherpaul6938
@estherpaul6938 4 года назад
Charles Blazio 😂😂
@naamohamed9964
@naamohamed9964 4 года назад
@@marynyondo2763 😃😃😃😃😃😃
@aminiusiamini3647
@aminiusiamini3647 4 года назад
Adamu boya tyu!
@evamwakifulefule9073
@evamwakifulefule9073 4 года назад
Kweli mwenzake anatoa hisia za maumivu afu yy analeta masihara ngoja yamkute ndio atafyata.
@deborahjustinerwambogo8490
@deborahjustinerwambogo8490 4 года назад
halafu ADAM MCHOVU unafanya maujinga na mautani hata katika issues serious , punguza jombaa tafadhari
@munirahassan2220
@munirahassan2220 4 года назад
Kwa kweli kabisa
@rashidrajabu8868
@rashidrajabu8868 4 года назад
Pole kaka Mimi nipo kwenyee ndoa miaka mitano bado nipo shule
@rashidrajabu8868
@rashidrajabu8868 4 года назад
Nipigie kupitia hii nikupe dawa yake 0629204606
@bakarinondi6979
@bakarinondi6979 4 года назад
Deborah Justine Rwambogo I feel sorry for him, much respect to stamina
@michaelnzunda7347
@michaelnzunda7347 4 года назад
uyo c kichaa we unazan bangi nzur
@lillianbarongo2807
@lillianbarongo2807 4 года назад
Niliangalia clip ya baba wa Stamina siku ya harusi....hakuwa confident na ndoa hii. Kweli wazee wanajicho kuu!
@godgiver100
@godgiver100 4 года назад
Safi sana... Baba aliona mapema sema Stamina akakataa maonyo
@babasamiah4011
@babasamiah4011 4 года назад
Pole sana Brother stamina Mungu atakulinda inshallah na huyo mwanamke sidhani kama huyo Niga ataendelea naye tena ila Mungu anajibu maombi hapa hapa .
@rahelnzengo3632
@rahelnzengo3632 4 года назад
Afu punguzeni maneno nyie watangazaji wenzangu, mpeni source nafasi
@siamejerry9239
@siamejerry9239 4 года назад
It's hard n no one has ever been brave lyk u
@amosmgonja5280
@amosmgonja5280 4 года назад
umetufunza wengi brother mungu atasimamia uwe na maisha poa
@swahiliteacher4255
@swahiliteacher4255 Год назад
Haukuwa wakati mzuri kufanya interview bro, ulikua bado emotional
@paulshayo
@paulshayo 4 года назад
Love this
@mavelimathayo6426
@mavelimathayo6426 4 года назад
Stamina ndoa yako kama yangu ucjali piga goti mungu ni mwema hata kuacha
@ommyshommy2599
@ommyshommy2599 4 года назад
wanawake wengi huwa wanatafuta sababu za kugombana ili wakatoe uchii...sana sana hivi vimalaya vya siku hizi.
@dorismamf7404
@dorismamf7404 4 года назад
Huyo mwanamke hakuatayari kutulia badoanatamaa ila atakujakujutia nahao wazazi wasiojuakumuonya mtotowao akilawakete ukimwi wajue kumlea vizur
Далее
skibidi toilet multiverse 041
06:01
Просмотров 5 млн
Cute kitty gadgets 💛
00:24
Просмотров 12 млн
Mke wa Stamina Kumbe na Yeye Yumo, Mtazame hapa.
19:38
Просмотров 406 тыс.