Тёмный

EXCLUSIVE JAMAA AJENGA LODGE ZA MBWA MILL 80 "MBWA MILL 150, VYUMBA 10,WANAKULA KUKU" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 154 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 148   
@gracetenga8989
@gracetenga8989 Год назад
The best i have ever seen done in Tanzania congratulations brother
@saurasoso1543
@saurasoso1543 Год назад
Wachaga salute kwenu.. apa ndo mmetuziilisha ni watafutaji sana
@alextercisio
@alextercisio Год назад
Mbwa ni biashara safii sana Ina pesa congratulations bro ...good investment
@castoagust7073
@castoagust7073 Год назад
''Hizi nyumba ni mzuri kuliko za watu wanazokaa mtaani"😆😆🙌🙌🙌 pesa mwanaharamu
@lastname.mulimuli
@lastname.mulimuli Год назад
Heheh biashara ya mbwa kama unaifuatilia ina pesaaa kinomaaaaaaaaa
@titojb4703
@titojb4703 17 дней назад
Hongera! Nawapenda Mbwa🎉
@desderylasway9810
@desderylasway9810 4 месяца назад
Mm napenda mbwa ni ela tu
@iddmlenga9852
@iddmlenga9852 Год назад
Bongo sis tukion mbwa amekatiza ..n utaskia lete jiwe jaaa..niuweeee🤣🤣🤣
@yakoboesenga5754
@yakoboesenga5754 Год назад
Atalii na nusu 🤣🤣🤣🤣🤣
@yordanyona1234
@yordanyona1234 Год назад
Hii biashara nzuri sana ...watu maskini kimawazo wanahisi anachezea pesa
@jaymandy8136
@jaymandy8136 Год назад
😂😆😆😆😆 kuanzisha hio unatakiwa kua na pesa ndefu
@mmewaswida
@mmewaswida Год назад
Kupandisha tu milioni na nusu?? Duh kazi kweli kweli
@mmewaswida
@mmewaswida Год назад
Sio lazima. Unaanza kidogo u ajikusanya
@captenndunga6745
@captenndunga6745 Год назад
Ukichezea maisha ukiwa kijana uzeeni lazma uwe mchawi utaturoga utatusumbua😂😂😂😂
@yordanyona1234
@yordanyona1234 Год назад
hii ni biashara nzuri sana
@jaymandy8136
@jaymandy8136 Год назад
😂😆😆😆😆
@teshanange2037
@teshanange2037 Год назад
😂😂😅
@suleymankhery8975
@suleymankhery8975 Год назад
Nimecheka kifala kweli
@othmantv2654
@othmantv2654 Год назад
Huyu jamaa anafananisha mke na mbwa😂😂😂
@nexto6357
@nexto6357 Год назад
Nimwona kwenye mazishi ya star🌟
@chapaboyclassic3907
@chapaboyclassic3907 Год назад
Mm napambana kaka nakukubali, ila mm mbwa apana 🤣🤣🤣
@arrfamush3285
@arrfamush3285 Год назад
Ni kweli hayo ni mapenzi 2
@abdallaali10
@abdallaali10 Год назад
Mlevi uyoooo
@liannsambu7264
@liannsambu7264 Год назад
Mwaswali ya vijana wa AYO buana weee , 😀😀😀😀
@ismailchibonda5005
@ismailchibonda5005 Год назад
Big up Sana nice job 👏👏👏👏
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
Naomba kazi
@dismasmtui729
@dismasmtui729 4 месяца назад
Jamaa aliniuzia mbwa 3, 2 hawakuwa pure boerboel kama alivyoniambia.1 pure boerboel alikuwa na menjes akafa na alikuwa anajua kwa sababu ni kama vile alirudishwa na mteja. Ni vizuri akatambua kwamba tunatumia.gharama kununua hao mbwa, nilinunua kila mmoja 800,000, ni vizuri akawa mwaminifu.Watu wengi wanamlalamikia!!!
@gracemrema9815
@gracemrema9815 Год назад
Hapo kwa mke nmekuelewa "ukishakua na mapenzi nae hujali gharama
@liannsambu7264
@liannsambu7264 Год назад
Hiyo kauli ni kweli ,
@elidiustudoy2640
@elidiustudoy2640 Год назад
Hii nyumba ijegwa na mbwa😂😂😂
@malopemaliyamungu5243
@malopemaliyamungu5243 Год назад
Import pitbull toka South kule wanawauwa sababu ya ukali.. utuuzie kwa Bei ndogo.
@anithajmmari5150
@anithajmmari5150 Год назад
Kwakusoma Comment nimegundua Watanzania wengi wamejaa wivu, kutokujiamini, mawazo hasi, wasioamini mapambano ya wengine, na wengi ni wavivu wakufikiria, kila kitu wanasikiliza ili wajibu na sio wa elewe, Watu wanaojielewa ni wa chache Sana na wenye makasiriko ni wengi mnoo😂
@Baday_8
@Baday_8 Год назад
📌
@ayoubmtumishi
@ayoubmtumishi Год назад
KWELI UZEENI NI WACHAWI WANGA WAKUBWA😂😂😂😂
@pastoraile7195
@pastoraile7195 Год назад
Duuuu South Africa wanafika mpaka Tanzania Arusha project za Cape tonw
@bozbun3994
@bozbun3994 Год назад
Wengine wauza madawa tu...
@shadrackkassale2968
@shadrackkassale2968 Год назад
Hizo nyumba zinamvito kuliko hom kwangu😥
@jacklinemshana587
@jacklinemshana587 Год назад
😂😂😂😂😂
@dvosokoloo2948
@dvosokoloo2948 Год назад
Tushazoea mwanamme ndo ananunua mwanamke kwa jamaa umbwa ya kike ndo inanunua dume noma sanaa 🤣
@rosekuriyo7188
@rosekuriyo7188 Год назад
unaona maxiara ila bonge la furxa
@elogeruhimbasa6719
@elogeruhimbasa6719 Год назад
Kweli mimi mbwa hapana naogopa hazini pendi mimi kila mara zina taka kunila
@rashidikanyama7227
@rashidikanyama7227 Год назад
Dah umenichekesha sana
@Saidkhel
@Saidkhel Год назад
😂😂😂😂😂😂
@mishikikoti2948
@mishikikoti2948 Год назад
Eti kunila 😂😂😂ni kweli mbwa huwa anasoma mapigo ya moyo moyo wako ukidunda kwa uwoga anajua ww ni adui ndo anakufwata 😂😂
@khadijamahmoud4365
@khadijamahmoud4365 Год назад
@@mishikikoti2948 na mbwa hapendi uchawi wala mtu mwenye horizontal, ukivaa hirizi anabweka mpaka anataka kukata mnyororo
@mishikikoti2948
@mishikikoti2948 Год назад
@@khadijamahmoud4365 etii eeehh ?? Afazali umenijuza mwaya
@hancemadhubuti2149
@hancemadhubuti2149 Год назад
Akili Huna umekod mbwa wa walinz utangaze biashara vzr..
@deekelly5831
@deekelly5831 Год назад
Wivu
@lilgicky484
@lilgicky484 Год назад
Jct be inspired
@salehegiza3305
@salehegiza3305 Год назад
Geast house za mbwa kwa hiyo mbwa anafanya yake wakiwa humo.😂😂
@neemasawe7016
@neemasawe7016 Год назад
bwana Giza guest house ni nyumba ya kulala wageni❤️
@yakoboesenga5754
@yakoboesenga5754 Год назад
Fridge zime jaa kuku eebama wee ao kuku unaho wapa mbwa ss tuna taka ata mmoja tulinge na ss tu tuye alufu adi majirani wa jute ww una wapa mbwa
@zuheorsalim7759
@zuheorsalim7759 Год назад
Unalipa tra ?
@jrsaid4270
@jrsaid4270 Год назад
Hao mbwa huku kwetu wanauzwa Afutatu nashangaa unasema mil150
@alloycemillinga1673
@alloycemillinga1673 Год назад
Wee unasemea Vijibwa sio mbwa😂
@jrsaid4270
@jrsaid4270 Год назад
@@alloycemillinga1673 vijibwa ni nn na wewe
@alloycemillinga1673
@alloycemillinga1673 Год назад
Hahah hakuna mbwa anauza Afutatu budah
@dalali_professionalwa_dodo8330
Udongo wa makka (mecca). ....😄😄😄😄
@mcback4384
@mcback4384 Год назад
Anawatukana waislam ukizingatia kwao mbwa ni haram
@mwaisunilaizer8438
@mwaisunilaizer8438 Год назад
Hongera sana ndugu yangu
@kazkaz1943
@kazkaz1943 Год назад
Wale mkisikia kilimo cha vanila kinatajirisha mnakimbia kulima aya anzen kufuga mbwa mbwa
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 Год назад
Vanilla zikoje
@kigomakid74
@kigomakid74 Год назад
Rahim kutoka kigoma katumia mbao kujengea mbwa zake😂
@bintik2311
@bintik2311 Год назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@frankmabubu2299
@frankmabubu2299 Год назад
Huyu mwamba habahatishi yupo serious na life
@shillahkenny4818
@shillahkenny4818 Год назад
Bangi hizo mbwa unafananisha na udongo wa maka
@rahimaaaaa8699
@rahimaaaaa8699 Год назад
Jiandaeninkula.nyama za.mbwa.nansupu
@alextercisio
@alextercisio Год назад
Kuuza nyama yake haiwezi leta pesa
@pyzzocatto1829
@pyzzocatto1829 Год назад
Frijiyangu iko empty lkn fridge yambwa imejaa kuku 😄😄😄
@sarahgaula2220
@sarahgaula2220 Год назад
😆😳
@bintik2311
@bintik2311 Год назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@naslee1010
@naslee1010 Год назад
Hio ya uchawi nipo pamoja nawe
@zenakassim6725
@zenakassim6725 Год назад
Jiandae kuwapokea TRA
@user-hx5kz3qo9o
@user-hx5kz3qo9o Год назад
Nataka ubwa walioko
@fredyijumba1023
@fredyijumba1023 Год назад
kiswahili kigumu aisee, hii nyumba imejengwa na mbwa
@josephlorri431
@josephlorri431 23 дня назад
Imejengwa kwa pesa zilizotokana na biashara ya mbwa
@itaelmanang2968
@itaelmanang2968 Год назад
Dunia Ina mambo mengi sana kuwa makini
@annaandrea2812
@annaandrea2812 Год назад
Ni kweli kabisa ba mdogo
@kyambarungwe6960
@kyambarungwe6960 Год назад
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@Directorjax55
@Directorjax55 Год назад
saf sn kwa pran
@kennywilliam2466
@kennywilliam2466 Год назад
Hapo kwenye udongo wa makka naona si sawa miji iliyo tukuka na wala huwezi fananisha na mambo kama hayo makka au madina usirudie tens kufananisha na hizo mambo
@mcback4384
@mcback4384 Год назад
Hata mbwa ni kiumbe cha Mungu kilichotukuka hakijajiumba
@waziriomar1414
@waziriomar1414 Год назад
Kweli Kaka maka na Madina Ni miji iliotukuka
@Mja_Gongo
@Mja_Gongo Год назад
imani za hofyo zinatawaliwa na vijana wa hofyo,ko hiyo ni miji iliyotukuka na unakoishi ww hakujatukuka na unasubiri nn kwenda kwenye miji hyo ? mnaaminishwa na waarabu na nyie mnasapot ujinga,hamna tofauti na wakristo wanaoona israel ni mji mtukufu,kulikotukuka ni mahali popote palipo na amani,Mungu yu mahali popote pale na yy hukaa mahali patakatifu so kama yupo popote inamaana kote kumetukuka ni ww tu kupaheshimu kwako,tuache kuwapasifa watu wa mataifa,hii haitofautiani na mtu kusema livingstone ndiye aliyeugundua mlima kilimanjaro,anapougundua mchaga alikuwa hajaumbwa?
@yassersalleh8409
@yassersalleh8409 Год назад
Mafanikio yako yasitutie kichefu chefu kauli zako naomba ziwe nzr hiyo Rangi y mbwa wako haiwezi kuwa n thamani ya udongo ama ardhi ya makka
@maxlupapa4554
@maxlupapa4554 Год назад
Usianze kuleta udini udongo ni udongo tu alivyosema wa makka naona umeumia
@samgames851
@samgames851 Год назад
Pita huku
@deniskibud3192
@deniskibud3192 Год назад
Nimaeneo gani bro ulipo nije nijifunze nitumie Aya no ya simu
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
Hongera sana
@ramyramso
@ramyramso Год назад
Hapo kwenye udongo wa Makka umezingua babu ule ni mji mtukufu huwezi kufananisha na kitu chochote kile
@user-ui4oh8gf8n
@user-ui4oh8gf8n 11 дней назад
We kijana tutake radhi.ss wazee tunaombiwa uzeeni tutakuwa wachawi kwa kukosa Mali.
@janethmwihumbo1289
@janethmwihumbo1289 Год назад
Mh mh
@victorbugobola2276
@victorbugobola2276 Год назад
Lodge za mbwa!? yan X za mbwa au tatzo kichwa habari et lodge za mbwa!!!?
@monahmussamonah6229
@monahmussamonah6229 Год назад
Wew ndo hjuiii maan ya lodge
@victorbugobola2276
@victorbugobola2276 Год назад
Lodge n nyumba za wageni hasa za kifanyia ngono au aujui nn au unajifanya auelew
@monahmussamonah6229
@monahmussamonah6229 Год назад
Hiyooo hasa ni akiliii zakoo zinawaza hivyo , Lodge ni nyumbani ya kulala wageni basi
@victorbugobola2276
@victorbugobola2276 Год назад
Eeh Unajua but unajifanya aujui nd Hvyo lodge n nyumba ya wageni.....bhn so hao ubwa n wageni!?
@monahmussamonah6229
@monahmussamonah6229 Год назад
Hjackiaaa wametoka nje ya nchi wew🤣
@alextercisio
@alextercisio Год назад
Eti fridge zinejaa kuku 😂😂😂😂😂
@jaymandy8136
@jaymandy8136 Год назад
😂😆😆😆😆
@samwelipaul1462
@samwelipaul1462 Год назад
Sasa Kama kajenga mjengo mkali huo kuku hawezi kuona galama
@franciscakija1702
@franciscakija1702 Год назад
😂😂😂😂😂😂😂makombo
@sleeprelaxation8431
@sleeprelaxation8431 Год назад
hakuna mbwa wakulinda hapo lugha ya mwili ya mbwa wanazani wanacheza
@dictarchelsea
@dictarchelsea Год назад
Wapo ndugu labda kama hujui breeds za mbwa
@darkplatnum9006
@darkplatnum9006 Год назад
ungemuuliza na sok lak has la hao mbwa ni wap maan tumejua anako nunua ila watej wak wanako tok ni wap
@mcback4384
@mcback4384 Год назад
Wateja wapo wengi sana, Arusha hata mbwa wa kawaida tu wanauzwa na wanasakwa
@salehegiza3305
@salehegiza3305 Год назад
Utamu anapata mbwa mm ndo nalipa ela broo ebukuwa serious broo.
@josephinekuyela1647
@josephinekuyela1647 Год назад
boarding dog
@TheKessyFleva
@TheKessyFleva Год назад
🥱
@jacquelinesizya3780
@jacquelinesizya3780 Год назад
Anawauza or Ni just a shelter home for dogs?
@mosesnyelo1380
@mosesnyelo1380 Год назад
Skiliza maelezo utapunguza maswali
@jacquelinesizya3780
@jacquelinesizya3780 Год назад
@@mosesnyelo1380 ok
@Mja_Gongo
@Mja_Gongo Год назад
Ni kiziwi au ulichagua kutazama ukiwa umemute sauti!?😳😳😳🤷🤷
@emariusrush3285
@emariusrush3285 Год назад
anauza,Hawa mbwa jamii wanatoka Belgium and German (wanaitwa Belgian shepherd dog)
@jacquelinesizya3780
@jacquelinesizya3780 Год назад
@@emariusrush3285 ooh.ok.Thanks love.
@rahimaaaaa8699
@rahimaaaaa8699 Год назад
Laana tupu mbwa.mkubwa wee
@kelvintenga1217
@kelvintenga1217 Год назад
Acha wivu wakijinga ww kilambuzi atakula kwaulefu wakamba yake ndugu
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Год назад
@@kelvintenga1217 mbwa haram kuwafuga
@goblessjrtz5464
@goblessjrtz5464 Год назад
@@hanifatanzania7258 haramu kwako ila kwake sio haramu jaribuni kufikiri nje ya 🎁
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Год назад
@@goblessjrtz5464 Najis kwa muislam kumshikashika kukunusa
@mwlpierre
@mwlpierre Год назад
Du wewe dada alichokiumba mwenyezi Mungu kwani kukiita najisi umba chako ndio ukiite hivyo
@fredyemmanuel4303
@fredyemmanuel4303 Год назад
Yani nikanunue mbwa m15 nimelogwa
@denismvula300
@denismvula300 Год назад
Hata mimi nawaza kama wewe , ila umaskini tyu ndo unasumbua🤣😂🤣😂🤣🤣hapooo tutafute hela ml 15 siyo nyingi
@fredyemmanuel4303
@fredyemmanuel4303 Год назад
@@denismvula300 😁Denis bwana nimekusoma kk
@fredyemmanuel4303
@fredyemmanuel4303 Год назад
Ngoja tukaze Ila kununua mbwa mmmm m15 palefu kk
@kisubikilozo6128
@kisubikilozo6128 Год назад
Bangi mbaya mbwa wana bei yachini wewe ukidaganya watu
@henryjohn4781
@henryjohn4781 Год назад
Kama hujui jambo usiliongelee
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Год назад
@@henryjohn4781 kunajambo gani laamaana hapo hiyo midibwa mtihanitu
@henryjohn4781
@henryjohn4781 Год назад
@@hanifatanzania7258 Wanamlipa ndio mana kafanya huo uwekezaji hamna mtu yupo tayari kuweka hela kwenye jambo lisilo na faida Bei ya puppy mmoja ni zaidi ya laki Tano
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 Год назад
Masikini hata hujielewi. Unawajua mbwa vzr kweli
Далее
FAHAMU KUHUSU MBWA AINA YA BOERBOEL DOG
1:29
TAJIRI WA MABUS  SUPER FEO ATOA SIRI YA KUWA BILIONEA
10:36