Тёмный

PART 1: UTASHANGAZWA NA UWEKEZAJI HUU/ NG'OMBE ANAUZWA MILIONI 30 

Crown Media
Подписаться 159 тыс.
Просмотров 205 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

2 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 429   
@CrownMediaTZ
@CrownMediaTZ 3 месяца назад
Tunashukuru nyote mliopenda maudhui haya, usisite kushare Link ya Maudhui haya kwa wengine ili wapate kuelimika zaidi
@medadyjuma5036
@medadyjuma5036 3 месяца назад
Nilichowapendeya mnazo camera safi pamoja na hivyo vipaza sauti aise mmehuwa kinyama
@tofatofali9803
@tofatofali9803 3 месяца назад
Jamaa anajua
@babaloisethan7010
@babaloisethan7010 3 месяца назад
Mtangazaji mkali Sana,KAZI Nzuri Sana,cool,logic ... Big up mtangazaji na crown media 🎉🎉🎉🎉
@pascalntandu1217
@pascalntandu1217 3 месяца назад
Nawapongeza kwa kipindi kizuri sana kwa mafunzo ili kuleta ustawi kwa kizazi hiki;naomba unisaidie mawasiliano na huyu jamaa ni muhimu tafadhari naomba sana.
@akidayusuphu7104
@akidayusuphu7104 3 месяца назад
Naweza pata contact number ya huyo brother? Please!
@ibrahimkimweri2329
@ibrahimkimweri2329 3 месяца назад
Hizi ndo mambo tunataka sio habar nani bwanawake nani kaachana na nani kaolewa na takatka sjui kuchafua hal ya hewa... fantastic
@Salumchiwili2023
@Salumchiwili2023 3 месяца назад
Kabisa nduguyangu mimi huwa napenda sana content hizi 💪
@mzalendomzalendo2567
@mzalendomzalendo2567 3 месяца назад
Tanzania bila umbea inawezekana
@herculesthepower1544
@herculesthepower1544 3 месяца назад
Tatizo letu tunapenda kulaumu serikali wkt cc wenyewe hatuna jitihada ya maendeleo(siyo wote) lkn wengi wetu. Nawasifia sana hawa jamaa zetu nao pia siyo lkn % kubwa wakiachiwa mali na wazazi wao maendeleo ya kuendeleza ni makubwa. Njoo kwetu( hapa pia nasema siyo wote lkn % ndogo ndiyo wanajiendeleza vizuri) tutaachiwa mali na wazee baada ya miaka mitatu tayari mali zimeishia kwa mademu magari starehe end of the day tutaanza kulaumu serikali na mambo mengine ya kijingajinga.
@Salumchiwili2023
@Salumchiwili2023 3 месяца назад
@@herculesthepower1544 mimi naamini kabisa vijana tukiacha kukimbilia mijini na kujifanya sijui wamachinga tukijikita kwenye kilimo na Ufugaji tukiwa na malengo kabisa tunatoboa vizur
@happinessmassageclinic4265
@happinessmassageclinic4265 3 месяца назад
Mawasiliano hamjatupa
@fatimasaid9469
@fatimasaid9469 3 месяца назад
Nimependa sana mmmmno. Please crown media mulete vipindi kma hivi. Vya jamii sio wengine wanaleta shaluwadu. Mara kungwi. This is motivation development ni society respect . Haya jamii elimu hizi
@aishakhamis2996
@aishakhamis2996 3 месяца назад
Kabisa yaan una weza angalia ata na wazazi wako...!!
@salumhamdu6633
@salumhamdu6633 3 месяца назад
Maashaallaah God bless
@clarasimon7830
@clarasimon7830 3 месяца назад
Ujalazimishwa kuangalia wew kulinji
@dickensdickala6601
@dickensdickala6601 3 месяца назад
yan sio lazima kusema media nyingne ili kusifia media nyingne. ukiona kipindi hakikufai ujue hakikuandaliwa kwaajili yako ila kuna mtu anapenda
@eltoncastory7087
@eltoncastory7087 Месяц назад
😂😂et kungwi
@kinjekitilew
@kinjekitilew 3 месяца назад
Huyu ndio mtangazaji ana stahili kufanya mahojiano kama haya
@hamiduhamdun1858
@hamiduhamdun1858 3 месяца назад
Kweli kabisa
@TadioTV
@TadioTV 3 месяца назад
Good job.. hii ndo nguvu inahitajika kwa Diaspora ya Kitanzania kuiga.. big up
@Bwanga0306
@Bwanga0306 3 месяца назад
TEMIDAYO .. Utulivu Mkubwa Maswali Mazuri 🔥💪
@IPRESSTRADE
@IPRESSTRADE 3 месяца назад
Kwa mara ya kwanza nacooment kwenye mahojia RU-vid, Mtangazi anajua kuhoji, nimependa swali alilofungulia kipindi, Kwa Wenye akili Ni swali gumu sana
@gamadoryc4893
@gamadoryc4893 3 месяца назад
Kweli me too
@ismailchibonda5005
@ismailchibonda5005 3 месяца назад
Mtangazaji kaenda shule big up sana
@sambnlt4626
@sambnlt4626 3 месяца назад
Mtangazaji upo vizuri sana na unauliza maswali yenye tija na msingi, hongera sana kaka. Tungeomba kupata vipindi kama hivi hata kwa mwezi au wiki mara moja tunajifunza mengi hapa
@AmosBarnabas-wl1yl
@AmosBarnabas-wl1yl 3 месяца назад
Da yaani gafla nikamuona Pep guadiola😅😅😅 big up sana crown media kila kitu kiko very good quality
@alutekidz8834
@alutekidz8834 Месяц назад
😂
@nixnovember
@nixnovember 3 месяца назад
Msela sana huyu jamaa. Easy going Boss. Ukifanya nao kazi hao inakua simple. Hapo ofisini kwake kuna Quotes za kisela sela😅😅
@judithkirenga9977
@judithkirenga9977 3 месяца назад
Mungu ibariki Tanzania yetu,na azidi kubariki pia vizazi vyetu.Amen
@Mr.kigoma
@Mr.kigoma 3 месяца назад
Hilo gari ukikutana nalo njiani kaaa mbali huyo ni mbogo kweli mwamba yupo seriously syo mgen kwangu😂😂😂😂 #mullar weeeeee 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@issahmawee7096
@issahmawee7096 3 месяца назад
Utakuwa unapishana nalo sana mzee, huyo hanaga mwendo mdogo
@rayasaid3734
@rayasaid3734 3 месяца назад
MashaAllah tabaraka Rahman, kiswahili kwenda mbele haweki English hata kidogo, wangekuwa hao wajinga wengine ,mwaka tu nje atia English, kuwa wakujivunia lugha yetu kiswahili,Allah akubariki twashukuru kwa elimu ya maendeleo
@zainabzain3434
@zainabzain3434 2 месяца назад
Hana ulimbukeni anajua anachokiongea kitatusaidia wengi tusojua lugha
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 3 месяца назад
Kaeni hivyo hivyo crown media msije kuwa machawa amen.
@rehemabakari986
@rehemabakari986 2 месяца назад
Haya ndio mahojiano ambayo ukiyasikiliza unapata kitu chakujifunza . Hongera mtangazaji
@nsajimwasege68
@nsajimwasege68 3 месяца назад
Anaonekana ana mawazo chanya sana, ana utulivu wa akili na anaelewa maisha ya kitanzania!
@rehmahamishamismkande4348
@rehmahamishamismkande4348 3 месяца назад
Kaka Huyu nimempenda Sana kasoma nje ila wangekuwa wenzangu na mimi wanaulizwa kwa kiswahili wanajibu kizungu ooo uknow I'm ... Hawa ndio watu tunaotaka kuwasikiliza watu kama sisi Wana Mali na hawajisikii wasaniii shida tuu
@MuhamedAjigar-dw9ve
@MuhamedAjigar-dw9ve 3 месяца назад
Ni kweli kbs angeongea kimombo kitupu na kujifanya kiswahili akijui na utajiri alojaliwa
@didashi1901
@didashi1901 27 дней назад
Hii Interview inanifanya nipate fikra tofauti kabisa katika upambanaji wangu. Ahsanteni Crown Media
@ezrakiduko6135
@ezrakiduko6135 3 месяца назад
Huyu jamaa safi sana na niwakuingwa sio wasomi wetu wakipata Hela wanafungua mabaa ya pombe na kuharibu nguvu kazi ya taifa
@princebuganzilut2047
@princebuganzilut2047 Месяц назад
hahahahaha huyu jamaa watatoa wapi pombe wasomi wetu wasipofungua Bar??
@JamalyzoMilanzi
@JamalyzoMilanzi 3 месяца назад
Hapa ni nyumbani Crown media 👑 wote tunawapenda
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 месяца назад
This was highly informative
@Kwelihukuwekahuru
@Kwelihukuwekahuru 3 месяца назад
Background yake ina capital investment tutafute jinsi ya kuwasaidia wasio na msaada wa vizazi vyao
@dicksonmoshi7480
@dicksonmoshi7480 3 месяца назад
Mtanagazaji , upewe maua yako best interview ever big up bro
@JoseWilson-vb2di
@JoseWilson-vb2di 3 месяца назад
Mmeleta mageuzi kwel katika tasinia hii nawapa mwaka mmoja mtakuwa top ya TV zote za hapa tz
@TichaSabah
@TichaSabah 3 месяца назад
Kwa kweli matajiri ndio hawa sio wakina mond ni kelele tu gari mara nyumba mara ofc.huu uwekezaji wenye maana kabisa na kuna chakujifunza kwa sisi masikini.sio mziki
@imranmushi3627
@imranmushi3627 3 месяца назад
Broo af ukiangalia humo hamnaga vat hmnaga kodi yan huko kuna fursa
@mwandambojunior9101
@mwandambojunior9101 3 месяца назад
Themidayo! You're the Best....Good Interview..👏🏽👏🏽👏🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
@suleshalliy8039
@suleshalliy8039 3 месяца назад
Sauti ,video quality vyote Ni hatariii
@pauldyuwundi7321
@pauldyuwundi7321 3 месяца назад
Katika maisha yakiafrica hatuna back ground yakuendeleza tulicho nacho Maana familia inakusomesha kwa kuuza hadi mashamba wakitengemea utakapo maliza ili uzirudishe lakn mambo hayawi rahis kias hicho kwahy ndio maana wa Africa wengi Hatuendelei.
@jacquelinelukambuzi5085
@jacquelinelukambuzi5085 3 месяца назад
Hongera sana kaka Kuna jambo kubwa la kujifunza hapa kwa vijana pia wa Tanzania wote
@Chida
@Chida 3 месяца назад
Ni kweli #HapaNiNyumbani aise noooooma. Nimeipenda makala hii
@ntimi2233
@ntimi2233 3 месяца назад
jamaa kavaa under armour. he is one serious dude
@Oficial_Eredy
@Oficial_Eredy 3 месяца назад
Hapa ni nyumbani napenda sana kilimo
@mtemipesatvonline9993
@mtemipesatvonline9993 3 месяца назад
Mahojiano ya juu sana haya mic zinachuja saut vizur pia mwamba anahoj vizur sana
@kazikazini1042
@kazikazini1042 3 месяца назад
Mwandishi jitahidi kumwachia mwandishi akamilishe majibu mathalani swali la mbegu walizoagiza kutoka nje ameanza kutaja ukamhamisha. Hata hivyo kwa kiasi kikubwa uko vizuri.
@RamadhaniBendera-j1s
@RamadhaniBendera-j1s 3 месяца назад
Maua yako temidayo
@kapanikapani5280
@kapanikapani5280 3 месяца назад
Hongera sana crown tv, hv ndio vpindi Bora vyenye manufaa kwauma, sio michawatu wanaongea upuuzi. Mala ICU, mala masham sham upuuzi tupu, pigeni kazi vjana
@Cn_Creative7
@Cn_Creative7 3 месяца назад
Crown média ❤
@fionamariamkundetarimo3781
@fionamariamkundetarimo3781 3 месяца назад
I am happy to see a Tz citizen young. Educated. Studied abroad. But decided to come back home to invest at home. And empower the local people. You are one example that young Tz people need to learn this
@chumamasunga8855
@chumamasunga8855 2 месяца назад
😢kwa Nini usitumie kiswahili Ili ueleweke na Watanzania wengi Zaidi?
@iddiali6982
@iddiali6982 3 месяца назад
Crown mko vzr Sana
@mozasalum9715
@mozasalum9715 3 месяца назад
MashaAllah Mr Naweed, Allah akufanyie wepesi in shaa Allah, umeni impress
@emilegentil9538
@emilegentil9538 3 месяца назад
Makala kali , na kamera njo uniseme sasa cool
@Hilalisebatv
@Hilalisebatv 3 месяца назад
Hapa ninyumbani. Hongera kwa mahojiano mazuri
@panicumtz2002
@panicumtz2002 3 месяца назад
Hyo inaitwa Embro transfer we do it in our farms, nataman sana unialike tunaweza kufanya kwako pia. niko Dar es salaam alaf nakufaham sana brother nitakuchek kwa maana namba ninayo.
@PhilkevinFelix
@PhilkevinFelix 3 месяца назад
Mwandishi pamoja na makala nzuri hujaonyesha ni sehemu gani mahususi hapo Chalinze.
@johnmtindo276
@johnmtindo276 3 месяца назад
Iko Ubena zomozi ukielekea morogoro ni baada ya mdaula upande wa kulia
@abubakariabdallah9347
@abubakariabdallah9347 3 месяца назад
Iko Ubena zomoz ukishuka sema tu nataka kufika kwa MBOGO ESTATE
@jimmymungai522
@jimmymungai522 3 месяца назад
Brother Mulla jaribu pia SUA walikuwa na mbegu bora sana ya ng'ombe wa nyama.
@shikuhata
@shikuhata 3 месяца назад
Nina Imani Crow media mtaibua vipaji vingi na kuibua wafanya biashara wengi wenye kufanya makubwa kwenye nchi ila hawajulikani jambo ambalo litawasaidia wananchi wengi kuwa inspired kupambana pasipo kukata tamaa
@MuddyMigenge
@MuddyMigenge 3 месяца назад
Temidayo 🎉🎉🎉
@iddimmbucwa3618
@iddimmbucwa3618 3 месяца назад
Ongereni kwa kazi nzuri mnazofanya
@YussuphKansela-l4j
@YussuphKansela-l4j 3 месяца назад
Crown 👑 medir ni hattari... high qwerlty ❤❤❤
@oscarclaine5878
@oscarclaine5878 3 месяца назад
Navutiwa sana na podcasts kama hizi.. Crow Media mmejua kunikuna roho haswa.. Mungu awatunze sana hao wengine yyte yawapate😅
@costagomela3511
@costagomela3511 2 месяца назад
Nahitaji number na email address ya huyo Mfugaji
@rahmashaban4024
@rahmashaban4024 3 месяца назад
❤❤❤❤so good
@middoTv
@middoTv 3 месяца назад
New millard ayo
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 3 месяца назад
Huyu ni zaidi ya milardayo
@eliaspius4949
@eliaspius4949 3 месяца назад
Voice quality and video quality inafanya inafanya isichoshe kuangalia
@Remy-og7bm
@Remy-og7bm 3 месяца назад
Na mi Pia Ni Remy mzaliwea wa Buyenzi Kwa sasa nipo Egypt Cairo, Nimefirai kuskia Brother amezaliwa December 1991 kama mimi. much love bro.
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 3 месяца назад
😂😂😂😂
@adamali545
@adamali545 3 месяца назад
Sasa ww mpka sasa umeekeza ktk nn😅
@mvullamanase
@mvullamanase 3 месяца назад
Egypt ya Bunyokwa...😂
@oscarkiwia2810
@oscarkiwia2810 3 месяца назад
Urudi na wewe uwekeze mkuu
@Jurbeg
@Jurbeg 2 месяца назад
​@@mvullamanasembona huendani naunayo yafanya 😢
@shekhabbasisharifuonlinetv5990
@shekhabbasisharifuonlinetv5990 3 месяца назад
kazi nzuri ALLAH bless you this is what we need
@Lynnalice217
@Lynnalice217 3 месяца назад
Thanks mr Naweed best interview 👌
@sylvestergodfrey5857
@sylvestergodfrey5857 3 месяца назад
❤❤❤
@Oficialkb
@Oficialkb 3 месяца назад
Safi sana 🎉🎉
@ahsabahmed0130
@ahsabahmed0130 3 месяца назад
Great interview brother ,ila age ya mwamba daaah
@georgetarimo7520
@georgetarimo7520 3 месяца назад
Tunaisubiri Part 2 haraka
@reubenedwinnditi9979
@reubenedwinnditi9979 3 месяца назад
Quality ya Video 🔥🔥🔥 na content
@AbdoulazarSalumu
@AbdoulazarSalumu 3 месяца назад
Temidayo………🎉
@AizackyMpinga
@AizackyMpinga 3 месяца назад
Mi naomba mawasiliano ya bwn mdogo huyu nimekuwa motivated nae na mtu nilikuwa nae sehemu moja rujewa
@mselimsuya6952
@mselimsuya6952 2 месяца назад
This is nice, bring things like this, motivational
@Fredymlelwa-ox8xc
@Fredymlelwa-ox8xc 3 месяца назад
Nimefurahi sana kwa mahojiano na mwekezaji huyu. shamba lake lipo chalinze sehemu gani ili tupate mbegu.
@husseinhamisimwindadi2211
@husseinhamisimwindadi2211 3 месяца назад
Mahojiano yenye tija,Asante Mulla,nimevutiwa na water tank lakuweza kuhamishwa kiurahisi,je linapatikanaje?
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk 3 месяца назад
Nzuri sana lkn chanjo nyingi sio nzuri kwa afya ufugaji wa kienyeji ndio bora mimi nimekaa Botswana ng'ombe wanaachiwa mitaani kisha wanarudi wao myumbani chanjo sio sana
@innocentandrea6482
@innocentandrea6482 3 месяца назад
Wacha bana,Botswana ipi
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk 3 месяца назад
@@innocentandrea6482 Botswana ng'ombe wapo huru mimi nimekaa miezi 4 ww umekaa wapi? Nimekaa Metsimuthabe,ndani ya Gaborone naijua Botswana vzr G.West mpaka mlapolole,kopong,Magodisane sehemu hizo ng'ombe wanaachiwa mitaani tu baadae wanarudi myumbani huwezi iba maana wamewekewa kitu hivyo GPS Inawaona...yapo maeneo wanakaa kwenye maeneo makubwa pia maana kule population ndogo mno hivyo wana maeneo ya ufugaji...
@abdulbiro7656
@abdulbiro7656 3 месяца назад
Nikweli! Botswana ngombe ni wengi mitaani
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk 3 месяца назад
@@abdulbiro7656 ndio nimemwambia huyo Botswana naijua vzr sema kuna watu huwa wanabisha tu...Botswana zamani ilikuwa hakuna wezi lkn wakaja wazimbabwe ndio wakaharibu kila kitu..Ni sehemu nzuri sana siasa za magharibi ndio zinaletaga ujinga..Botswana hakuna sonara lkn ukimwambia mtu anabisha hahahaha
@kiatu
@kiatu 2 месяца назад
Sio hivyo, huwezi kuuza nyama ulaya bila kuchanja mifugo yako
@SublimeMU
@SublimeMU 3 месяца назад
Nice job
@allywaleo3604
@allywaleo3604 3 месяца назад
Quality Voice & video.. 🔥🔥🔥🔥
@Omarjumanne-zm9zh
@Omarjumanne-zm9zh 2 месяца назад
Good job je ngozi zako unaziweka wapi? Mimi napenda ua nzishe tannig leather industrial natural kiwanda cha ngozi
@raymrash
@raymrash 3 месяца назад
Hongereni sana Crown 👑
@christiannjau7191
@christiannjau7191 3 месяца назад
Kipindi Bora kabisa cha maendeleo na uchumi,hongera sana muundaaji na team yako yote...
@mikakuya5364
@mikakuya5364 3 месяца назад
hi elimu nimeipenda Sanaa crown 👑 👏👏👏
@jerrymndeme2916
@jerrymndeme2916 2 месяца назад
Aiseeeeeeeeeee.. This is Tanzania we want
@husseynomar9523
@husseynomar9523 5 дней назад
Mambo ya Msingi kabisa.....❤
@HashimuKarata
@HashimuKarata 3 месяца назад
Nimependa kipindi kizuri maswali mazuri safi sana crawn
@LameckBundala
@LameckBundala 3 месяца назад
Kazi nzuri mkuu
@MeckMkalisimba-bo2wq
@MeckMkalisimba-bo2wq 3 месяца назад
Mahojiano mazuri sana yenye kutoa maarifa💯
@Binahmed1234
@Binahmed1234 3 месяца назад
Noma sana 🎉🎉🎉
@EtieniRama
@EtieniRama 3 месяца назад
Crown hapa ni nyumbani❤❤❤❤
@sleyumrashid7794
@sleyumrashid7794 2 месяца назад
Akili kubwa Haya mambo ndiyo tunatakiwa kusikia kama vijana, jamaa Yuko open ana moral ana inspire lolote unaweza fanya kama una ndoto, na ufanye research kabla kuliendea Jambo, na ufanye Kwa ubora Wa hali ya juu, tumepata madini ndio maudhui mazuri tunayoyata kusikia
@Mr.kigoma
@Mr.kigoma 3 месяца назад
Crown ❤🔥🔥🔥🔥
@frankyeye
@frankyeye 3 месяца назад
Hapa ni nyumbani ❤❤❤❤
@jumasango9793
@jumasango9793 3 месяца назад
Hapa ni kwetu
@AdamKessy
@AdamKessy 3 месяца назад
nice job big up crown
@MaliloHamsini
@MaliloHamsini 3 месяца назад
He's my old boss I like him ... he's very smart parson ....
@Damimanta
@Damimanta 3 месяца назад
Nawapata na kuwafatilia kwa umakini sana❤
@BahatiSunga-yk9qf
@BahatiSunga-yk9qf 3 месяца назад
Babu Yangu Alikua na Ardhi kubwa zaidi ya heta 32 ivi alipo fariki Wajomba wameuza Ardhi yotee yani yotee hawakujari Uzao wao wala wajukuu Inauma sana😢
@omarymtotela3751
@omarymtotela3751 3 месяца назад
Nakubali
@hassanhassanrugendo3666
@hassanhassanrugendo3666 3 месяца назад
❤❤❤
@davidpius4764
@davidpius4764 3 месяца назад
Camera en video kal sana
@40kstore
@40kstore 3 месяца назад
Unauliza maswali konki sana,hizi interview zinatakiwa ziwe nyingi
@jacksondamian4347
@jacksondamian4347 3 месяца назад
Vipindi bora sana wanahabari makini sana
@SalumOthman-w8c
@SalumOthman-w8c 3 месяца назад
Big up my brother
@LameckBundala
@LameckBundala 3 месяца назад
❤❤❤
@ChristopherKanyika
@ChristopherKanyika 3 месяца назад
Kazi nzuri sana , vijana sisi tujifunze kuwekeza katika sector ya kilimo na ufugaji
@edgarshayo9720
@edgarshayo9720 2 месяца назад
Nakuunga mkono
@arthurkasiba751
@arthurkasiba751 3 месяца назад
Hiyo Familia Toka Babu ni watu kazi..wapo smart sana..lipo la kujifinza
@selemanifaikii1276
@selemanifaikii1276 3 месяца назад
Crown
@mosileselestine9169
@mosileselestine9169 3 месяца назад
CROWN MEDIA IMEKUJA VIZURI, ENDELEENI KUTUPA TAARIFA SAHIHI KAMA HIZI
@rejobu9723
@rejobu9723 3 месяца назад
Crown 👑 🎉🎉
Далее
iPhone 16 & beats 📦
00:30
Просмотров 64 тыс.
Living life on the edge 😳 #wrc
00:17
Просмотров 2,1 млн
🎙Пою РЕТРО Песни💃
3:05:57
Просмотров 1,3 млн
UFUGAJI WA KISASA WA SAMAKI KWENYE MABWAWA
9:36
Просмотров 10 тыс.
MAONESHO YA MIFUGO KIBIASHARA 2024
34:29
Просмотров 7 тыс.
iPhone 16 & beats 📦
00:30
Просмотров 64 тыс.