Awa Jamaa Mwana Habari Anaenda Nao Sawa Bila Ivo Hata Maiki Wangeshaichukua Iyo Bila Kujali Kazi Yake Na Faida Yake Kibao Sio Sawa Alikosea Uyo Kamanda Sema Nao Walizidi Kutumia Madawa Wenda Kibao Kilimfanya Auzunike
Huwezi amini toka nikiwa mtoto wapo hivyo na mpaka sasa nina miaka 30 bado wapo hivyo sio kama wanaangamia ndio maisha yao na sio wote wanaongea hivyo ni wavuta bangi
Walikuwa pilisi wa Zamani waliostafu bila kitu Cyo wa sasa alafu Kofi na kustafu bila kitu vinaingiliana vipi wa Tanzania tuwe na akili siku police wakigoma kufanya kazi ndo utajua umuhimu wao ata ilo Banda lako ulilojenga au kupanga hautaishi kwa raha yupo kazini na katimiza wajibu kama wote wangefanya ivyo uo ungekuwa msafara au fujo tuache kutetea upumbavu.
@@mwasitishonasho2154 ni maisha yenu sawa lakin serikali iwaangalie kwa jicho la tatu, maana siyo maisha ya mwanadamu wa kawaida, ni umaskini ndiyo umewafikisha Huko..
Ni sahihi kupigwa maana ya usalama ndiyo hiyo walevi wa bangi unarusu kuzuia msafara.wangesababisha madhara mengine hayo hayatoki rohoni bangi inasumbua
Babalevo alikabwa akaenda kuchukua PF3 na hospitali ... Sasa huyo mchizi Lile kofi alilopigwa mpaka kuanguka chini... Yaani Anahitaji PF5 na yule askari aende jela bila kesi... Maana lile kofi simba nomaaa😂😂😂
Hpn hio ni kaz ya asikari.we unawaona hao wakopombe muda.hata jpm walisimama ni kwasababu alikufa akiwa madarakan.asikari hana kosa huwez jua mtu amepanga nn
Wanaume wa Dar bana wanaume wachuga wanasema hawana noma wao ndio waliingilia msafara kwa lazima wanaume wa Dar wanaumia. Wale ni pombe nyingi siku hiyo.
@@pambasr2345 SERIKALI ingeanza kufatilia Hilo NI bomu JINGINE NI kama BODA walivyoanza si dharau bodaboda ILA kwenye msafara WA mamba na KENGE wamo HAO SIO Sawa kabisa
Jamani hawa vijana nawapenda. Wanaongea kwa uchungu. Ila lafudhi yao inanichekesha. Walimpenda babu yao maskini. Poleni vijana ila huwezi jua kwa nini mambo haya hutokea. Labda ni kwa sababu za kiusalama.
@@dannyismael2613 Mm majitu yanayoomba like yananiudhi kla sehem yanataka like had kwenye huzun sijui madude mengne yakoje jmn wanaboaa hzo like znawasaidia nn sijuiiiiii