Pole sana kamanda mpambanaji hii damu siku moja italipwa tu. Mh. Sugu nikuhaidi hawa miungu watu kuna siku watalia kilio cha mbwa koko na hawatahurumiwa
Pole sana kamanda hakika mungu atawalipa mara elfu hao police walio wapiga pamoja na kila mwana ccm atalipwa mara duff maana ccm ndio chanzo cha maumivu haya mungu awa laani ccm wote na awapige kwa mapigo makubwa mno.
Askari wa tanzania na jeshi lao ni kwa ajili ya kuilinda ccm na maovu yao wanayoyafanya mungu anawaona kwakweli sijawai kuona askari wapumbavu kama askari wa tanania
Pole sugu mungu atakulipia mda SI mrefu na kwa NN baada ya msigwa kuhamia ccm ndipi viongozi wandamizi muumizwe hivyo msigwa unachofanya na makala mtapata malipo kwa mungu mda SI mrefu
Ndugu Sugu ni kwamba umewaogopesha CCM Mbeya na wameamua walivyoamua. Bila kujielewa wanaidhoofisha CCM yenyewe. Sidhani CCM ya nchi hii ni wauaji, watekaji, wa ya yasanı, bali ni kikundi cha watu tu. Ni aibu kwa viongozi wetu kukujali kuitumikia CCM na serikali kwa muundo huu. Wanaojielewa wangeshajiuzuru kwenye madaraka yao angalau kutoa kauli Za likeness. Wote wanaoikubali CCM, serikali na Baathist ya wanajeshi wanaotumika, wajijue wazi ni watanzania pia. Mungu akupe ulinzi wake, akuponye maimizi yote ya kimwili na kisaikologia, akija r hekima na ushujaa zaidi. Ushindi umewadia Tanzania. Una Kübalıla si na wana haşema tu, Bali wote walitakialo Taifa letu haki, Amani, maendeleo ya watu, katiba mpya, tüme hürü ya uchaguzi, umduğu na furaha.