Waaaaau amazing nmepnda xnaa kuckia kuwa kp na zebuu n mtu na mume wow❤❤❤❤❤❤❤❤ hongereni 🙌🙌 xna mungu azidi kuwa pigania kwa kla jambo ili muweza kufka mbali zaidi na zaidi 🙏 🙏🙏
@@emelynenduwayesu6287 yani wamefanana hadi mwisho sura mapuwa komwe bicwa muonekano🤣🤣🤣kumbe sina habari nimume namuke Namimi natamani mumewangu tufanane ivo ivo kama kep na zebu🤣🤣
Hongera Sana zebuu wajina wng sophy ..kina sophy kwel warembo Sana Kp brooo tunza chombo icho chaa chugga c unajua mapic ya chuga tunawaza business km alivyosema vannyboy Big up sana❤❤❤😂nawapendaaaa
Yani kuwapendeni kwa sana ♥️🌹💐 KP &Zebuu Na kuhusu mahusiano yenu basi Allahu akufanzieni wepesi hadi kuoana,bila kumsahau Mtangazaji wetu hapo yani unaweza tena umekaa poa poa ni mekupenda bure wew mdada♥️🌹💐♥️
Kumbe uwazavyo ndivyo. Mimi nilikuwa nahisia kwamba hawa KP na Zebuu kuna kitu. Kummbe mke na mme I like you the game nawafuata nikiwa Burundi Bujumbura❤❤❤