Тёмный

#EXCLUSIVE 

EastAfricaTV
Подписаться 1,1 млн
Просмотров 67 тыс.
50% 1

Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Опубликовано:

 

13 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 144   
@jaderkyser9389
@jaderkyser9389 21 день назад
Nyimbo kali zipo nyingi katika album, ila nazikubali 1.nitasimama tena Ft Abiud 2.Nishaachana nae Ft Phina 3.Namuachia Mungu Ft Appy 4.Naskia Harufu ft Chid Benz 5.Nakuja Kwako ft One Six
@user-qb1jv2dy2d
@user-qb1jv2dy2d 19 дней назад
Roma ni Artist mwenye Akili kubwa mnoo! Binafsi Naamini ili kumwelewa vizur inahitaji Mtu uwe na uwezo mkubwa wa Akili na Fikra. Lakini ukiwa na Akili ya Kawaida ni ngumu sana kumuelewa.
@omolomaxfitnessbodylifetim8252
@omolomaxfitnessbodylifetim8252 18 дней назад
🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤Msanii wa Rwanda aliyesemwa kufariki alikuwa anaitwa Ivan Bravan 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤. Big up from Kigali. Ila kama Nasikia harufu vile😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@BingwaboyPepeleboy
@BingwaboyPepeleboy 14 дней назад
big artistes in rap
@salumunsabimana6502
@salumunsabimana6502 16 дней назад
Unaakili sana nilikuwa sikufatilii leo nimeskiliza na nimakufaham .mungu akuzidishiye
@KelvinBushesha
@KelvinBushesha 18 дней назад
Tunategemea hizi ngoma zisikose Top10
@millardGaiga-vh9yh
@millardGaiga-vh9yh 20 дней назад
Oya wanangu Roma katisha "aliyemteka Roma ndo aliyeyavamia mawingu and vice versa "
@user-qb1jv2dy2d
@user-qb1jv2dy2d 19 дней назад
Yeah, that's Truthfully.
@KenedyKazana
@KenedyKazana 11 дней назад
Akika usipo kuwa makini uwezi kumuelewa mwamba mungu ni mpaji wavyote mungu awe nawe mpaka mwisho✝️
@ernestsinje9700
@ernestsinje9700 20 дней назад
Roma ni rapa mzuri isipokuwa hajui biashara ya muziki
@RiddoRiddo-jj1bx
@RiddoRiddo-jj1bx 19 дней назад
Rapa wa kawaid s
@kabhikachambala3392
@kabhikachambala3392 20 дней назад
All the time = wakati wote
@AndreaBalintanzeko-vd8yw
@AndreaBalintanzeko-vd8yw 20 дней назад
🎉🎉
@gasparlubaga5866
@gasparlubaga5866 7 дней назад
Roma yupo vizuri sana
@imranmohamed9527
@imranmohamed9527 8 дней назад
Nakukubali sana ROMA
@imammwasanyamba9715
@imammwasanyamba9715 21 день назад
@princessplatnum4416
@princessplatnum4416 20 дней назад
Mkivaaa kiatu cha roma amtembei mnasaau kwambaa akuna alokamilika so ata ukiwa nawatoto so wote wataona unatenda aki lkn mzeee wetu ulitishaa
@jaderkyser9389
@jaderkyser9389 21 день назад
11:28
@silvanusmasawe
@silvanusmasawe 16 дней назад
Love you kaka ❤❤❤❤
@chrispinegervas1681
@chrispinegervas1681 21 день назад
Super
@basilvenance1368
@basilvenance1368 13 дней назад
Anajitambua sana, pia anatumia akili sana kufikisha ujumbe.
@nzegeatv6355
@nzegeatv6355 19 дней назад
Tatizo la uyo mtangazaji ana sifa hatulii anatangaza kuonekana kama anajua wakati sifa ya mtangazaji inatakiwa kufanya kaz na sio kushindana
@lucaschisamalo2852
@lucaschisamalo2852 19 дней назад
Naona kama bando langu mmelimaliza tu mlichoandika hapo na Roma alichoongea vitu viwili tofauti
@xmathematics_
@xmathematics_ 21 день назад
dk 46
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 21 день назад
tunakukubali sana hujawahi kosea kaka. Big up roma👏👏.
@HamisiWilson-kb2bj
@HamisiWilson-kb2bj 19 дней назад
Roma salute _$
@dreamz_d
@dreamz_d 13 дней назад
Bro 😎
@gaspercharles2244
@gaspercharles2244 20 дней назад
Nyinyi wapuuzi tu hakuna lolote
@JacksonMwinga
@JacksonMwinga 5 дней назад
We ni mwamba
@eliahswai1607
@eliahswai1607 21 день назад
Big up to you bro since day one hujawahi kukosea
@princessplatnum4416
@princessplatnum4416 20 дней назад
Kaka nikweli lkn maumivu aliyapata yeye akuna alokamilika ata mzee akukamilika boss lkn tulimpenda mzee wetu kwa hyo ukijalibu kuvaa kiatu chaloma usingewenza kutembea
@josephbuddoh1577
@josephbuddoh1577 19 дней назад
Natamani kusikiliza hio ves walioigomea kuirusha hewan
@joelandekile3933
@joelandekile3933 20 дней назад
HI CHANNEL IMEKUWA YA KISENGE SASA
@RamadhanHaruna
@RamadhanHaruna 21 день назад
Roma mtanzania ivi kwanni kaka umehama bongo
@angelsblackboard8008
@angelsblackboard8008 21 день назад
Kwani kuna shida gani? Yani uache sehemu yenye pesa.
@isaacbywell7081
@isaacbywell7081 21 день назад
​@@angelsblackboard8008 ww Angels mbona majib yako na jina lako haviendani. Unatukana nakujib vitu visivyo.
@herbethlukogela7657
@herbethlukogela7657 20 дней назад
Kwani hivi Roma ni mtu wa kwanza kuishi nje
@alexlingwendu6780
@alexlingwendu6780 20 дней назад
Kwani kuna shiido
@dennischarles8524
@dennischarles8524 18 дней назад
Umesahau alitekwa kupigwa karibu auliwe?
@user-tt1ze2dw4x
@user-tt1ze2dw4x 8 дней назад
Mweu anakujaga bondo nakurudi uyu broo ngoja siku nitakupost ukiwa apa bongo😂😂😂
@salumunsabimana6502
@salumunsabimana6502 16 дней назад
Roma mauwa yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-tx1yb3my3m
@user-tx1yb3my3m 17 дней назад
Mm kilicho nishangaja uyo mtangazaj Ana nawa sanamikono bila maji
@jeromejanson3003
@jeromejanson3003 17 дней назад
Is name’s jay polly
@GunmanUnique-zo9bp
@GunmanUnique-zo9bp День назад
Nkbr chaf
@LukeloKibumo-uu2oh
@LukeloKibumo-uu2oh 20 дней назад
Kote umeongea vizuri ila kumgusa aliyevamia mawingu umefeli unaushahidigani
@juliusmix
@juliusmix 19 дней назад
Kuna wakati usipoelewa kitu ni heri unyamaze tu ili usionyeshe udhaifu wako. Unazungumzia ushahidi kwa mhusika mwenyewe? Mhusika kasema, wewe unasema hana ushahidi...,unataka alete ushahidi hapa ni polisi?
@DitrickKidagayo-cj1cj
@DitrickKidagayo-cj1cj 21 день назад
Huyu muongeaji Bado Hana sifa ya kuwa mtangazaji kigugumizi kama ametoka kunywa pombe
@filexkivuyo8383
@filexkivuyo8383 17 дней назад
Ngoma kama hizi zinatakiwa kuwa nafasi za kumi bora kilamara
@MATHAYOPETROGARYA
@MATHAYOPETROGARYA 20 дней назад
Namshauri sikumoja aimbe kuhusu flusa anazoziina huko especially masuala mazima ya biashara zinazoweza kuzalisha tukauza huko america mamen aache kutia sumu miyo.ya vijana ..coz Dunia haiitaji mambo hayoo kivile we need to hear economic issues..thanks
@joshuanyaulingo4109
@joshuanyaulingo4109 20 дней назад
an kwa huo ushaur wako nd umbadilishe,, akat alinusurika kupotezwa en he z still in his standing
@filexkivuyo8383
@filexkivuyo8383 17 дней назад
Wanao kutukana naisi wana upungufu wa ufam kwaiyo wasame tuu
@brudatv3539
@brudatv3539 18 дней назад
Walioanza kukimbilia comment
@ORG960
@ORG960 17 дней назад
Roma ameamza kuzeeka sikuizi
@MponelaJuma
@MponelaJuma 21 день назад
we mtangazaji unapapara tulia wakati unauliza maswali
@nzegeatv6355
@nzegeatv6355 19 дней назад
Wa kike au wakiume😂
@yassinchuwa8824
@yassinchuwa8824 19 дней назад
Huyu dogo anachokonoa hatari
@idrisandaka2198
@idrisandaka2198 16 дней назад
Huyu ni mwamba na nusu
@chrismwanjalika9892
@chrismwanjalika9892 18 дней назад
Hivi bado Nyimbo mnaita mwimbo? dah! hatutafika.
@brain_ujazo
@brain_ujazo 17 дней назад
Wewe mwenyewe pia umekosea hakuna Neno NYIMBO kwenye Kiswahili . Ni WIMBO Tu Iwe Wingi Iwe Umoja.
@AshelyJonas-vg9gg
@AshelyJonas-vg9gg День назад
Namkubali san uyo mwamba
@AshelyJonas-vg9gg
@AshelyJonas-vg9gg День назад
Mwana unakuja lin
@AshelyJonas-vg9gg
@AshelyJonas-vg9gg День назад
Roma ludi tanzania
@VitukoKiwanga
@VitukoKiwanga 21 день назад
Mwana, halakati huyoo!!
@ThousandPhase
@ThousandPhase 21 день назад
Roma anakitu so ni mkweli Mimi sjaona ubaya wake
@user-wy5zv2qw6t
@user-wy5zv2qw6t 18 дней назад
Ramadhan na ww unauliza nn ss
@Black-sound24
@Black-sound24 21 день назад
Roma 💥
@user-rk9sd4kc4d
@user-rk9sd4kc4d 16 дней назад
Mzuri ni mchamungutu, nyie pigeni keleletu, af mnasahau Akhera
@robartifabiani
@robartifabiani 20 дней назад
Tano nyingi mpaka sugu
@MohamedBakari-lb5mk
@MohamedBakari-lb5mk 21 день назад
Mwana harakati mmoja
@msafirimfilinge8222
@msafirimfilinge8222 19 дней назад
Ila yupo kijijini sana😂😂😂😂
@kareem1182
@kareem1182 8 дней назад
Ulayaa ata pakiwaa shambaa sawa na masaki
@OscarPilla-oy2rc
@OscarPilla-oy2rc 20 дней назад
Ww 🎉❤mwamba
@filexkivuyo8383
@filexkivuyo8383 17 дней назад
Mm binafs nakukubali ijapo umetukacha
@hezronjoseph405
@hezronjoseph405 21 день назад
Big up east Africa, big up Sana mwanangu Roma ,npo nawewe tangu mathematics adi leo paka na panya, kwenye maua yangu,,endelea kutusema watu wako🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😎😎😎😎😎😎(nimewa challenge ,nlikua natafuta coment50 Dil done)😂😂
@emmanuelchacha6718
@emmanuelchacha6718 21 день назад
😂😂😂😂😂😂😂
@angelsblackboard8008
@angelsblackboard8008 21 день назад
Kwani serikali ikikosea inatakiwa watu wasiseme? Hivi Mikundumikundu kama wewe akili mnapelekaga wapi?
@NorascoKipeto
@NorascoKipeto 21 день назад
hamna bayaaa, chupa limeamka na chai,
@hezronjoseph405
@hezronjoseph405 21 день назад
@@angelsblackboard8008 mdomo uliponza kichwa😎😎😎
@TIMOTHEOALFREDI-zf2te
@TIMOTHEOALFREDI-zf2te 21 день назад
Ww nyiko kweli urafinywa nyuma serikali ni nani sio me na wewe acha ujinga
@MagrethMallya-we8ui
@MagrethMallya-we8ui 21 день назад
Mtanzania anaeipenda nchi yake. Mzalendo ndo huyo sasa.
@ThousandPhase
@ThousandPhase 21 день назад
Eee bana ee Roma ni jembe na nimegundua kitu rap iliyotulia IPO Moro na mwanza
@user-to6cg8uf3f
@user-to6cg8uf3f 20 дней назад
BT remind you Roma mwana fa wanatoka Tanga😊
@user-jn2qj5wf6c
@user-jn2qj5wf6c 21 день назад
Tatizo uyu jamaa kuimba anajua shida mpumbavu wa kupinga ata jitihada za kuvusha inch katika umasikin
@MayraTiffu
@MayraTiffu 20 дней назад
Acha uchawa ww kupinga jitihada gan
@SikabweChristophe
@SikabweChristophe 20 дней назад
Bro are you mad
@FilbertHabashi-zn1qu
@FilbertHabashi-zn1qu 20 дней назад
Bado bongo wasiojielewa ni wengi saaana aiseee
@markoshem-ij6cf
@markoshem-ij6cf 20 дней назад
Musenge wewe
@januarysungura8119
@januarysungura8119 20 дней назад
serikali inajitihada gani zaidi ya kutuendelezea umasikini na wenyewe ndo kubakia matajiri,au na wewe ni mjukuu wao?
Далее