Тёмный

GPS: RAIS RUTO azua GUMZO baada ya kuichana URUSI kwa kuivamia UKRAINE, ni mwelekeo mzuri? 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 38 тыс.
50% 1

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Авто/Мото

Опубликовано:

 

16 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 629   
@Gulfnas1
@Gulfnas1 25 дней назад
Hayo ndo matunda ya ruto baada ya kwenda Marekani, poleni sana wakenya
@paulhema5713
@paulhema5713 25 дней назад
Since nimenza kufuatilia sns..nimejifunza meng sana...na uchambuz wa Hali ya juu...big up to Ally,dj sma na Fredrick...👊👊
@froogame1922
@froogame1922 25 дней назад
SNS is more than university.
@stephenhaule5055
@stephenhaule5055 25 дней назад
Sure
@jacobmutisyamboya7742
@jacobmutisyamboya7742 25 дней назад
IT'S NOT A MUST TO BE WITH EUROPE .AFRICA IS A BIG LAND WE CAN STAND ALONE WITH OUT EUROPE
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 24 дня назад
The problem is we are 2 late for that
@maheitumdintunya2928
@maheitumdintunya2928 23 дня назад
don't think about that! africa without europe is impossible to develop in any sector
@kyaro5945
@kyaro5945 23 дня назад
lazima Africa iwe na connection na Europe. Ngano yenyeww ya kulisha continent yatoka Ukrain, so lazima uwe umblically connected.
@Pacos-1234
@Pacos-1234 25 дней назад
nakubali mazee love from BURUNDİ
@salimfaraj5509
@salimfaraj5509 25 дней назад
Nawakubali sana sana SNS kwa uchambuzi wenu mpo makini sana. Shukran sana
@Dellylubunga
@Dellylubunga 25 дней назад
Kutoka DRC 🇨🇩🇨🇩 Kinshasa asante sana SNS
@twahashearer8302
@twahashearer8302 19 дней назад
👍
@FayeezAlbahassaney
@FayeezAlbahassaney 25 дней назад
Dj sma na bro wa kat MashaAllah TabarakaAllah
@maidimples8236
@maidimples8236 13 дней назад
Huyu mwengine ni mbishi na hatak kuamini kuwa Afrika we can
@ABM1963
@ABM1963 25 дней назад
EAC inatakiwa iwe na Foreign policy inayo fanana other wise itakufa. Tanzania ijikite Zaidi SADEC ndo Tunaenda nao vizuri.
@barikiringo6311
@barikiringo6311 24 дня назад
Tufanye kazi na sadec lakin tusiondoke Eac moja kwa moja (neutral) ili tuweze kufanya trade na hao jirani wanafiki😅
@djafro8729
@djafro8729 25 дней назад
Mimi kama mkenya ruto ni useless president ever to rule kenya
@ramadhanyusuf2401
@ramadhanyusuf2401 25 дней назад
Ruto ni umbwa kabisa
@gabapentin8070
@gabapentin8070 25 дней назад
😂😂😂nimecheka aseh
@martinisadru9899
@martinisadru9899 25 дней назад
Mkunduwako ndio kenya,,, hata hao urusi na china, wakishika hatam watatutenda wanavotaka,, wa africa ni kama kahaba.
@gabapentin8070
@gabapentin8070 25 дней назад
@@martinisadru9899 hujaelewa mzee urusi wana madini na raw material za kutosha kama sisi same to china wao wanagombania masoko sasa kuna ulaya natural resources zao ziko limited ndo mana ni world police waibe mafuta uranium madini ivo
@gabapentin8070
@gabapentin8070 25 дней назад
So better russia anaefight for multipolar world kuliko ao paka wa G7 wanaoleta misaada na makatazo ya kutokupinga ushoga
@BUSHASHASWITCH
@BUSHASHASWITCH 23 дня назад
💯🇧🇮🇧🇮🇧🇮salamu Kwa wana Sns wote na watangazaji wote Kwa ujmla na sijasahawu Dj sma 🎉🎉 scriiiii paaaaaa
@africanmandetraveler2847
@africanmandetraveler2847 25 дней назад
Kenya ina historia ya usaliti,kwanza mwanzilishi wa taifa la kenya alikua kibaraka wa mkoloni kenya tunaita home guards alikua yupo kwa mau mau usiku anaenda kwa mzungu.Walisaliti sana wapiganiaji uhuru wa Africa mfano wanaharakati wa south Africa walipokua wanakimbilia Kenya makaburu walipohitaji warudishwe Kenya iliwarudisha wakashitakiwe.Kenya ni nchi ya aibu.
@mohamedkazema6381
@mohamedkazema6381 25 дней назад
Naapa kwa Mungu, mimi kwa umri huu sikupata kujua kwamba Kenya iliwahi kuwarudisha Africa kusini waliokuwa wapigania uhuru WEUSI wa Africa kusini ili wakashitakiwe na serikali ya kidhalimu ya makaburu huko SA -- pathetic, !!!!😮😮😮. If that is the case, for reparation, it have to apologize to South Afticans today.
@chingaboy1149
@chingaboy1149 25 дней назад
Mmi ukweli ciwapendi hawa viumbe kwasababu wanaturudisha nyuma mbwa hawa kumamazao
@kassimkhalid1185
@kassimkhalid1185 24 дня назад
​@@mohamedkazema6381Nikweli kabisa serekali kenya ilikua ni majasusi
@AliDulla
@AliDulla 25 дней назад
Kaka asante sana hivi vipindi kama hivi safi sana munatufanya kuwa na uwelewa mzuri kituo chako ni number moja
@sakandalinus3125
@sakandalinus3125 25 дней назад
Welldone economists. I like your conversation. Your opening our mind
@MohammedAlwi-hg9fi
@MohammedAlwi-hg9fi 25 дней назад
Yap DJ Sma mashallah bro
@94winga
@94winga 25 дней назад
Masubi leo umefel sanaa 😂
@Raizzo26Fiasco-pf1lz
@Raizzo26Fiasco-pf1lz 23 дня назад
Ali masubi umeongea vizur sana huko mwisho coz mifano ya taifa lako kwenye uwekezaji ni kigezo bila woga na ukweli umesimama hapo
@AhmadaHassan-gy5uj
@AhmadaHassan-gy5uj 25 дней назад
Rais mjinga kuliko wote Africa
@julianamwamgogwa
@julianamwamgogwa 25 дней назад
Mjinga wewe luto jiniac anajua anafanya nini
@user-tb4ol6yp6c
@user-tb4ol6yp6c 25 дней назад
Sasa Ukraine itamsaidia Ukraine yenyewe inahitaji support akuna ujinias wowote kaka​@@julianamwamgogwa
@AhmadaHassan-gy5uj
@AhmadaHassan-gy5uj 25 дней назад
@@julianamwamgogwa hata wewe pia ni mjinga,kwa hiyo wataka kuniambia Marais wengine hawajui wanafanya nini?
@peterlove4g869
@peterlove4g869 25 дней назад
The first may be Evariste
@kassimkhalid1185
@kassimkhalid1185 24 дня назад
​@@julianamwamgogwaYes ananyonya inyee ya wazungu
@loningoletayo8453
@loningoletayo8453 25 дней назад
Uwezo wa Ally hapana kwa mambo mengine
@user-gg6dy4zp9f
@user-gg6dy4zp9f 20 дней назад
Tutumie vizuri kwa ukamilifu taaluma zetu tunaweza. Acheni uchawa
@aboudasilver6541
@aboudasilver6541 25 дней назад
Huyo Anataka kupitia kwenye kwenye deni kubwa sana hafai kua kiongozi wa kenya
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 24 дня назад
Ungekua ww ungefanyaje put ur self in Ruto's shoes
@jastinndangala8085
@jastinndangala8085 25 дней назад
Ndomaana wakenya wanamuita ZAKAYO
@water_music40
@water_music40 25 дней назад
😂
@magdalenaisrael3432
@magdalenaisrael3432 25 дней назад
😂😂😂
@KamundalaLwesso
@KamundalaLwesso 25 дней назад
Iyo discussions ilikuwa poa, Asante sana vijana wa africa mna mtazamo mzuri wa mambo ya ulimwengu
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 24 дня назад
And wat next
@hafidhmiraji9479
@hafidhmiraji9479 25 дней назад
Huyu masubi naye anamentalit ya kimagharibi yan tayar ashaamin hawez bila wao
@AyoubHajj
@AyoubHajj 25 дней назад
Mimi nataka kuchangiya kitu Mimi mdgo Sana katika kufatiliya siasa na maendeleyo ya nchi za afrika na maendeleyo ya nchi za maghari, mmi naona hakuna njia yoyote kwa maendeleyo yetu zaidi ya kua na maendeleyo ya viwanda. Viwanda ndiyo vitatupa kuzalisha na kuongeza thamani ya vitu tunavyo zalisha na kuuza kuweza GDP yetu na kupata maendeleyo Ivii kweli viongizi wetu hawajuwi haya!! Hakuna nchi yoyote duniani katika historia zimeendeleza bila ya maendeleyo ya viwanda ili tu kuzalisha na kuongeza thamani ya vitu vyao na ndiyo vitu vinavyo ongeza maendeleyo ya nchi zao tuangaliye kwa mchina
@AbdallahBakar-oc3ue
@AbdallahBakar-oc3ue 25 дней назад
Huyu wampindue tu hafai kwa afrika yetu mbumbumbuu kabisa
@bakariomari24omar21
@bakariomari24omar21 25 дней назад
Anachukiwa Hadi na mtoto alioko tumboni hajazaliwa
@mofatkijana9536
@mofatkijana9536 25 дней назад
Kazi nzuri wangwana
@hemedmwipopo780
@hemedmwipopo780 25 дней назад
Dj Smaa, unatolea mfano wa mbali mno Ungemtolea mfano Mzalendo namba 2 hayati Doct J. P. Magufuli. Samahani lakini Dj Smaa. Uko vizuri dogo.
@jut1161
@jut1161 25 дней назад
Si kamtokea mfano Nyerere bado tu haitoshi lazima amtaje Magu
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 25 дней назад
​@@jut1161Nyerere sisi hatujamuona tunamsoma tu kwenye vitabu
@JuliusAnaeli-ke7qt
@JuliusAnaeli-ke7qt 25 дней назад
Masubi subir smaa amalize nawe uongee,tuwasukilize hoja by hoja mnapandiana sana.Juli listen from Japan
@murtalla2826
@murtalla2826 24 дня назад
Ali masubiiii 😂😂😂 Ali masubii 😂😂😂 Ali masubiii 😂😂 nimekuita mara tatuu
@Plus255studios
@Plus255studios 23 дня назад
Kwenye hii debate mlimuacha mbali sana huyu Mh. Mwenye miwani. Haku grasp nini mlikua mnajadiri.
@adamyusuphmsigala
@adamyusuphmsigala 24 дня назад
Masoud ww unatulisha matango poli
@billskeez92
@billskeez92 25 дней назад
RAISI mpuuzi sana East Africa
@MahdouMomba
@MahdouMomba 8 дней назад
Hahahahahaaaaa
@brianbaltazar6198
@brianbaltazar6198 25 дней назад
Hongereni sana...Uchambuzi wenu ni mzuri sana
@willydugilo3258
@willydugilo3258 25 дней назад
Anaupenda ushoga hiyo ruto!!
@alexdougly82
@alexdougly82 25 дней назад
My brother Ally acha pride and I see like umekuja studio kushindana hivi. Just give your options not competing
@zulungconde1647
@zulungconde1647 24 дня назад
wewe mshenzi umekuja kupata elimu..au kukosoa.?
@alexdougly82
@alexdougly82 24 дня назад
Mimi mshenzi nimekuja kukosoa, vipi umeridhika au kuna tusi ingine you want give it down Sir.
@sadikathumani1003
@sadikathumani1003 24 дня назад
brother kama ulivowaza mimi Ally analeta ujuaji kuliko kuelezea muda
@maidimples8236
@maidimples8236 13 дней назад
It’s very clear for sure
@isdorykiwale
@isdorykiwale 20 дней назад
Ameeleza vizuri lile la Guantanamo bay kati ya Marekani na Cuba
@bennybennitto
@bennybennitto 21 день назад
Huu ni mjadala bora zaidi wa GPS mpaka sasa... Mmeelezea vizuri sana kuhusu afrika kutawaliwa na magharibi. Kudos!!
@musakihama7205
@musakihama7205 25 дней назад
Nyinyi mmebaki, masalia,wamba kwelikweli,heshima sana,na mimi natamani kuwa hapo ila uwezo😢😢😢Dah.
@omarysaid8725
@omarysaid8725 24 дня назад
Dj smar nakuona uko poa sasa mungu ni mwema i hope una endelea vizuri
@user-cw2nj4io3v
@user-cw2nj4io3v 25 дней назад
Mko vizuri!
@AnchaAlide
@AnchaAlide 19 дней назад
Nawakubali sana kutoka msubiji
@geofreymalekana8000
@geofreymalekana8000 23 дня назад
Sns ni watu makini sana, hakika hicho chombo chenu kitazidi kusonga mbele zaidi
@AnnoyedHarp-tg7ur
@AnnoyedHarp-tg7ur 25 дней назад
Asanteni kwa Elimu
@nomoboy152
@nomoboy152 25 дней назад
SNS naikubali sana sana na sitakuja kuacha kusilikiza ila mna shida Moja nyie ni wanafiki sana leo mtaongelea Russia Ukraine American Mara Kenya lakini ukweli ni kwamba Kuna pesa zinatoka nje kila siku na hamsemi ila nchi za watu mnaongea kichizi, mnaonekana mnauchungu ila mnauoga kuliko maelezo natumaini Kuna watu watanielewa Kuna matukio mengi sana Bongo ila hamtaongelea ata kidogo😢😢😢
@MB-yq3ty
@MB-yq3ty 25 дней назад
Ukila na kipofu usimshike mkono. Matatizo ya Afrika Mengi yanafanana wakiongelea ya Niger wewe reflect na kwetu.
@komboruga4271
@komboruga4271 25 дней назад
Sisemi wanafiki but waongelee Nchi yetu
@afromixstudios
@afromixstudios 25 дней назад
Bongo sio😂😂😂
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 24 дня назад
Ww unaujua uhuru wa vyombo vya habari bongo? Au unafikiri wenzako hawapendi maisha? Au unafikiri wapo kukufurahisha ww unaishi kwa shemeji yako na kusubiri ugali? Mkuu wanafahamu fika bongo sio kama Kenya, south Africa, Ghana, Botswana, Namibia kwenye uhuru wa vyombo vya habari kupitiliza.
@hamidauhuru813
@hamidauhuru813 22 дня назад
Hawa kina kaka ningewajua miaka 8 iliyopita, nisingepata supp kizembe ..wanajua kuchambua sana, mifano na logics za kutosha. Huwa sikosi hizi session za uchambuzi.. keep it up SnS
@piussogoye
@piussogoye 25 дней назад
big up sana wana sns, nawakubar sana
@TradersEasyWay
@TradersEasyWay 19 дней назад
sns hiyo discussion ni nzuri ni eye opening kwa watz na africans in general! il kwa kifupi wanao imaliza Africa ni viongozi wetu kuwa corrupt..wazungu wana wadanganya then wanaiba vitu vya thamani kwenye nchi zetu! na ata nchi zilizo endelea unakuta zinatoa scholarship kwa nchi za Africa lakini wanavyo fundisha wafrica na raia wao ni tofauti!
@user-uu1nx8lj7f
@user-uu1nx8lj7f 19 дней назад
Asanteni Sana kwa kutuelimisha vizur mnauwezo mkubwa sana wa kuchambua by Yasinta walyuba
@abelimwakijungu1226
@abelimwakijungu1226 23 дня назад
Stori nzuri sana kutufurahisha vijiweni. Wajibu wa kiongozi kwa siasa za kimataifa siyo rahisi kiasi hicho.
@hafidhyakoub8369
@hafidhyakoub8369 25 дней назад
Kuna basic needs na luxury needs (africa tuna angalia sanaa luxury needs)
@ellykimu9288
@ellykimu9288 25 дней назад
luxury goods and necessary goods
@bobdutchbobdutch8443
@bobdutchbobdutch8443 25 дней назад
My brother's from another mother, I Appreciate for your speech I hope Tanzania people, aswa 😢 viongozi wetu wasio na ufahamu
@ezekielphilemon7343
@ezekielphilemon7343 25 дней назад
Ahsanteni saaana
@MOREDI2024
@MOREDI2024 25 дней назад
Sasa nyinyi vijana msiishie kujadili tu, leteni pia campaign/vugu vugu la nini kifanyike, changes begin with you
@msafirimaulidi5054
@msafirimaulidi5054 25 дней назад
Kesho wanakutw akhera 😢
@adronicokalumna
@adronicokalumna 24 дня назад
Kazi nzuri sns god bless you all
@isdorykiwale
@isdorykiwale 20 дней назад
Uwekezaji katika elimu latest education ni uongo brother mwenye miwani . Tujifunze kujifungia kambini na ku sacrifice baadhi ya mambo kubadili mentality yetu. Lazima tubadili mitizamo yetu Africa
@user-bt5fw8hs3x
@user-bt5fw8hs3x 25 дней назад
Ruto kakosa mwelekeo
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 24 дня назад
U don't knw the situation he is in thus y so kulalamika wajibu we2 but kuna siri apo
@canisiusibrahim9856
@canisiusibrahim9856 25 дней назад
Aise sky mko vizuri sana hawa vijana wakiongozwa na dj SMA ni wa moto sana
@hassankilengah4786
@hassankilengah4786 20 дней назад
Nyinyi mnatisha yaani hata kama wewe ni kichwa ngumu utaelewa tu. Jamani SNS ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤.
@clyvanboss
@clyvanboss 5 дней назад
DJ sma ni brave duuuu huyu jamaa anatishaaa sanaaa apewe urais
@ramagwama
@ramagwama 25 дней назад
Sns big up xanaa mnafungua xana waafrika kwa madini mnayotupa naii ni njia moja kuja badilsha maisha ya vizaz vijavyo baadae.
@cassimjohar1694
@cassimjohar1694 25 дней назад
Mko sawa
@user-qb8fx9np5x
@user-qb8fx9np5x 25 дней назад
Very good information
@aminielkombe66
@aminielkombe66 25 дней назад
Cha kwanza kabisa,,kuacha kila kitu na kuwekeza kwenye elimu bora ya SKILLS kwa 20yrs,, tutatoboa.
@user-hj4bc5uh2x
@user-hj4bc5uh2x 25 дней назад
Naelim inatakiwaboa siohii hii haitufundishi kujitegemea
@user-pj8cj7ps5b
@user-pj8cj7ps5b 25 дней назад
Safi sana elimu kwanza elimu ya ujuzi na utambuzi
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 24 дня назад
Mkipewa elimu ya kutosha mtaisumbua serikali baadae na vyama vyao wao kutawala milele, hivo elimu Itakuwa hii hii bumbuwazi ili wao waendelee kutawala milele na Daima.
@martinmendrad3531
@martinmendrad3531 25 дней назад
Daaah Bonge la session, Big up wazee
@ramadhaniseifuledi513
@ramadhaniseifuledi513 20 дней назад
Nawakubali
@dannywillson5874
@dannywillson5874 25 дней назад
Tamaaa mbaya sana wanamtumia vibaya sana
@Siasia209
@Siasia209 24 дня назад
Ahsante sana sky kwa kutuletea Henry Mwinuka kujumuika pmj na kina Aliy masubi pmj na djsma mungu awabarik
@kichenjewillian5720
@kichenjewillian5720 25 дней назад
Brighter people
@user-nv7kj3gl3o
@user-nv7kj3gl3o 25 дней назад
Njaa mbaya sana alafu ukipenda pesa sana tatizo
@sifaoksbagirishyasie2410
@sifaoksbagirishyasie2410 13 дней назад
Ahuru WA fikra Kweli Ndio unaitaji. Kupenda na kupromot vya kwetu. Utaona njinsi mtabadilisha Mambo, kidogo kidogo Kuanzia vijijini. Kuwekeza kwenye wakulima na kuwapata motisha. Kujiwrkea bei zenu.
@blueboybajos6880
@blueboybajos6880 23 дня назад
Burundi marahisi wetu wote niwa selfies yan kila mwenye anaingia pale anaingia kwaajili yatumbo lake nafamilia yake so sad Burundi tunateseka sna 😥😥😥
@abdallasaid5593
@abdallasaid5593 25 дней назад
The flying president....bure kabisa,sijui atakufa lini😂😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@IsmailiIsmaili-ec7pt
@IsmailiIsmaili-ec7pt 24 дня назад
Mko sawa vijana
@stephenhaule5055
@stephenhaule5055 25 дней назад
Nawakubali sana
@maulidomar9578
@maulidomar9578 23 дня назад
Safi sana
@khamsjabdullah691
@khamsjabdullah691 25 дней назад
Hii mada imekuwa bora na elimu tosha hata kwa viongozi wetu wa nchi endeleeni na vipindi bora mungu yuko nasi
@user-ls1ot6fs4v
@user-ls1ot6fs4v 24 дня назад
Ni kiongozi juha tena sana
@MS.independent8934
@MS.independent8934 25 дней назад
Tokea ruto atoke US amefika ana baddilika ivo nakuanza kuivamia urusi jmn njaaa mbaya
@appolonation
@appolonation 25 дней назад
DJ nataka aje Rwanda tukutane kbs 👌🔥
@vanemmy6043
@vanemmy6043 25 дней назад
Wa nyarwanda mtampa sumu Dj ,afe😢
@heridunia
@heridunia 25 дней назад
wanafuse nakubali sana mada za.umundani japo ninamda mdogo sana ila nimependa tutakutana kwenye group mwezi unaokuja inshallah.ila viongoz wetu ndo umasikin wetu tina umasikin wa viongozi kama kiongoz anaweza kuuza mgodi kwaajil ya mtoto wake na sio anaowaongoza apo nisawa na kufuga kuku alafu ukimla anakudhuru
@hamimhassan9354
@hamimhassan9354 25 дней назад
Am proud of you brother's, tunaongeza maarifa sana na am so attentive with this GPS hold by sns.
@Plus255studios
@Plus255studios 23 дня назад
Huenda ana mambo mengi kichwani ila anashindwa ku deliver. Mwafrika anapigwa na wazungu ktk kila angle its really really hard kwa mwafrika kujitoa ktk hizi chains. Wamekua wakiua chochote kinachochipuka kwenye aridhi ya Afrika wana make sure nothing good comes from mtu mwenye ngozi nyeusi Wazungu sio watu ni madudu when it comes kwenye prosperity ya watu wengine they wont make it easy for us. Nyerere na wengine wali define vyema sana Maendeleo maana yake nini, "Utu".
@hudumablack9339
@hudumablack9339 25 дней назад
Huyo Ruto hamnakitu ila NJAA tu🤯
@abrahamhabarugira2483
@abrahamhabarugira2483 25 дней назад
Sky ichi kipindi tunaomba kiwe kirefu kidogo tunakipenda sana
@yohanakashinje1548
@yohanakashinje1548 25 дней назад
Kawauza majirani
@uwimana6533
@uwimana6533 25 дней назад
Usijaribu kuweka mkataba na mzungu. Utajuta yamenikuta ,kesinimeshindwa ,Afrika kueni makini sana 😔😔
@user-kl4ye5rf3u
@user-kl4ye5rf3u 25 дней назад
Keep up men uchambuzi mzuri
@user-nk4oq4ek9y
@user-nk4oq4ek9y 25 дней назад
Nyie bro mwatutowa taka za maskio jmn salute sanaa
@SM-fu1yv
@SM-fu1yv 25 дней назад
Ni kweri huku tuna teseka stress ni nyingi pesa ukiipata madeni ni mengi kwa hiyo wala huioni hiyo pesa ni kweri kabisa kila mmoja yupo kwenye kauseling
@noelonesmo9946
@noelonesmo9946 19 дней назад
Kwanza kabla ya hapo Urusi mipaka yetu kati ya sisi na kenya. Tafadhali
@hemedmwipopo780
@hemedmwipopo780 25 дней назад
SNs Samahani Katika Uchambu wenu juu ya kile alicho kisema Rais wa Kenya Mh Rutto Kumlaani Rais wa Urusi V. Putin kuivamia kijeshi Ukraine nini athari kwa Kenya hapo baadaye?.
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 25 дней назад
Binafsi sikuwa na intrest na Simulizi za kisiasa ila kwa sasa I'm deeply, napata upeo juu ya dunia inavyoenda, hongera CEO ❤
@sultanbakary4292
@sultanbakary4292 25 дней назад
Mi pia mkuu
@mohamedmabrouk4307
@mohamedmabrouk4307 25 дней назад
🙌
@khalidimzamiru9406
@khalidimzamiru9406 24 дня назад
Kama unaikubali hii combination gonga like hapa twende sawa😂😂
@binegonshimirimanabutazima9435
@binegonshimirimanabutazima9435 19 дней назад
Hivi ni vipindi vya ukombozi wa fikra na fikra za muAfrika zitakapo komboka huko mbeleni tutapata viongozi wazalendo na tutaungana afu AFRIKA itakua huru💪🏿✊🏿
@fredirickshoo9560
@fredirickshoo9560 25 дней назад
Congratulations,kwa uchambuzi wenu makini na uweledi mkubwa katika kuchambua mambo kiundani zaidi.Mungu awabariki
@kassimkhalid1185
@kassimkhalid1185 24 дня назад
Pengine baadaye uchumi wa ulaya ya magharibi utakuwa daifu na Uchumi wa BRICS utakuwa yenye mguvu sana pengine hapo kenya wataomba kujiunga na BRICS kuna uwezakano ya kukataliwa.
@abubakarimsere
@abubakarimsere 24 дня назад
Masubi ananiinspire sana😢😢
@williammwamalanga1065
@williammwamalanga1065 23 дня назад
Hongera sana Ruto
@ivanlyimo6727
@ivanlyimo6727 23 дня назад
Kwa hiyo ni sawa Urusi kuivamia Ukraine? Big up Ruto.
Далее
Nobody Can Do it🚗❓
00:15
Просмотров 3,1 млн
Почему худеют от Оземпик?
00:37
Просмотров 66 тыс.
A Muslim Man Enters a Church - They Laughed
39:53
Просмотров 955 тыс.
Proses Buat Spoiler Hino Lohan
0:55
Просмотров 16 млн
впихнул турбину в глушитель
1:00
Почему шины стали черным🤔
0:35