@@martinisadru9899 hujaelewa mzee urusi wana madini na raw material za kutosha kama sisi same to china wao wanagombania masoko sasa kuna ulaya natural resources zao ziko limited ndo mana ni world police waibe mafuta uranium madini ivo
Kenya ina historia ya usaliti,kwanza mwanzilishi wa taifa la kenya alikua kibaraka wa mkoloni kenya tunaita home guards alikua yupo kwa mau mau usiku anaenda kwa mzungu.Walisaliti sana wapiganiaji uhuru wa Africa mfano wanaharakati wa south Africa walipokua wanakimbilia Kenya makaburu walipohitaji warudishwe Kenya iliwarudisha wakashitakiwe.Kenya ni nchi ya aibu.
Naapa kwa Mungu, mimi kwa umri huu sikupata kujua kwamba Kenya iliwahi kuwarudisha Africa kusini waliokuwa wapigania uhuru WEUSI wa Africa kusini ili wakashitakiwe na serikali ya kidhalimu ya makaburu huko SA -- pathetic, !!!!😮😮😮. If that is the case, for reparation, it have to apologize to South Afticans today.
Mimi nataka kuchangiya kitu Mimi mdgo Sana katika kufatiliya siasa na maendeleyo ya nchi za afrika na maendeleyo ya nchi za maghari, mmi naona hakuna njia yoyote kwa maendeleyo yetu zaidi ya kua na maendeleyo ya viwanda. Viwanda ndiyo vitatupa kuzalisha na kuongeza thamani ya vitu tunavyo zalisha na kuuza kuweza GDP yetu na kupata maendeleyo Ivii kweli viongizi wetu hawajuwi haya!! Hakuna nchi yoyote duniani katika historia zimeendeleza bila ya maendeleyo ya viwanda ili tu kuzalisha na kuongeza thamani ya vitu vyao na ndiyo vitu vinavyo ongeza maendeleyo ya nchi zao tuangaliye kwa mchina
SNS naikubali sana sana na sitakuja kuacha kusilikiza ila mna shida Moja nyie ni wanafiki sana leo mtaongelea Russia Ukraine American Mara Kenya lakini ukweli ni kwamba Kuna pesa zinatoka nje kila siku na hamsemi ila nchi za watu mnaongea kichizi, mnaonekana mnauchungu ila mnauoga kuliko maelezo natumaini Kuna watu watanielewa Kuna matukio mengi sana Bongo ila hamtaongelea ata kidogo😢😢😢
Ww unaujua uhuru wa vyombo vya habari bongo? Au unafikiri wenzako hawapendi maisha? Au unafikiri wapo kukufurahisha ww unaishi kwa shemeji yako na kusubiri ugali? Mkuu wanafahamu fika bongo sio kama Kenya, south Africa, Ghana, Botswana, Namibia kwenye uhuru wa vyombo vya habari kupitiliza.
Hawa kina kaka ningewajua miaka 8 iliyopita, nisingepata supp kizembe ..wanajua kuchambua sana, mifano na logics za kutosha. Huwa sikosi hizi session za uchambuzi.. keep it up SnS
sns hiyo discussion ni nzuri ni eye opening kwa watz na africans in general! il kwa kifupi wanao imaliza Africa ni viongozi wetu kuwa corrupt..wazungu wana wadanganya then wanaiba vitu vya thamani kwenye nchi zetu! na ata nchi zilizo endelea unakuta zinatoa scholarship kwa nchi za Africa lakini wanavyo fundisha wafrica na raia wao ni tofauti!
Uwekezaji katika elimu latest education ni uongo brother mwenye miwani . Tujifunze kujifungia kambini na ku sacrifice baadhi ya mambo kubadili mentality yetu. Lazima tubadili mitizamo yetu Africa
Mkipewa elimu ya kutosha mtaisumbua serikali baadae na vyama vyao wao kutawala milele, hivo elimu Itakuwa hii hii bumbuwazi ili wao waendelee kutawala milele na Daima.
Ahuru WA fikra Kweli Ndio unaitaji. Kupenda na kupromot vya kwetu. Utaona njinsi mtabadilisha Mambo, kidogo kidogo Kuanzia vijijini. Kuwekeza kwenye wakulima na kuwapata motisha. Kujiwrkea bei zenu.
wanafuse nakubali sana mada za.umundani japo ninamda mdogo sana ila nimependa tutakutana kwenye group mwezi unaokuja inshallah.ila viongoz wetu ndo umasikin wetu tina umasikin wa viongozi kama kiongoz anaweza kuuza mgodi kwaajil ya mtoto wake na sio anaowaongoza apo nisawa na kufuga kuku alafu ukimla anakudhuru
Huenda ana mambo mengi kichwani ila anashindwa ku deliver. Mwafrika anapigwa na wazungu ktk kila angle its really really hard kwa mwafrika kujitoa ktk hizi chains. Wamekua wakiua chochote kinachochipuka kwenye aridhi ya Afrika wana make sure nothing good comes from mtu mwenye ngozi nyeusi Wazungu sio watu ni madudu when it comes kwenye prosperity ya watu wengine they wont make it easy for us. Nyerere na wengine wali define vyema sana Maendeleo maana yake nini, "Utu".
Ni kweri huku tuna teseka stress ni nyingi pesa ukiipata madeni ni mengi kwa hiyo wala huioni hiyo pesa ni kweri kabisa kila mmoja yupo kwenye kauseling
SNs Samahani Katika Uchambu wenu juu ya kile alicho kisema Rais wa Kenya Mh Rutto Kumlaani Rais wa Urusi V. Putin kuivamia kijeshi Ukraine nini athari kwa Kenya hapo baadaye?.
Hivi ni vipindi vya ukombozi wa fikra na fikra za muAfrika zitakapo komboka huko mbeleni tutapata viongozi wazalendo na tutaungana afu AFRIKA itakua huru💪🏿✊🏿
Pengine baadaye uchumi wa ulaya ya magharibi utakuwa daifu na Uchumi wa BRICS utakuwa yenye mguvu sana pengine hapo kenya wataomba kujiunga na BRICS kuna uwezakano ya kukataliwa.