Тёмный

EXCLUSIVE: MKE WA BONGOZOZO AFUNGUKA "NIMERUDI NYUMBANI, TUMEACHANA, BONGOZOZO SIO FBI WALA CIA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 247 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

10 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 708   
@shijacs23
@shijacs23 3 года назад
Interview nzuri sana. Dada yuko vizuri. Aliyegundua dada hana "R" ana "L" tu gonga like tuendelee mbele!
@saidasimba9979
@saidasimba9979 3 года назад
Wahehe hawana R ..hapo ndo tuliferi
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr 3 года назад
@@saidasimba9979 hahahahaha uliferi
@khalidndemo4386
@khalidndemo4386 3 года назад
Sisi wahehe hatunaga R tunaweka L Tu na tunaeleweka fresh
@onlytecna9498
@onlytecna9498 3 года назад
Miaka alubainiiii 😹😹😹
@fatmahchambo3131
@fatmahchambo3131 3 года назад
@CSS mungu anakuonaaaa.....🤣🤣🤣
@ernestmbwana6282
@ernestmbwana6282 3 года назад
Amenifundisha somo kubwa kuwa Ukioa/kuolewa na mzungu au ukiiishi uingereza sio lazima uingize maneno kama ok,ofcourse na Yugara
@evancesolomon4544
@evancesolomon4544 3 года назад
Ha ha ha hiyo ni tibia ya mtu tu..Nimekaa sana mahali pasipozungumzwa kiswahili lakini sio kweli haiwezekani kuzungumza kiswahili bila kuchanganya
@giftmush5297
@giftmush5297 3 года назад
Aaaaaah aaaah
@queenwinnie256
@queenwinnie256 3 года назад
Kabisaaaaaa
@chullakoi1508
@chullakoi1508 3 года назад
Yes mm pia nimeifeel bro huyu demu ako mreal.
@ukweliunauma4570
@ukweliunauma4570 3 года назад
Hao wanao jifanya you know , au kizungu kibovu dar ni washamba tu
@33-synchronized
@33-synchronized 3 года назад
Dada hachanganyi English na kiswali na amekaa London sasa ukutane na mwakipesile hapa dar tu utaskia you know its like hahah
@benardmapuga8370
@benardmapuga8370 3 года назад
Ahahahaaaaaa hatari sana
@abuundevu3258
@abuundevu3258 3 года назад
Hahaha
@salumntulo1589
@salumntulo1589 3 года назад
Angekuwa diva hapo tungepata shida sana
@teychriss3248
@teychriss3248 3 года назад
😁😁😁
@benjaminchagu4236
@benjaminchagu4236 3 года назад
Hahahaa umetisha sana
@chullakoi1508
@chullakoi1508 3 года назад
Mara ya kwanza mtz amekaa ulaya na hana ubishooo..❤❤
@janetwandeharris3934
@janetwandeharris3934 3 года назад
Hata mm naishi UK nina baba watoto wangu mwingereza lkn tunaishi tofauti. Yuko Munich niko UK. But nikija bongo napenda real life mtaani siyo siwezi kukaa Hotel lkn napenda maisha ya kawaida km muBongo vichochoroni. Walio na nyodo ni wapuuzi
@josephstephen2047
@josephstephen2047 3 года назад
Sasa london si kijijini tu ana kipi cha kuringia kwa kukaa london
@kyaro5945
@kyaro5945 3 года назад
Dada yangu wa kichaga! Bongo zoo is your real man. wote mko sawa na mnafaana. That's true love. I support you!
@Shakira-Nb
@Shakira-Nb Год назад
Mhehe huyu bhn wa iringa
@beatricetenywa4367
@beatricetenywa4367 3 года назад
Kwakwel huyu,dada hanaga maneno wala dharau kwa mtu.wanaomdis ni stress za maisha tu 🤣mim nachoona ni mtu ambaye hajazoea media.
@G.S985
@G.S985 3 года назад
Hongera Dada,wewe ni mwanamke shupavu na unamaamuzi mazuri sana,asante kwa kutufunza mama.
@janetwandeharris3934
@janetwandeharris3934 3 года назад
Kweli kabisaa wazungu si km sisi waAfrica mm pia km Carol baba watoto wangu tuliachana lkn tuko marafiki saaana! Yuko Munich sasa lkn mm naenda Munich kumtembele a na yeye akija UK anakuja nyumbani anaingia jikoni anatupikia chakula au anatutoa kwa dinner pamoja. Kifamilia sijawahi kutoka mama mkwe na wifi yangu tupo vixuri km nilivyo kuwa pamoja na Mme baba mapacha wetu. Hongera Carol.
@slimmbaazi1452
@slimmbaazi1452 3 года назад
mbona watu wanahate sana huyu dada,...hiyo R na L mbona wabongo wengi wanayo,....give the lady a break
@samwelsengati1369
@samwelsengati1369 3 года назад
Ndivyo walivyo wabongo
@mohammedally2289
@mohammedally2289 3 года назад
True
@raymondclaud6026
@raymondclaud6026 3 года назад
Kawaida hata mimi ninayo na inanisumbua sana!
@Da-cr6ow
@Da-cr6ow 3 года назад
Mtu haoni lake
@ramamtetu2327
@ramamtetu2327 3 года назад
Hata Wenyeji Wa Rufiji pia Wana L Hawana R Hivyo Wanachanganya tu Na Wenyeji Wa Kule Kondoa Wao wana R hawana L Vivyo hivyo Waarabu hawana P Wao Watumia B kwenye P Pakistan Wanaita Bakistani Hii ni Kawaida Sana
@haylaomar5863
@haylaomar5863 2 года назад
Mimi nimezaliwa uzunguni lakini kiswahili changu ni kizuri. Tena toka mtoto mimi na ndugu zangu tunabonga kiswahili, ukiona wale wenye kuweke english mbele basi jua huyo mshamba...Namshukuru mungu kunifanya African😍😍😍
@harithharith9532
@harithharith9532 2 года назад
Saf kabisaaa
@queenwinnie256
@queenwinnie256 3 года назад
Hivi wengine ambao hata ulaya hamjafika lkn mnasumbua kwenye interview lugha mnachanganya sana,
@sophiamfikwa7340
@sophiamfikwa7340 3 года назад
Kweli kabisa
@azizawadh5973
@azizawadh5973 2 года назад
Ambaruti
@shijacs23
@shijacs23 3 года назад
Penzi likifika hapo ni hali ya hatari, hamtakani lakini mnatakana basi ni full kuchanganyikiwa hamjui mfanye nini!! Yasikie tu kwa mwenzio! Poleni!!
@jamalahmed7057
@jamalahmed7057 3 года назад
Body language ya huyu dada inasomeka kama hivi bado dada anampenda bongo zozo lakini bongo zozo hajatulia
@lumark5837
@lumark5837 3 года назад
CSS.... Kuna Dada mmoja kutoka Kenya aliachana na mumewe akaishi kama huyu dada na mumewe Bongo Zozo, huyo mkenya na mumewe mzungu walikuwa marafiki sana ingawa wame separate, siku ya siku yule bwana mzungu alimuua mkewe na kumfukia hapo hapo nyumbani. Ila aligunduliwa na kufungwa
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 3 года назад
Separation na kuendelea kuwa marafiki ni kitu cha kawaida
@suzansimon5296
@suzansimon5296 3 года назад
😂😂😂
@jovinathasavoie8018
@jovinathasavoie8018 3 года назад
Maisha yetu ya nje unaweza kubaki friends na ex mume au mke na mka co parent wakati kila moja anamaisha yake,so inshort everyone moved on lakin wanalea watoto, najua african countries ngumu kuelewa lakin ukiishi nje utaelewa,hakuna kuhacha kwa kupigana au kuumizana.life goes on.ni common sana mbona.
@kondesaidi2040
@kondesaidi2040 3 года назад
Sawa kaka wa us & uk 🤣🤣
@lumark5837
@lumark5837 3 года назад
Jovinatha Savoie.... Bora ajirudie nyumbani na iwapo ana investment alijiandaa uongo Tanzania maisha ni mazuri saana
@jovinathasavoie8018
@jovinathasavoie8018 3 года назад
@@lumark5837 ,ndio wengi saiv wanarudi nje kuna pendeza fanya kazi na kurudi sio ishi tanzania,sema kama anafanya nursing walaipa vzr nje,so she makes money. Moe mwenyewe nampango wa kujenga kigambon nina kiwanja changu beach plot tiyar sitaki shida za nje
@albs1448
@albs1448 3 года назад
Mimi nimeachana na mcanada wangu, tupo best friends na hatuna watoto, nimeolewa na mmarekani na wote watatu tupo marafiki tena ex husband na mume wangu wanaenda mpaka camping pamoja,movies etc. Hao ndio wazungu sasa, hamna ngumi na mtoto wetu na mume wangu mmarekani, baba yake wa ubatizo ni ex husband wangu mcanada,mpaka familia yangu haielewi uhusiano wetu, tupo vizuri and best friends.
@Shammy-rn3tn
@Shammy-rn3tn 3 года назад
@@albs1448 duh! hapa bongo ni issue hiyo. unajua hapa watu hawana trust na vitu kama hizo.
@Fm-MornStar2014
@Fm-MornStar2014 3 года назад
Sio raisi kwa sisi Waafrika kuelewa tamaduni za Ulaya. Yaani hata wanandoa wakitalakiana huko, bado baba na mama wanalea watoto pamoja kwa furaha tofauti na sisi. Pia Ulaya mnaweza kuishi kwenye mahusiano na kulala nyumba moja bila kufanya chochote hata miaka.
@salmaluhombero8466
@salmaluhombero8466 3 года назад
Dada mzuri huyu wow
@walterp.makundi5640
@walterp.makundi5640 Год назад
I salute you guys thats great decision! Mama you are great!!!
@mohammedothman969
@mohammedothman969 3 года назад
Hongera dada unahekima wewe na Baba watoto wako . Hiyo njia yako ni fundisho kwa familia nyingi . Tafadhali usiwape mashetani njia . Na Mungu atakpa nguvu zaidi maana mama ndio nguzo ya maisha ya binadamu. Tunakupeda kwa dhati.
@irenembura5684
@irenembura5684 3 года назад
Life starts at 40 usijizeeshe!! You look very young. Utapata mwenzako mradi uwe makini na atakayekuja asikufanye daraja la kufika anapopataka!!
@leonardrichard2336
@leonardrichard2336 3 года назад
Hongera dada kwa kumuombea baba watoto wako mazuri kwa faida ya watoto wako, hata kama mumeachana sio kama wanawake wengine wakiachana na wenza wao wanawaombea hata wapatwe na mabaya,pia hongera kwa kumuongelea vizur mumeo wa zamani tofauti na wengine wangepata nafasi kama hii wangewaongelea vibaya sana wenza wao
@tallyfa05saeed67
@tallyfa05saeed67 3 года назад
Nimependa inteview yote kaongea KISWAHILI hakuweka swaga za kizungu
@asinatjuma8088
@asinatjuma8088 3 года назад
Kabisa inapendeza sana
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 3 года назад
Ni kweli utapenda kumsikiliza...
@ashahussein3247
@ashahussein3247 3 года назад
Badilisha mindset kizungu muhimu sana
@yakoboyohana8811
@yakoboyohana8811 2 года назад
Hongera Sana mama hujishebedui kuingiza maneno ya kingereza umesimamia kiswahili !!kiukweli umenikosha sana
@yukundapeter7986
@yukundapeter7986 3 года назад
Jamani hajidai ng'oo! Mtoto wa cster wangu kamaliza u-doctor miaka 8 Marekani,haringi wala huwezi jua km ni msomi,Mungu 2jalie 2ache majigambo
@sudymgeni701
@sudymgeni701 3 года назад
Msimtukane msikilizeni mwacheni.kama alivyo wenzenu anaweza nyinyi amuwezi
@thomasraiton7760
@thomasraiton7760 3 года назад
Kuwa mkweli nilichogundua ni Bongo zozo ana mambo mengi japo anakupenda sasa amekuumiza mara kadhaa ukavumilia ila kama binadamu yakakufika HAPA!. ikabidi umwache huru ili kuinusuru roho yako na maumivu, (japo unampenda) na kikao kilifanyika kati ya ninyi wawili mkakubaliana kila mtu awe huru ktk suala la mahusiano ila watoto mtalea pamoja. katibu ku like kama u.enielewa.
@latifachilala2015
@latifachilala2015 3 года назад
Ivyo Yani jamaa atakuwa anavuta bangi
@janethnambuyu4075
@janethnambuyu4075 3 года назад
Nimekpenda ww dada mwenyezi mng awajalie maelewano
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 3 года назад
Huku Europe kukaa pamoja wakati wametengana ni kitu cha kawaida sana.
@dr.madevualcantara4775
@dr.madevualcantara4775 3 года назад
Wachafu sana yaani mushaachana na bado munatiana na huku munajua kua mwenzio ana demu mwengine au mwanaume mwengine lakn bdo muna sex kama sio uchafu ni nini?😳
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 3 года назад
@@dr.madevualcantara4775 No si hivyo soma vizuri uelewe msg yangu, kukaa pamoja si kwamba wanashirikiana kimapenzi la hasha, wanakaa pamoja na kila mtu anamaisha yake na watu wao wapya hope umeelewa, kwasisi wa wafrica haiwezekani hata ukipinga nitakuelewa ila huku Europe ni kawaida sana mpendwa mimi nimeshuhudia.❤
@dr.madevualcantara4775
@dr.madevualcantara4775 3 года назад
@@aminanamoyo83Impossible..nakwambia shetani hakai mbali ktk hali hiyo haijalishi mzungu au muafrica wenyewe munaita kupasha viporo ni kawaida kwenu kma na ww ni wa hizo c ufunguke tu..hakuna jipya nowdays tumejizoelea kuona huo uchafu 😳🇶🇦
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 3 года назад
@@dr.madevualcantara4775 vyovyote unavyofikiri mpendwa waweza sema mawazo yako yanavyokutuma uko huru, mimi nimesema kile ambacho nimeshudia kwa macho na si kuambiwa, but I appreciate hisia zako.❤
@dr.madevualcantara4775
@dr.madevualcantara4775 3 года назад
@@aminanamoyo83 👍pamoja 🇶🇦
@Binti1801
@Binti1801 3 года назад
Dada angalia Mr & Mrs Smith movie ndio utajua unaweza kulala kitanda kimoja na mtu maisha yako yote na usijue kama mpelelezi😁😁😁
@mimiapa8436
@mimiapa8436 3 года назад
Bongo zozo hana upelelezi wote wacheni ujinga nyie
@Officialboys.
@Officialboys. 3 года назад
Au ndo ndoa za mkataba izo maana wazungu mara nyingi wanafunga ndoa hizo
@stelacharles8867
@stelacharles8867 3 года назад
Beautiful
@rosehillary8742
@rosehillary8742 3 года назад
Hayo ndo maisha sio sisi Africa mkiachana atakusaka kichakani akuue. Tujifunze jamani penzi linafikaga mwisho Mnaachana nakuelewana kama marafiki nakulea watoto nakuwekeza kwa watoto wenu Nimeelewa sana na kila mtu anakuwa na mpenzi wake separately
@kondesaidi2040
@kondesaidi2040 3 года назад
Kweli dada m nakusubiri
@rosehillary8742
@rosehillary8742 3 года назад
@@kondesaidi2040 cjakuelewa
@kondesaidi2040
@kondesaidi2040 3 года назад
@@rosehillary8742 Lifike mwisho🙄 au hujaolewa🤣
@ambokileasheengai1140
@ambokileasheengai1140 3 года назад
Huko ni Uke jamii ya waafrika ndiyo wanahathirika na corona mhhh ,,Wakti ulaya nyingi wanaokufa wengi ni wazungu,,we dada vipi,,mi nafanya kazi pia Hospital huku italy ,wazungu manesi na madaktari ndio waliokufa ,,hakuna mtu mweusi,,ohh nasikia tofauti sasa
@godfreymushi13
@godfreymushi13 3 года назад
Media Zina tengeneza propaganda kuficha ukwel wa mtu mweus ata yes tunachorewa mzungu wakat mzngu kwa biblia hayupo Wala kuran Sana labda Paulo akiwa amewandkia barua kuwaonya warumi
@ambokileasheengai1140
@ambokileasheengai1140 3 года назад
@@godfreymushi13 Yesu alikuwa muebrania,, hakuwa mweusi,, sawa Israel siyo weusi,,, ila ni wale weupe ambao wakipigwa na jua wanabadilika rangi,, hata wazungu wabatofautiana rangi,, ukiishi nao ndio utajua wako weupe sana wale scandanavia na wako hawa walatini wamechanganya na waarabu,,,, tuache,, maybe labda weusi wa UK,,, hawapati good meals na wa nakula majunky food kama wazungu,, wanakuvimbisha tu hayakupi all vitamins
@marycianajulius8831
@marycianajulius8831 3 года назад
Dada hongera kwa uvumilivu ,ila nimejifunza kitu kutoka kwako ,wanaokusema vibaya Ni wivu na chuki zao binafsi nakupenda dada ❤️😘
@AminaBadru
@AminaBadru 3 года назад
Bogo zozo mrudie mkeo mmetoka mbali xana enzi za shule tena hna kitu tnzeni familia
@ninabintizion1411
@ninabintizion1411 3 года назад
Huyu ni mzuri sana, ila hakuna ndoa.
@aishahussein3879
@aishahussein3879 3 года назад
Mdada mzur na haringi😘
@rajabutumbo9364
@rajabutumbo9364 3 года назад
Mtarudian 2
@theonasmkoba6121
@theonasmkoba6121 Год назад
Huyu mama Zozo nimependa sana kwa kuithamini lugha yake. Lakini hii ni kutokana na kuwa Bongo Zozo ni Mswahili
@ambokileasheengai1140
@ambokileasheengai1140 3 года назад
We muuliza swali nafikiri hauko kwenye ndoa,,hayo mengine huwezi kuyajua mpaka uwe umeoa,,,,Hiyo Kwa huku ulaya inaitwa openly coppie sawa,,,,
@giftmush5297
@giftmush5297 3 года назад
Sawa
@user-un3df1sl2h
@user-un3df1sl2h 3 года назад
Inaonyesha uyu dada anamengi ambayo anapitia kuusu m'bongo zozo sema.ataki kufunguka,ila.wabongo sio watu wazuri mana sio kwakumjaji uko
@zabronnkoy3167
@zabronnkoy3167 3 года назад
Kwa maana hyo Bongo zozo alikuwa anatembea na mwanafunzi wa secondary ..??
@maverickcreativesolutions8285
@maverickcreativesolutions8285 3 года назад
wewe secondary ulikua hutembei na wenzako?
@bintimrope
@bintimrope 3 года назад
@@maverickcreativesolutions8285 😂😂😂😂😂
@victormneney1475
@victormneney1475 3 года назад
We ulitaka atembee na waprimary
@swaumdodoma7591
@swaumdodoma7591 2 года назад
@@maverickcreativesolutions8285 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@swaumdodoma7591
@swaumdodoma7591 2 года назад
@@victormneney1475 😂😂😂😂😂😂😂😂
@robbyissack8575
@robbyissack8575 3 года назад
Nimempenda huyu Dada,yupo vizuri
@aishaelias3867
@aishaelias3867 3 года назад
Kwa haraka haraka wanaishi maisha ya kawaida sana..
@kessynurutajiri4940
@kessynurutajiri4940 3 года назад
Nyooosha maelezo, kifupi hakuna Ndoa.
@venerandamwalimu16
@venerandamwalimu16 3 года назад
Hahaaaaaa
@madamloveness7274
@madamloveness7274 3 года назад
Huku ndiko kuachana kusikoumiza 💞💞💞💞
@danielnjowoka9412
@danielnjowoka9412 3 года назад
😁😁🤔
@evankya1955
@evankya1955 3 года назад
This is beyond co-parenting, wanaishi pamoja different bedrooms for all those years. Salute to both of them
@charitybaya5351
@charitybaya5351 3 года назад
Dada wa kwanza Tanzania kukubali colour yake
@queenwinnie256
@queenwinnie256 3 года назад
Color tupo ndugu sema ulimiiiii wa kingeri you know,
@mbarikiwambarikiwa3988
@mbarikiwambarikiwa3988 3 года назад
Ni kwa kuwa aliolewa na Mzungu, wazungu hawapendi wanawake wanaobadilisha rangi ya ngozi zao.
@ashaali7154
@ashaali7154 3 года назад
TZ kuachana ni vita vya mwisho vya dunia lakini wenzetu wanajua kuwa kuna maisha baada ya kuachana wanaendelea kuwa marafiki wanashirikiana kwa kila jambo ili kuimarisha familia zao.
@vanesaalberto8479
@vanesaalberto8479 3 года назад
Ayo maisha ndio ninayoyapenda sana
@rahimamkumbo3238
@rahimamkumbo3238 3 года назад
Wahehe hawajui kiswahili
@janekikoti2179
@janekikoti2179 3 года назад
Wewe kwenda huko hawajui kiswahili nani kakwambia nenda huko
@enockrwehumbiza3555
@enockrwehumbiza3555 3 года назад
Mbn bongo zozo anasemag mke wake mchaga
@callmesubra5472
@callmesubra5472 3 года назад
Caro ni msambaa mixer mchaga japo amekulia iringa
@mtasma1994
@mtasma1994 3 года назад
Wale wanaoponda kisa r na l mbona hamsifii uwezo wake wa kuongea bila kuchanganya kiingereza? Maana dada zetu wa kazula mimba hawa ungesikia u know, ooooh coz bumbafu
@rewaatesh4877
@rewaatesh4877 3 года назад
Huko bongo movie ndio wahivyo.. Ujinga mtupu
@beatuskazimily457
@beatuskazimily457 3 года назад
Kwel man ungeckia I know but ujinga mtp
@dickchambilo9138
@dickchambilo9138 3 года назад
Wanaomdis huyu dada ni wajinga tena Sana,Hana maringo hata kdogo, Kuna wale wadada zetu hata ulaya hawajawai kufika ,lkn utaskia" offcoz , yes ,no, u know, Hawa bado wanamaisha mazuri Sana ndo maana wanaenda na kurudi ulaya Kama vle kariakoo
@captendunga1392
@captendunga1392 3 года назад
Jimbo liko wazi hilo ni kutangaza nia na kuchukua fomu tuu hapo bila kuwashirikisha wajumbe.
@subiradalabu6616
@subiradalabu6616 3 года назад
😀😁😆😀😀😀
@zakiamseka9698
@zakiamseka9698 3 года назад
🤣🤣🤣
@ramamtetu2327
@ramamtetu2327 3 года назад
Hahahahahahaaa Natangaza Niya
@jumabakar6900
@jumabakar6900 2 года назад
Assalamu alaikum. Naomba mniunganishe na bongozozo. Nina dili la old coins. Nahitaji anisaidie kupata market. Nisaidie bro. Kuniunganisha nakupa dili ILO. Nyanyuka tuamke. Good luck.
@wilfredjackson6743
@wilfredjackson6743 3 года назад
Dah!! Mmeachana kumbe, ila mtarudiana
@shijacs23
@shijacs23 3 года назад
Watoto wakiwa hawapo home jamaa huwa anapoza hiyo tusidanganyane!!
@user-un3df1sl2h
@user-un3df1sl2h 3 года назад
😂😂😂😂
@salumntulo1589
@salumntulo1589 3 года назад
Hata wakiwepo kwani inawahusu nini
@dasilvajacmwax7436
@dasilvajacmwax7436 3 года назад
@@salumntulo1589 hahhah salum bana
@beatricetenywa4367
@beatricetenywa4367 3 года назад
Wanapasha kiporo🤣
@agatastanslaus4657
@agatastanslaus4657 3 года назад
😁😁😁😁😁😁😁😁😁
@MikiGermany210
@MikiGermany210 3 года назад
Hiyo ndio ulaya uwezi kuachana alafu usimuone mkeo wala watoto, kuachana sio vita, muhimu watoto wapate haki zao Za kuwa na baba na mama
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 3 года назад
Dada wengi wana kuonea wivu, wana comment UJINGA, una bahati sana, USIJALI.
@sulemandaud2967
@sulemandaud2967 3 года назад
Aisee mm sijaelewa kabisa sijajua tatizo kubwa lipo kwangu au kwa mzungumzaji🤔
@amimubecha3241
@amimubecha3241 3 года назад
🤣🤣🤣🤣
@namsifumaduhumwita2495
@namsifumaduhumwita2495 2 года назад
😆😆😆😆
@user-lt6zz8lu8e
@user-lt6zz8lu8e Год назад
❤❤❤ ndomn nampenda mama
@mtumzito7268
@mtumzito7268 3 года назад
Huyu hata kingereza kitakuwa kinampa tabu maana R na L kwake nitatizo kubwa. Right ata tamka light hapo maana itabadilika kabisa
@samwelsengati1369
@samwelsengati1369 3 года назад
Mmmmmhhhhhh
@hajiha6507
@hajiha6507 3 года назад
Haaaaaa
@alexandermkwemba7985
@alexandermkwemba7985 3 года назад
😂😂😂😂😂
@onlytecna9498
@onlytecna9498 3 года назад
😹😹😹😹😹😹😹comment zzza Reo zinanichekesha sana acha niende kuraaa nikararee 😹😹😹
@ericron6115
@ericron6115 2 года назад
Kweli kabisa hakijui
@noorkhamisi2490
@noorkhamisi2490 3 года назад
Nimempenda huyu Dada katika mahojiano yote hakuna you no wala you yes kanyoosha kiswahili mwanzo mwisho lakini kwajinsi ninavyo wajua mbongo atoke nnchi za wazungu kingekuwa kingeleza tupo kiswahili kidogo sisi tusio soma tungetoka patupu kwenye haya mahojiano
@andersonchibule4761
@andersonchibule4761 3 года назад
Muingereza akuoe, akuzalishe but kuzeeka pamoja hiyo ni kipengele... Chezea watu weupe wwe🙄☹️😩
@upendotarimo9324
@upendotarimo9324 3 года назад
@Zawadi Issa Ni mtazamo wako tu Ila c kweli kama unavyofikir hata bongo kwa kizazi hiki ndo balaa kabisa
@hajiha6507
@hajiha6507 3 года назад
Hoja ya Chibule ina logic. Hua hawazeeki na waswahili
@depaolo3461
@depaolo3461 3 года назад
Wajumbe mbona povu sana😂😂😂 mmesahau fujo isiyoumiza😂😂😂 Sasa huku ndo kuachana kusikoumiza...
@beatricetenywa4367
@beatricetenywa4367 3 года назад
Stress za maisha ndugu 🤣🤣
@nyamkamawanjara29
@nyamkamawanjara29 3 года назад
😄😄😄
@ramadhanmasiku4105
@ramadhanmasiku4105 3 года назад
Japo ameishi England lkn hajasahau lafidhi ya kinyalu ingekuwa wengine angeongea kiswanglish ng'o ng'o00
@loner_wolf
@loner_wolf 3 года назад
Naangalia comments naona watu wanabishana tu na huyu dada, lkn wazungu kukaa nyumba moja na mwanamke bila kumtamani ni kawaida ndiomaana wao baba na mtoto wa kike wanawezavkuogelea kwenye pool na vichupi kbsa kitu ambacho kwa mbongo itakuwa kesi tu 😀😀😀😀
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 3 года назад
Wape somo
@zuriathkajwangya1724
@zuriathkajwangya1724 3 года назад
Tena sana tu mbona wengi especially waingereza ndo zao hizo wala sio kitu cha kushangaza kabisa
@kauzubanda3150
@kauzubanda3150 3 года назад
Maisha haya yanawezekana ila ni kwa watu wenye High understanding capacity na high IQ.
@queenrwegasira9891
@queenrwegasira9891 2 года назад
Daaaah yani navuta taswira kiukweli inataka uwe na uwezi mkubwa wa kubeba na kuchukulia kawaida
@Martin-ix8xh
@Martin-ix8xh Год назад
Ndoa za mkataba ni kawaida Ulaya na Ukweli Mungu awaponye Watoto wao
@klystry1234
@klystry1234 3 года назад
dah pongezi sana
@fatumayassin1974
@fatumayassin1974 3 года назад
Upo vizuri mama
@dr.jonathanstephen4531
@dr.jonathanstephen4531 3 года назад
Great woman
@joycejackson2320
@joycejackson2320 10 месяцев назад
Hii ndio faida ya kuwa marafiki kwanza ndipo muowane lkn mkioana tu kwa ajili ya mapenzi tu ! mapenzi yakiisha mtachina!!!!
@drvaxminja2133
@drvaxminja2133 Год назад
Hakukuwa na sababu ya separation maana bado mnapendana. Kwani kuna ufahari gani kuachana
@shillingandpence
@shillingandpence 3 года назад
oh shit, nimeshindwa kuendelea kumsikiliza huyu demu yaani hajui kutamka ri kabisa? ulafiki, kufulahi, nzuli wtf!
@ansilaulotu7178
@ansilaulotu7178 3 года назад
True
@teychriss3248
@teychriss3248 3 года назад
Kama Ebitoke
@leticiachunga9118
@leticiachunga9118 3 года назад
Kashasema ameishi IRINGA sasa nini unashangaa Nini?kawaida kwa watu wa huko
@ahmed-shakirmwamba4992
@ahmed-shakirmwamba4992 3 года назад
@@leticiachunga9118 mbona hata Magu anatamka mladi na Balabala. Nadhani Kiswahili kinachafuliwa Sana na Watanzania bara. Anshu hata baadhi ya watangazaji wameshapitwa kabisa kutofautisha L na R. Naona unaweza kuona kiwango cha Elimu tulipofikia.
@moniegabriel1361
@moniegabriel1361 3 года назад
Dada jielezee vizuri sio kucheka cheka sawa maana you have nothing better sawa
@hassanchauluwa7308
@hassanchauluwa7308 3 года назад
Kama Kuna mtu kagunduahuyu mama bongo zozo mjanja² naomba tujuane.
@nancyfamilysharesmoments7634
@nancyfamilysharesmoments7634 3 года назад
Kalikuwa kahun enzi zake bongo zoz alikuwa anakavumilia, kajanjakajanja sana kachaga haka hahah
@lumark5837
@lumark5837 3 года назад
nancy Mwaibula..... Kumbe ni mchaga, basi mimi nikifikiri ni mtu kabila wa Iringa
@noxlosingida2369
@noxlosingida2369 3 года назад
@@nancyfamilysharesmoments7634 mbona hayupo kabisa uchagani yaani kama mtu wa Iringa vile
@hectorychibele7082
@hectorychibele7082 3 года назад
@@noxlosingida2369 watu wa Iringa wapoje?
@noxlosingida2369
@noxlosingida2369 3 года назад
@@hectorychibele7082 kiswahili chake kina fanana na wa Iringa
@hamzarifai665
@hamzarifai665 3 года назад
Huu ni utamaduni wa nchi za magharibi wengine wanaita open relationship, kibongo bongo kwa mila na desturi zetu ni ngumu sana
@idrissatuppa3997
@idrissatuppa3997 3 года назад
Huyu kesha achwa tayari🤔 Kwa Majibu hayo jimbo lipo wazi.
@shijacs23
@shijacs23 3 года назад
:)))
@kingibandajembe2247
@kingibandajembe2247 10 месяцев назад
Wachaga siyo watu waiting hamza mke
@tambwe
@tambwe 3 года назад
Usikosi kutazama filamu ya kiswahili kutoka burundi kwenye compny ya TAMBWE ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-OzGpc_tJgVo.html
@sophiamfikwa7340
@sophiamfikwa7340 3 года назад
Naomba namba ya huyu Antii jomoni please nahitaji nizungumze Naye jambo
@johnjoseph3773
@johnjoseph3773 3 года назад
Daaah unajaribu kuitetea sababu yako lkn haingii akilini anyway! Ndo maisha lkn umeyachagua!
@irenewile
@irenewile 3 года назад
Jibu swali khaaa ,mizunguko Sawa ,unanipotezea mda.
@teychriss3248
@teychriss3248 3 года назад
Nikama namsikiliza Ebitoke hapa!
@jamalahmed7057
@jamalahmed7057 3 года назад
Umeona eeh
@dickchambilo9138
@dickchambilo9138 3 года назад
Wivu tuu, fyoooooo!
@faithmshindi7737
@faithmshindi7737 2 года назад
😁😁😁😁😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣
@KadeejaKadeeja-ej4bu
@KadeejaKadeeja-ej4bu 11 месяцев назад
Mashallah ongera sana mama zozo nimekupenda sana namm nitafutie zungu moja😂😂😂😂
@ummahmed3354
@ummahmed3354 Год назад
Thats too much information to put in public....so vizuri kuuliza maswala ya ndani kama haya si vizuri...
@irenembura5684
@irenembura5684 3 года назад
Big Up👍🏻Wewe lea watoto wako? Mshukuru Mungu mko pamoja.
@BidayoTV
@BidayoTV 3 года назад
Hawa jamaa hawajaachana zuga tu iyo. They love each other
@baby16mariki48
@baby16mariki48 3 года назад
Hahaaaaa umenifanya nicheke eti zuga tu😄
@user-id7lc7tk4d
@user-id7lc7tk4d 2 месяца назад
Dada hawezi kujieleza haeleweki
@khalidndemo4386
@khalidndemo4386 3 года назад
Mmwandishi kasema , mambo vip Kaka
@carenseleman7424
@carenseleman7424 3 года назад
Kasema caro
@gidiongidy9252
@gidiongidy9252 3 года назад
Kuachwa kusiko umizaa ndo hii. ila kuku kashaliwa hapo kuna manyoya tu
@KhadijaKhadija-cv9db
@KhadijaKhadija-cv9db 3 года назад
Dada umeniach njia Panda sijui nishukie wap🤔🤔
@joselampard649
@joselampard649 3 года назад
Hahahaaa apoapo ulipo
@aaa64sa13
@aaa64sa13 3 года назад
@@joselampard649 😁😁
@EK-kp2np
@EK-kp2np 3 года назад
Hizi taarifa binafsi za huyu mama zinasaidia nini jamii?🤷🏼‍♂️
@magynzioka1122
@magynzioka1122 3 года назад
Divorce sio uwadui
@kyaro5945
@kyaro5945 3 года назад
personal expression is crucial ili wengine wajue! vijana wanabadilisha maisha from traditional to liberal life. Hawa wawili after 20years wanarudiana.
@soloartist_ivanvespalusind1609
@soloartist_ivanvespalusind1609 3 года назад
Kumbe maneno ninayoyasikia Kwake kama vile before na iliwa-confuse n.k ni kiswahili! Mh! Katika ulimwengu huu mtu kuchanganya Lugha hususani Lugha yake na Kiingereza ni kitu kisichokwepeka kwa sehemu kubwa sababu muingiliano wa Lugha ya kiingereza na maisha yetu ni mkubwa mno katika nyanja mbalimbali za maisha mfano teknolojia na Mawasiliano, biashara, Elimu, n.k. Hivyo kiingereza kimetuathiri kwa sehemu fulani. Kwahiyo kumtaka kila mtu azungumze bila kuchanganya na neno hata moja la kiingereza ni kumuweka mtu huyo kwenye chumba cha mtihani. Ngoja mtu awe huru kuzungumza mradi tumuelewe, labda shida iwe kwa wale wanaofanya hivyo kwa kujionyesha au kujifanya.. vinginevyo wote tupo darasani. @ iidelphonse Kisasi
@annachavala4833
@annachavala4833 3 года назад
Dada nimekuelewa mnaotukana mna stress za maisha
@salmaabdulla5214
@salmaabdulla5214 3 года назад
Huyu Dada anafuata maisha ya wazungu yakuwa separate.huyu bwana akipata mwanamke atahama tu.
@stevemkwabi2919
@stevemkwabi2919 3 года назад
Duh we ni mwanamke wa pekee Sana unamoyo wa plastic!!!
@subiradalabu6616
@subiradalabu6616 3 года назад
😁😀😊😁😁😂😂
@aikamosha5644
@aikamosha5644 3 года назад
Ila nyooosha maelezo hapo! Jibu nikwamba mmeachana basi,.
@princess-uf5ux
@princess-uf5ux 3 года назад
Hmmm
@stellamwasha1409
@stellamwasha1409 Год назад
@salhamrisho8138
@salhamrisho8138 3 года назад
Mashallah maboork
@dicksontewele3667
@dicksontewele3667 11 месяцев назад
dada muongeaji kichiz aisee
@waidaamon457
@waidaamon457 3 года назад
safii mnyalu
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 3 года назад
Mashallah, hongera sana Dada, nimependa interview yako. 😘😄
@sikudhanimohammad7692
@sikudhanimohammad7692 3 года назад
Ww mdada nimekumis. Siku hz umepotea humu. Ilikuwa kila sehemu unacoment
@mahatakitengewamuninga1260
@mahatakitengewamuninga1260 3 года назад
Kamwene Mama Jeska
Далее
Cute
00:16
Просмотров 2,5 млн