Тёмный

DOTTO MAGARI ATOKWA MACHOZI WAKATI AKISIMULIA CHANZO CHA UGOMVI WAKE NA ISSA TAMBUU / ROHO MBAYA 

Manara TV
Подписаться 285 тыс.
Просмотров 72 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

30 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 147   
@zayumar2955
@zayumar2955 4 месяца назад
Mmmmxiiiiiiiiuuuuuuuu minyoko tena Ovyoooooooo!!!!!!!! 😏😏😏
@lugendondago8493
@lugendondago8493 4 месяца назад
Mjinga sana huyu, ila ipo siku atakuja kujuta
@frankmganda2424
@frankmganda2424 4 месяца назад
Ila kama issa amefanya hivyo amekosea maana Dotto amepambana watu wengi tumemjua issa kupitia Dotto pamoja broo
@nth3512
@nth3512 4 месяца назад
Huyo jamaa wa mwisho dah kaongea vizuri, kajikaza kujicontrol baada ya doto kumtolea nje
@OmanIbri-hj8ss
@OmanIbri-hj8ss 4 месяца назад
Kengeee wewe iyo die mitano tena inahusiana na nn
@DeogratiusAndrew-zi7zv
@DeogratiusAndrew-zi7zv 4 месяца назад
Mjinga kweli,kama kuna mambo unayafanya mambo mabovu alafu unajifanya kumtaja taja mama ili ufiche ujinga wako
@Boaz-Gwanko
@Boaz-Gwanko 4 месяца назад
ISSA MTU POA SANA SIPENDI ANAVYO SEMWA VIBAYA
@prezidakasuga2595
@prezidakasuga2595 2 месяца назад
Taratibu tunaanz kukuchoka hiyo mitano mpe na familia yk
@giztony2009
@giztony2009 4 месяца назад
Bangi mbaya sasa mitano tena kila saa imeingije hapa ni dalili za woga na ujinga mwingi
@meddykeita5220
@meddykeita5220 4 месяца назад
Some time unaongea point dotoo...khs maisha
@yudachelango6824
@yudachelango6824 4 месяца назад
Acheni kulamba matako watu mtakuja kufanywa mbaya,, sijampenda huyu jamaa wa mwisho
@ashaali7154
@ashaali7154 3 месяца назад
Binaadam hawana fadhila wana mwanzo tu akipata kidogo utajua tabia yake.
@khamisrashidi6744
@khamisrashidi6744 4 месяца назад
😂😂😂 ila dotto akli yako unaijua mwenyewe
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 3 месяца назад
😂😂😂
@jumamaisara7557
@jumamaisara7557 4 месяца назад
Tatizo nyota issa tambuu itamsumbua sanaaaa
@GodloveEssau
@GodloveEssau 4 месяца назад
bargaindi🤣🤣
@SaidAlly-zb2jb
@SaidAlly-zb2jb 4 месяца назад
Huyu jamaa anajisahau biashara hairndi kishkaji mtu anawekeza pesa ili apate faida tena we unakuja kwakuwa mpo karbu ndio mgawane hesabu aaaahh
@jomba6514
@jomba6514 4 месяца назад
Doto usijitingishe.binafsi napenda kukuona na Issa kwani mmetoka mbali achana na mbwata
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 4 месяца назад
Daaah bro redio balaaaa hongera nacho kipaji aisee
@kombojuma2873
@kombojuma2873 Месяц назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-lc4NPbR7x34.htmlfeature=shared
@kaizerabilahi5958
@kaizerabilahi5958 4 месяца назад
Iyo interview inahusu Nini kwani!!!?
@KelvinJulius-m4n
@KelvinJulius-m4n Месяц назад
Wa tatu ...halooo watu mnaongea
@lugendondago8493
@lugendondago8493 4 месяца назад
Anavaa misalaba anajifanya muislam, tunajua misalaba unapewa kwaajili ya uchawi
@gabrielkyando2632
@gabrielkyando2632 24 дня назад
Ndo shida ya nchi hii uchawaaa n mbaya sanaa
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 4 месяца назад
Ovyoooooo
@BonaBonala-bp5qm
@BonaBonala-bp5qm 3 месяца назад
Doto magari huo ndio uzaramo huna shukrani issa kakutoa mbali na issa tambuu anaroho Nzuri ira shida yako mdomo wako uupimi mwisho
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 3 месяца назад
Hawa wanajuana Wenzenu wanatafuta kiki nyie mnafikiri wanagombana shauri yenu
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 4 месяца назад
Hapo ndio utajua uswahili ni nani Leo kabadilika anaanza vimba kichwa utadhani akiweka pesa za biashara duuh kweli akili ni nywele😂😂
@tanzaniawomenyouthempowerm267
@tanzaniawomenyouthempowerm267 4 месяца назад
Doto tupe namba yako
@abdallahmchange1370
@abdallahmchange1370 4 месяца назад
MEKU KAAMBIWA KOFIA KAMA DEREVA WA MWEÑDOKASI
@kulyafx-c9h
@kulyafx-c9h 26 дней назад
Eee hili ni dishi lingine
@ChristianNdewario
@ChristianNdewario 4 месяца назад
Ditto we kiboko inabidi ufungue shule ya misemo
@AzhadSaid-j1t
@AzhadSaid-j1t 17 дней назад
Chizi kwel doto
@johnchrisniyongabo4661
@johnchrisniyongabo4661 3 месяца назад
Huyu jamaa kwambali kama dully sax
@NMJAsaid
@NMJAsaid 4 месяца назад
Ukijifanya chizi huyu dotto ndio pimbi hafai 😂
@josephdionizy2868
@josephdionizy2868 3 месяца назад
Nyoa new model ila dotto
@kulyafx-c9h
@kulyafx-c9h 26 дней назад
Watu fudenge😂
@ReyzDon
@ReyzDon 4 месяца назад
Dotto ana akili sana
@rukkynassor2279
@rukkynassor2279 4 месяца назад
Ati mama amekuumba? Huyu hayuko sawa WALLAH tena
@hemedinabinga3604
@hemedinabinga3604 4 месяца назад
Kakosea Sana
@Msafirimakini
@Msafirimakini 4 месяца назад
Hapo kwa mama ukebugi wewe fala kwani huwezi ongelea life yako bira kuweka samia acha ufała
@Rizikialiamechannel763
@Rizikialiamechannel763 4 месяца назад
Kuna ubaya gani
@MnubiMm
@MnubiMm 4 месяца назад
Samia ni Mama kutajwa na watoto ni Jambo la kawaida wewe Kama unaumia Tulia waache watu watoe Maoni yao
@yousifyousif-p7f
@yousifyousif-p7f 3 месяца назад
Chixi kalongwa tena 😂
@SharifaMohammed-el3ug
@SharifaMohammed-el3ug 4 месяца назад
Usimwamshe aliyelala
@contempo_builders
@contempo_builders 4 месяца назад
Hapo kwenye LIPA NAMBA sasa...
@abeidmayanga809
@abeidmayanga809 4 месяца назад
Safi dotto
@mwandishimussa6319
@mwandishimussa6319 4 месяца назад
Kumhoji dotto inahitaji nguvu za uvumilivu
@wizkhalifaupdates3002
@wizkhalifaupdates3002 4 месяца назад
Mtangazaji katangaza tangazo la mtu mwengine bila malipo 😂😂😂😂😂 katangaza biashara kwenye interview
@mlyuka-p6q
@mlyuka-p6q 3 месяца назад
lipi Hilo
@MUVIS-b3m
@MUVIS-b3m 4 месяца назад
😀😀😀 ila dotto dhaaaa 😅😅😅
@abdoulrahmanahmed5802
@abdoulrahmanahmed5802 4 месяца назад
Skunk😂
@Saripa234-u7g
@Saripa234-u7g 4 месяца назад
Safi cn doto magari
@FatmaHassan-t4q
@FatmaHassan-t4q 4 месяца назад
Duh! Eti mama ndie alokuumba .. SUBHANA LLAH. Wee mwehu kwelia punguwani mropokaji.
@kombojuma2873
@kombojuma2873 Месяц назад
😂😂💪💪💪
@husseijuma1025
@husseijuma1025 4 месяца назад
Alwa jifunze din wew mjing
@fadhilifadhili1353
@fadhilifadhili1353 4 месяца назад
Kwakweli alwa duuuh 😮
@RehemaSaid-rg5mr
@RehemaSaid-rg5mr 4 месяца назад
uyu jamaa ana ongeyaa
@LeilatMussa
@LeilatMussa 2 месяца назад
🤣🤣🤣
@attoumaniomar1775
@attoumaniomar1775 4 месяца назад
Dotto mjinaga sn
@OchoaHomeDecor_
@OchoaHomeDecor_ 4 месяца назад
Kiburi 😢 Aisee dah Mungu amuongoze kwenye mema
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 4 месяца назад
Ila wazaramo wanaongea uwiiiiiii 😅😅
@SaidLikando-ny4fu
@SaidLikando-ny4fu 4 месяца назад
Hatariiiii
@Saripa234-u7g
@Saripa234-u7g 4 месяца назад
ILOVE you 💓 💗 😘 💛 💖 doto magari penda cn weee
@MrNdanguza
@MrNdanguza 4 месяца назад
Wazaramo wanajua kiswahili sanaa😅
@JibrilBanga
@JibrilBanga Месяц назад
, bonsoir 😅😅,
@meddykeita5220
@meddykeita5220 4 месяца назад
Kabsa usimdharau muokota makopo wala kuwatoa akili watafutaji kumbuka nyuma Kuna watu wanawategemea
@NMJAsaid
@NMJAsaid 4 месяца назад
Dotooooooo
@frankmganda2424
@frankmganda2424 4 месяца назад
Kweli broo
@salumahmadasalum1556
@salumahmadasalum1556 3 месяца назад
KICHOGO MWENYEWE MJINGA MKUBWA JAPO NAKUPENDA SANA ILA UMENIUDHI KUSEMA MAMA NDIO ALIOUMBA KUA MAKINI
@SalumuAlly-d9q
@SalumuAlly-d9q 3 месяца назад
Kata kwanza hizo nywele uislam hauitaji huo monekano wako
@ndorobocarworks-dx4pf
@ndorobocarworks-dx4pf 3 месяца назад
Mungu akija kunipa pesa ata siongei sana mitandaon nakausha nakula bata na wife
@rosehaule6765
@rosehaule6765 4 месяца назад
Kakaangu wa kino kindakindaki nakupenda sana dotto utafukq mbali sana nakuina yuleeee ushavuka kakaa Mungu ni mwema sanaa barikiwa tuuu
@kombojuma2873
@kombojuma2873 Месяц назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-lc4NPbR7x34.htmlfeature=shared
@ELIAKAJEMA
@ELIAKAJEMA 4 месяца назад
Safi Sana dotto unajiamini Sana nafasi yako unailinda na ukweli
@merrynancesimon1562
@merrynancesimon1562 4 месяца назад
❤❤❤❤❤❤❤❤
@IssaBantu.
@IssaBantu. 4 месяца назад
Kama hunanpenda dotto magari gonga like ❤
@vicentmpoma
@vicentmpoma 4 месяца назад
Kaza bro
@rashidrashidmaulid1129
@rashidrashidmaulid1129 4 месяца назад
Doto umetutukana shabik zako kichogo wanafk kweli😂😂😂hatununui mazembe shaur yako mpigie issa magoti boss anuniwi😂😂😂
@FrankAloyce-ic6rq
@FrankAloyce-ic6rq 27 дней назад
Hongera kwa kutafuta rizik alali
@hollymore4904
@hollymore4904 4 месяца назад
Hatimaye wameanza kuigiza
@merrynancesimon1562
@merrynancesimon1562 4 месяца назад
Maisha hayana fomulaaaa ❤❤❤❤❤❤❤
@ErickJuma-e6j
@ErickJuma-e6j 4 месяца назад
Wewe dotto umejulikana kupitia kwa tambuu magari,,,mheshimu boss wako acha mambo ya ajabu,,,,
@Saripa234-u7g
@Saripa234-u7g 4 месяца назад
Ntakuja mimi kuchukua iyo pesa jmn doto tajiri penda cn wewe kaka
@MrFootball-es2ed
@MrFootball-es2ed 4 месяца назад
Crown
@AhmedMtumweni
@AhmedMtumweni 4 месяца назад
Mama au issa
@ngambikomsu64
@ngambikomsu64 4 месяца назад
Bagendi ndio nini??? 😂😂
@msuyatztv5201
@msuyatztv5201 3 месяца назад
Waliosikia neno BAGENDI gonga like
@KhalefSaleh
@KhalefSaleh 4 месяца назад
Nakubali kaka salute
@zaburi2386
@zaburi2386 4 месяца назад
Allwa 😂😂
@badmanno.1650
@badmanno.1650 3 месяца назад
Kwa Alwa kwa Alwa na msalaba kifuani 😢
@Brunn-mh2bq
@Brunn-mh2bq 4 месяца назад
Mpige cutting!!😅😅😅
@ellyemily4234
@ellyemily4234 4 месяца назад
Dotto mshamba sanaa
@ChikuRashid-yg3jp
@ChikuRashid-yg3jp 4 месяца назад
Nampenda saana doto
@zimboj5278
@zimboj5278 4 месяца назад
Big chawa et mama
@emmanuelmasemba7612
@emmanuelmasemba7612 3 месяца назад
Atapata shavu soon Kwa mama samiah, maana anampa sana promo
@SalumAlly-ch6bu
@SalumAlly-ch6bu 4 месяца назад
Sema me nakubali doto paletu anaongea Sanaa then anaweka mtaani kama anapaniki flan then anashuka😊
@GeorgeJusto-y4v
@GeorgeJusto-y4v 4 месяца назад
Mitano ya mama lazima tumpe wewe unamtunza mwanoo au ni mmbwa tu wewe
@gideonngwebe
@gideonngwebe 4 месяца назад
Ashakula sk huyo
@pitbullfamily4499
@pitbullfamily4499 4 месяца назад
😁🤦🏾😂🤣
@prince783
@prince783 3 месяца назад
Dah mi kichogo😂
@uredipeter412
@uredipeter412 4 месяца назад
😅😅😂😂
@Lodrickmwambene
@Lodrickmwambene 4 месяца назад
Doto bwege sana 😂😂😂😂😂😂😂
@BarakaChonjoboy
@BarakaChonjoboy 3 месяца назад
Eeeeeeh......dotto noma sanaa
@MassoudAlly-c9e
@MassoudAlly-c9e 3 месяца назад
Allwa tena
@awamiabbas222
@awamiabbas222 4 месяца назад
Upuuzi mtupu
@AhmedAdan-q9l
@AhmedAdan-q9l 4 месяца назад
Wa nini huyo mfuga nguruwe
@dorothyannan8184
@dorothyannan8184 4 месяца назад
Nakuelewa kaka yangu.
@salumsalum5712
@salumsalum5712 4 месяца назад
Issa tajiri wako tu
@AnnaUrio-x1b
@AnnaUrio-x1b 4 месяца назад
Mi nakuangalia nitumie kwny cm Doto😅
@patrickSeverin-o2s
@patrickSeverin-o2s 4 месяца назад
Uyu jamaa kichwa kinatatizo!
Далее
Bearwolf - GODZILLA Пародия Beatrise
00:33
Просмотров 254 тыс.
DEREVA MKONGWE NA TAHMEED POLO G2
1:09
Просмотров 18 тыс.