Тёмный

EXCLUSIVE: MUDATHIR AKIFUNGUKA KUHUSU PICHA YAKE ILIYOPIGWA AZAM COMPLEX. 

Yanga TV
Подписаться 707 тыс.
Просмотров 83 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 168   
@ramadhanimajaly1661
@ramadhanimajaly1661 Год назад
Nipewe maua yangu kabisa wa kwanza kukoment
@gracegofrey4677
@gracegofrey4677 Год назад
Safi sana mudathiri umetuheshimisha wananchi tumemsahau ugali sukari unajua sana sana MUNGU aendelee kukupa kipaji zaidi ucheze ndani na nje ya TANZANIA 🙏🙏🙏🙏
@athumanikulungu
@athumanikulungu Год назад
Umetish mwamb
@hassanparamana2215
@hassanparamana2215 Год назад
Inshallah mudathiri kama kawa zipunguze ukifika pale kwenye box kimo cha mbuzi mwambie na moloko na mayele mzize 🏆💚💛💪🇹🇿🇦🇪
@jersonmpeka4984
@jersonmpeka4984 Год назад
Mudathir Ana amani na furaha ya kutosha ndani ya yanga na anaenjoy Ila ile picha ya Muda kwangu Mimi ndio picha Bora kabisa
@upendoomary1921
@upendoomary1921 Год назад
Inshallah Mwenyezi Mungu atatusimamia timu yetu tutapata ushindi
@unclegmihale455
@unclegmihale455 Год назад
Safi sana 💚💚💛💛🔰💪 Daima Mbele Nyuma Mwiko 💪
@fatmasuleiman3885
@fatmasuleiman3885 Год назад
Mudathiri upo vzr sana picha hiyo kali sana magoli yalikuwa mazuri sana👍💚
@scopy0428
@scopy0428 Год назад
Mudathir anavistori vya kusisimua Sana Wanayanga Tunajivunia kuwa na Mudathir Yahya
@abbyadams8691
@abbyadams8691 Год назад
Kupitia hii interview naona ukomavu wa hali ya juu kwa Mudathiri. Hakika wachezaji wakubwa hucheza timu kubwa.
@ashuramhandoashuramhando6798
Nakukubali sana pia nakuamini uwanjani Raha uliyotujaza mashabiki zako hatutokusahau 💛💚💛💚💛🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🙏🙏🙏🙏
@FirdausyAbubakary-bl2wo
@FirdausyAbubakary-bl2wo Год назад
Wakati anafanyiwa mahojiano azam alikua kama ana dharau fulani kumbe ni mtu humble tyuu Allah akuzidishie Mudathir💚💛💚💛💚💛
@dainangei6608
@dainangei6608 Год назад
Eeeh 🤣🤣 hata me nlikua namuona hivyo hivyo
@ramadhanmanyacolour5236
@ramadhanmanyacolour5236 Год назад
Ila angalia usije ivimbia Yanga pindi ukitaka kuondoka fuata taratibu usiwe kama ndugu yako Fei
@FirdausyAbubakary-bl2wo
@FirdausyAbubakary-bl2wo Год назад
@@ramadhanmanyacolour5236 Mudathir anajielewa afu ni mtu mzima na ana famillia yake so kama fei toto anaelaghaika kirahisi
@hajimaywaywa
@hajimaywaywa Год назад
One of the Best interview ❤
@ntanilanjema04
@ntanilanjema04 Год назад
Hongera Mudathir na kila la kheri
@msabahamalonda2249
@msabahamalonda2249 Год назад
Sawa king of Chamanzi complex❤
@frenkclement6673
@frenkclement6673 Год назад
😂😂😂😂 sema MUDA ulivyochambua goli lako dah niimecheka kweli..
@salimomari150
@salimomari150 Год назад
U are my bro from another mother.. One love kk
@yusufmsaa5693
@yusufmsaa5693 Год назад
Badae akiona kwamba umerocodi iyo story ya 2 ututukie tunafurahi sana mola akujaalieni ushindi kesho ameen
@Manyandaevance
@Manyandaevance Год назад
Amen
@ibunmurshid3885
@ibunmurshid3885 Год назад
Behind the scene imekaa vizuri zaidi inafurahisha sana😅😅
@mathiaslyamunda2526
@mathiaslyamunda2526 Год назад
Kati ya Usajili ambao Eng. Hersi hakukosea 💚💛💚💛👍🏾👍🏾👍🏾
@salehmwarabu6017
@salehmwarabu6017 Год назад
Kweli yaani
@hdjdjdjdj8667
@hdjdjdjdj8667 Год назад
Shukran shujaa wetu
@Shirima_11
@Shirima_11 Год назад
The best interview in this season 🎉
@ramadhanimustafa
@ramadhanimustafa Год назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-HMPnIGLwvv4.html
@jumaamfaume7905
@jumaamfaume7905 Год назад
Viva Muda🎉🎉🎉
@pachatztz4060
@pachatztz4060 Год назад
Inshallah tutashinda kwa uwezo wa Allah tunamtegemea Allah zaid
@sospetermugendi3979
@sospetermugendi3979 Год назад
King Mudaaaaa
@andersonbruno6255
@andersonbruno6255 Год назад
Kila la heri young Africans 🔰🇹🇿🔋
@alitante4279
@alitante4279 9 месяцев назад
Like father like son ,voice
@chisongastephen7299
@chisongastephen7299 Год назад
Hongera sana Brother Muda,kwani unaweza sana.
@shijathedon5453
@shijathedon5453 Год назад
Muda boy muda utaongea 🔰💛💚💪🏻🇹🇿
@AllyASalum
@AllyASalum Год назад
Kwenye hichi kiti ilibidi akae Feisal na ujinga wake!....
@husseynomar9523
@husseynomar9523 Год назад
Hakuna Mzanzibari mbovu 🎉
@bahatimbuba8625
@bahatimbuba8625 Год назад
Yupo Fei toto
@feisalmasoud-ut1zi
@feisalmasoud-ut1zi Год назад
Hapingwi
@feisalmasoud-ut1zi
@feisalmasoud-ut1zi Год назад
​@@bahatimbuba8625 aaa wp
@bahatimbuba8625
@bahatimbuba8625 Год назад
@@feisalmasoud-ut1zi Hajitambui. Anajiona kuwa ni nwanaharakati
@mwelimazozo9691
@mwelimazozo9691 Год назад
Hongera sanaa🎉
@onesmojoseph4285
@onesmojoseph4285 Год назад
eti nkamwangalia nabi amekuwa kichaa😂 na seehem ya unasema feisal anapiga me hatari
@salimkaole2471
@salimkaole2471 Год назад
interview kali sana hii 💚💚💚
@SamsonCharles-rs5ww
@SamsonCharles-rs5ww Год назад
Unajua kaka
@nsumbaboy3549
@nsumbaboy3549 Год назад
Hongera sana kwa goal zuri bro
@cutebaby3247
@cutebaby3247 Год назад
Lafudhi ya kwetu kabisa😂😂 Viva Zanzibar
@ashahally7456
@ashahally7456 Год назад
Home sweet home viva Zanzibar
@helenwailly1558
@helenwailly1558 Год назад
Una kitu utafika mbali ❤
@FirdausyAbubakary-bl2wo
@FirdausyAbubakary-bl2wo Год назад
huu mseno umekaa kinamna hua nacheka saana nkiuona😂😂
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 Год назад
Mzanzibar makini😂😂😂🇹🇿.
@leahshamba3069
@leahshamba3069 Год назад
Mungu,wabarki
@elizabethismile6827
@elizabethismile6827 Год назад
Kumbe Ally kamwe nae anaongeaga kistarabu ivii Tena kwa utulivu n maswali mazurii😂😂😂
@gabrielgodfrey9508
@gabrielgodfrey9508 Год назад
Nimecheka sana hiyo nikampinda beki 😂😂😂😂 all the best chama langu Yanga siku ya Leo
@عبداللهالعازمي-ع3ش
Inshaallah kila lakher muda
@hakeemplatnumz8886
@hakeemplatnumz8886 Год назад
Nakukubali saana mtu wangu .nipo uwanjani kesho na picha yako
@moseswiliam9028
@moseswiliam9028 Год назад
Yanga raha sana jaman daaa
@RubenIbrahim-st6dh
@RubenIbrahim-st6dh Год назад
We❤ you muda wew ni akina fey 10
@makinitechtz
@makinitechtz Год назад
Wate wa media mnafanya kazi nzuri.. ila tujitahidi sound iwe stereo... Sound inapiga sikio moja kwe kila mtu.. mudathir left. Kamwe right
@director_kudo
@director_kudo Год назад
Inasababishwa naupungufu wa vifaa vingekua viwil isingeleta ivo
@monicalucas3738
@monicalucas3738 Год назад
Pongezi sana Mudathir,MUNGU aendelee kukupigania 🙏
@edithajohn9600
@edithajohn9600 Год назад
Nime enjoy kumckiliza mudathili Yahaya🤣🤣🤣🤣
@josephkichele-ru4qv
@josephkichele-ru4qv Год назад
Sijawahi kuwa nashuka na mudathili
@Juma-w2v
@Juma-w2v 11 месяцев назад
ilove you Mudathiri kiungo wa mpira
@yusuphmakhahala6570
@yusuphmakhahala6570 Год назад
Hii history nzuri sana
@joctanmazengo7505
@joctanmazengo7505 Год назад
Hongera sana yanga kwa ushindi
@bnttv8955
@bnttv8955 Год назад
Muda akiwepo kwenye mechi moyo wangu unatulia Na ushindi upo
@KIMALEX255
@KIMALEX255 Год назад
Alwatan kwann hujamuekea mike Mudaa asee
@Mkufya
@Mkufya Год назад
❤❤vizuri sana
@jamesjuma8537
@jamesjuma8537 Год назад
Asante
@dullahbatuf9223
@dullahbatuf9223 Год назад
Sana kaka
@mboga7_
@mboga7_ Год назад
Kaongea Kikubwa Kaongea Kibingwa na Sisi Ni Mabingwa
@alikhamisog3422
@alikhamisog3422 Год назад
Mm wamenikera saut haipo vizur inakoromq sanaaaa alaf kuna saut zinaingia
@chiconinde8135
@chiconinde8135 Год назад
Wakati Mudathir anaelezea kipindi ambacho Agrey anambeba Mudathir,,,Ali Kamwe alikua anashangaa juu ya umri wa Agrey Moris😃😃😃
@nicholousmtemi3902
@nicholousmtemi3902 Год назад
Eeee ally kamwe alikua haelewii aisee
@mwanangusana
@mwanangusana 7 месяцев назад
😂😂😂😂
@floranusgwau7122
@floranusgwau7122 Год назад
Nimeishia pale aliposema ananunua picha Kwa elfu kumi 😂😂,Dah jmaa bahili sana
@suleimanrashid8238
@suleimanrashid8238 Год назад
Hahahahahhaha Huyo ndio mdogo wangu muda....ziada muulize sure boy na baka
@asalkhan9168
@asalkhan9168 Год назад
Nakukubali mzee wa shurba tunakusubiri tukupe maua yako
@dullahdullah2344
@dullahdullah2344 Год назад
😂😂😂😂😂😂ukiwa yanga utaongea tu simulisema muda simuongeaji 😂😂😂
@AMINAHISSA-m9t
@AMINAHISSA-m9t Год назад
Muda hapendi camera kaabisa😂😂😂
@salumadam5527
@salumadam5527 Год назад
Good interview
@amonmkimara2161
@amonmkimara2161 Год назад
Toto ya jenzii
@dullamuwise4802
@dullamuwise4802 Год назад
Akili kibwa sn ya mpira kiungo mudah⚽️💯
@azizasaid7660
@azizasaid7660 Год назад
Mudathir anachekesha 😂😂😂😂
@salmamakweta1198
@salmamakweta1198 Год назад
Utafikili kstoto sijui ni last Born? Kana heshima sana, harafu kanadeka
@abuu-bakarshaaban6246
@abuu-bakarshaaban6246 Год назад
Behind the camera ali kamwe hahaha
@ntanilanjema04
@ntanilanjema04 Год назад
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@yusufmsaa5693
@yusufmsaa5693 Год назад
Mudathiri bahna
@yohanakinogoreti958
@yohanakinogoreti958 Год назад
Tunakutegemea sana pale kat
@mackysuphian
@mackysuphian Год назад
Kesho tunaingia fainali
@feisalmasoud-ut1zi
@feisalmasoud-ut1zi Год назад
In Sha Allah
@jivankulikwa24
@jivankulikwa24 Год назад
🎤🎤🎤🎤❤️❤️❤️🎤🎤🎤🎤
@ahmadsalim4417
@ahmadsalim4417 Год назад
Muda ni mali 💚💛💚💛
@kaitawfiqjr5631
@kaitawfiqjr5631 Год назад
Mido ya ⚽ @mudathiru yahya🙌🏽
@laizerlstvchannel
@laizerlstvchannel Год назад
Behind the scene ije yote 😂
@MalikShaban-c9v
@MalikShaban-c9v Год назад
Mwamba nakukubali xan
@emanuelmiyonjo4484
@emanuelmiyonjo4484 Год назад
Daima mbele nyum mwiko
@Prince-rafael
@Prince-rafael Год назад
Kiiila ninapotaka kuweka uzalendo mbele niwaombee yanga mema nasikia sauti ya mkuu wa mkoa mpya chalamila akinambia nipunguze kiherehere Kama sina Cha kufanya nitafute sehem ilotulia ninywe bia🤭
@kitomondo
@kitomondo Год назад
Hiyo picha iwekewe bango kariakoo.
@abdulrahmanmakame6428
@abdulrahmanmakame6428 Год назад
Hiz bihend ziwe kwakila mchezaji zinakuwa kali sana😂
@husseynomar9523
@husseynomar9523 Год назад
@frankntibenda66
@frankntibenda66 Год назад
Noma saaaan 👍👍👍👍👍👍👍
@jacoboyusuph1378
@jacoboyusuph1378 Год назад
Shangilia yako picha yako jana 16/05/2023 lautaro martinez naye kafanya ivyo baada ya kufunga goli dhidi ya ac milan
@OfficialTeacherTz
@OfficialTeacherTz Год назад
Mcheshi sana
@griphinmwassatv
@griphinmwassatv Год назад
Zanzibar finest jamaa fei Chali manina
@magrethshishwa5481
@magrethshishwa5481 Год назад
💚💛💚💛
@saidulaya7308
@saidulaya7308 Год назад
BEKI WA DODOMA JIJI KUMBE AKIPINDWA NA MGUU WA MUDATHIR😂😂
@glorymtinangi8002
@glorymtinangi8002 Год назад
😂😂😂😂😂😊
@quraishkalumuna821
@quraishkalumuna821 Год назад
Kuna kitu Mudathir umeongea kwamba, mchezaji ukiwa hujacheza group stage au robo au nusu unakua bado Sio mchezaji mkubwa. Huu ujumbe umfikie mdogo WAKO Feisal kwamba kapitwa na gali la mshahara
@samwellwiza1098
@samwellwiza1098 Год назад
Huyu dogo anaweza komedi
@yusufumwakyambiki8062
@yusufumwakyambiki8062 Год назад
🙏🙏🙏🙏
@idanysedrc1200
@idanysedrc1200 Год назад
Yuko poa sana jamaaaq
@mrbio48gamingyt
@mrbio48gamingyt Год назад
nipewe mau yangu 😝
@ShadrackSiuh-l3u
@ShadrackSiuh-l3u Год назад
Mdaaaa😂😂😂
@mathiaslyamunda2526
@mathiaslyamunda2526 Год назад
Behind the scene 😂😂😂
@aishabakari8040
@aishabakari8040 Год назад
Mpemba wisee
@dudoshila835
@dudoshila835 Год назад
Jamaa ameongea ukweli huwezi kuwa mchezaji mkubwa lazima ucheze cafcc
@salutaryuo7334
@salutaryuo7334 Год назад
Mudhadhiri we mridhi wa fei
@nasirkilapo6041
@nasirkilapo6041 Год назад
Sema ayamaujino nimependa😂😂😂
Далее
ITZY 예지한테 AI 메이크업하기💖 #shorts
00:23
Физика пасты Карбонара 🧪🔬
00:57