Safi sana mudathiri umetuheshimisha wananchi tumemsahau ugali sukari unajua sana sana MUNGU aendelee kukupa kipaji zaidi ucheze ndani na nje ya TANZANIA 🙏🙏🙏🙏
Kiiila ninapotaka kuweka uzalendo mbele niwaombee yanga mema nasikia sauti ya mkuu wa mkoa mpya chalamila akinambia nipunguze kiherehere Kama sina Cha kufanya nitafute sehem ilotulia ninywe bia🤭
Kuna kitu Mudathir umeongea kwamba, mchezaji ukiwa hujacheza group stage au robo au nusu unakua bado Sio mchezaji mkubwa. Huu ujumbe umfikie mdogo WAKO Feisal kwamba kapitwa na gali la mshahara