Тёмный

EXCLUSIVE: NYUMBANI KWAO ZUCHU ALIPOKULIA KAKA YAKE AFUNGUKA/TULIISHI MAISHA YA SHIDA SANA/NILIMPIGA 

Wasafi Media
Подписаться 4,8 млн
Просмотров 383 тыс.
50% 1

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

11 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 327   
@hailinhelen4675
@hailinhelen4675 3 года назад
Khadija kopa ni mtu mwenye imani sana na mkareem saana ..Allah ampe afya na furaha yarabb
@mouzarashidd
@mouzarashidd 3 года назад
Ameen yarabi
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 3 года назад
Amin
@fatumabaraza6997
@fatumabaraza6997 3 года назад
Ook and I
@omarimwangemi4470
@omarimwangemi4470 3 года назад
Amin rabby amin
@jorgettemwajuma5428
@jorgettemwajuma5428 3 года назад
Mashallah kaka yake zuchu ume fana na mama yako kweli
@tanzaniatouristsattraction1622
@tanzaniatouristsattraction1622 3 года назад
Mtoto anamzungumzia vizuri sana mzazi wake Good thing ana appreciate mama yao kapambana kuwalea
@mwanaishaalfan3145
@mwanaishaalfan3145 3 года назад
Mashaallah bro mungu akuzidishie umrii mrefuuu
@jenifajuma5395
@jenifajuma5395 3 года назад
Jamaa kaongea fresh Sana ndio Maisha Binadamu tunatoka Mbali sio nyie tupo wengi tumeanza kula ngumu lakini Mungu ni mwema saivi Afadhali kidogo
@benjamineuronu2142
@benjamineuronu2142 3 года назад
Safi sana.
@mahmoudvuai8017
@mahmoudvuai8017 3 года назад
Big up to Suma....mshkaji yuko real....Nimeinjoy sana interview
@machintangachibwena5922
@machintangachibwena5922 3 года назад
Ndio Suma kitambo sana mwanangu Salute from🇩🇪🇩🇪
@salemkambuteh1409
@salemkambuteh1409 3 года назад
Mungu ajaalie siku moja mufanye maamuzi ya kuacha kuimba, mziki mtihani.
@nassirmohamed8492
@nassirmohamed8492 3 года назад
Kweli kabisa
@hassanallyrajabu777
@hassanallyrajabu777 3 года назад
Kivip
@jamalhaidar4317
@jamalhaidar4317 3 года назад
Kwel kabisa
@khadijeegundumu4651
@khadijeegundumu4651 3 года назад
Kbs
@munaahmed8499
@munaahmed8499 3 года назад
Kabiasa waache wamtumikoe mungu tu
@sibonikesarikie42
@sibonikesarikie42 3 года назад
mshikaji nimemkubali,hana shobo anajieleza vizuri yaani safi sana kaka
@NehemiahRotich
@NehemiahRotich 3 года назад
Wah ! Am learning alot of Swahili ..Shobo ni show off ama ? Haki Tanzania
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 3 года назад
Haaa haaaa Shobo mimi sijuwi nini maana yake neno jipya hilo kwenye Kiswahili...
@jumahamis227
@jumahamis227 3 года назад
@@NehemiahRotich its street language which means being too erratic and flattery 😆.
@NehemiahRotich
@NehemiahRotich 3 года назад
@@jumahamis227 Wow thanks
@victormartin9208
@victormartin9208 3 года назад
Smart Guys Tuliobaki Tanzania Kama Sio Afrika ni Mimi Na Huyu Mwamba..! We Do Live Our Life
@papaamasauti5964
@papaamasauti5964 3 года назад
Nakupenda sister duu Legendary of zenji flava
@Swahili14
@Swahili14 3 года назад
Young Zuchu is so beautiful 🤩
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 3 года назад
Mungu amhifadhi
@solomonadams6337
@solomonadams6337 3 года назад
Asalaam Alaikum Warahmatullah Wabarakatu¿ukumbusho kwa waislamu wote na hasa kwa ndugu za wa Kizijibar,nafuteni njia yoyote ile ya kutafuta risk za halali lakini msijiingize katika hambo ya gharamu katika kutafuta kwenu risk kama vile kuimba na mambo mengine hizo ni aamali shaitwan ,tufanyeni wema na dumuabuduni Muumba wetu kama alivyo tusimulia kwenye Qur'an tukiuchezea tuu huu wakati aliotupa tutakwenda kulia kilio kisichonyamazika,tunako elekea kuna mawili tuu Janaah au Jahanamu,Shukran..
@official_yuram6711
@official_yuram6711 3 года назад
Umenena booo wa malhayatu ddunya
@jidahrajabu5837
@jidahrajabu5837 3 года назад
Hakika kaka
@esthermhavile1566
@esthermhavile1566 3 года назад
Kafanana na mama yake kabisa
@mamunote3507
@mamunote3507 3 года назад
Tumefurahi sana kuona story ya Zuchu Mchabga Og Shukran
@dewjikitumbu4957
@dewjikitumbu4957 3 года назад
Jama anajieleza vizuri sana
@issrahayattv1356
@issrahayattv1356 3 года назад
Kaka unasautii y utangazaji ❤️❤️
@erminaruizo6993
@erminaruizo6993 3 года назад
Ndy
@AngelMbaga
@AngelMbaga 6 месяцев назад
Duniani hakuna mkamilifu, mkamilifu ni Mungu tu. Tuache kuhukumu kila mtu ana dhambi yake. Kaka wa watu yuko vizuri, mashallah. utapata mke usijali. Muda ukifika utapata.
@solomonadams6337
@solomonadams6337 3 года назад
Hadija Kopa Mama etu mzuri sana wa Kizinjibar mwenye roho thabiti lakini tamu is ishafika tena ya kuacha mambo ya kidunia sasa hivi inshaallah lazima to focus na Ahera okay¿thanks
@lulually5209
@lulually5209 3 года назад
Hamna mtu mwembamba shida tu zinatuendesha lkn Allah kareem one day yes
@mohddalali1008
@mohddalali1008 3 года назад
Nimependa jinsi anavyojibu maswali
@eppiemodest
@eppiemodest 3 года назад
Kaka kamfanana sana na mama yake Hadija Kopa.
@zulfasihaba5097
@zulfasihaba5097 3 года назад
Sana yn
@hafidhsaid2435
@hafidhsaid2435 3 года назад
Home sweet home Kwaalinatoo,Melanin media @suma kopa 🤩🥰💯💥🙏
@andulilemwakihabha2048
@andulilemwakihabha2048 3 года назад
Jamaa Yuko vizuri Sana 👍🏼👍🏼👍🏼
@natasha7969
@natasha7969 3 года назад
Ñimempenda Sana.....mkweli hana maringo💙
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 3 года назад
Sasa yeye kasema ukweli interview yake...watu wengine wamewatafsiri vibaya.... Dunia hii....
@maulidmtaji3767
@maulidmtaji3767 3 года назад
Leo hii malkiya wa bng fleva zuchu
@uwitekamimy3431
@uwitekamimy3431 3 года назад
Gang Star wa Zanzibar 🤗💯🔥
@nervenb2831
@nervenb2831 3 года назад
Zuchu 💓
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 3 года назад
Nyumbani ni nyumbaniii😍😍😍
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 3 года назад
Jamaa yuko Real ukizingatia alikuwa anakula jani watu wa hivi hata wakiacha uwa wanakua straight😀😀😀😀
@mweucchunda4244
@mweucchunda4244 3 года назад
Hahahaa
@andulilemwakihabha2048
@andulilemwakihabha2048 3 года назад
ZUCHU 🤩💖
@annagasper3795
@annagasper3795 3 года назад
💅🙏
@ramlatumba3965
@ramlatumba3965 3 года назад
Mashallah Allah Barik Family Ya Babu Yangu.
@twalebleboss9687
@twalebleboss9687 3 года назад
NAMPENDA SANAAAAA.....#ZUCHU...Maashaallah
@MohammedAhmed-ob8dq
@MohammedAhmed-ob8dq 3 года назад
I see ile nyimbo ya Sister duu hadi leo nimetoka kuiangalia... 🙏
@mankamasswe5478
@mankamasswe5478 3 года назад
Kwaiyo zuchu anauri gani
@saidali3557
@saidali3557 2 года назад
Hata mim bro..Ile ngoma naikubal Sana haichuji
@joookahjokah8430
@joookahjokah8430 3 года назад
Zuchu 🔥🔥🔥
@allyfatma7359
@allyfatma7359 3 года назад
All the best.
@hamedabashir9
@hamedabashir9 3 года назад
Mashallah
@NAYLAH1111
@NAYLAH1111 3 года назад
Haya mambo mengine hata hayaeleweki au mama hakuwa makini,Zuchu alipozaliwa bi Khadija alikuwa super star so Zuchu alitakiwa kuwa mtoto wa ki-sure
@rahmaidd6277
@rahmaidd6277 3 года назад
Mziki zaman ulikua haulipi
@salmaabdull9872
@salmaabdull9872 3 года назад
Taarab ilikua hailipi kihivyo ndugu yangu
@jabirnext
@jabirnext 3 года назад
Tatizo umeanza kufuatilia mziki Diamond ameshakuwa Star.
@aminasuleiman6402
@aminasuleiman6402 3 года назад
@@jabirnext 😂😂😂Ni kwelii itakua hivyoo!!
@ashazuber6548
@ashazuber6548 3 года назад
@@jabirnext kwakweli hahahahaha
@sniper93999
@sniper93999 3 года назад
Kaka km kaka 💪💪💪💪💪
@khatibbinhaji9804
@khatibbinhaji9804 3 года назад
mchizi li2tesa na ile ngoma ya "sister duu" big up @sumakopa
@SbahHiai
@SbahHiai 4 месяца назад
❤❤❤❤❤❤
@swalehkhamis508
@swalehkhamis508 3 года назад
Hilo Neno, Uwaa. Mjamaa hakushika kitu. Kiswahili kitamu sana, ukikielewa.
@suleimansalim7194
@suleimansalim7194 3 года назад
Namafahamu San huyo Dogo asitusahau tukija hko Dare-eslam
@zubeirislam9068
@zubeirislam9068 3 года назад
Nic
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 3 года назад
Suma Kopa 👍
@ulfatis-haq6009
@ulfatis-haq6009 3 года назад
sister duu ni hit song kwenye zenji flavour
@joellengine4348
@joellengine4348 3 года назад
Sharot sana Broo numekukubali Bure 💯🙏💯💯💯
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 3 года назад
Pitia na hapo bomani kwetu usalimie majirani 😉😁❤🇨🇭🇹🇿
@tumababy8194
@tumababy8194 3 года назад
Umehama bomani?
@nurually8466
@nurually8466 3 года назад
Jamani na me bomani nimekaa
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 3 года назад
@@nurually8466 oooh pia mimi baba yangu alikuwa polisi
@tumababy8194
@tumababy8194 3 года назад
@@nurually8466 ata mm pia
@erastotoshz4672
@erastotoshz4672 3 года назад
Kusema ukweli huyu jamaa anajibu maswali vizuri kuliko korosho
@jusitusigidioni480
@jusitusigidioni480 3 года назад
Mtnt
@hamisaomar5828
@hamisaomar5828 3 года назад
Mwanangu nakukubali maneno mazima kabisa
@adijaniyonkuru9731
@adijaniyonkuru9731 3 года назад
Safi sana wasafi mko juu
@TerryTeicy-or4db
@TerryTeicy-or4db Год назад
Twapenda vitu positive
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 3 года назад
nimemkumbuka classmate wng Asha apo nyuma kwa mzee masoud
@47mtv7
@47mtv7 3 года назад
Asha chifu 🤣🤣
@jennytugara9470
@jennytugara9470 3 года назад
We are enjoying exposing People. This is all about!!!!!!
@zezezeze8408
@zezezeze8408 3 года назад
my lovelly county .........zanzibar ma home
@zezezeze8408
@zezezeze8408 3 года назад
noooooooo
@nilansaid2927
@nilansaid2927 3 года назад
Zanzibar kubaya
@zezezeze8408
@zezezeze8408 3 года назад
@@nilansaid2927 hhh kwani nani kakwita
@RioIpo
@RioIpo 3 года назад
@@nilansaid2927 Tunashukuru na ubaya wetu
@mbishkula1875
@mbishkula1875 3 года назад
@travelstylish nurse Sikushangai Hujui Ukisemacho ZANZIBAR Tuna Rais Wetu Mawaziri Wetu Baraza letu la Wawakilishi( BUNGE) Mahakama KUU Vitambulisho Vya Mzanzibari na Katiba ya ZANZIBAR So Ukerewe na Mafia ndio Visiwa Zanzibar ni Nchi
@benjamineuronu2142
@benjamineuronu2142 3 года назад
Mungu ni MWEMA
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 года назад
maa shaa Allah
@nannakhamis5350
@nannakhamis5350 3 года назад
Khoo nimependa bureee sasa kashaoa au bado na hao walokuwa wanakataa posa washamba wajui maana ya usanii
@sylivanusmutayoba4349
@sylivanusmutayoba4349 Год назад
Safi kijana unajua kujieleza
@ashazuber6548
@ashazuber6548 3 года назад
Kweli kabisa kila kitu kina mwisho kikubwa kupambana na kuwa na iman natuzid kumuomba Allah
@official_yuram6711
@official_yuram6711 3 года назад
Waach na kuimb mziki ni haram
@rizikingao3648
@rizikingao3648 3 года назад
Kaka mzuri na mkweli
@maryamrashid8499
@maryamrashid8499 3 года назад
Mashallah sura yake kama ka kibwana.
@herysabur7747
@herysabur7747 3 года назад
Kweli namuelewa kwasababu nilimsomesha skuli ya Rahaleo.cema hawezi kunijuwa miaka mingi sana ss kaishi katia maisha magumi.acha ajidai .m.mungu hamtupi mja wake.
@youngbob9761
@youngbob9761 3 года назад
Zanzibar...
@zamzamkhelef8916
@zamzamkhelef8916 3 года назад
Bi Zuwena, Bi Zuhura, Bi khadija kopa, Bi Zuuuuuu ZUCHU hahahaha
@moshimgaza5642
@moshimgaza5642 3 года назад
Kafanana na mama yke hafi jicho
@elizabathfabian8997
@elizabathfabian8997 3 года назад
Zuu mzuriii
@انبنداملبن
@انبنداملبن 3 года назад
Mashaallah kaka yake zuchu
@mzenjikichaa8695
@mzenjikichaa8695 3 года назад
Gansta wa Zanzibar
@ommyzokassim7617
@ommyzokassim7617 3 года назад
Big up brother
@DeborahBalveer
@DeborahBalveer 7 месяцев назад
Hivi Khadija kopa ana watoto wangapi
@ahmadsureboy7623
@ahmadsureboy7623 2 года назад
Baba nilikuwa naikubali sana kazi yko ya Sister du yn kpnd kile ww ni Star Suma kopa pembn kira kirami Umeupiga mwingi
@donpablo2651
@donpablo2651 3 года назад
Suma nimesoma nae mwembe shauri skul
@lkshmykomar5472
@lkshmykomar5472 3 года назад
Polen sana maana chote mumeangamiya hakuna hata wakumsomeya mwezake duwa maisha ya duniya yamewahadaa sana km c waislam namenye aklzake tmamu hamuozeshi mwazawe ukoo huo
@ALIMOHD-bk9lr
@ALIMOHD-bk9lr 3 года назад
Tuombeane mwisho mwema tuu. Hata ukimuona mwenzako anakosea dhahir shahir, jukumu LAKO la kiimani ni kumuombea Dua na kujiombea na wewe ILI usikutwe na Hilo Jambo baya. Aijuae kesho ni MUUMBA tuu 🙏
@lkshmykomar5472
@lkshmykomar5472 3 года назад
@@ALIMOHD-bk9lr nkwel ila wamezd daima mama huwaongoza watt wake njiya njema ya kwenda pepon ilaajabu ya huyu bb yy anasimama kdete kuwapoteza watt wake inaskitsha sana
@official_yuram6711
@official_yuram6711 3 года назад
Sahihi
@lkshmykomar5472
@lkshmykomar5472 3 года назад
@@official_yuram6711 umeonaee
@tatusaidi7451
@tatusaidi7451 3 года назад
Ww unaehukumu utajua Kama utaenda pepon?.achen kuhukumu mungu ndo atajua mwisho wake
@lulually5209
@lulually5209 3 года назад
Babu umekuwa bonge mashallah
@Crokfarm_Hse
@Crokfarm_Hse 3 года назад
Nzuri sana
@MaadamAisha-qx5pu
@MaadamAisha-qx5pu 10 месяцев назад
Familia nzima haijielewi,murudi kwa Allah kama sio ivo moto wa Allah unawasubiri
@khadijahali4837
@khadijahali4837 3 года назад
Amefanana na Mama yk
@rahimalewe2835
@rahimalewe2835 3 года назад
sana mamake mtupu
@khadijahali4837
@khadijahali4837 3 года назад
@@rahimalewe2835 😊😊
@salomewandya7257
@salomewandya7257 3 года назад
Dah maisha jmn watu wanatoka mbali
@babrakashindye1548
@babrakashindye1548 3 года назад
#GanjaForLifeNeverSpeakLie
@suleyhaji5313
@suleyhaji5313 3 года назад
Yes real bro tuwakilishe kitaani kwetu kwaalinatu
@ashrafrajabu6464
@ashrafrajabu6464 3 года назад
Pga fagio sana ila si kwa ubaya 😂😂😂
@allysarha1317
@allysarha1317 3 года назад
😂😂😂😂
@mussajuma8535
@mussajuma8535 3 года назад
sistaduu hee kali hio ngoma
@munnahsaid7329
@munnahsaid7329 3 года назад
Mm nipo na hadija kopa ni mama kma mamangu so cmuogopi baly na muheshimu...leteni iyo posa kenya 🥰
@fatumahassan1371
@fatumahassan1371 3 года назад
Ushayamaliza ww ailete uku kwetu Kenya😂😂
@munnahsaid7329
@munnahsaid7329 3 года назад
@@fatumahassan1371 kabsa
@D-Man.B-Free
@D-Man.B-Free 3 года назад
Zanzibar kama 🇴🇲
@umakramzahor4836
@umakramzahor4836 3 года назад
Mh
@khadijaomari9344
@khadijaomari9344 3 года назад
@@umakramzahor4836 😀😀😀😀😀😉😀
@omarimwangemi4470
@omarimwangemi4470 3 года назад
Hahaha kama suwaq
@victoriaokindo9716
@victoriaokindo9716 3 года назад
Eish kiswahili!🙏
@tanzaniatouristsattraction1622
@tanzaniatouristsattraction1622 3 года назад
Hahaha kakataliwa posa khadija kopa balaaa 😂😂🤣
@khadijashaban3218
@khadijashaban3218 3 года назад
Huyu kk mzur km mm yake
@kitomondo
@kitomondo 3 года назад
Jamaa amekaa kilaini sana yani kama naniliu vile ...
@ubahalfan105
@ubahalfan105 3 года назад
@@kitomondo 🤣🤣🤣si ameiga mwili wa mazaa
@ikramalmas7039
@ikramalmas7039 3 года назад
Hahaa mpe K basi
@khadijahali4837
@khadijahali4837 3 года назад
@@kitomondo 🤔🤔🤔
@kurwaroti3449
@kurwaroti3449 3 года назад
Jaman maixha yana badilika
@maryamrashid8499
@maryamrashid8499 3 года назад
Kafanana sana na baba yake kibwana
@edwingwesso6818
@edwingwesso6818 3 года назад
Zuchu nmetembea nae kipind nakaa jran yake ila kwa sasa nipo mwanza hata namba zake sina alafu DM hajibu sms zangu na nikikumbuka hatujawah kukosana 😭😭😭😭😭
@ikramalmas7039
@ikramalmas7039 3 года назад
Weee kweli msenge,kwa hiyo Kama umetembea nae unataka iwe matangazo? fala weweeee
@sangajestina5461
@sangajestina5461 3 года назад
Bado uNaweza temBeaaa naeeeeee mbnah
@leahfanuel254
@leahfanuel254 3 года назад
😅😅😅daah nacheka lkn naumia
@perfectinnocent1875
@perfectinnocent1875 3 года назад
@@leahfanuel254 😀😀😀, imebidi mimi nicheke comment yako et
@judithkatembwe277
@judithkatembwe277 3 года назад
Yaaaani we huna akili ata kidogo
@killayzone7256
@killayzone7256 3 года назад
Wapi alipo sema awasaidi
@aishahussein4683
@aishahussein4683 3 года назад
Maashallah
@shamomar629
@shamomar629 3 года назад
Enzi zangu za utotoni tulikuwa tunachota maji hapo jirani kwa khadija kopa
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 3 года назад
Kaka una sauti ya kua mtangazaji kipaji icho kitumie kaka suma
@MukizoWizo
@MukizoWizo 3 года назад
Iyo begi ya muhoji si ni ya wanawake bana 🙆‍♂️ ati huo ndo mnyamwezi 🤣 dunia inaisha kueli
@ramadhanidaudihaji2174
@ramadhanidaudihaji2174 3 года назад
🤣🤣
@khadijaomari9344
@khadijaomari9344 3 года назад
yani nishida
@hansykabisama5183
@hansykabisama5183 3 года назад
@@khadijaomari9344 q
@maryamhadid7753
@maryamhadid7753 3 года назад
Itapendeza Zaid zuchu na mama hadija muiboreshe nyumba iko poua Nawapenda mnoo
@hassanmagali6098
@hassanmagali6098 3 года назад
Hiyo nyumba ameijenga Bi Khadija peke yake wakati Zuchu bado ndio kwanza mchanga mpaka ime maliza Zuchu bado hajaanza ata kuimba bado mdogo .
@dianamonyo1960
@dianamonyo1960 Год назад
Anaishi Dar, hii amepangisha
@jeda1234
@jeda1234 3 года назад
😘😘umenikumbusha mbali
@furahajonas7425
@furahajonas7425 3 года назад
Akojenga nyumba wakaa kwa mzee wko
@husnaaliy6158
@husnaaliy6158 3 года назад
bangi
@PapyMelodiz
@PapyMelodiz 3 года назад
noma
Далее
ОНА ОПЯТЬ ПОЁТ 😱
3:05:53
Просмотров 1,2 млн
Khadija Kopa afunguka mimba alizotoa na sababu zake
8:45