Тёмный

EXCLUSIVE: TAZAMA WASIFU wa JAJI WARIOBA KABLA HAJAFA/KUNYWESHWA SUMU/SHULE/WAZAZI/MKE NA CHEO 

SAN TZ MEDIA
Подписаться 30 тыс.
Просмотров 27 тыс.
50% 1

Yote usiyoyafahamu kuhusu Maisha ya Jaji warioba Tokea Akiwa mdogo ,Makala hii inazungumzia Yote mpaka Aliponyweshwa sumu, Fuatilia Makala hii kabla hajafa Kunamengi utajifunza katika Maisha na Hali ya sasa kidunia
#history #alhamdulillah #cloudsmedia #efm #exclusive #simulizinasauti #wasafimedia #dullysantz #millardayo #santzmedia
© Copyright 2024 on SAN TZ MEDIA

Развлечения

Опубликовано:

 

11 мар 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 47   
@hopegwimile53
@hopegwimile53 4 месяца назад
Muhimu kwa wanafunzi kusaidia wasome kwa makini kuinua nchi yetu. Wapelekwe kumuona akiwepo awape siri ya Mafanikio makubwa kwa kuinua Tanzania. Historia ziwekwe Makumbusho zisomwe na Picha tafadhali. Mungu amlinde jemedari wetu.
@Santzmedia
@Santzmedia 4 месяца назад
Ushauri mzuri @hopegwimile53 ilo linapaswa kufanyiwa kazi na maoni yako tutayapeleka Sehemu husika na hata hivyo hapa viongozi wengi wanaangalia video hii ,hivyo tunatumai ombi lako teyari limeshafika mahali husika😊
@user-et9vf2ro2k
@user-et9vf2ro2k 4 месяца назад
Huyu ni mtu muhinu kwa watanzania ukilinganisha na wengi kati ya watu
@user-et9vf2ro2k
@user-et9vf2ro2k 4 месяца назад
Halafu ni muhimu sana watu kama hawa kuekwa katika kumbu kumbu za nchi yetu na historia za vitabu vya kihistoria
@Worldunite
@Worldunite 4 месяца назад
Kichwa cha habari "kabla hajafa" kinatatanisha kinaleta maana tofauti
@Santzmedia
@Santzmedia 4 месяца назад
Sasa Unatakiwa kusikiliza mpaka mwisho
@janemtoma1082
@janemtoma1082 Месяц назад
Nadhani amemaanisha wadhifu wake kabla hajafa maana tumezoea kusikia wadhifu baada ya mtu kufa
@frankpeter4178
@frankpeter4178 13 дней назад
Huyu ndo Kiongozi wa juu aliyewahi kushika nafasi nyingi za juu katika Mihimili yote kuliko kiongozi yoyote Tz, 1)Makamu wa 1 wa Rais, 2)Waziri Mkuu 3)Jaji wa Rufani 4) Mwanasheria Mkuu 5) Mbunge, 6) Mwenyekiti Tume nyingi nje na ndani ikiwemo Tume ya Katiba. 7) Mkuu wa chuo SUA 8) Mshauri wa Rais
@Santzmedia
@Santzmedia 13 дней назад
Shukrani Sana "Tupo pamoja Mkuu , Tuendelee kuelimisha na Kufahamisha watu vitu kama hivi
@eliandutila774
@eliandutila774 Месяц назад
Kipindi Warioba akiwa waziri mkuu pia alikuwa Makamu wa kwanza wa Rais na sio makamu wa pili wa Rais. Tujitahidi kuweka taarifa sahihi kwa manufaa ya umma
@Santzmedia
@Santzmedia Месяц назад
👍
@DAVIDMGOBA
@DAVIDMGOBA 2 месяца назад
Waanze kumuenze akiwa bado yupo kupitia rasim ya katiba mpya
@User255tv
@User255tv 4 месяца назад
Masahihisho: Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais, na siyo Waziri Mkuu na Makamu wa Pili wa Rais.
@Santzmedia
@Santzmedia 4 месяца назад
🤝
@edwardmakonge6951
@edwardmakonge6951 4 месяца назад
huko mwanza alisoma shule ya sekondari Bwiru.form 1 hadi form 4.
@Santzmedia
@Santzmedia 4 месяца назад
Sahihi ☑️☑️
@Santzmedia
@Santzmedia 4 месяца назад
Sahihi ☑️☑️
@onesmothimos2635
@onesmothimos2635 3 месяца назад
Uyu jaa alie andika kichwa cha habari sijui yukoje
@Santzmedia
@Santzmedia 3 месяца назад
Kafanyeje Kwani?
@MazibaOnesimo-my8gu
@MazibaOnesimo-my8gu 15 дней назад
amefariki lini?,
@Santzmedia
@Santzmedia 15 дней назад
!!!!!???????
@stephenndagalla8183
@stephenndagalla8183 2 месяца назад
Mwandishi wa makala anapaswa kurudi Chuo cha uandishi wa Habari, vinginevyo ataendelea kutoa habari zilizo chini ya viwango.
@Santzmedia
@Santzmedia 2 месяца назад
Tuahidi kulifanyia KAZI🙏
@stephenndagalla8183
@stephenndagalla8183 2 месяца назад
@@Santzmedia Asante. Usikatishwe tamaa kwani kikubwa ni kuendelea KUTHUBUTU na KUPITIA MAKOSA NDIO UBORA WA KAZI HUPATIKANA.
@geofreysekei7792
@geofreysekei7792 4 месяца назад
Hamjui namna ya kuandika hata vichwa vya habari yenu
@Santzmedia
@Santzmedia 4 месяца назад
Tusaidie kuandika " kutokana na Wasifu huo"
@NYAKONGOBWIRE
@NYAKONGOBWIRE 3 месяца назад
Jaji Joseph Sinde Warioba alikwa Mwanasheria mkuu wa Serikali na wakati huohuo akiwa Waziri wa Sheria pia; Jaji Warioba alikuwa Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais tangu mwaka 1985 mpaka 1990
@Santzmedia
@Santzmedia 3 месяца назад
Clear na Ahsante Kwa msaada wako ,Uandishi mzuri pia tumepata faida wengi zaidi 🤝
@yusufmohamed8874
@yusufmohamed8874 2 месяца назад
Kulikuwa hakuna wasomi?
@HabibuSalumu-iv5wl
@HabibuSalumu-iv5wl 2 месяца назад
Tutakuja kutetea pombe furani
@Santzmedia
@Santzmedia 2 месяца назад
😆😆
@danielshimora5315
@danielshimora5315 4 месяца назад
Tupe habari za mwinyi.
@Santzmedia
@Santzmedia 4 месяца назад
Mwinyi link iyo nenda uitazame ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-eKMG2RGzphc.htmlsi=SAulx689yqW80qYi
@stephenndagalla8183
@stephenndagalla8183 2 месяца назад
Hiyo picha ya Makonda akimzonga zonga Jaji Warioba(wakati akielezea ripoti yaTume ya Warioba/Katiba mpya), anajisikiaje huyo Makonda aionapo hiyo picha?? Pia Jaji Warioba,anajisikiaje?? Aidha, Rais wa nchi (Mwenye imani kubwa kwa Makonda), anajisikiaje??
@Santzmedia
@Santzmedia 2 месяца назад
Ndio maana ikaitwa Makala ,Ama Wasifu mkuu ,humo vinakusanywa vitu vyote vinavyomuhusu Jaji warioba
@michaelligwa9448
@michaelligwa9448 4 месяца назад
Question mark why wasifu?
@Santzmedia
@Santzmedia 4 месяца назад
Kama Mtanzania kufahamu Wasifu wa viongozi wako ni muhimu Sana ,so Pendelea Sana kufuatilia Makala mbalimbali za Maisha ya viongozi na watu maarufu,Kuna mengi ya kujifunza ndugu😊
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 4 месяца назад
Judge warioba is the simple man in Tanzania national as the former prime minister during late julias kambarege Nyerere leadership has the experience in Tanzania gavment Since late julias kambarege Nyerere leadership has been advised ccm gavment for long but gavment official sametime lngnorant whale judge warioba has experience from Tanzania to lntanationol organization considering his duty done by judge warioba on lntanationol community organization question are leasening to judge warioba
@Santzmedia
@Santzmedia 4 месяца назад
Thank you very much for explaining to us at least a little and we know Judge Warioba
@Santzmedia
@Santzmedia 4 месяца назад
Don't stop following us, we promise you good things are coming
@asteriashios1852
@asteriashios1852 4 месяца назад
Wasifu kwani alikufa si yupo? Tena tunatoka katiba mpya aliyoiandaa mpo?
@Santzmedia
@Santzmedia 4 месяца назад
😔😂😂😂
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 месяца назад
Hahafa na tunataka rasimu yake kwenye kudai katiba mpya
@chire4574
@chire4574 4 месяца назад
Sio lazime afe ..Iyo Ni biography yake
@HabibuSalumu-iv5wl
@HabibuSalumu-iv5wl 2 месяца назад
Katiba ni yawa Tanzania siyo yake yeye alikuwa Mkt wa kamati iliundwa kukusanya maoni Hivi Nijiulize Jaji Mkuu Anapo Mwapisha Rais inakuwaje hapo tutawita yeye ndie mwenye nchi au
@user-nr3bf4om8z
@user-nr3bf4om8z Месяц назад
Mh. Hii nchi wamemzika bila heshima babawa watu
Далее
▼КОРОЛЬ СОЖРАЛ ВСЕХ 👑🍗
29:48
Просмотров 422 тыс.
#TBC: NYOTA WA WIKI NA JAJI JOSEPH WARIOBA NA MKEWE
28:54
NYOTA WA WIKI  NA JAJI  JOSEPH WARIOBA  SEHEMU YA PILI
25:40
There’s A Starman #superman #shorts #memes
0:26
Просмотров 43 млн
Как без этого..😂
0:15
Просмотров 3,4 млн