Kaombe kwa mjomba wako upewe we kama nani ktk hii episode umecheza kama nani kenge we mkome na ushoga wa kuomba omba kwa kazi za wengine mtaolewa ndoa ya mkeka
Kweli mzee kicheche umeamuwa kuwekeza kwenye watoto hongera sana Kuna tumbwa flan twenyewe tumeamuwa kuwekeza kwenye kilimo,elimu n.k ilaa mbwa wewe umetishaaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉
@@moneyfollowme737 anajitahidi kwa uwezo wake huna haja ya kumtukana wala kumfananisha na mtu kila mtu anafanya kwa uwezo wake ila kwenye kuhusu umaliziaji kweli anazingua na kukaa mda bila kutoa kazi inaweza kumpunguzia mashabiki akijitahidi kutoa kazi kwa wakati na kuzimaliza yupo vizuri zaidi ya unuavyojua wewe
Kicheche anafanya mambo ya KIJINGA Sana michezo mingi anaiishia njiani Hana lamaana analofanya michezo anaikatisha njiani aache ujinga achukue Mfano kutoka kwa CLAM VEVO
Jmn kazi nzuri xana MUNGU Awabarikii yaani uyo dada mwenye macho makubwa nampenda mno mwingine nae mkubali valet.japokuw wote mnafanyaaa kazi nzuri xana MUNGU Awabarikii xanaaa
Oya kicheche unajua ww jamaa ni mpuuz sna ten unazngua mpumbavu zako ww hv kwann unapenda kuziumiza mbav zngu yan hii kaz kila cku huw naiyangalia 2 na kuipita nikiona kama rabda itakuw co nzur kumbe wala aisee noma sna mmetisha sna na zaid alienikosha huyo demu wait kwan ni mbea hatar yan hpo ndan kila k2 hanachockia hanaongea mwenzake yey uwamka na kucheka yan noma had noma tena nimekapenda bure hako kademu nice....?ni hayo 2 kwa kifup kaz nzur hongeren❤❤🔥🔥🤛🏻🤛🏻👏🏻👏🏻
Kicheche una kazi nzuri, sounds nzuri, production ni nzuri kiujumla frame nzuri,shida huna muendelezo mzuri wa kazi zako "pesa na matatizo ni best story ila umeacha". Hapo ni shida