Familia ya Mzee Kuminya Sambo (63), Mkazi wa Kijiji Cha Nambinzo Wilaya ya Mbozi, Songwe aliyepotea Julai 9 usiku na kisha mwili wake kupatikana Julai 11 ukiwa umetupwa kandokando ya barabara imeliomba Jeshi la Polisi kufanya uchunguzi ili kubaini sababu za kifo cha ndugu yao
Mwili wa Sambo ulikutwa ukiwa hauna baadhi ya viungo vya mwili ikiwemo mkono na mguu.
@official_jennifersumi
#azamnewsupdates
29 авг 2024