Mwanza Mwanza Tunakubali brother we ndio Rais wetu na Mwanza Mwanza ndio wimbo wetu Wa taifa sio wale mashoga wanaimba mkoa wetu na vitongoji vyake na kuvifananisha na Matusi" salute fid Q si watu Wa Mwanza tunajua matusi yako Mpaka mjengo wako ule Wa Capripoint Karibu na Ikulu Mwanza."
MUSA NGAO kabisa maisha ya video, feck life wengine hawajazoea,fid q kakulia uzunguni jirani yetu Ikulu ya Mwanza iko nyuma ya nyumbani kwako Capripoint hawaishi kiswahili wanaishi kizungu hayo ya hao maonyesho hajayazoea kakua anaviona ,hao malmbukeni waache tu
Kuna watu wananaforce watu waishi kama walivyo wao,yani wanataka kila mtu aishi kwa kujionesha jambo ambalo fid Q hakulitaka lakin ameamua kuwaonyesha ili waridhike.
nilichokigundua mtanzania n mtu mwenye hila mno na nahisi ni laana ! jamani juzi tu mlimsema fid Q hana gari na mkamponda mno na akasema yy sio wale wakujionesha mkasema anazuga hana kitu, leo kaonesha ndinga mapovu yanawatoka tena mara mshamba mara kalikwenda kakarudi,namuomba tu braza(MAKONDA) mungu amsimamie kwa kazi kubwa yakuondoa mashoga mjini apa ila angepitapita na umu angewakuta wengi mno,#ngosha the Don #waaribie
Wanaume vtendo hata dem nirahic kushoboka Na Wavaamidosho ila the real men hanagambwembwe mingi yeye nikukidhi haja ya moyo wake tu .mama is hay an a song a tu. Naninajua waliosema hanagari ndoowamefanya aonyeshee hii otherwise tusingejua ingebaki private tu. Moja kubwa
Sasa wale wasenge wenye walimpigia kelele Q juzi wako wapi?? Wamezoa ile tabia yao hata wakisaidia jirani na chumvi mpaka mitandao ijue....King Kiba+ Q hayo ndio maisha halisia
Umeambiwa huna gari, umeonesha. Na kesho ukiambiwa huna chengine pia utakuja kuonesha? Me naona km umejifelisha kiasi flani. If it was me, ningewaacha tu wakasema me nikaendelea na yangu as long as najuwa I have a car.
Sema nn hujakutana na maneno ya waswahili...Ukiona mtu mzima analia ujue kimemuuma SNA..ndio waswahli walivyo hawaz kuamini hdi uhaminishe ili Sikh nyine wasizoee kuongea.bg up FQ
Kweli kabisa wanunue sabun za kusafisha roho zao mbaya na sizan Kama huo ukurutu wa roho mbaya utawatoka moyon maana wana chuki binafs, roho zenu zinachunusi nyie Kama fenes, mungu aliumba sura ngum na laini ila sio roho mbaya na nzur, alituumba na roho nzur ila mbaya mmejipandikizia
Kisaikolojia huyu jamaa amefeli, ukibishana na mjinga na wewe utakuwa mjinga Tu zaidi huyu jamaa angenyamaza kama Hana ndinga sio kesi, wazungu wanasema"Mind Panic"