Very profound ! Asante sana mama Mugassa ! Vijana wetu wanahitaji muongozo katika ndoa ili wafanikiwe maana chanzo cha Jamii nzuri ni familia / ndoa nzuri ! We need mama Mugassa more and more katika topic zote zinazohusiana na ndoa .
Nimeona nitulie nisikilize hii store mpaka mwisho maana nataka niingie kwenye mausiano duuu najifunza mengi nachoona dini ukiishika sizani kama utateseka kwakwelii
Kweli kabisaa ulichopewa na mungu hakina maumivu Ila ukitafuta mwenyewe aaaah utakipata na malazote naonaga ndoa zinazo ongoza kwa kuvunjika nizile ambazo watu waliloga ! Au walivutiwa na vitu frani
Yamenikuta mengi sana walai vile kwakuangaika kutafuta mke wa kuowa nimepitia matatizo mengi nahata mmoja sijafanikiwa kuowa ila nina mtu mwingine sijui sijui kama nahuyu ntatoboa kwelii au laa