Тёмный

Fix You: Kabla ya kuoa, au kuolewa, fanya haya kwanza, Je! Kuolewa ni bahati? Usipoolewa una kasoro? 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 21 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 106   
@neemazephania9194
@neemazephania9194 Год назад
Yaan huyu mama anakitu cha kuiambia dunia. Ubarikiwe sana. Mungu amejua kukutumia.
@dorothywibabaragatera6583
@dorothywibabaragatera6583 Год назад
Very profound ! Asante sana mama Mugassa ! Vijana wetu wanahitaji muongozo katika ndoa ili wafanikiwe maana chanzo cha Jamii nzuri ni familia / ndoa nzuri ! We need mama Mugassa more and more katika topic zote zinazohusiana na ndoa .
@wansibho554
@wansibho554 Год назад
Ahsante Dada Irene kwa kutuletea Mama yetu amefafanua vizuri sana.. binafsi, nimebarikiwa na arudi tena✨
@Mimy_keys
@Mimy_keys Год назад
Ahsante Mungu wa Neema kwa Ajili ya Mafunzo haya 🙇‍♀️😢 Ubarikiwe Mama Mungu Akujaze Tena ❤️🙏🏽
@elizabertpaul7215
@elizabertpaul7215 Год назад
Sooo powerful. Vijana tumjue Mungu🙏
@isunga1964
@isunga1964 Год назад
Nina 37 wakati wa mungu utafika ntaolewa
@hopesengo6972
@hopesengo6972 Год назад
Usisahau kunipa Kadi ya mchango.
@irenekamugisha
@irenekamugisha Год назад
Utaolewa!
@joymohat5848
@joymohat5848 Год назад
Soon baby girl🙏🙏
@eshyndibalema1529
@eshyndibalema1529 Год назад
Utaolewa dada Mungu yupo
@agneskajela6871
@agneskajela6871 Год назад
Mungu mwema sana 🙏, Mwenyezi Mungu atimize haja ya Moyo wako
@gloriosehakizimana3789
@gloriosehakizimana3789 Год назад
Asanteni sana somo nzuli mubarikiwe sana
@pericykiko6198
@pericykiko6198 Год назад
Shalom mwana wa Mungu Iren uwe unakunywa maji ya moto mara kwa mara na uwe unapenda kuomba
@sophiasophia9713
@sophiasophia9713 Год назад
Unajuaje kama haombi, 🙄
@Chrisscherry
@Chrisscherry Год назад
I’m 32 na huu mwaka naamini nitapata ubavu wangu tufunge pingu za maisha kabisaa🙏🙏🙏
@KoudraAbdoul
@KoudraAbdoul Год назад
Unaye my sister?
@Chrisscherry
@Chrisscherry Год назад
@@KoudraAbdoul bado sijafanikiwa
@mayaramso5647
@mayaramso5647 Год назад
I have learn alot from this video
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Год назад
Asante Yesu kwa kuwa mume wangu nitapewa. Asante mama
@ashaidd2912
@ashaidd2912 Год назад
Leo umefix kbs aje tena
@Munahi-99
@Munahi-99 Год назад
asante mama umenisaidi kwa ushauri wako, coz sahii niko kwa mahusiano but weee
@mariamwamsojo5401
@mariamwamsojo5401 Год назад
Mungu amekupa hekima sana na maarifa yakiMungusana.
@OnlyRuky
@OnlyRuky Год назад
Daaah 🥺🥺🥺Asante mtangazaji kwa maswali muhimu na Asante mama kwa majibu na mafunzooo
@neemamhewa14
@neemamhewa14 Год назад
Asante mama Kwa ushauri mzuri
@ShaniathSadiki
@ShaniathSadiki 5 месяцев назад
Ahsanteee sanaa mama ang
@maryamtan682
@maryamtan682 Год назад
Asanteeni kwa mafundisho mazuri.
@leahstanley1064
@leahstanley1064 Год назад
Asante mama
@naomienana1412
@naomienana1412 Год назад
Namupata mia mia kabisa alicho ongea ni msingi katika kutaka kuanzisha safari ya ndoa Mungu amuongezee hekima
@eliudijustinyindi5939
@eliudijustinyindi5939 Год назад
Nimeona nitulie nisikilize hii store mpaka mwisho maana nataka niingie kwenye mausiano duuu najifunza mengi nachoona dini ukiishika sizani kama utateseka kwakwelii
@elizabethkwigeza6449
@elizabethkwigeza6449 Год назад
Asante sana. A well educative session.
@hopesengo6972
@hopesengo6972 Год назад
Eeh MUNGU,endelea kumbariki dada Irene aendelee kutuletea watu wenye madini ktk maisha yetu. Ahsnte mama Kwa hili somo,ubarikiwe mnoo mama.
@tulinagwea.malopa2889
@tulinagwea.malopa2889 Год назад
Amen
@noellahappy512
@noellahappy512 Год назад
Mungu ni mwema siku zote 🙏
@khalidgush1993
@khalidgush1993 Год назад
Nice one.... lesson ...love your self that got me
@evasempita1144
@evasempita1144 Год назад
Hongera.sana.mama.kwa.mafundisho.mazuri.sana.
@Udindigwa
@Udindigwa Год назад
Point
@greeneraston6102
@greeneraston6102 Год назад
Kama Mim Nina 30 na sina hata presha najua Mungu atanipa tuuu
@anethjoseph355
@anethjoseph355 Год назад
Nimependa jmn
@nolimittvonline6822
@nolimittvonline6822 Год назад
Kweli kabisaa ulichopewa na mungu hakina maumivu Ila ukitafuta mwenyewe aaaah utakipata na malazote naonaga ndoa zinazo ongoza kwa kuvunjika nizile ambazo watu waliloga ! Au walivutiwa na vitu frani
@eliethkwesigabo1990
@eliethkwesigabo1990 Год назад
Asantee
@katushabedotto2883
@katushabedotto2883 Год назад
Yani mnacho ongea nikweli ss ambao tumetolewa tukiwa bado wadogo ndoa zimetushinda tumezalishwa na tumetelekweza na watoto asee
@AsumtaAgripa
@AsumtaAgripa Год назад
Ameen Mama
@jacquelineoemtoka6663
@jacquelineoemtoka6663 Год назад
Amen ubarikiwe sana Mama yaani angedelea tu.Mungu azindi kukutia nguvu
@jacquelineoemtoka6663
@jacquelineoemtoka6663 Год назад
Nimebarikiwa sana namaneno mazuri
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Год назад
Asante Mama 😍😍
@pericykiko6198
@pericykiko6198 Год назад
Ma'am barikiwa umeongea vitu muhimu sana sana
@KikiKasawa-ru9yf
@KikiKasawa-ru9yf Год назад
Imependeza saana Mama nimemuelewa
@laymashabani832
@laymashabani832 Год назад
Tumeelewa mamaangu sisi tusoolewa♥️
@emilylucas1404
@emilylucas1404 Год назад
Hi
@hadiadaoman1981
@hadiadaoman1981 Год назад
Yaan tunazidi kukua kiakili na kujua ndoa n nn jaman ndoa ina uwanja mpana sana
@laymashabani832
@laymashabani832 Год назад
@@hadiadaoman1981 Kabisa yani
@nelsonludovick3360
@nelsonludovick3360 Год назад
Naomba huyu mama aje Tena jamani
@berthaleonardbihondo1141
@berthaleonardbihondo1141 Год назад
Background music ingepunguzwa kidogooo pls🙏
@hopesengo6972
@hopesengo6972 Год назад
Naomba arudi tena🙏🙏🙏
@eliudijustinyindi5939
@eliudijustinyindi5939 Год назад
Yamenikuta mengi sana walai vile kwakuangaika kutafuta mke wa kuowa nimepitia matatizo mengi nahata mmoja sijafanikiwa kuowa ila nina mtu mwingine sijui sijui kama nahuyu ntatoboa kwelii au laa
@stellahlinusi8215
@stellahlinusi8215 Год назад
pole dear kime kukuta nn ndg yangu
@lucyedward7333
@lucyedward7333 Год назад
Well said
@zerasamwer52
@zerasamwer52 Год назад
tumebarikiwa arudi tena
@p-ludy7385
@p-ludy7385 Год назад
Thanks 🙏🙏
@hadiadaoman1981
@hadiadaoman1981 Год назад
Irene tuletee na waislam hapa watuelezee mambo ya ndoa na mahusiano maana huku mtaan kuna kitu kinaitwa uke wenza hatar 🤣🤣🤣
@irenekamugisha
@irenekamugisha Год назад
Nalifanyia kazi boss wangu, soon!
@marthamhugo9699
@marthamhugo9699 Год назад
Kwa ambao hamjaolewa msikosee Kama sisi tumeolewa tukiwa wamdogo na bado Ni wadogo, lakini hatujui tunaenda wapi, tumeesha kosea
@lucyemichael7814
@lucyemichael7814 Год назад
Asnte kwa somo zuri. Itapendeza kama atarudi tena.
@irenekamugisha
@irenekamugisha Год назад
Ungependa kujifunza nini kutoka kwake!
@tiffanymo9453
@tiffanymo9453 Год назад
Ameen .God bless u mom.
@nevialeonard4306
@nevialeonard4306 Год назад
Unahama mada umemuuliza huyo mama utii ni nini kwenye ndoa kwa mwanamke?
@rehemarwanda6039
@rehemarwanda6039 Год назад
Mama Mgasha.....umetusaidia sana Nikiri tu nimeelewa somo na litanisaidia kwenye next Episode yangu ya maisha😘
@osinyoruth2769
@osinyoruth2769 Год назад
I ,m blessed
@suzanajohn5275
@suzanajohn5275 Год назад
Waoooo sisi ni wale wa kwanza kuiona na kucomment mamy umemaliza Kila kitu wewe ni hazina tunayoiitaji sana kwenye ulimwengu huu
@ashaidd2912
@ashaidd2912 Год назад
Mlete tena nimeelewa kbs
@noellahappy512
@noellahappy512 Год назад
Mama arudi tena
@simpilumboma4760
@simpilumboma4760 Год назад
Helpful🙏🏾
@anethjoseph355
@anethjoseph355 Год назад
Mlete tena jmn
@agathamatambula538
@agathamatambula538 Год назад
Well said mama 🥰😍
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Год назад
Nimefurahi unaendelea vizuri na mafua
@irenekamugisha
@irenekamugisha Год назад
Thanks dear🙏
@brynwalk4489
@brynwalk4489 Год назад
Amen amen
@pericykiko6198
@pericykiko6198 Год назад
Wanaume si wachache sema wengi ni wanga mchana hawaonekani lkn haaaaaaaa
@maila561
@maila561 Год назад
ni mm kabisa bado sijajipta kwenye ndoa maana huwa haipo akirini mwangu kabisaaaaa
@Mcsceo
@Mcsceo Год назад
Pole kamureen ulikuwa na mafua kwa Episode hii pole mamy..
@irenekamugisha
@irenekamugisha Год назад
Thanks. Mc Sceo
@maryamChumas
@maryamChumas 9 месяцев назад
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@jescajulius8023
@jescajulius8023 Год назад
Jaman kuolewa siyo lazima haha
@jescajulius8023
@jescajulius8023 Год назад
Mke anatoka kwa shetani???
@mussafoum6562
@mussafoum6562 Год назад
Nice one 💯💯💯
@charlesokumu2363
@charlesokumu2363 Год назад
Hallooo😅😅
@furahannko10
@furahannko10 Год назад
😍😍😍😍
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Год назад
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍🙏
Далее
SURPRISE YA MKE MWEMA.
2:36:51
Просмотров 59 тыс.
NININI NDOA
48:06
Просмотров 45 тыс.
Trase Wout Ou  | Dr. Dieunine Loudy LOUIS
52:26
HUYU MWANAFUNZI MH BALAAA
3:07:53
Просмотров 101 тыс.