Thanks god huu umekuwa mwaka wangu wa kutaka kaubadilika na nimekutana na hii interview nimejifunza mengi na nimesikilza za Joel nanauka kazi ipo kwangu maarifa ninayo ya kutosha. IRENE MUNGU AKUBARIKI
Kuna fix costs ambazo hizo lazima ziwepo.1.Fungu la kumi 2. Umeme 3.Maji.4.Chakula 5.Usafiri wa kwenda kwenye shughuli zako.6.Nauli ya watoto kwenda shule.7.Kama wazazi wapo hai kiasi fulani.7. Ada za watoto.8.Matumizi ya simu kwa gharama ya chini.8.Kinachobaki ndio ujilipe na kufanya uwekezaji.
Boss hiki unachokisema wewe ndio kila mtu anakifanya sasa hakipo sahihi kwasababu matumiz ni mengi kuliko kipato. Sasa ukiwa na uwezo wa kujilipa kabla ya kuwalipa wengine ndio unapojitengenezea nafasi ya kuhama kutoka nafasi moja kwenda nyingine. Me nlisoma hiki kitu kwenye kitabu (The Richman of Babylon) nmefanyia kazi. Niko mahali Pengine kiukweli 🤝
Make your books audio-more people can utilize/listen even during working hours & easy to revisit @ any environment-gym, office,leisure, travel,etc ! Reading can be impeding at times.🤷🏽♀️
Having a liability as a means of facilitating deals chasing sio shida..but liability iwe na minimum costs..so kama ni basi gari nunua hybrid car ambayo ina very low running costs kuliko hata bajaj
Ulaya tumewekewa system ya (pension servings) ambayo huwezi kuwithdraw Kwa muda wa miaka Fulani uliyowekewa. Japokuwa tunaishi Kwa credit but hiyo pesa unahakikisha inatolewa automatic .
Wap muongozo wa bilionaire😂😂😂😂😂😂 dah ni njia ya kutengeneza pesa tu maana yy ni muandishi ila utajiri ni nidhamu yako kwa ujumla kuanzia ndani na nje…huyo dokta kwan ni billionaire😂😂 mamae
sasa kama Gari ni liability kwa maana ya kuwa ukishainunua inatumia pesa na haingizi pesa yeyote. sasa kwa mtiririko huo wa kufikiria, swali ni je, watoto pia ni Liability?
Liability ni chochote kisichokuzalishia faida. Kama una gari na unalitumia kwenda kazini na linasave pesa ambayo ungeilipa kwenye daladala nk, lakini pia, unakuwa kama ni usafili wako wa haraka kukufanya kuwahi kutimiza majukumu yako. Liability kwa Gari ni ile hali ya kutumia gari kwa starehe binafsi zisizo na faida yoyote ile.
Irene asante sana kwa kumleta mtu huyu, kwa sababu ana vitu vingi sana, sisi tuliyosoma vitabu vyake tuna ushuuda mzuri zaidi, Ombi langu, ukipata nafasi muite kwenye fix you mtu mmoja anaitwa Joel Nanauka, naye ana maajabu yake kwenye angle hiyo ya masomo ya maisha.