Тёмный

Fix You: Daktari huyu anakufundisha namna ya kutumia hela yako, ukimsikiliza huwezi kuwa Maskini 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 38 тыс.
50% 1

Dr. Makirita Amani anakupa elimu muhimu sana kuhusu fedha, matumizi pamoja na jinsi ya kupanga bajeti
#FixYou

Развлечения

Опубликовано:

 

23 янв 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 121   
@citymaxbookshoptanzania2924
Hongera sana Makrita wewe ni SHUJAA wangu wa NGUVU ni mtu mhimu sana Tanzania 🇹🇿
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 Год назад
Waoo hakika nimepata kitu kutoka kwa Dr. mada tam sana Irene ikikupendeza mrudishe tena 😉❤
@fevactv
@fevactv Год назад
Binafsi mimi umenisaidia sana kubadilisha maisha yangu,toka zamani tupo pamoja.#coachmakrita
@godfreya6955
@godfreya6955 Год назад
Aiseeh!! I had to remain at work so I can finish this episode. Much respect to our Coach
@tp-kh8hl
@tp-kh8hl Год назад
Acha ubahili wwe sema ulikuwa unatumia wifi ya bure ndo maana ukwenda hom ili usitumie bando lako!..
@mohamedmbaruku6979
@mohamedmbaruku6979 5 месяцев назад
Thanks god huu umekuwa mwaka wangu wa kutaka kaubadilika na nimekutana na hii interview nimejifunza mengi na nimesikilza za Joel nanauka kazi ipo kwangu maarifa ninayo ya kutosha. IRENE MUNGU AKUBARIKI
@agathakalulu1056
@agathakalulu1056 Год назад
Asante sana Irene....kweli unatupatia vitu adim sana...hasa leo yani elim niliyoipata hadi nimejishangaaa mwenyewe daaa asante aseee🙌🙌🙌🙌
@beatricefrankngalubutu1448
@beatricefrankngalubutu1448 Год назад
Daah huyu jamaa ni noma hongera sana dada irine
@trillhappybeautypoint9874
@trillhappybeautypoint9874 Год назад
Nimekusoma haswa hapa kwenye kujilipa mwenyew barikiwa bro.🙏
@leoniamayco8652
@leoniamayco8652 Год назад
Duhh nimejifunza vitu vingi 🙏 thanks kaka
@nathanjunior7694
@nathanjunior7694 Год назад
This is nice interview, Hii elimu vijana wengi sana wanahitaji
@sadasaid7212
@sadasaid7212 Год назад
Asante Sana kwa elimu sns! Mungu awabariki Sana!
@sophiasophia9713
@sophiasophia9713 Год назад
Ahsante sana kwa elimu bora kabisa
@pascalkasandakasela4541
@pascalkasandakasela4541 Год назад
Huyo ni mwamba kwenye tasnia hiyo
@ahmuhally4430
@ahmuhally4430 Год назад
Sana Namjua sana niliwahi kwenda kwenye semina zake
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 Год назад
Nakupenda sana dada Irene kamugisha
@lucyjeremia1381
@lucyjeremia1381 Год назад
Doctor asante mi nina tabia nikiweka hela kwenye kibubu lazima ni bomoe lakin huu mwaka Mungu anisaidie
@omarsalum4052
@omarsalum4052 Год назад
Hhhh
@andrewshustle1331
@andrewshustle1331 Год назад
Asante! Kwa madini 💎 🙌
@ashamutambo3189
@ashamutambo3189 Год назад
Mi niko DRC🇨🇩 napataje vitabu hibyo jamani
@FrolahMsekalile-ql4gu
@FrolahMsekalile-ql4gu 7 месяцев назад
Mmmmh da Irene sema kweli kwa kipndi hiki mmeshtua sanaaa mentality yang,,,thanks alot I learn something good.
@boniphacemagese1033
@boniphacemagese1033 Год назад
Kweli leo namimi naanza
@neemamatanga2093
@neemamatanga2093 10 месяцев назад
Du,nimejifunza Jambo. Asante.
@johneliezeri9786
@johneliezeri9786 10 месяцев назад
Asante Dr kwa mafunzo mazuri
@mwasitiiddy1089
@mwasitiiddy1089 3 месяца назад
Asanten sns nimejifunz vit vin leo
@iragababien4092
@iragababien4092 Год назад
Much respect ❤you
@Oye494
@Oye494 Год назад
Nimeoenda sana iki kipindi nimesoma sana kinanifundisha sana gisi yakutumikisha hera zangu. Kujiripa kwanza.
@user-ff6jb5mf5z
@user-ff6jb5mf5z 11 месяцев назад
I appreciate your work SNS, 😀
@trillhappybeautypoint9874
@trillhappybeautypoint9874 Год назад
Respect kwako mdg wangu 🙏
@samwelchotola8149
@samwelchotola8149 Год назад
Hutu ni mwalimu wangu mkubwa sana yani karibia vutabu vyake vyote ninavyo najifunza kila siku kutoka kwake
@danielgodfrey2449
@danielgodfrey2449 Год назад
Much respect kwa kipindi hiki
@johneliezeri9786
@johneliezeri9786 10 месяцев назад
Dr nimekukubali sana
@mdoman9044
@mdoman9044 Год назад
Asante sana
@nickylyanga2139
@nickylyanga2139 Год назад
Kwa umri wako vitabu 30 ...Nina mashaka na Experience Yako ...any way😊
@aishaamwalimu2887
@aishaamwalimu2887 Год назад
Ahsante Sana.
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Год назад
Asante sana 😍
@hezekiamtera3559
@hezekiamtera3559 Год назад
Kuna fix costs ambazo hizo lazima ziwepo.1.Fungu la kumi 2. Umeme 3.Maji.4.Chakula 5.Usafiri wa kwenda kwenye shughuli zako.6.Nauli ya watoto kwenda shule.7.Kama wazazi wapo hai kiasi fulani.7. Ada za watoto.8.Matumizi ya simu kwa gharama ya chini.8.Kinachobaki ndio ujilipe na kufanya uwekezaji.
@agreymbwilo5874
@agreymbwilo5874 Год назад
Boss hiki unachokisema wewe ndio kila mtu anakifanya sasa hakipo sahihi kwasababu matumiz ni mengi kuliko kipato. Sasa ukiwa na uwezo wa kujilipa kabla ya kuwalipa wengine ndio unapojitengenezea nafasi ya kuhama kutoka nafasi moja kwenda nyingine. Me nlisoma hiki kitu kwenye kitabu (The Richman of Babylon) nmefanyia kazi. Niko mahali Pengine kiukweli 🤝
@JamesIzra
@JamesIzra 5 месяцев назад
​@@agreymbwilo5874kwahiyo umejifunza nn kwenye hicho kitabu
@elishamghase4559
@elishamghase4559 Месяц назад
Big up sana.
@redmioman4371
@redmioman4371 Год назад
Jamani mungu awabariki
@GilbertNkitoz
@GilbertNkitoz 2 месяца назад
Wueh! Sasa mimi napata hiki baada ya mwaka?
@mussafoum6562
@mussafoum6562 Год назад
Nice one 💯💯💯
@user-gp3cv9pk8u
@user-gp3cv9pk8u 6 месяцев назад
Make your books audio-more people can utilize/listen even during working hours & easy to revisit @ any environment-gym, office,leisure, travel,etc ! Reading can be impeding at times.🤷🏽‍♀️
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 Год назад
Ipo sawa
@salehsalim6052
@salehsalim6052 Год назад
Big up sis Irene ur very confident I like what ur doing 🫶👍
@irenekamugisha
@irenekamugisha Год назад
Thanks🙏
@AmigoTv7
@AmigoTv7 Год назад
Nimeangalia Mara mbili mbili hii maana inahamasisha saana
@tanzaniacarschannel6975
@tanzaniacarschannel6975 Год назад
Having a liability as a means of facilitating deals chasing sio shida..but liability iwe na minimum costs..so kama ni basi gari nunua hybrid car ambayo ina very low running costs kuliko hata bajaj
@lucialaurent-nq2zf
@lucialaurent-nq2zf 5 месяцев назад
Huyu kaka ni mdogo lkn ana akili sana❤❤
@jennifermmanyema6693
@jennifermmanyema6693 7 месяцев назад
Juzi Kati nimeokota laki Tatu yaan nilichokinunua cjakuon yaan ningeingz hat kweny cement inanium Sana 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢bora ningewek bank
@cocotz1892
@cocotz1892 Год назад
Nimependa anafundisha vizuri
@gildasnyaki3812
@gildasnyaki3812 Год назад
Daah mkali Sana
@marykennedymarwa1641
@marykennedymarwa1641 Год назад
Ulaya tumewekewa system ya (pension servings) ambayo huwezi kuwithdraw Kwa muda wa miaka Fulani uliyowekewa. Japokuwa tunaishi Kwa credit but hiyo pesa unahakikisha inatolewa automatic .
@omarmahirizi-km8dc
@omarmahirizi-km8dc 10 месяцев назад
Dada naomba katika hili somo jaribu pia umlete joel nanauka atufundishe hili somo naona joe ni mwalimu mjuzi zaika Ana ufasaha wa kuongea zaidi
@johnchristopher8583
@johnchristopher8583 Год назад
Sio mara zote gari linakuwa liability, na sifa ya asset sio kuingiza tu income.
@andrews_kodeson
@andrews_kodeson Год назад
Jama mbaya sana
@mariamkibindo1741
@mariamkibindo1741 10 месяцев назад
Ngoja niskilize kwa makin
@TradersEasyWay
@TradersEasyWay Год назад
Irene sisi ambao tuko nje ya nchi tunaomba namba zake za whatsap
@user-mj7gq3hq7k
@user-mj7gq3hq7k Год назад
@peninashungu6633
@peninashungu6633 Год назад
Nimejifunza
@Happy-tx7p
@Happy-tx7p Год назад
Dada napata vip namb yk na mkasa nilitaman nikuambie uweze nitafutia ushaur
@stephenmbwana603
@stephenmbwana603 Год назад
Nikiitaji hicho kitabu nakipataje
@annastaziaemmanuel8664
@annastaziaemmanuel8664 6 месяцев назад
Vitabu vinapatikana wapi?nakihitaji hicho
@alexjustin2788
@alexjustin2788 Год назад
mangi nimekukubali.
@user-op5gz7vj6w
@user-op5gz7vj6w 9 месяцев назад
❤❤❤❤
@irakozegracia183
@irakozegracia183 Год назад
Ubalikiwe sana kaka wacha nimtumie mpenzi wangu ajifundishe na yeye
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 Год назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@belindalowasa2819
@belindalowasa2819 Год назад
❤❤❤❤😊😊🎉
@victorwilliam9987
@victorwilliam9987 Год назад
nina uhakika asilimia 100 huyu jamaa ni mchaga😄 anyway nitawarudia kucoment baaada ha mwaka mmoja.
@marrykamera611
@marrykamera611 Год назад
Me binafs nimekuelewa sana
@rahaytv26
@rahaytv26 4 месяца назад
🎉🎉🎉
@susans4490
@susans4490 Год назад
Huyu Dr. Serious kidogo utani na kucheka sana
@cosmaslunyembeleka251
@cosmaslunyembeleka251 Год назад
Vitabu vinapatikana wapi
@allybakari7888
@allybakari7888 Год назад
aisee umeuliza swali zuli saana
@kiumbekiumbe4711
@kiumbekiumbe4711 Год назад
What if you live outside the country how can we get the book 📕?
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 Год назад
Good question.
@adolphmarimbo7731
@adolphmarimbo7731 Год назад
Vitabu tutapata wapi
@habibubinmoss72
@habibubinmoss72 Год назад
Sema doctr anafeli hana social media
@adkajisi4536
@adkajisi4536 Год назад
Ni Dr wa binadamu?
@knowledgetv5594
@knowledgetv5594 Год назад
Mtafute RU-vid yupo majina, Dr Makirita Amani.
@mwasitiiddy1089
@mwasitiiddy1089 3 месяца назад
Vitab tunatoa wap
@nickylyanga2139
@nickylyanga2139 Год назад
Tatizo hamsem ni wapi tunavipata hata tuliopo mikoani
@irenekamugisha
@irenekamugisha Год назад
Ametoa namba yake unaweza kumcheki
@Oye494
@Oye494 Год назад
Jina Kamugisha ina origine ya Rwanda. Sasa nimetaka kujuwa kama Kamugusha iko na origine Rwandaise ao?
@lillianapondi2175
@lillianapondi2175 Год назад
I have a question, What is I want to buy a piece of land and I don't have money. Is it ok if I take a loan to buy a land
@irenekamugisha
@irenekamugisha Год назад
How long it will take for the land to appreciate in value, matters when making such a decision
@ireneassey2022
@ireneassey2022 Год назад
Vitabu vinapatikn wap
@khadijashabaninimba7890
@khadijashabaninimba7890 Год назад
Tunawezaje kupata hivyo vitabu
@irenekamugisha
@irenekamugisha Год назад
Mwishoni alitaja namba yake
@lucyjeremia1381
@lucyjeremia1381 Год назад
vitabu tunavipataje jmn
@irenekamugisha
@irenekamugisha Год назад
Ukisikiliza kipindi mpaka mwisho, alitaja namba!
@syprianfrank3283
@syprianfrank3283 Год назад
Jamaa yuko vizur lakin anapita kwa rich dad poor dad Naisi rich dad poor dad ni kitabu kinachoeleza kila kitu kuhusu fedha
@daudmadaha4168
@daudmadaha4168 Год назад
😂😂😂😂😂 rich dad poor dad ndo namalizia kusoma
@izobinyoizobinyo
@izobinyoizobinyo 6 месяцев назад
😂😂copy
@mwasitiiddy1089
@mwasitiiddy1089 3 месяца назад
Unakipat wap
@Bob-kz2ql
@Bob-kz2ql Год назад
Wap muongozo wa bilionaire😂😂😂😂😂😂 dah ni njia ya kutengeneza pesa tu maana yy ni muandishi ila utajiri ni nidhamu yako kwa ujumla kuanzia ndani na nje…huyo dokta kwan ni billionaire😂😂 mamae
@atomphoton5000
@atomphoton5000 Год назад
sasa kama Gari ni liability kwa maana ya kuwa ukishainunua inatumia pesa na haingizi pesa yeyote. sasa kwa mtiririko huo wa kufikiria, swali ni je, watoto pia ni Liability?
@GUSATVTZ
@GUSATVTZ Год назад
Liability sio kitu kibaya
@GUSATVTZ
@GUSATVTZ Год назад
Kuna liability za kuepuka na kuna ambazo haziepukiki
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 Год назад
@@GUSATVTZ wow 👌 👏
@Mpakauseme
@Mpakauseme Год назад
NDIO
@knowledgetv5594
@knowledgetv5594 Год назад
Liability ni chochote kisichokuzalishia faida. Kama una gari na unalitumia kwenda kazini na linasave pesa ambayo ungeilipa kwenye daladala nk, lakini pia, unakuwa kama ni usafili wako wa haraka kukufanya kuwahi kutimiza majukumu yako. Liability kwa Gari ni ile hali ya kutumia gari kwa starehe binafsi zisizo na faida yoyote ile.
@abdulazizbrek4980
@abdulazizbrek4980 Год назад
Uyu jamaa yake you tube channel inaitwa?
@irenekamugisha
@irenekamugisha Год назад
Hana RU-vid channel
@knowledgetv5594
@knowledgetv5594 Год назад
Anayo RU-vid chanel yake, mtafute ni mtaalamu mno. Jina analotumia RU-vid ni, Dr Makirita Amani.
@abdulazizbrek4980
@abdulazizbrek4980 Год назад
@@knowledgetv5594 poa shukran
@zaharamwaruka3138
@zaharamwaruka3138 Год назад
Mimi binafsi naomba no ya Makita nafeli kila cku biashara zinakufa
@izack9191
@izack9191 Год назад
Kwanza anajiusisha na biashara gani na anapesa ngapi kwa account yake
@elimidakashumba2422
@elimidakashumba2422 Год назад
Hata kama huoni, je husikii?
@estermahenge5972
@estermahenge5972 Год назад
@@elimidakashumba2422 atakua ana vyote 😄😄😄
@user-pr5sl2qe4r
@user-pr5sl2qe4r 6 месяцев назад
Mm niko Omn, wapi ntapata hivyo vitabu?
@ADMIN-yo7wu
@ADMIN-yo7wu Год назад
Irene asante sana kwa kumleta mtu huyu, kwa sababu ana vitu vingi sana, sisi tuliyosoma vitabu vyake tuna ushuuda mzuri zaidi, Ombi langu, ukipata nafasi muite kwenye fix you mtu mmoja anaitwa Joel Nanauka, naye ana maajabu yake kwenye angle hiyo ya masomo ya maisha.
@irenekamugisha
@irenekamugisha Год назад
Nitafanya hivyo
@redmioman4371
@redmioman4371 Год назад
Jamani mungu awabariki
@salehsalim6052
@salehsalim6052 Год назад
Big up sis Irene ur very confident I like what ur doing 🫶👍
@Mpakauseme
@Mpakauseme Год назад
Asante sana
@belinakabunduguru
@belinakabunduguru Год назад
Dada Iren huyu coach tunaweza kupataje namba yake ya wasap
Далее
Beautiful sport😍
00:20
Просмотров 134 тыс.
В GEOMETRY DASH СДЕЛАЛИ GTA
00:27
Просмотров 694 тыс.
World Record Tunnel Glide 🪂
00:19
Просмотров 23 млн
NAMNA YA KUPIGANA NA UMASIKINI KAMA ROHO   1
58:20
Просмотров 3,5 тыс.
Jinsi ya kuweka malengo na kufanikiwa
1:05:12
Просмотров 437 тыс.
ROHO YA UMASIKINI - PASTOR SUNBELLA KYANDO
30:52
Просмотров 75 тыс.
19 июля 2024 г.
0:20
Просмотров 1,3 млн
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
0:27
Просмотров 7 млн