Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web.app/buy/6Ew6mE... Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali
Sijawai comment ata siku moja nimesikiliza vipindi vingi kutoka @FixYou but for the first time leo nimejifunza nimepata mwalimu She is the Best kwenye icho kitengo I wish awe anakuja kutufindisha mara kwa mara maua yake please🌹🌹🌹💐💐❤❤❤
Ndoa ngumu kwa hiyo Mungu mgumu. Tusigeneralize hivyo.ke mwema anatoka kwa MUUMBA. Ndoa nyingi zinaanza na mila potofu mbuzi wa mababu Mizimu drama za Shetani. Mlioolewa wengi mnalala sana usingizi. Mnabase ktk Utakatifu wa kufunga ndoa.vivyo hivyo Hawa waume kwaya inakuwa byeeee
Ukikuzwa kiutamaduni wakuomba Ruhusa basi hutoona shida kabisa👏🏽,binafsi nimekuzwa ni muhimu kuomba ruhusa nyumbani kwa Wazazi endapo ni sehemu tofauti na kazini ,though kuna muda mwanzoni unaona kero but Kama wazazi wangu wanaona ni muhimu na ni kwa usalama zaidi hiyo ndio point Yao kubwa kwetu kutuelimisha,MUNGU atusaidie.
Nilikua natafuta sana mtu mwenye mindset kama hii, dada Salome Mungu akulinde na akuinue zaidi. This has impacted my life, I really needed to hear this right before I get married
Kuhusu majukumu hasa katika masuala ya kifedha, kwa asili yake Mwanaume anapaswa ahakikishe basic needs zinapatikana lakini kwa mwanamke anapaswa kushughulika na masuala ya Elimu za watoto n.k, lakini ushiririkiano ni muhimu lakini kila mtu anapaswa kuratibu eneo kwa asili au makubaliano!!!
Elimu NI mwanaume... Both elimu ya darasani na elimu ya duniani huku. Baba unastahili uwe vizuri. Mama analea mpaka miaka mitano yaani anamtambulosha mtoto duniani kazi inayofuata ni ya baba kwa asilimia kubwa kumuongoza katika kufanya chaguzi nzuri za maisha Hali kadhalika jinsi ya kukabiliana na mazingira yanayomzunguka. Ingekuwa mwanaume NI kutafuta pesa Pekee hata mwanamke anaweza kufanya, na hapo inakuwa umetunza na sio kulea. Kwa hiyo mwanaume anastahili kuwa vizuri kwenye kila sekta. Tukiwaachia kila kitu wanawake tutatenge eza kizazi kibovu ndio maana kila siku wanalalamika wakina baba hawako available...
Irene, big fan here. I'm a Kenyan based in the States & all I watch on this chanel is your FIX YOU show. Of all the guests Salome has been the most impressive, especially when her wisdom is centered on reality & not idealism. Furthermore, she's one of the few women who seems to have unconditional respect for men or manhoood. She doesn't qualify her idea about who's the head of household with arbitrary rules. She actually has fidelity to men being head of households, especially when it's central to African customs and culture. As a father of two boys i hope my sons eventually marry women with such unconditional respect because it's the only way to gain reciprocity from men that is based on a similar fundamental respect. Anyways, your show is great and has tremendeously helped my own marriage, albeit in a different context. Thank you!
Hii mielekeo ya kimila Mungu mgumu? Ndoa ngumu. Mnaanza ndoa na mbuzi wa mababu? Drama za mizimu zinatake role sana. Usingizi fofofo hapo vipi! Ndoa tamu.
KWA WAZAZI NLIKUWA NAOMBA RUHUSA….NA SASA NIKO NA MAISHA YANGU NIOMBE RUHUSA….. NOOOOOO NI KUTOA RAARIFA SIO NIOMBE RUHUSA… YEYE AKITOKA AAGE … ME PIA NIAGE…. LAKINI SIO NIOMBE RUHUSA… EACH OF US MUST KNOW WHERE THE OTHER IS…
Kuomba ruhusa sio unyonge, hata mwanaume anaweza omba ruhusa.. Shida ulikuwa unaishi nyumbani Kama shule. Toxic feminism imewashika wanawake wengi. You need therapy!!!! Kutoa au kuomba ruhusa( sasa hapa NI lazima muafiki pande zote mbili)NI pale ambapo mtu anaenda sehemu ambayo haijazoeleka katika maisha ya kila siku na kutoa taarifa NI kwenda sehemu ya mizunguko yako ya kila siku. Kiusalama NI vizur Sana Ila Jambo likitokea watu wajue ulipo.
jaman samahanini ambaye anaweza kuandika hiyo hiyo social media yake ya kumpata salome ninaomba mniandikie coz nimejaribu nimeshindwa, ni ninahitaji msahada wake jamn