Тёмный

Fix You: Usiingie kwenye ndoa kabla hujamsikiliza Mshauri huyu, yafahamu haya kwanza 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 32 тыс.
50% 1

Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web.app/buy/6Ew6mE...
Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali

Опубликовано:

 

8 июн 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 101   
@fettyrcial2790
@fettyrcial2790 Год назад
Sijawai comment ata siku moja nimesikiliza vipindi vingi kutoka @FixYou but for the first time leo nimejifunza nimepata mwalimu She is the Best kwenye icho kitengo I wish awe anakuja kutufindisha mara kwa mara maua yake please🌹🌹🌹💐💐❤❤❤
@user-gv4pc9if2u
@user-gv4pc9if2u Месяц назад
Ndoa ngumu kwa hiyo Mungu mgumu. Tusigeneralize hivyo.ke mwema anatoka kwa MUUMBA. Ndoa nyingi zinaanza na mila potofu mbuzi wa mababu Mizimu drama za Shetani. Mlioolewa wengi mnalala sana usingizi. Mnabase ktk Utakatifu wa kufunga ndoa.vivyo hivyo Hawa waume kwaya inakuwa byeeee
@rodgersgregory7198
@rodgersgregory7198 Год назад
Huyu dada ni mwalimu mzuri mwenye tajiriba kubwa sana!!!
@aureliayuktankabebwa5066
@aureliayuktankabebwa5066 Год назад
Ukikuzwa kiutamaduni wakuomba Ruhusa basi hutoona shida kabisa👏🏽,binafsi nimekuzwa ni muhimu kuomba ruhusa nyumbani kwa Wazazi endapo ni sehemu tofauti na kazini ,though kuna muda mwanzoni unaona kero but Kama wazazi wangu wanaona ni muhimu na ni kwa usalama zaidi hiyo ndio point Yao kubwa kwetu kutuelimisha,MUNGU atusaidie.
@josephathema
@josephathema Год назад
Protect Salome at all costs
@khadijarashidy9304
@khadijarashidy9304 Год назад
Kama umerudia kuangalia gonga like
@elizabertpaul7215
@elizabertpaul7215 Год назад
Nilikua natafuta sana mtu mwenye mindset kama hii, dada Salome Mungu akulinde na akuinue zaidi. This has impacted my life, I really needed to hear this right before I get married
@economistsarafina8085
@economistsarafina8085 Год назад
My counselor and sister, never disappoints.
@teacher_dory
@teacher_dory Год назад
Asante sana Dada Salome nimejifunza vitu vikubwa. Nitafute mema na sio mabaya yake
@isayaanthon7063
@isayaanthon7063 Год назад
Dada mzuri kwa sura na akili. What a wife material is the woman. Chukua maua yako mrembo
@ingabireritha3740
@ingabireritha3740 Год назад
One of the best jamani tumejifunza sana thanks again
@AngelaGKalala-ix3wm
@AngelaGKalala-ix3wm Год назад
That's my sis 😍😍😍.. What an incredible interview.. 💪💪💪💪💪💪..
@muhamadharun9432
@muhamadharun9432 Год назад
Dada salome , upo vizuri sana, wife material 🌹👑
@christopherjames-em2mk
@christopherjames-em2mk Год назад
Barikiwa sana Kama Dunia wakiwepo wa mama 5 tu watabadilisha Dunia
@bokimmwamba2322
@bokimmwamba2322 Год назад
mdada wa leo mzuriiii ana akiliii hekima yaan wife material haswaaaa yaan bro popote ulipo shem tunae
@spensiozakato600
@spensiozakato600 Год назад
Na mm nimemuelewa kalelewa Dada yetu.
@flavianlaizer8863
@flavianlaizer8863 Год назад
I think she is a super and brilliant woman. Bless is her husband for sure. Anastahili maua yake
@manyamalima1916
@manyamalima1916 Год назад
Dah sikujua kama bado kuna wife material, Great mindset…
@leahmwanjela8657
@leahmwanjela8657 Год назад
Asanteeee Sana'a kwa maneno mazuriiiiiii yaliyojaa hekima busara yakutoshaaaaa
@magekata7229
@magekata7229 Год назад
Asante sana kwa kweli nimejifunza kitu 🙇‍♀️🙏❤
@joycejohn493
@joycejohn493 Год назад
Waooooooooo🎉🎉❤. What a nice Interview... It's a Perfect One.. Thanks 🙏
@ahz6907
@ahz6907 Год назад
Salome is so sweet....❤
@jumaassomane7775
@jumaassomane7775 Год назад
Asante sana kwa somo zuri na nimejifuza mengi 💜💜💜
@ahz6907
@ahz6907 Год назад
Mjadala mzuri.mmeupiga mwingi wadada wazuri❤
@brightyona9815
@brightyona9815 Год назад
huyu dada amebarikiwa hekima busara na maarifa yuko makini sana huku ndio kujitambua hata kama mume wake anacheat lazima anajutia sana nakuumia
@maishaforreal7798
@maishaforreal7798 Год назад
Ameongeye vizuri uyu madam kabisa
@nkurunzizalydia1720
@nkurunzizalydia1720 Год назад
Umurudishe siku nyingine wallah leo mimi nimenyoka😊😊😊
@neemayatosha1618
@neemayatosha1618 Год назад
Bwana Kiondo hakika macho yake yaliona vyema,asijefanya kosa la kumpoteza Salome ....... arudi tena jamani ,ana hekima na yuko halisi mno. Sio wale wageni ambao wanatuleteaga mazingaombwe😂 a.k.a hekaya za Abunuwas
@ahz6907
@ahz6907 Год назад
Kama Dokta mwaka😂
@user-eh5ss4dw1c
@user-eh5ss4dw1c Год назад
Thank a lot
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 Год назад
Mwalimu wa mafundisho ya ndoa nimesha mpata bado tu uyo mtt wa mama mkwe come babe uenjoy 🥰
@salomenelson711
@salomenelson711 Год назад
Mungu akutendee
@salamisindimwo303
@salamisindimwo303 Год назад
huyu Mwalim tunaomba arudi,arudi jamani kisha kuna yule Teacher Timothee, hajambo? tumeli-miss darasa lake... fix you...kipindi kizuri mno, Hongereni
@irenekamugisha
@irenekamugisha Год назад
Teacher Tim hajambo kabisa, atarudi
@alicekarisa7362
@alicekarisa7362 2 месяца назад
Thanks for the good advice
@economistshillajr.1317
@economistshillajr.1317 Год назад
Kuhusu majukumu hasa katika masuala ya kifedha, kwa asili yake Mwanaume anapaswa ahakikishe basic needs zinapatikana lakini kwa mwanamke anapaswa kushughulika na masuala ya Elimu za watoto n.k, lakini ushiririkiano ni muhimu lakini kila mtu anapaswa kuratibu eneo kwa asili au makubaliano!!!
@rogath_silayo
@rogath_silayo Год назад
Elimu NI mwanaume... Both elimu ya darasani na elimu ya duniani huku. Baba unastahili uwe vizuri. Mama analea mpaka miaka mitano yaani anamtambulosha mtoto duniani kazi inayofuata ni ya baba kwa asilimia kubwa kumuongoza katika kufanya chaguzi nzuri za maisha Hali kadhalika jinsi ya kukabiliana na mazingira yanayomzunguka. Ingekuwa mwanaume NI kutafuta pesa Pekee hata mwanamke anaweza kufanya, na hapo inakuwa umetunza na sio kulea. Kwa hiyo mwanaume anastahili kuwa vizuri kwenye kila sekta. Tukiwaachia kila kitu wanawake tutatenge eza kizazi kibovu ndio maana kila siku wanalalamika wakina baba hawako available...
@tusekonga3030
@tusekonga3030 Год назад
Asanteni sana❤
@user-ob9qr4tl6t
@user-ob9qr4tl6t 2 месяца назад
Airine napenda sana kipindi chako mungu akubariki sana
@fidelisyombya1288
@fidelisyombya1288 Год назад
Thanks Irene👊
@dayana5513story
@dayana5513story Год назад
Uyu sis anaakiri kama mimi 👏
@mohamedomar7692
@mohamedomar7692 Год назад
Salome nakupenda mwanamke material wewe ni kweli Salome
@WTC492
@WTC492 Год назад
Sijui kwa nini nimekupenda Salome. Yani unaonekana ni msomi ambaye unajua kutumia elimu yako.
@edinambwambo4847
@edinambwambo4847 Год назад
Heshima yako mgeni wa leo🙌🏼 ....Maana sina la kuongea.📌
@salomenelson711
@salomenelson711 Год назад
Nashukuru sana
@ahz6907
@ahz6907 Год назад
​@@salomenelson711 upo vzuri.unayoongea ni sahihi.nipo ndoani mwaka wa nane. Milima na mabonde...mungu ni mwema🙏
@directorimmah_vfx3043
@directorimmah_vfx3043 Год назад
mdada yupo smart sana
@echolude
@echolude Год назад
Irene, big fan here. I'm a Kenyan based in the States & all I watch on this chanel is your FIX YOU show. Of all the guests Salome has been the most impressive, especially when her wisdom is centered on reality & not idealism. Furthermore, she's one of the few women who seems to have unconditional respect for men or manhoood. She doesn't qualify her idea about who's the head of household with arbitrary rules. She actually has fidelity to men being head of households, especially when it's central to African customs and culture. As a father of two boys i hope my sons eventually marry women with such unconditional respect because it's the only way to gain reciprocity from men that is based on a similar fundamental respect. Anyways, your show is great and has tremendeously helped my own marriage, albeit in a different context. Thank you!
@irenekamugisha
@irenekamugisha Год назад
Thank you🙏
@salomenelson711
@salomenelson711 Год назад
I appreciate the comment. Be blessed
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 Год назад
When my son grows up,s I pray he finds a wife material like Salome😂😂❤
@francismtunda4030
@francismtunda4030 Год назад
Irene ana wivu sana yaani kama haelewi somo daah
@sibhonikealiko
@sibhonikealiko Год назад
​@@francismtunda4030😂😂😂😂😂
@yassirkayowa506
@yassirkayowa506 Месяц назад
Mafundisho murua ktk maandaliz special ya ndoa🎉
@KikiKasawa-ru9yf
@KikiKasawa-ru9yf Год назад
Nimeipenda saaana !!
@witnessmalle771
@witnessmalle771 Год назад
Nmependa hii
@maishaforreal7798
@maishaforreal7798 Год назад
Asante . Dizasta Vina mumualike anailimu
@user-qt4kf3dv3b
@user-qt4kf3dv3b Год назад
Dada yukovizuli sana mualikeni tena tupate madini mazuli
@NovathPanga-me7el
@NovathPanga-me7el Год назад
👏👏👏👏👏acha nimpe 🌷🌷maua yake
@faithedgar144
@faithedgar144 Год назад
Mungu nipe akili na moyo kama wa uyu dada ❤
@valentinetesha8536
@valentinetesha8536 Год назад
wadada wengi akili zao wanawaza ndoa ni sawa na kudanga wao cha muhim mwanaume awe na ela tuu hawajui kumjali mwanaume na kum heshimu
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 Год назад
👍👌❤
@ashaidd2912
@ashaidd2912 Год назад
Salome big up
@hamadsaidy8740
@hamadsaidy8740 Год назад
Salome kama msundani vire mzuri na ubongo wako uko vzr hgr san
@issazalala4907
@issazalala4907 Год назад
Ndoa ni mpango wa mungu
@user-cv9mx1uj3i
@user-cv9mx1uj3i Год назад
Kamugisha nimeuliza from Burundi 🇧🇮 (sns) ipo sehemu gani dar?mwezi wa 10 najipanga kuja dar naitaji nipite hapo niwasabayi.
@agnesskiginga3890
@agnesskiginga3890 Год назад
Dada salome anapika kwenye platform ipi au ni katika Fix you hapa tu
@MwanaishaHemed-xi6rj
@MwanaishaHemed-xi6rj Год назад
Asante sana
@yasodishonest9792
@yasodishonest9792 Год назад
Thank you so much my sister. Love u ❤❤❤❤❤❤yani dada ww MashaAllah MashaAllah hongera una akili sana.umetufungua vingitu.thank SALOME
@salomenelson711
@salomenelson711 Год назад
Asante kwa kushukuru asante kwa kufuatilia
@yasodishonest9792
@yasodishonest9792 Год назад
@@salomenelson711 love you so much my sister .umetibu ugonjwa wangu true. ♥️😍
@stevenobunde9345
@stevenobunde9345 Год назад
Salome umegusa watu wengi kwa mahelezo yako!
@rhodalameck5722
@rhodalameck5722 Год назад
Naomba uniunge kwenye group la proud wife jamani
@economistshillajr.1317
@economistshillajr.1317 Год назад
Hongeraa Salome, omeongea vizuri sana!!!!
@salomenelson711
@salomenelson711 Год назад
Asante nashukuru
@mariamame4403
@mariamame4403 Год назад
Hapo kwenye mme kutokuomba ruhusu sikubali nae, wote wawili waombane ruhusa ndio hudumisha amani na upendo kwenye nyumba
@rabsontryphon9254
@rabsontryphon9254 8 месяцев назад
Ww haujamuelewa msikilize tena vzr
@Udindigwa
@Udindigwa Год назад
Ujumbe Mzuri SANA
@mwajumabinwa604
@mwajumabinwa604 Год назад
Simu duh😅😅😅
@ashaidd2912
@ashaidd2912 Год назад
Arudi tena
@noelmarapachi1808
@noelmarapachi1808 Год назад
Ile fix you na pastor carlos iliishia njiani, please weka part 2 yake ili tuimalizie
@irenekamugisha
@irenekamugisha Год назад
Ipo part 2 tayari
@noelmarapachi1808
@noelmarapachi1808 Год назад
@@irenekamugisha Sawa, asante ngoja niitafute
@kevinokal9619
@kevinokal9619 10 месяцев назад
Mausia mazuri mno
@AldaBahati-pd8cl
@AldaBahati-pd8cl 10 месяцев назад
Naomba naomba ya daSalome please
@maishaforreal7798
@maishaforreal7798 Год назад
Dizasta vina
@kambibikamugisha3394
@kambibikamugisha3394 Год назад
Hongereni sana. Kazi nzuri sana.
@user-gv4pc9if2u
@user-gv4pc9if2u Месяц назад
Hii mielekeo ya kimila Mungu mgumu? Ndoa ngumu. Mnaanza ndoa na mbuzi wa mababu? Drama za mizimu zinatake role sana. Usingizi fofofo hapo vipi! Ndoa tamu.
@tumainichanya3268
@tumainichanya3268 Год назад
Irene mi ninashida yangu binafsi nitakupateje?
@debbiethomas9825
@debbiethomas9825 Год назад
KWA WAZAZI NLIKUWA NAOMBA RUHUSA….NA SASA NIKO NA MAISHA YANGU NIOMBE RUHUSA….. NOOOOOO NI KUTOA RAARIFA SIO NIOMBE RUHUSA… YEYE AKITOKA AAGE … ME PIA NIAGE…. LAKINI SIO NIOMBE RUHUSA… EACH OF US MUST KNOW WHERE THE OTHER IS…
@elishaluhwago6940
@elishaluhwago6940 Год назад
Aya😂
@baltazalbalanzize2193
@baltazalbalanzize2193 Год назад
Baki nyumbani huko mana ukiingia kwenye ndo utapigwa kama ngoma
@ahz6907
@ahz6907 Год назад
Naona kabisa Ndoa yako ishavunjika kabla ya uwepo wake 😂
@ednantabalwa1118
@ednantabalwa1118 Год назад
😂😂
@rogath_silayo
@rogath_silayo Год назад
Kuomba ruhusa sio unyonge, hata mwanaume anaweza omba ruhusa.. Shida ulikuwa unaishi nyumbani Kama shule. Toxic feminism imewashika wanawake wengi. You need therapy!!!! Kutoa au kuomba ruhusa( sasa hapa NI lazima muafiki pande zote mbili)NI pale ambapo mtu anaenda sehemu ambayo haijazoeleka katika maisha ya kila siku na kutoa taarifa NI kwenda sehemu ya mizunguko yako ya kila siku. Kiusalama NI vizur Sana Ila Jambo likitokea watu wajue ulipo.
@Teddymassawe-rf1kl
@Teddymassawe-rf1kl Год назад
jaman samahanini ambaye anaweza kuandika hiyo hiyo social media yake ya kumpata salome ninaomba mniandikie coz nimejaribu nimeshindwa, ni ninahitaji msahada wake jamn
@irenekamugisha
@irenekamugisha Год назад
Counselor_salome
@AldaBahati-pd8cl
@AldaBahati-pd8cl 10 месяцев назад
Naomba naomba Yako da Irene
Далее
Камень, ножницы, нейронка
00:33
Просмотров 540 тыс.
🤔
00:28
Просмотров 709 тыс.
Я ПОКУПАЮ НОВУЮ ТАЧКУ - МЕЧТУ!
39:05
Камень, ножницы, нейронка
00:33
Просмотров 540 тыс.