Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web... Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali
unaweza kujenga ukapangisha,{kujenga nyumba za kupanga} ni moja ya uwekezaji ambao hauna stress sana pale utakapomaliza, kama una hela na ukicalculate unaweza kujenga na ukafika mahali pazur sanaaaaaaaaa aaaaah aseeee JENGA, ata kesho ukitangulia mbele ya haki ukawaachia watoto nyumba za kupanga wanaweza kutumia vyumba kadhaa kuishi na vingine kupangisha na kuzisimamia na wakaweza kuendeleza maisha lakini ukiwaachia biashara tu na huku hawana pa kuishi wanalipa kodi kuna mawili waweze kuisimamia biashara ikue ama washindwe IFE wakose vyote,
Hii page inanifaa maana baada tu ya kumleta Dr Makirita Amani, nimeanza kuifuatilia na nimegundua ni ukurasa bora mno, unaojenga, kuhamasisha, na kuelimisha zaidi. Hongereni kwa kutuletea watu wenye hekima zaidi. Huyu ndugu nimemuelewa mno.
Sio lazima kujenga Dream house, unaweza jenga nyumba ya kawaida tu nje ya mji ya hela ya kawaida achana na hizo za 100million. Then kiasi kingine ukaendelea kuwekeza kama ukikwama kwenye biashara zako unarudi kujificha kwenye kakibanda kako.
Kuna watu wamezaliwa tayari wameshajengewa na kunawatu wamezaliwa wapo kwenye nyumba za kupanga kwahivyo mpaka hapo wapo tofauti. Maisha ni nyumba wanaosema usijenge kwanza wekeza wao wameshajenga au wameshajengewa. Sikiliza ushauri wao ila changanya na zako
Nyumba kwanzaa vıjana asıkudanganye mtu Kuısh kwako n raha sqba kuluko kwa mtu ukıwa ktk ndoa half uko kwako hata ukıla mlenda maisha utayaona kama pepon vıleee!!!!
@@konshazikonsha6180 ndo Mana unatakiwa ufanye biashara ambayo una experience nayo ili uweze kuimeneji napia unapowekeza kwenye biashara lazima ujue hii biashara inafaida hata km Kuna hasar lakn kwafaida inayopatikana siwez yumba Sana .
@@konshazikonsha6180 tunashuhudia watu wengi wamepata hela wakakimbilia kuchenga lakn maisha yamekuwa magum wamekimbia nyumba wameenda vijijin lazm unapojenga uweze kuacha balance ambayo itaendeleza biashara yako ili faida inapoingia ndo inakamilisha ujenz siyo unajenga nyumba na hela yote,,, pia km huna idea na biashara we jenga tu kwasbb huwez biashara.
Aliporudi kutoka nchi za nje, alipofika kwao akashauriwa na mzazi wake kwamba asijenge awekeze, kumbuka aliporudi kwao manana yake tayari alikuwa na kwao yaani nyumba ilikuwepo. Sasa nitofauti na Yule mtu ambae hawana nyumba yao wapo kwenye nyumba za kupanga na Kisha amepata milioni 40, wewe unaye angalia hii video sio kila ushauri unakufaa jaribu kuangalia mazingira uliopo wewe nasio sio yule unaye msikiliza ...
Kwani siwezi kujenga na pesa zangu za kwanza Kama sehemu ya uwekezaji? Au nyie mnawaza kila jengo au nyumba ni lazima uishi wewe? Kuna uwekezaji wa majengo. Shida ni kwamba mnatumia mitandao Kama mnaongea na watu wadiojua kitu kumbe watu wanajua vitu vingi kuliko nyie. Muwe mnaomba ushauri kwanza