Naendelea kukufatilia....kaka....sai...naona kuna kitu nimeanza kujifunza....naona.. maisha yangu yatanza kubadilika... kupitia wewe.....barikiwa....sana🙏
Ushauri wako ni mzuri sana kaka,asante ubarikiwe, Mimi nitafata ushauri wako. Mwakani nitakutafuta nikiwa nimeanza biashara yangu. Nitaomba ushauri zaidi kutoka kwako. Mungu akulinde.
Asant sanaaaa kaka Joel namshukulu Mungu kwa kukufanya uzaliwe Tanzania ili tuweze kupata mafanikio kupitia ww. Thanks so much umefanyika baraka sana ktk maisha yangu
pôle Sana Kaka sasa n'a penda ni ulize kwenye kazi. ngambo ya familia ya mke ao familia ya mume ni wapi ambapo tuta wa weka kwenye ma kampuni zetu. ? kwa sa baba kuna utata apokweli. asante .
Asante sana,mm ni mmoja wapo naumli miaka 40 najutia mambo mengi sana sikuyafanya na sasa cn hata biashara nilio simama nayo ndo nashituka sasa uml umekwenda, nahitaji vitabu vyako nisome itanipa nguvu.
Kaka ulisema vitu ambavyo mtu anavisikiliza Kila Kila siku ndiyo humkaa na kumuathiri basi nishakuwa addicted na masomo yako yaani siwezi kushinda bila kukusikiliza 😢na matokeo nayaona