Тёмный

AMUA UNACHOTAKA LEO - JOEL NANAUKA 

Joel Nanauka
Подписаться 292 тыс.
Просмотров 104 тыс.
50% 1

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 134   
@rosesesala9131
@rosesesala9131 Год назад
Wewe ni mwalimu wangu mkubwa sanaa katika maisha yangu ,,
@mireillentunzwenimana4349
@mireillentunzwenimana4349 Год назад
From burundian ipo siku ntaletaga ushuhuda kwa kitu kikubwa ulichobadilisha kweny maisha yangu taingia tanzania sababu yako asante kwa kunibadiaha
@mugishaflorence8590
@mugishaflorence8590 Год назад
Tutaenda pamoja
@FredrickSeshahu
@FredrickSeshahu Месяц назад
Karibu sanaaa unipitie twende wote from Ngara Kagera Tanzania
@stephanomyeule8366
@stephanomyeule8366 22 дня назад
Hi bro
@necciakodi
@necciakodi Год назад
Brother Joel,kupitia elimu yako na vitabu in just 3months nimweza kununuwa pikipiki yakutembelea thank so much,God bless you brother NANAUKA
@nurdininanjota4056
@nurdininanjota4056 Год назад
Elimu kubha sana hii bado tunakuitaji
@mtotompole1040
@mtotompole1040 Год назад
😢 Haya Mafunzo Ndio Yanayo Faa Mashuleni Asante Sana Mwalimu 🎉 NAOMBA NAMBA ZAKE MWENYE ANAZO #KENYA
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 Месяц назад
Kaka kiukweli umefanyika baraka kwa wengi, Mungu akutunze
@mahambagislain9618
@mahambagislain9618 Месяц назад
Asante Kaka kwa mafundisho 🎉🎉✍️🇨🇩
@HellenMazullah-yw6hv
@HellenMazullah-yw6hv 3 месяца назад
asante uncle uwa nasikiliza mafunzo yako kila siku na MUNGU akubaliki
@alexlucas1571
@alexlucas1571 10 месяцев назад
Mhhhhh mbona ni Mimi kabisaaaa hapa nazungumziwa kabisa, 😭
@josephmichael9555
@josephmichael9555 Год назад
Kila point yako inanipa matokea asante sana mr Joel balikiwa sana hakika wewe ni mtumishi wa Mungu mwenye uaminifu wa hari ya juu sana.
@happypaulo7954
@happypaulo7954 3 месяца назад
Mungu akutunze
@mwanaidiamanzi914
@mwanaidiamanzi914 Год назад
Mungu akupe maisha marefu, umenibadilisha sana
@amosnshija
@amosnshija 9 месяцев назад
Unastahili Sana bro! Mungu akulinde Sana!
@felixobare8135
@felixobare8135 Год назад
so powerful brother
@amanigeorge9886
@amanigeorge9886 Год назад
Mungu akupe maisha marefu brother.tuendeLe kupata mafunzo
@ediphonceedwin1482
@ediphonceedwin1482 3 месяца назад
Mungu akubariki uwa napata elimu kutoka kwako
@AshuraMutumwinka
@AshuraMutumwinka День назад
Nilicelewa kukujuwa
@ElisanteMassawe
@ElisanteMassawe Месяц назад
Nimekuelewa kaka
@aminasaid6555
@aminasaid6555 Месяц назад
Aisee kama mwalimu huwa unaniadjust sasana kimadini aisee
@abdulymussa3008
@abdulymussa3008 Год назад
Be blessed bro kwenye maisha saizi tunahitaji personal development education University tunapat living certificate itusaidie kuishi
@Erickjoel-y2j
@Erickjoel-y2j Год назад
Kaka Joel Mm ninaomba Unisaidie Kutimiza Malengo Yangu Mimi niwe ninawajibika Kwako Katika Malengo yangu.
@PendoPendosechambo
@PendoPendosechambo 2 месяца назад
Leo ndo nimejifunza Jins ya kuamua sikuwa naelewa Asante
@AdelaLolinga
@AdelaLolinga 2 месяца назад
Nakufatilia sana kiongoz ww ni mwalim
@cornerbrezz1207-lc6rg
@cornerbrezz1207-lc6rg 4 месяца назад
MUNGU akubaliki sana kaka Joel nanauka
@tukaesanatu2754
@tukaesanatu2754 Год назад
Asante baba kuna siku nitatoa ushuhuda wangu, Sababu ya mafundisho yako. Mungu akulinde usaidie wengi ufahamu.
@FredrickSeshahu
@FredrickSeshahu Месяц назад
God bless you all the day sir
@MasungaGahima-es5ei
@MasungaGahima-es5ei 2 месяца назад
Mungu azidi kukupa uhai,mwl Joel
@JayleenjescaJayleen
@JayleenjescaJayleen 11 месяцев назад
Asante sanaaa nataman kuja kwenye masomo yako live siku moja
@DavidKanaya-oq4mx
@DavidKanaya-oq4mx 2 месяца назад
May God bless you Mr Joel
@SizzoSela29-sh8nz
@SizzoSela29-sh8nz 8 месяцев назад
Hilo somo linanihusu mimi kabsa
@lwangakajembula8085
@lwangakajembula8085 Год назад
Kilichopungua kwangu ni uhusiano mzur na watu
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
Power message ✍️📝📝✍️✌️
@Simondeus360
@Simondeus360 Год назад
Mawazo makubwa xana bro
@mwitakihani686
@mwitakihani686 11 месяцев назад
Hakika Joel umenitoa mbali
@194summer
@194summer 3 месяца назад
kubariki mnooo
@timothykengere2535
@timothykengere2535 Год назад
Shukrani 📚📚 Ndugu Nanauka nguvu ndio mzingi na subira 🎙️
@brackskinyozi3280
@brackskinyozi3280 6 месяцев назад
Naendelea kukufatilia....kaka....sai...naona kuna kitu nimeanza kujifunza....naona.. maisha yangu yatanza kubadilika... kupitia wewe.....barikiwa....sana🙏
@InnocentLeonard-gy1mn
@InnocentLeonard-gy1mn 5 месяцев назад
Aisee Kuna kitu kikubwa nimekitoa kwako toka nimeanza kukusikiliza nimeona tofauti kubwa
@JosephMbua
@JosephMbua 11 месяцев назад
Safi Sana,elimu nzuri
@salamahamadisudi1912
@salamahamadisudi1912 7 месяцев назад
Nilikuwa na tabia ya kutumia pesa vbaya lkn toka nilipoanza kufatilia miaka mitatu nyuma nimebadilika kusema ukweli.. Mungu akubariki kaka joel
@geofreykangaho1149
@geofreykangaho1149 Год назад
Najifunza vitu vingi saana kutoka kwako Kaka Joel Nanauka 👏🤝🙏
@Selemanially-xz8ly
@Selemanially-xz8ly 4 месяца назад
Mungu akubariki
@KulwaMbeko
@KulwaMbeko 11 месяцев назад
Bro nakufatilia saaan ❤❤❤❤
@jumaahassan4707
@jumaahassan4707 Год назад
Asante sana broo umenisidia sana kujitambua nini nataka kwenye maisha yangu
@BULEGIOMARY
@BULEGIOMARY 7 месяцев назад
BWANA akusaidie sana mtumishi
@andrew0502
@andrew0502 6 месяцев назад
Natamani nisave hii speech
@wilsontungu3524
@wilsontungu3524 Год назад
Nakubali sana we mwamba natumia kanuni zako katika maisha,yapo ninayoyaishi na mengine Bado...ila hatua ni kubwa
@tukaesanatu2754
@tukaesanatu2754 Год назад
Ushauri wako ni mzuri sana kaka,asante ubarikiwe, Mimi nitafata ushauri wako. Mwakani nitakutafuta nikiwa nimeanza biashara yangu. Nitaomba ushauri zaidi kutoka kwako. Mungu akulinde.
@AdelaLolinga
@AdelaLolinga 2 месяца назад
Yaan Huwa nakata tamaa lkn sas umenipa kujiamini
@AngelaMmbaga-g9k
@AngelaMmbaga-g9k 6 месяцев назад
Asante sana
@medlucas5686
@medlucas5686 Год назад
Asante bro ingawa unaweza kuamua Hali zikagoma kuhusu muda hapo ni sawa huwezikutimiza Marengo yako kwa mda unaotaka nashukuru kwa elimu
@gerraldgready8051
@gerraldgready8051 Год назад
Asante kaka Joel nanauka nabalikiwa sana kupitia ww kaka Joel nanauka Mungu akujalie maisha marefu
@saumusanjiama6991
@saumusanjiama6991 6 месяцев назад
Unatufungua akili shukran sana
@veronikacleophas5702
@veronikacleophas5702 Год назад
Umeniondolea hofu katika maisha yangu nakukubali sana
@SarahNsajigwa-up8sv
@SarahNsajigwa-up8sv Год назад
Asante sana kaka Joel kwa kutufundisha
@missmfinanga3000
@missmfinanga3000 10 месяцев назад
Very powerful speech.🔥🔥
@saidirajabu3475
@saidirajabu3475 Год назад
Nakukubali sana kaka Joel
@japhethcharles5791
@japhethcharles5791 Год назад
Genious!!!!!
@happynescostat7420
@happynescostat7420 Год назад
Tunakuelewa!
@solomonnzebele-nz3is
@solomonnzebele-nz3is Год назад
Asant sanaaaa kaka Joel namshukulu Mungu kwa kukufanya uzaliwe Tanzania ili tuweze kupata mafanikio kupitia ww. Thanks so much umefanyika baraka sana ktk maisha yangu
@anodimdindikasi4823
@anodimdindikasi4823 Год назад
Asante sana kaka umechangia kubadilisha namna ya ufikiri wetu you are so speacial and change maker
@FELISTERPETER-jf9jv
@FELISTERPETER-jf9jv Год назад
Asante sana Joel nikianzaga kukufatilia napata mabadiliko makubwa sana.
@ishengomabashweka9592
@ishengomabashweka9592 Год назад
Nashukuru sana kaka leo kuna kitu umenifunua
@mangasinikusaya8157
@mangasinikusaya8157 Год назад
Life changing speech ❤❤
@fadhilikiyungi1741
@fadhilikiyungi1741 Год назад
Thanks brother for your teaching
@ramakatonyongo1389
@ramakatonyongo1389 Год назад
kaka Nanauka nakukubali sana
@davidonlinetv1468
@davidonlinetv1468 11 месяцев назад
I learnt a lot through your speech .your talented bro! God bless you .heal 'em
@aderiderkihupi7240
@aderiderkihupi7240 Год назад
Mungu n mwema
@angelmollel2002
@angelmollel2002 Год назад
Umenivisha somewhere, be blessed
@dicksonkarithi5637
@dicksonkarithi5637 Год назад
You are so creative. From today my life will not be the same. Barikiwa
@alexlucas1571
@alexlucas1571 Год назад
Amen kaka nimekuelewa sana
@Francoiskasangala-gc8vx
@Francoiskasangala-gc8vx Год назад
pôle Sana Kaka sasa n'a penda ni ulize kwenye kazi. ngambo ya familia ya mke ao familia ya mume ni wapi ambapo tuta wa weka kwenye ma kampuni zetu. ? kwa sa baba kuna utata apokweli. asante .
@ruwaidamabrouk1797
@ruwaidamabrouk1797 Год назад
Amazing kaka joel naendelea kijifunza kila leo Mungu Akubariki
@oscarj....5979
@oscarj....5979 Год назад
I feel so blessed
@HussainOmar-ub5hi
@HussainOmar-ub5hi Год назад
Asante sana,mm ni mmoja wapo naumli miaka 40 najutia mambo mengi sana sikuyafanya na sasa cn hata biashara nilio simama nayo ndo nashituka sasa uml umekwenda, nahitaji vitabu vyako nisome itanipa nguvu.
@jacklinentabo2380
@jacklinentabo2380 Год назад
Powerful teachings! Continuation please!! My mentor, Kaka Joel be blessed 🙏🙏
@SmilingBeignets-qt9dh
@SmilingBeignets-qt9dh 8 месяцев назад
❤❤❤❤
@Victor_Boy484
@Victor_Boy484 15 дней назад
asante brother
@janviervenasi
@janviervenasi Год назад
Nikwel kwenye maisha
@joharisaid4394
@joharisaid4394 Год назад
Bro mungu amekuumba Kwa ajili ya kuwasaidia watu yaani Kwa mtu yeyote akifuata mafunzo Yako atafika mbali sana.mungu akupe miaka mia
@ashangonyani7989
@ashangonyani7989 Год назад
Asante kaka angu
@yahyasirlim4928
@yahyasirlim4928 Год назад
asante brother kwa elimu hakika tunanufaika
@julianalaly2095
@julianalaly2095 Год назад
Umenipa nguvu kaka.
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 Год назад
I'm here from fix you!!
@ismailgumbo289
@ismailgumbo289 Год назад
Shukran mkuu, mungu akuhifadh na kupe kheir nyingi. Sisemi sana ila nimekuelewa.
@dorotheakapufi
@dorotheakapufi Год назад
Barikiwa kaka
@michaelyona9573
@michaelyona9573 Год назад
Godbless you
@songolomeshake6206
@songolomeshake6206 Год назад
Ubarikiwe mtumishi
@zawadigasper9544
@zawadigasper9544 Год назад
asante kaka mungu akubariki
@raymondngeze3461
@raymondngeze3461 Год назад
Kweli ndg anguu
@lameckgunze6376
@lameckgunze6376 Год назад
Blessed
@solangesine1874
@solangesine1874 Год назад
I really learned alot of things from u .
@happinessezekiel6446
@happinessezekiel6446 Год назад
Umenifungua akil yanguuuu
@deoabel9948
@deoabel9948 Год назад
Bro wewe ni hatar
@JacklineWiston-lf1zy
@JacklineWiston-lf1zy 10 месяцев назад
❤❤❤❤
@magrethdamiano6305
@magrethdamiano6305 Год назад
💪
@amosnshija
@amosnshija 9 месяцев назад
It's good
@dorickmichael
@dorickmichael Год назад
Tumesubir sana hiyo training namna ya kuamua kinachotakiwa
@fatmamayunga5792
@fatmamayunga5792 Год назад
Nakukubali Sana umenibadilishia maisha
@LuluMkadam-p4y
@LuluMkadam-p4y 19 дней назад
🙏🙏
@nathanmao159
@nathanmao159 Год назад
Asante kwa elimu hii
@joelnanauka
@joelnanauka Год назад
Naahukuru sanaaa
@EvanjelinaMakungu
@EvanjelinaMakungu 8 месяцев назад
Kaka ulisema vitu ambavyo mtu anavisikiliza Kila Kila siku ndiyo humkaa na kumuathiri basi nishakuwa addicted na masomo yako yaani siwezi kushinda bila kukusikiliza 😢na matokeo nayaona
@francoiskasangala
@francoiskasangala Год назад
apo njo kaka umeni gusa na ju tiya kumbe
@blackdanilo6943
@blackdanilo6943 20 дней назад
Nahitaji kitabu kaka hicho cha kimiza malengo yako
Далее
TENGENEZA MAISHA UNAYOYATAKA - JOEL NANAUKA
16:51
Просмотров 126 тыс.
LAZIMA USHINDE HOFU HIZI - JOEL NANAUKA
10:59
Просмотров 69 тыс.
НЮША РОЖАЕТ?
00:17
Просмотров 893 тыс.
Слушали бы такое на повторе?
01:00
VITU VINAVYOUA UWEZO WAKO/JOEL NANAUKA
7:08
Просмотров 13 тыс.
UBONGO WA MWANADAMU - JOEL NANAUKA
13:23
Просмотров 72 тыс.
LEONARDO ALIVYOWAVUNJA MBAVU WAFANYAKAZI WA CRDB!
17:39
RAIS AKUMBUSHWE: HATUTAKI KITABU,  TUNATAKA KATIBA
30:58
UMUHIMU WA KUWEKA AKIBA YA FEDHA- Anthony Luvanda
13:31
NGUVU YA ZIADA KWENYE KUWEKA MALENGO - JOEL NANAUKA
41:10
НЮША РОЖАЕТ?
00:17
Просмотров 893 тыс.