Pole sana Mh Rais Freeman Mbowe kiongozi ujasiri muongoza njia Mungu akutunze kiongoz usirudi nyuma safari ya ukombozi wa hili taifa imeanza Kwa speed kubwa na tutafika Salama 🎉🎉🎉🎉🎉
Pamoja na kuzii maandamano lakini mmewajambisha vya kutosha na gharama za kuzuia maadamano si wangejenga hata vituo viwili vya afya tunaongozwa na vihiyoo na mamuma wa kutupwa
Mwandishi, kichwa cha habari "misimamo mikali" hakiendani na ustaarabu alionao Mbowe katika maongezi yake. Maana "misimamo mikali" maana yake ni kuziba masikio yako, ili usisikie hoja mbadala bali yako tuu. Jambo ambalo silioni kuwepo kwa Mbowe.
Badala ya police kujipanga kuzuia maandamano, walitakiwa wajipange kuhakikisha maandamano yanakuwa ya amani. Chuki iliyomo kwa baadhi ya waTZ inazidi kujijenga ndani kwa ndani, ipo siku italipuka .. it's a matter of time.
Religious leader tuacha akili ndogo ktk taifa soon after all political leader relise we don't get help from any national to put our national and tanzania people saif chadema you have responsibility anounciment country wide protesting agest deeth of politician political figure lost of political figure on the police hand anounciment of protesting country wide will be lock gavment activities to reach dimand of free team organization of election on locel gavment election religious leader this nation out saif is our responsibility if the res any religious leader this dimand if political leader is the chadema Rong thinking tuiteshe nchi nzima maandamano mikoa. Yote. Ya daresalama wambieni wa kuu wa chadema wa mikoa kuwajenga kisaycolojia wanachama wote wa chadema na saport tuungane kutafuta tume huru ya uchaguzi tuanzie hapa kabla ya uchaguzi Dunia ipo inaona tusiweke skill daresalama tuu mikoa yote ya nchi mabishano yakiea makubwa yutapata tune huru uchaguzi watahaisha tuende sawa vinginevyo uwizi wa kura upo pale pale
Niwashauri achaneni na siasa hii nchi niyawengi hamtaumia peke yenu sasa angalia mnavyozalilika mmeahidi kuandamana mmeishia kwenye mikono ya polisi sasa nani mnyonge acheni tubak na chama kimoja mbona hamsikii
Watanzania nawasihi, hii njia mnayoipitie si nzuri kwa mstakabali wa nchi. Kenya imepitia njia hiyo hiyo, lakini mpaka sasa hakuna faida yeyote isipokua, maandamano Kila kukicha. Tanzania inasifika sana kwa uelewano na undugu, mwasifika sana. Mazungumzo ni muhimu baina yenu na tamaa ya utawale Haina faida yeyote. Msipoteze undugu wenu kwa fitina na tamaa ndogo ndogo. Naipenda Tanzania sana sana.