Mimi ni mwanachama halali wa CCM lkn inaanza kunipa mashaka kwamba je uwepo wetu na haki yetu ya kutawala iko chini ya Police?, maana kuna mambo ya msingi ambayo niya kawaida sana tunayotakiwa kuyashughulikia kama mauaji na kupotea kwa Raia lkn badala yake tunawapa chadema credit kwa kuwalinda na mitutu ya bunduki kama kwamba ni majambazi na kuacha majambazi yanayoshusha watu kwenye mabasi na kuwaua, Damu ya mtu huongea hivyo tuwe makini, tuachaneni na chadema wafanye maandamano yao, kama kuna viashiria vya uvunjifu wa amani na kushughulika na mmoja mmjoa kwa ushahidi, kazi ya police siyo utabili kwa yale yatakayotokea.
Nakushauri tafuta kazi ufanye, maandamano hayatabadilisha maisha yako,hata hao chadema wakiingia Madarakani usidhani kutapatikana uafadhali wowote tena hao chadema ni wabaya zaidi
CCM na CHADEMA ukweli mnaujua acheni kutumia nguvu ya Huma kufichia mahovu yenu fanyeni yote Ila mtambue wanaichi tunaona na tunajua kwa mna wasama wakisiasa acheni kuchezea uwayi wa watu ukweli mnaujua watu waliopotea wako wapi mtuambie ukweli
Msiba Kwa jirani uchungu wake si wamoyoni,Bali yakija kukufika ndo utajua jirani alikuwa na uchungu kiasi Gani, Watanzania wengi ni machawa wa viongizi yote hayo ni njaa na shida tulizonazo.
Kijana usitumike vibaya ingekuwa hakuna amani usingebwabwaja hapo kwa kujiamini elewa usalama upo na hao Police wasingekuwepo usingekuwa na muda wa kutoa kauli chafu
@@michaelmhina3613 fala wewe, nenda uvnjwe miguu kama utamwona hata wakuleta uji. Na jela utaenda, ukirudi huko umeshapata ukimwi, wanao wamekuwa machokoraa na mkeo keshaole nawengine. Jinga sana wewe.
Wewe hujitambui, ni kondoo kipofu, akili yako umeikabidhi watawala. Kuna siku watakuambia usilale na mumeo/ usitongozwe kama huna mume. Akili za namna hii ni kichefuchefu!