Тёмный

FULL MZUKA/ MAZOEZI YA LEO KIBOKO/TAZAMA MWANZO MWISHO 

Yanga TV
Подписаться 705 тыс.
Просмотров 57 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

22 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 144   
@xaverisunday699
@xaverisunday699 2 месяца назад
Mungu bariki timu yetu hapo kesho
@TwahirMohammed-x2h
@TwahirMohammed-x2h 2 месяца назад
Nashauri wachezaji wetu na mashabiki wenzangu wa yanga tusiwazarau wapinzani wetu hata kidogo ila tuiombee timu ili tupate ushindi daima mbele nyuma mwiko
@HoseaNguge
@HoseaNguge 2 месяца назад
Uhakika man
@lahdadibrahim5006
@lahdadibrahim5006 2 месяца назад
Kumama mako mkundu ww utomkundu
@amaniomar1755
@amaniomar1755 2 месяца назад
Ameen
@selemanmussa3459
@selemanmussa3459 2 месяца назад
@lahdadibrahim Wapuuzi kama wewe wote ni mashoga, unachukizwa na maisha ya wengine kwa kipi ng'ombe wewe? Katukakane kwa mama ako na baba ako siyo hapa.
@Mr.A_Shark
@Mr.A_Shark 2 месяца назад
@@lahdadibrahim5006 kama unadaiwa kodi useme nikuwezeshe hasira hazisaidii😂😂😂😂😂😂
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 2 месяца назад
Hongera semaji Ali kamwe 🎉🎉🎉🎉
@kolosii4351
@kolosii4351 2 месяца назад
Wao wananguvu katika ...... lakini sisi tuna nguvu katika Mungu wetu ambaye anatusikiliza kila tumwombapo. Mungu akawatie nguvu na kuwalinda na kuwashindia. Kazi yetu sisi kuisapoti timu kwa maombi na kwenda uwanjani.
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 2 месяца назад
Allah awatangulie kesho😊🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 2 месяца назад
Kila la kheri kesho ushindi uwe kwa wananchi 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@EdsonMartin-e3k
@EdsonMartin-e3k 2 месяца назад
Ali kamwe ,fikisha hii kaka !! Mwambie Baleke icho kitambi hatukitaki sisi ,..aisee afanye mazoez akikateee
@DanieliGibson
@DanieliGibson 2 месяца назад
😂😂😂😂😂😂
@MagdalineMambo
@MagdalineMambo 2 месяца назад
Eee mwenyezi mungu naomba uwabariki wachezaji wetu, ulinde, ili wapate ushindi,Amen
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 2 месяца назад
Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉🎉
@KingimmaKelela
@KingimmaKelela 2 месяца назад
Kila la kheri yanga hapo kesho mungu tujalie ushindi siku ya kesho dhidi ya mutani ijarie timu yangu ya yanga ushindi wape upambanaji wachezaji wetu kala mmoja We bwana wa majeshi usikie kuomba kwangu ameen.🙏🙏💛💚
@naliakafatuma9870
@naliakafatuma9870 2 месяца назад
MUNGU ni mwema ni mwema kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
@FrankCharles-fq4qq
@FrankCharles-fq4qq 2 месяца назад
Leo wakwanza mm naombeni like kama kesho tunashinda
@HijjaanamsaidOneman
@HijjaanamsaidOneman 2 месяца назад
Zikusaidie nn
@yudapeter4710
@yudapeter4710 2 месяца назад
Mungu ibariki yanga🔰
@AminoKhalif
@AminoKhalif 2 месяца назад
Oya wananchi mungu awabariki wachezaji wetu kesho tushinde ameni daima mbele
@MalinoKadwame-u1c
@MalinoKadwame-u1c 2 месяца назад
Wajiandae kisaikolojia
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 2 месяца назад
Dube anajambo lake kesho🎉🎉🎉🎉🎉
@Raphaelkeneth
@Raphaelkeneth 2 месяца назад
Mungubalikiyangayetu mungu ubaliki kochawetu na wachezajiwetupiah
@MhangwaBunzal
@MhangwaBunzal 2 месяца назад
Kila la kheri wananchi mungu awatanguliye katika mchezo wa Kesho
@josephminja7953
@josephminja7953 2 месяца назад
EEE MWENYEZI MUNGU kesho tukapate furaha wananchi ❤
@williamruto-c9m
@williamruto-c9m 2 месяца назад
Wa kwanza kukoment like kama kesho tunampiga nane kolo
@Shongonilekerere-br5ps
@Shongonilekerere-br5ps 2 месяца назад
😂😂😂😂nane
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 2 месяца назад
Yanga 🎉🎉🎉🎉
@SAIDIATHUMANINGOMA
@SAIDIATHUMANINGOMA 2 месяца назад
Mungu awajalie wachezaji wetu kesho wawe fiti wote
@JoshuaZakariaLevys
@JoshuaZakariaLevys 2 месяца назад
Wana yanga wenzangu msi hofu kuhusu kesho hii iko wazi ushindi ni lazima ❤❤❤ YANGA
@maxmiliankadawiibalaja2198
@maxmiliankadawiibalaja2198 2 месяца назад
Inshallah 🙏💚💚💛💛 Tutashinda mechi kesho lakini hizo jezi tuuzieni wananchiii💚💚💛😂
@MariamZanzibari
@MariamZanzibari 2 месяца назад
Allah awabariki ushindi cku.ya kesho inshaallah
@amaniomar1755
@amaniomar1755 2 месяца назад
Safi sana wanajeshi wetu endeleeni kupambana tuko nanyi kwa maombi Daima mbele nyuma mwiko
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 2 месяца назад
8/8🎉🎉🎉🎉yanga 🎉
@Alexismadimo
@Alexismadimo 2 месяца назад
Mungu pamoja nasi
@SussankhanKhan
@SussankhanKhan 2 месяца назад
Mungu wepe nguvu yakupambana wachezaji wetu
@ZaiMbilo
@ZaiMbilo 2 месяца назад
mungu ibariki yanga kwa siku ya kesho ipate ushindi inshaallah
@stivenmasawe3021
@stivenmasawe3021 2 месяца назад
❤❤❤❤❤❤❤ hizo nigoli yanga yangu😂
@rukiakyaka1827
@rukiakyaka1827 2 месяца назад
Nakuomba Allah tujaalie mafanikio kwwnye Timu yetu na wajaalie wachezaji wetu na afya waondolee Khusda Inshaallah
@kabulakmusa3131
@kabulakmusa3131 2 месяца назад
All the best my team
@ABADI_MEDIA
@ABADI_MEDIA 2 месяца назад
Kila la heri chama langu
@FESTOAKARO
@FESTOAKARO 2 месяца назад
Ni kweli kabisa tusiwadharau be wapinzani wetu. kwani Simba mbovu ndio huwa inatufunga. Tuwe makini sana na mchezo wa kesho. Gamondi take note plse. All the best yuo all.
@yasrikomba7874
@yasrikomba7874 2 месяца назад
Kila la kheri leo ❤
@ismailitogolani7409
@ismailitogolani7409 2 месяца назад
Kila la kheri wananchi yangasc
@BahatiJohn-f2x
@BahatiJohn-f2x 2 месяца назад
Yan hii tim hata kwa kuiangalia tu iv inatish😊
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 2 месяца назад
Mchezo mgumu wachezaji mkapambane
@speciallvoice8091
@speciallvoice8091 2 месяца назад
Mungu ibariki tim yangu pendwa kesho tuibuke washindi Inshaallah 🙏🙏🙏🙏🙏
@YusuphBupamba
@YusuphBupamba 2 месяца назад
Mimi kama shabiki wa Yanga naiombea Timu yangu ishinde hapo kesho
@AdrianSawe
@AdrianSawe 2 месяца назад
Tunashida ushid wowote yan hiyo nirazima
@careemdulla1629
@careemdulla1629 2 месяца назад
Chama la wana Yanga Africa
@hamadigwau
@hamadigwau 2 месяца назад
Allah awabariki ushindi inshaallah
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 2 месяца назад
Ila 😂yanga tunatimu mapema tunamfunga mtani😅😅😅😅😅
@rachelcheyo-p5z
@rachelcheyo-p5z 2 месяца назад
All the best
@MajaliwaJuma-c5g
@MajaliwaJuma-c5g 2 месяца назад
Kesho nikesho
@EnockSDady
@EnockSDady 2 месяца назад
Uzuri Gamondi hajimini sana kama Fadlu anamuheshimu mpinzani na anaamini kila mpinzani ni bora
@JorahmKatigizu
@JorahmKatigizu 2 месяца назад
Mungu ibalik yanga
@ColinKalekezi
@ColinKalekezi 2 месяца назад
kesho ushindi tu
@ABADI_MEDIA
@ABADI_MEDIA 2 месяца назад
Kaabisa
@marycianaernest
@marycianaernest 2 месяца назад
💚💛
@MtashobyaJosia-wt9jq
@MtashobyaJosia-wt9jq 2 месяца назад
mtashobya josia nikiwa Kenya nawapata iyo atari sanaa
@chacha-255
@chacha-255 2 месяца назад
Pesa zote zinaenda tff kwenye ngao ya jamii lakini hatujawai kuona wakitumia pesa hizo kurudisha kwenye jamii
@pachamalota4455
@pachamalota4455 2 месяца назад
Mazoezi mazuri lakini mpira unapotea kilaisi, hata pasi kumi azifiki
@DonManyanda
@DonManyanda 2 месяца назад
Mungu wape akili nguvu na maalifa wachezaji wetu wajitoe hili tupate matokeo mazuri
@IzukuM-x8j
@IzukuM-x8j 2 месяца назад
🔥🔥🔥💛💛💛💚💚
@rehemawamwarami3854
@rehemawamwarami3854 2 месяца назад
Hatariii
@shaibujuma6618
@shaibujuma6618 2 месяца назад
Hiii kubwa
@chollejr_
@chollejr_ 2 месяца назад
Kibabage 😂😂katoka nakuingia mamae
@OctaJohn-ov9gc
@OctaJohn-ov9gc 2 месяца назад
YANGA bingwa
@hamisramadhan-eb3ie
@hamisramadhan-eb3ie 2 месяца назад
Nikweli
@nicolastshilobo8304
@nicolastshilobo8304 2 месяца назад
Inshaallah kesho sisi Yanga tutapata ushindi
@philichalamila
@philichalamila 2 месяца назад
umbea tuu kitbi cha kwako
@ElizabethKujerwa-qs3pl
@ElizabethKujerwa-qs3pl 2 месяца назад
My team😊
@shaibusaady2420
@shaibusaady2420 2 месяца назад
Allaah Akbar
@pacomezouzoua9175
@pacomezouzoua9175 2 месяца назад
Mwambie aziz andembwile akiwa uwanjani asijasahau kama yupo uwanjani alafu awe anachangamka iyo yanga ukipoteza nafasi kuipata ni ngumu hatuna muda wakumsubiri mtu huku mashindano yanaendelea pia mkumbusheni boka akipanda kushambulia awe anarudi faster chini
@josephgalandu128
@josephgalandu128 2 месяца назад
Wahurumieni damu changa jamaniiiiii😮
@chollejr_
@chollejr_ 2 месяца назад
Kweny dimba la kina azizi ki sio la kuingia ovyo ovyoo😂😂😂😂
@chiconinde8135
@chiconinde8135 2 месяца назад
BOKA ni muongo muongo sana😅
@nicolastshilobo8304
@nicolastshilobo8304 2 месяца назад
Yanga ni kali na koloo waji angalie kesho tarehe 8 isi fanane na tarehe 5
@ReginaTheodory
@ReginaTheodory 2 месяца назад
Ushindi. Lazima
@DonManyanda
@DonManyanda 2 месяца назад
❤❤❤
@hemedbakari8997
@hemedbakari8997 2 месяца назад
Jamani sijamuona Juman4 Baleke
@mwansasujonny3536
@mwansasujonny3536 2 месяца назад
Wamekwishaaaaa
@ABADI_MEDIA
@ABADI_MEDIA 2 месяца назад
Wa pili ku coment 💚💛🙏💪
@lahdadibrahim5006
@lahdadibrahim5006 2 месяца назад
Ss tufanyaje kama wakwanza kumalamamaako ww
@User92.invisible
@User92.invisible 2 месяца назад
Safi
@gsplundi1327
@gsplundi1327 2 месяца назад
Naomba tusiingie kichwa kichwa uwanjani maana wenzetu Wanaamini siraha za kenyeje yasije tukuta ya mbali.
@gsplundi1327
@gsplundi1327 2 месяца назад
Ya mbalali
@JoshuaAshery-u3x
@JoshuaAshery-u3x 2 месяца назад
Timu kubw
@JoramCharles-i4j
@JoramCharles-i4j 2 месяца назад
Kitambi unacho nyuma
@DeusGoray-wh8op
@DeusGoray-wh8op 2 месяца назад
Aucho Kesho Pale Katikati Tunakutegemea Ww
@IssaSamir-r8c
@IssaSamir-r8c 2 месяца назад
Kila la khery hapo kesho
@adinanzacharia409
@adinanzacharia409 2 месяца назад
Sisi ndo yanga
@SephaniaPaul
@SephaniaPaul 2 месяца назад
All the bext my team that tomorrow
@Kimweri_tz
@Kimweri_tz 2 месяца назад
Green Army
@chollejr_
@chollejr_ 2 месяца назад
Leo wasomeni Hawa watakuja na njia ipi😂😂😂mkishawajua t pigeni kama mbwaaa
@FaustineBukongolo-wp2fe
@FaustineBukongolo-wp2fe 2 месяца назад
Ila kesho naona gori nyingi Sana Kwa mtan
@DeusGoray-wh8op
@DeusGoray-wh8op 2 месяца назад
Paccome Yuko Wap
@RAMADHANMAJECHE
@RAMADHANMAJECHE 2 месяца назад
Mbona pacome cmuoni jamn
@DanieliGibson
@DanieliGibson 2 месяца назад
lazima apigwe hakuna chaubaya ubwela
@Nope6e07
@Nope6e07 2 месяца назад
Bila kusahau kamwe tunaye na tunatamba
@Nope6e07
@Nope6e07 2 месяца назад
Bila kusahau kamwe tunaye na tunatamba nae
@AbdulrazakNadhiru
@AbdulrazakNadhiru 2 месяца назад
Max bubu amaaa😂
@josephinenyangi9484
@josephinenyangi9484 2 месяца назад
Kiila la heri
@GwidoMlyuka
@GwidoMlyuka 2 месяца назад
We msonda umeshika
@mwishee84abdallah99
@mwishee84abdallah99 2 месяца назад
🔰🔰🔰🔰✊🏾
@dengahmediatz1230
@dengahmediatz1230 2 месяца назад
Kesho hamtokiii tunawapiga kimoja tu cha nguruwe
@mengyally8220
@mengyally8220 2 месяца назад
Kwani kuwa wa kwanza ndio n eti?? hizo ni dalili za ushamba mkubwa
@matendojumanne5823
@matendojumanne5823 2 месяца назад
Msituangushe mkazalau mechi muwapelekee motogao makolo
@OmarSuleiman-o8o
@OmarSuleiman-o8o 2 месяца назад
Kesh mnapigw kam mbwa
@Amani-ej6dc
@Amani-ej6dc 2 месяца назад
Yaan me naamini simba atakula 3_1
Далее
Кольцо Всевластия от Samsung
01:00
Просмотров 578 тыс.
UTAPENDA UTANI WA MASSANZA NA MAROUF TCHAKEI
3:23
Просмотров 3,1 тыс.