Nashauri wachezaji wetu na mashabiki wenzangu wa yanga tusiwazarau wapinzani wetu hata kidogo ila tuiombee timu ili tupate ushindi daima mbele nyuma mwiko
@lahdadibrahim Wapuuzi kama wewe wote ni mashoga, unachukizwa na maisha ya wengine kwa kipi ng'ombe wewe? Katukakane kwa mama ako na baba ako siyo hapa.
Wao wananguvu katika ...... lakini sisi tuna nguvu katika Mungu wetu ambaye anatusikiliza kila tumwombapo. Mungu akawatie nguvu na kuwalinda na kuwashindia. Kazi yetu sisi kuisapoti timu kwa maombi na kwenda uwanjani.
Kila la kheri yanga hapo kesho mungu tujalie ushindi siku ya kesho dhidi ya mutani ijarie timu yangu ya yanga ushindi wape upambanaji wachezaji wetu kala mmoja We bwana wa majeshi usikie kuomba kwangu ameen.🙏🙏💛💚
Ni kweli kabisa tusiwadharau be wapinzani wetu. kwani Simba mbovu ndio huwa inatufunga. Tuwe makini sana na mchezo wa kesho. Gamondi take note plse. All the best yuo all.
Mwambie aziz andembwile akiwa uwanjani asijasahau kama yupo uwanjani alafu awe anachangamka iyo yanga ukipoteza nafasi kuipata ni ngumu hatuna muda wakumsubiri mtu huku mashindano yanaendelea pia mkumbusheni boka akipanda kushambulia awe anarudi faster chini