Тёмный

FULL: PAMBANO LA MWAKINYO NA BONDIA KUTOKA GHANA LAFANYIKA USK WA MANANE 

CHAMPION TV
Подписаться 9 тыс.
Просмотров 141 тыс.
50% 1

FULL: PAMBANO LA MWAKINYO NA BONDIA KUTOKA GHANA LAFANYIKA USK WA MANANE
#modewji #diamondplatnumz #ccm #tundulissu #simbasc #yanga #modewji #mwijaku #feisalsalum #ahmedally #zuchu #wasafi #harmonize #wcb #mbosso #modewji #fistonmayele #yangabingwa #simbasc #ahmedally #alikamwe #ahmedally #modewji #fistonmayele #yangasc #manara #simba #diamondplatnumz #harmonize #yanga #harmonize #mwakinyo #diamondplatnumz #modewji #simba #ahmedally #simba #fistonmayele #yanga #ahmedally #kibudenis #modewji #simba #diamondplatnumz #harmonize simba #fistonmayele #modewji #modewji #yanga #ahmedally #raissamiasuluhuhassan #mafuriko #kimbungahidaya #modewji #wifewadunia #harmonize #simba #fistonmayele #yanga #modewji #ahmedally #raissamiasuluhuhassan #simba #fistonmayele #diamondplatnumz #simba #yanga #ihefu #ahmedally #alikamwe #manara #modewji #hd
#harmonize #diamondplatnumz #alikiba #kingkiba #wifewadunia #kondeboy #YangaSC #simba #fistonmayele #azamtv #bahatibukuku #paulmakonda #raissamiasuluhuhassan

Опубликовано:

 

3 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 257   
@edsonipaulo
@edsonipaulo 4 месяца назад
Tunachukia kwa mihemko yetu tunakukubali Mwakinyo Mungu ajalie mambo yakuendee tunakuelewa hoja zako Zina mashiko Pambania Ndoto Yako Mungu akubariki unajuhudi nakukubali hujali kulaumiwa utafika mbali zaidi🎉🎉
@JumaSelemani-q1d
@JumaSelemani-q1d 4 месяца назад
Unatia aibu tu bora ungeacha tu kupigana unazingua sana mwamba
@Madanstars
@Madanstars 3 месяца назад
Akufirahishe wewe wakat Hela zake hajapata sema chombo Cha ngumi kiwe makini na ma present
@Faustine_Charles
@Faustine_Charles 4 месяца назад
Mashabiki wanatia hamasa hadi raha, bonge moja la support
@hidayajuma7946
@hidayajuma7946 3 месяца назад
Mungu akubaliki mwakingo championi watanzania
@johnmarco8252
@johnmarco8252 4 месяца назад
Bongo wakikuona unamsimamo nia yao wakupoteze ila kaka pambana mungu yuko nawe champez wanataka kutuangusha hawataweza time mwakinyoo❤❤
@IssaMsalama-k6x
@IssaMsalama-k6x 4 месяца назад
Abongo wengi wanafanya vitu kwa sifa,mwisho wa siku wanakuja kulaumu na kuwa omba omba,huyo mwakinyo yupo kuangalia madirahi ya habadae ukipigwa ufe aki yako utahioata wapi?
@FaniaHassani
@FaniaHassani 4 месяца назад
Weunaesema huelewi kipi ukielewi au ndio nyie mnaotaka kumpongeza mwakinyo? Kwa hilo mmeshafeli na mkanda keshachukua,hongera sana hassan mwakinyo
@mwikamwika4851
@mwikamwika4851 4 месяца назад
Mwakinyo ni bondia anayejuelewa sana. Mabondia wote waliobaki ni wapuuzi tu na njaa zinaweza kuwapoteza kabisa
@yusufsong7993
@yusufsong7993 4 месяца назад
Leteni bondia yoyote ata mlete figisu zenu atapigwa tu safi Mwakinyo bondia mwenye msimamo
@AthumanMuggarahjr
@AthumanMuggarahjr 3 месяца назад
Team mwakinyo tuna mtaka msouth Africa aliwatia aibu mabondia wa tz
@AbdullyCharles
@AbdullyCharles 4 месяца назад
Mwakinyooo fighter
@AthumanMuggarahjr
@AthumanMuggarahjr 3 месяца назад
Tanzania 🇹🇿🇹🇿 champion 1 tu Hassan mwakinyo Champez
@NestoryJoseph-e8s
@NestoryJoseph-e8s 4 месяца назад
Mwakinyo ndo bodia anayejielewa yeye haangalii watu watasemaje ila anaangalia masirahi yake yazigatiwe safi mwakinyo
@denishaule6314
@denishaule6314 4 месяца назад
Ndio masirahi mko vizur na mwakinyo
@SalimuHassani-xt3og
@SalimuHassani-xt3og 4 месяца назад
Sawa ila tunachokua tunaomba kwenye huu ujinga wake anaotufanyia ni kuturudishia viingilio vyetu tu bas mengne ayatuusu
@yasrikomba7874
@yasrikomba7874 4 месяца назад
Hongera sana broo mafanikio ayaji tu lazima upitie mapito utafika mbali broo
@kutokakutoka8730
@kutokakutoka8730 4 месяца назад
Jamani nimechelewa ila ijayo iwe ya konde boy na mwakinyo ju ameiomba sana harmonaze nitakata basi kutoka kwetu Kenya Hadi bongo
@sidebraizoy2070
@sidebraizoy2070 4 месяца назад
❤❤❤tu no pamoja champez
@PeterBaton
@PeterBaton 4 месяца назад
Sasa hapo Ndio Mwakinyo kashinda Au 🤣🤣Yani kama Picha la kihindi🤣🤣
@mbatiakessy2420
@mbatiakessy2420 3 месяца назад
Kiukweli picha la kihindi
@DavisMmole-yk8lo
@DavisMmole-yk8lo 4 месяца назад
Ktk maisha ukiwa na msimamo na kupgania maisha Yako wapo watu watajifanya wanajua sana kuliko wew mwenyewe unavyoyajua maisha Yako bro upo sahihi hata mm pia kwangu kazi kama Haina maslai sifanyi
@KelvinCharles-p9t
@KelvinCharles-p9t 4 месяца назад
Braza wangu weni brucelee wakubali wakataeee dua nyingi nili kupigia
@StanleyGongo
@StanleyGongo 4 месяца назад
Si mashabiki wa mwakinyo tunaamin uwezo wako
@chisongastephen7299
@chisongastephen7299 4 месяца назад
Hongera sana Brother Mwakinyo
@DigaBoyTz
@DigaBoyTz 4 месяца назад
Nakubali Sana kiba me naimba natumia jina diga boy TZ Song RAHA RU-vid please please naombo surpot RU-vid
@RashidiMsangi
@RashidiMsangi 4 месяца назад
Mbana mwakinyo usisikilize Hao simamia hakiyako bro
@BakariMussa-to2me
@BakariMussa-to2me 4 месяца назад
Mungu akusimamie Kaka ufike malengo Kama unavojikubali endelea kujikubali
@MudiChella
@MudiChella 3 месяца назад
Namkubali sana Mwakinyo Misimamo yake Itampa mafanikio sana
@MtumishiMwaisaka-lb3qs
@MtumishiMwaisaka-lb3qs 4 месяца назад
Poorly video shooting,too far "hii ni bangi na njaa,Hamna ngumi hapa
@hassanmuhamad6311
@hassanmuhamad6311 4 месяца назад
Pamoja kaka mwakinyo
@selemanisozi936
@selemanisozi936 4 месяца назад
🎉 dua sana mwakinyo kwa mkanda kubaki ata kama wapinzani hawataki
@AggreySimwinga-x1p
@AggreySimwinga-x1p 4 месяца назад
Safi mwokinyo nimefulai
@HusseinOmbeni
@HusseinOmbeni 3 месяца назад
Mnacho shindwa kujua kwamba mwakinyo hana kosa ira kuna viongozi ndio wanataka kumwalibia Aliomba rathi uringon na kupiiga simu lkn bado watu mnamlaumu mwakinyo yupo nasi jamani tumuombe min kam Mike nakupenda nakueshimu pia shabiki yako sana
@EmmanuelKishiwa
@EmmanuelKishiwa 4 месяца назад
Hiii Nini hiiiiiiiiiiiiiiiii Sasa hivi ni VITU VIPYA katika ubovu wake ulio wa VIWANGO VYA juu katika mazingira mabovu kabisa hiiii ni so sad and great shampoo if not shameful
@HamisSaidi-h3u
@HamisSaidi-h3u 4 месяца назад
Makamera Wa Bongo Bana! Et Video imechukuliwa kwa Mbaaali😅😅😅
@Kombs-cr2mj
@Kombs-cr2mj 4 месяца назад
Mwakinyo ni pro sana, anaangalia stats zake kidunia sio ushabik wa kibongobongo tu kama bongo movie
@maxmia100
@maxmia100 4 месяца назад
Mwakinyo makalio tu huyo anajiona mjanja kumbe fala tu kwanza anaogopa mabondia
@ambarmazuma
@ambarmazuma 26 дней назад
Weee nibaraaaaa
@minahismail9515
@minahismail9515 4 месяца назад
Jamani walihama ukumbi wakawaita marefa wao na mc wao na waandishi wa habari za mtandaoni. Ndo maana hujaona azam tv'wala mc wasiwasi mwablambo. Yaani huyu mwakinyo mungu anamuona katuchezea mashabiki wa ngumi cheus na chekundu.
@FestusJchunya-hc3hv
@FestusJchunya-hc3hv 4 месяца назад
mapambano ya mwakinyo ni maigizo TU hamna cha maana sasa hapo kashinda nini? au ni uchawi anatumia maama namuona mwepesi ngumi zake hazina power yaani ni michezo ya shule za msingi!!
@hendricksjohn6201
@hendricksjohn6201 4 месяца назад
Vituko TU hapa hakuna kitu huyo mwakinyo watu wa kupigana nao anawachagua yeye mwenyewe
@bukavusongs6012
@bukavusongs6012 4 месяца назад
Harmoniz vipi
@enezermwafrica7443
@enezermwafrica7443 4 месяца назад
T.K.O iko wapi hapo???!!! Acheni ujinga basi! Mwakinyo ahamie kwenye uigizaji wa filamu za vichekesho maana pambano hapo hakuna, ni vitimbi vitupu!!!!
@gracemgeta1044
@gracemgeta1044 Месяц назад
Inamaanisha nini kumpiga Isha mtu washabiki zake wakiwa wameshaondika chuki nyengine hizi hazina maana kabisa dar
@gman3245
@gman3245 4 месяца назад
South African boxer by the name 'Wellem" ndie dawa ya mwankiyo 😊😊
@MohammedSafari-o1i
@MohammedSafari-o1i 4 месяца назад
Pambano LA mchongo mashoga toka lini wakawa na msimamo zaidi ya maneno mengi
@steveprosper4084
@steveprosper4084 3 месяца назад
Lingeuza michungwa pale chalinze lisipotezee mda humu
@hidayajuma7946
@hidayajuma7946 3 месяца назад
Matako mwenyewe matako unasema mashabiki tunaona wanamferisha mwakinyo viongoziwangumi halafu unasema mashabiki kiufupi ukimponda mwakinyo ww tako
@KhamisHaj-y4d
@KhamisHaj-y4d 4 месяца назад
Hiz ni sawa na ugomvi wa mtu na mkewe kitandani. Hatimae hiishia kupeana tu
@emilysanga7662
@emilysanga7662 4 месяца назад
Kwa hali hiyo Mwakinyo ndio mwenyewe final say kwakua kila atakachoongea wanamsikiliza management nzima
@MchJacobKassim
@MchJacobKassim 4 месяца назад
Mimi naelewa hili halikuwa pambano lilikuwa movie ya kichina
@JosephuSwai
@JosephuSwai 4 месяца назад
Karibu wewe
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 4 месяца назад
Nae anashangilia eti daah
@FikiriMgonanze
@FikiriMgonanze 4 месяца назад
Kwakweli huyu jamaa mapambano yake nachelewaga kuyaelewa
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 4 месяца назад
😂😂😂
@hezekiamhapa7395
@hezekiamhapa7395 4 месяца назад
Huu wizi Tu mwisho wa siku ngumi zitapoteza mvuto kuweni makini na mwakinyo lakini kama ni maslahi wapate inavyostahiki alafu ngumi za hivi mtu hajapigwa ngumi yeyote ya maana mnamaliza pambano sio vizuri mnaharibu mchezi wa ngumi
@minahismail9515
@minahismail9515 4 месяца назад
Mashabiki wa mwaninyo nao ni matako bondia kawazalilisha kutocheza kwa wakati anakuja kuhonga na kununua marefa wachezeshe uchochoroni. Ili apewe mkanda. Wao wanafrahia. Haya. Kama sio uchochoroni mzamini azam tv'yupo wapi??
@AthanasiMichael
@AthanasiMichael 4 месяца назад
Champenz 🏆
@MatronaThomas-wz5si
@MatronaThomas-wz5si 4 месяца назад
Mwakinyo ni professional ❤❤❤❤
@hassankindamba6633
@hassankindamba6633 4 месяца назад
Huyu wajina wangu kuna kamchezo hucheza ili kupiga pesa. Bondia Gani yeye ndo anachagua wakupigana nae na anamoanga kabisa mpaka malipo achukue kiasi Gani. Na kama bondia akikataa lazima litokee jambo aidha agome au atafute kisingizio ili tu kuharibu cv za watu
@mtazycomedy
@mtazycomedy 4 месяца назад
Atar sana
@minahismail9515
@minahismail9515 4 месяца назад
Jamani mwakinyo kama umerizika na kiwango chako na mashabiki zako wanakukubali tia saini. Kwenye bendera chuma tukupige hadi mashabiki wakukatae. Maana hao ndo mashoga zako wanakupamba uzidishe naneno. Timu kidugu hatunaga maneno ni kudunda tu.
@JumaIsmail-dt4il
@JumaIsmail-dt4il 3 месяца назад
Tz 1
@SalumMiraji-i6n
@SalumMiraji-i6n 4 месяца назад
Hapigani kwa mihemko ya watu anaangalia sheria ina semaje sio boya kama mabondia wenu mbuzi nyie
@rahjah5882
@rahjah5882 4 месяца назад
All the way from Tanzania 😂 pambano limefanyika Tanzania sio ?
@RahimHassan-bh3mm
@RahimHassan-bh3mm 4 месяца назад
Mwakinyo anajielewa sana to me naamin yupo sahihi maisha sio lazima uyaendeshe ukiwa na kaka au dada simama ww kama ww acha kulialia ww
@HusseinChai
@HusseinChai 4 месяца назад
Mwambaaaa nakukubalii😂😂
@hidayajuma7946
@hidayajuma7946 3 месяца назад
Kwani umelazimishwa kumuangalia tukufungie ww kuangalia tuone utafulai pimbiww
@HusseinHassain-ry9qb
@HusseinHassain-ry9qb 3 месяца назад
Ngumi unajua ilaa mabondia wako bdo cjawaelewa baba hassain Soo kwel weee champion of the national Tz half mapmbn yko ayakosi vikwazo vp kaka
@RahimHassan-bh3mm
@RahimHassan-bh3mm 4 месяца назад
Mwakinyo ana kosa gani Sasa apo walaumu mapromota ambao wanania ya kumpoteza mwakinyo lakin naamin mwakinyo hawezi kupotea na mungu yupo ataendelea kusonga mbele
@kilemilekilemile
@kilemilekilemile 4 месяца назад
Kwahiyo hiyo pesa tayar kapewa? Mwakinyo aache ujanja sasa hizo ningumu au bonanza niwizi mtupu
@habibuhabibu9728
@habibuhabibu9728 4 месяца назад
Mwakinyo hataki janja janja kama wale wengine wakipewa ata lack 3 wanapigana😅
@francismussa5690
@francismussa5690 4 месяца назад
Waandaji wa kulaumiwa, hakika kuna shida katika mapambano ya mwakinyo, nadhani atetee huyo mkanda na bondia bora ili tujue uwezo wake mwakinyo
@ElishaMapongo
@ElishaMapongo 4 месяца назад
Anachaguwa mabondia kwanini asiletewe bondia kweli
@barnabassassiyo4741
@barnabassassiyo4741 3 месяца назад
Mwakinyo kuna siri kubwa anaijua TPBRC Maisha na Mafanikio ya mtu ni Siri yake!
@AthmanKhalfan
@AthmanKhalfan 4 месяца назад
Tatizo jeuli za mwakinyo.amuombe lazi kaka ake.asisingizie bosi zayumba,azam nao?
@wegazicomputing2872
@wegazicomputing2872 4 месяца назад
Hakika , Hassan kuna watu ana wakosea mahala fulani aombe radhi kwa siri siri au hadharani, pia apunguze mdomo, ni bondia mzuri lakini dharau nyingi, sasa jana ana omba radhi watu kwa kuwa lazimisha ndio nini? Ukisema naomba radhi kwa kuchelewa pambano halafu, msiondoke jamani mi nime jiandaa kwa ajili yenu, kwani watu walikuja hapo ukumbini bure?
@MwanaNgurumo
@MwanaNgurumo 4 месяца назад
Mtan wangu mwakinyo ninakuamini songa mbele kamanda wenye vijicho wakajinyonge
@DenisRamadhani-mg1gu
@DenisRamadhani-mg1gu 4 месяца назад
shabik unalipa kiingilio alafu mabondia wanatokea wote hawana matatizo yakiafya yaani wakofiti " et unaambiwa kunamtu mkubwa haonekani na ana ishu zote za mkanda ndiotunamtafuta kwenye cm lakn hatujafanikiwa kumpata " sasa unajiuliza maandalizi ya pambano kipindi chote hicho yako wapi? Kama sio uhuni? alaf unaenda kulala unapata taarifa pambano lilichezwa na wazamin wa matangazo ni tofaut na MC naye ni mwingine😂 " sasa unajiuliza tena inamaana huyo anasubiriwa aliona pesa zetu hazina maana ? anakuja mda anao utaka na uongozi wa ngumi unataka et kuwepo na mashabiki wa ngumi " nani atapenda ujinga huo
@MushiProsper
@MushiProsper 3 месяца назад
Mwankinyo kaonewa huruma tu
@AbrahammosesAbraham
@AbrahammosesAbraham 4 месяца назад
Wemechagua sikuyao sio
@joycekaishozi1177
@joycekaishozi1177 4 месяца назад
ukisimamia hhaki yako ni bora sana
@chancelorharubu2731
@chancelorharubu2731 4 месяца назад
Ivi hili pambano limefanyika lini?
@komboadata4323
@komboadata4323 4 месяца назад
KUWENI WAKWELI MWAKINYO MWENYEWE PIA AJUI KAMA KASHINDA HILI PAMBANO
@WinifridaJonathan-cq2nw
@WinifridaJonathan-cq2nw 4 месяца назад
Mkanda lazima tuubebe hao wanao mrudisha nyuma nangoja wageuke😅
@yusufsong7993
@yusufsong7993 4 месяца назад
Pumbavu nani afungiwe Ulizani Mwakinyo kama mabondia wenu labda wafungiwe chama cha ngumi
@EMMANUELR.MASSAWE
@EMMANUELR.MASSAWE 4 месяца назад
Mapambano ya jamaa yanaishaga kimaajab ajabu. Unashangaa tu refa ananyoosha mikono pambano limekwisha.
@JumaMkose
@JumaMkose 4 месяца назад
Dah kwa hili kuna cha kujiuliza kwakweli kwann ligailishwe aya apo apo licheZwe bila nembo ya mzamin hata mmoja dah bongo ni hatari
@LucasEvodi-xj1of
@LucasEvodi-xj1of 4 месяца назад
Promo kibao kika chaneli matangazo ya mwakinyi mwishoe ngumi kma wanacheza rede
@NuhuMabena-gh1wo
@NuhuMabena-gh1wo 4 месяца назад
Kabla haujalaumu tafuta chanzo kwanza
@JumaIddi-o6f
@JumaIddi-o6f 4 месяца назад
Pambano la mchongo msituwekee Sasa ndio ngum gani iliyochezwa nawauliza nyie timu mwakinyo
@chiddybwax7749
@chiddybwax7749 4 месяца назад
Watu inabidi waelewe mwakinyo hana makosa bali mabosi zetu wa hovyo
@AllyMswahili
@AllyMswahili 4 месяца назад
Ndio inavy takiwa bondia uweh naa msimam
@GeorgeJusto-y4v
@GeorgeJusto-y4v 4 месяца назад
Huyo nikiazi tu hana lolote maneno mengi ngumi ajue atahamonazi akimkazia anamfua huyo kuzi
@VeronicaAdam-lx8yd
@VeronicaAdam-lx8yd 4 месяца назад
😂😂😂😂Matak yak
@3sflyingcars
@3sflyingcars 4 месяца назад
Nenda ww mbon una taj mwenzio et hoo hamoz nenda ww kenge ww
@HajiJumaHaji-to3ld
@HajiJumaHaji-to3ld 4 месяца назад
Hamonaizi kama umechoka kuimba basi kama unavipesa vyako nenda kwenu kanunuwe heka ya mikorosho ulime usije kumtefutiya kesi hasani mwakinyo kwa wazazi wako nenda kalime korosho
@MbarakAhmedAbdalla
@MbarakAhmedAbdalla 4 месяца назад
Jama ako sawa lkn shoulder imembwaga ame tupa ngumi akashituka bega
@JumaHamisi-z4s
@JumaHamisi-z4s 4 месяца назад
mwakinyoo watu ka hawa ndo wakuchapa chap unaondoka kujifanya ka jogoo inaleta madharau bongoo
@MicharazoCharazo
@MicharazoCharazo 3 месяца назад
Tanzania chikii ndoo zinatusumbuwa
@EdwinNgimba
@EdwinNgimba 4 месяца назад
Chochote unachokifanya kwaajili ya future yako kifanye kwa usahihi haijalishi unazomewa na wangap, hata kama una mashabiki wawili haohao wanakutosha mtu huna hata uhakika wa kula unatukana watu mitandaoni sometimes tujifunze kuzuia hasira zetu za kipumbavu mwana ana watu watu wachache ila maisha mazuri kuna mabondia viwanja vinajaa ila wana njaa kali tujifunze kusimama kuwatetea wanamichezo wetu kwenye stahiki zao
@nekashash2190
@nekashash2190 4 месяца назад
Koo hii gem ilichezwa siku ileike au lini..na kwanini
@AniaJaffari
@AniaJaffari 4 месяца назад
Safi ndugu yangu
@HamisSaidi-h3u
@HamisSaidi-h3u 4 месяца назад
ila Hormonize!😅😅😅
@fintanifelix1680
@fintanifelix1680 3 месяца назад
Mwakinyo alivaa sket au macho yangu jamani
@KhamisHaj-y4d
@KhamisHaj-y4d 4 месяца назад
Kwani kulikua na ngumi au kulikua na makubaliano tu hapa. Mbona km ibabaishaji. Maana cjaona ngumi apo walopigana. Imekua sawa na mtu na dem wake. Wakat dem anajarib kukataa kudo kisha akaachia nyama
@selemanajali6336
@selemanajali6336 4 месяца назад
Kabisa hamna ngumi hapo
@festopaul7549
@festopaul7549 4 месяца назад
Watu wachache kama kuna birthday ya mwakinyo
@minahismail9515
@minahismail9515 4 месяца назад
Jamani mwakinyo ni ki hekesho bora nilienda kulala
@MICHAELLEONTH
@MICHAELLEONTH 4 месяца назад
Mwakinyo naye hiyo style yake jaman Sio usanii
@dismaspascal6198
@dismaspascal6198 4 месяца назад
Daah,pambano la mchongo
@babanaso6743
@babanaso6743 4 месяца назад
Kinacho chaguliwa na mungu hata uweke chuki vipi kitaendelea kusimama ila ndugu zangu wa tz tuache roho mbaya
@KassimMshana-r1v
@KassimMshana-r1v 3 месяца назад
Iv tatizo inalofanya hadi iwe hivi
@onesmothimos2635
@onesmothimos2635 4 месяца назад
Leo mm nime shika number one
@KassimSaid-vp4zz
@KassimSaid-vp4zz 4 месяца назад
Number one ya nyoko upumbavu nao unataka 2upongeze
@onesmothimos2635
@onesmothimos2635 4 месяца назад
@@KassimSaid-vp4zzunamtafuta mtu wa kukufila basi Pele lime pata kucha
@abdultandala6576
@abdultandala6576 4 месяца назад
Hakuna pambano hapo wizi mtupu ngumi zenyewe sasa mmhhhhhh! .
@adilhabib8988
@adilhabib8988 4 месяца назад
Hiii ni regesha watu hapana ngumi hapa mwakinyo kaachia mpunga ili jamaa achie pambano
@HassanSaid-pw8us
@HassanSaid-pw8us 4 месяца назад
Hkn uhun champez ameshakua🏆🦾
@hendricksjohn6201
@hendricksjohn6201 4 месяца назад
Mwakinyo siyo Bondoia wanamletea mabondia viazi tu
Далее
Salama Na MWAKINYO Ep 44 | VITASA OVERLOAD Part 2
29:53
Full fight Hassan Mwakinyo vs Liam Smith
31:18
Просмотров 1,8 тыс.