Тёмный

VITASA | Ibrahim Class vs Xiao Tau Su |  

UTV Tanzania
Подписаться 78 тыс.
Просмотров 191 тыс.
50% 1

VITASA NIGHT: Bondia Mtanzania, Ibra Class ‘Mawe’… amemshinda Xiao Tao Su kutoka China kwa pointi na kuchukua mkanda wa TPBRC, Lighter Welterweight kilo 59 katika pambano la raundi kumi lililofanyika leo PTA Sabasaba, Jijini Dar es Slaam.
Hili hapa pambano kamili kuanzia raundi ya kwanza hadi ya kumi….ngumi kutoka China zilipokutana na vitasa vya kibongo, likiwa ndilo pambano kuu la Usiku wa ‘Vitasa Ulingo wa Moto’, #RingItaongea

Опубликовано:

 

1 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 237   
@geneus7vingunguti172
@geneus7vingunguti172 11 месяцев назад
kweli Wasenge ni wengi sana wamecomment, sasa mbona mchina wenu kapigwa wazi kabisa tena kwenye raundi nyingi kasoro ya 6 , ila huyu ni mpinzani mgumu...Tuache ujinga ujinga kama hamja angalia pamano embu rudieni tena.....ACHENI UTIMU MWAKINYO....IBRA KASHINDA VIZURI TUU.
@PreygodMariki-pm1ym
@PreygodMariki-pm1ym 11 месяцев назад
😮ibra kabebwa msenge tuuu
@AbdusidMohammed-hi5ib
@AbdusidMohammed-hi5ib 11 месяцев назад
Ibrah amepigwa mcheza kwao utunzwa
@masikaisaiah9183
@masikaisaiah9183 9 месяцев назад
From +254 🇰🇪, Ibrahim class kashinda kihalali
@johnsonmalle1197
@johnsonmalle1197 11 месяцев назад
Mchina yuko vizuri sana, sema anasubiri sana. Huto mtangazaji anasifia tu Ibra
@munyagile
@munyagile 11 месяцев назад
Mim naona hili pambano ilitakiwe iwe sare, sijaona aliyepigwa😁, mchina kipigwa kwa points ila naye amescore pia, ila sema mcheza kwao hutunzwa
@muddylikwena128
@muddylikwena128 11 месяцев назад
Dah huyu mtangazaji mpaka anaboa aisee.anasifia sana
@alphoncemakigo7343
@alphoncemakigo7343 11 месяцев назад
Mimi sikuangalia ngumi. LAKINI mbona nimeona hapa ibra kapiga ngumi nyingi tu?
@YuvencePatrice-w8h
@YuvencePatrice-w8h 11 месяцев назад
Upo Kam Mimi bx tujuane
@SaidAlnaamani-z1o
@SaidAlnaamani-z1o 11 месяцев назад
Huyo mtangazaji yeye nikumsifu Ibrahim.
@nassorntandu4513
@nassorntandu4513 11 месяцев назад
Ibra ana viwango vya hali ya juu
@andrew0502
@andrew0502 9 месяцев назад
Xiao Tau ni bondia kweli kweli,
@StephenMundi-hv1lv
@StephenMundi-hv1lv 11 месяцев назад
Ibra pambano lake alichoshi kuangalia👏👏👏
@PaulMchopa
@PaulMchopa 11 месяцев назад
😢Ibra umepiga, nyingi sana yaani watu wanadhani ushindi ni knock out,,, we peleka moto ,, kusanya point maisha yaendelee ,Boxing siyo ugomvi ni mchezo bana we vp,,ibu kashinda🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@YuvencePatrice-w8h
@YuvencePatrice-w8h 11 месяцев назад
Me sikubali😮😮
@rockygappi1018
@rockygappi1018 11 месяцев назад
Safi kabisa Paul...👌👌💪..wengi hawaangalii points za jabs wanadhani ushindi huwa ni KO Na kama Ibra asingekuwa anakimbia mtego wa kupunguzwa ulingo na mchina basi angepoteza pambano mapema tena kwa KO
@ErastoEnock-f8u
@ErastoEnock-f8u 11 месяцев назад
Ibrah ni bondia mwenye akili ya ngumi,anatumia akili sana....safi sana mnyalukolo,endelea kuwa gonga tu....
@MusaYunusu
@MusaYunusu 11 месяцев назад
Ibra kabebwa yeye mwenyewe pia anajua
@bahatjuma7458
@bahatjuma7458 11 месяцев назад
Huyo refa matako Sana, ndiyo maana Dula mbabe hamtaki kabisa kwenye mapambano yake,
@KiongoziMwandamizi
@KiongoziMwandamizi 11 месяцев назад
Nilianza kwa kusoma comments kwanza nione mnaosema Ibraa kapigwa ikoje. Mnaosema hvo sitaki kuwatukana leo jumapili ila hamjui ngumi. Usifikiri kila punch ina point zingine mazoezi tu ya ku punch of which hua zinawezaga zaa madhara mfano kupiga tumbo na mbavu mtu akikaa chini ni knock down. Pia muangalieni Mayweather match zake km hii Ibraa kabebwa basi Mayweather hajawahi shinda pambano lolote ukitoa Knock out.
@allybakari28
@allybakari28 11 месяцев назад
Nadhani wewe ndio huelewi zaidi. Watu wanazungumzia KO 2 na refakushindwa kumuhesabia 1. Kama aliteleza mwenyewe pasipokuwa na maji wala kitu kilichomtelezesha refa anastop vipi pambano? Mbaya zaidi marudio yanaonyesha dhahiri Ibra amekula ngumi na kudondoka 2. KO ya 2, marudio yanaonyesha Ibra amepigwa ngumi live, hakuna kugongwa kichwa wala nii. Au wewe uliona kama alipigwa kichwa. Bila aibu refa wenu anapeta. To be Honest upendeleo wenu wa kijinga jinga ndio mana mabondia wetu hawafiki mbali> Na huyu Upendo Njau ni TAKA TAKA KABISA
@KiongoziMwandamizi
@KiongoziMwandamizi 11 месяцев назад
@@allybakari28 Tufanye hv ili uridhike, mie sielewi ngumi, asante🙏
@godfreynoel7802
@godfreynoel7802 11 месяцев назад
Ibrahimu kapigwa kwa wa amuzi hawa game la ngumi ngumu kufika tunapo hitaji kufika.
@OmarMohamed-bp9ix
@OmarMohamed-bp9ix 11 месяцев назад
refa hamna kitu,kuna kubebwa
@yussufmohammed9299
@yussufmohammed9299 11 месяцев назад
Refa mnamuonea kwn yey cye mweny kupnga Pwenti
@abdukhan4718
@abdukhan4718 11 месяцев назад
Huyu mchina kakatwa point bure maana ngumu anazorusha Ibra akiinama ndio zianampata na sio anakusudia kupiga kisogoni....
@olikipolavuna7977
@olikipolavuna7977 10 месяцев назад
Ibrahim class is a promising boxer with very good boxing skills
@daudysanga8492
@daudysanga8492 11 месяцев назад
Mwakinyo ndio baba yao
@MusaYunusu
@MusaYunusu 11 месяцев назад
Upigaji wake kama tinampay
@nyasijoseph-bt7xw
@nyasijoseph-bt7xw 11 месяцев назад
Isitoshe mchina wa watu aelewi don't do that... Ndo maana analudia kupiga ngumi za kisogo😂😂
@LineBusinessCoLTD
@LineBusinessCoLTD 11 месяцев назад
Hahahaa
@CynthiaWillium-cy5eh
@CynthiaWillium-cy5eh 11 месяцев назад
Chuma Cha kazi Ibrah Classic ❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥👊
@victorcephas3618
@victorcephas3618 11 месяцев назад
Clear wining Ibrah kapiga mtu shida ya watu ni sababu kaenda kunolewa na Hamis Mwakinyo
@yusuphmtuga4951
@yusuphmtuga4951 11 месяцев назад
mcheza kwao hutunzwa fight ilikua nzur ila refa ulileta upendeleo
@adamabdallah6471
@adamabdallah6471 11 месяцев назад
Pendo anapotea saiz nilimpenda mwanzoni hila saiz amekuwa akiwabeba mabondia wetu sana chezesha game kwa haki
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 10 месяцев назад
Umeona eee
@Rajabuselemani-zz2og
@Rajabuselemani-zz2og 11 месяцев назад
Nakubali sana bratha umetishaaa
@IzihakaFihirini
@IzihakaFihirini 11 месяцев назад
Leo amepigwa ibra
@YuvencePatrice-w8h
@YuvencePatrice-w8h 11 месяцев назад
Kwan haend kule china
@dahlainismail6837
@dahlainismail6837 11 месяцев назад
Tanzania kuingia mbinguni sijui
@RichardAmosnkonje-pq9oh
@RichardAmosnkonje-pq9oh 11 месяцев назад
Jamani mchhina kaonewa iritakiwa iwe droo wote wamefanya vizuri
@katambihamisi4130
@katambihamisi4130 11 месяцев назад
Ibra yuko vizuri lakini leo kapotea pia alitakiwa kuhesabiwa Ile punch ilifika akiwa out of stance Sema miundo mbinu
@kiya0910
@kiya0910 11 месяцев назад
Ibrahim ameshinda kihalali juu mchina alikua anarushia gumi moja moja tena siraundi zote Ibrahim randizote alikua ana chapa mtu 🎉🎉❤
@MusaYunusu
@MusaYunusu 11 месяцев назад
Kiukweli ibra kabebwa kapigwa panch mpka kaanguka mwasema katereza macho yenu yana makengeza kakutana na chuma
@zahiruhamisi4162
@zahiruhamisi4162 11 месяцев назад
Kwel kabsa
@MusaYunusu
@MusaYunusu 11 месяцев назад
Ukweli ndio huo
@YuvencePatrice-w8h
@YuvencePatrice-w8h 11 месяцев назад
Daah me niliumia san kubebwa
@eneswaggy1835
@eneswaggy1835 11 месяцев назад
Amjui ngumi , nyie mashabiki wa yanga simba,,
@mathewandililemwandenuka4692
@mathewandililemwandenuka4692 10 месяцев назад
Nenda na wewe kapiganeeee nduguuu😅😅😅
@MlongaMawe
@MlongaMawe 10 месяцев назад
Anaesema ibra kapigwa ni msenge we mbn unapigwa na maisha na atusem pamban na maisha yak kam kufuatilia ngumi zimekushinda
@PreygodMariki-pm1ym
@PreygodMariki-pm1ym 11 месяцев назад
Mchina anajiweza ndio maana hakubabaika,ibra kazoea kubebwa kama nguo za kichina zinazotundikwa madukani kariakoo vunja bei
@Africa822
@Africa822 11 месяцев назад
Hapa naweza kusema ili pambano ibrahim him kapoteza nje ya pazia kwa utawa wa elimu yangu ndani ya box
@rockygappi1018
@rockygappi1018 11 месяцев назад
Kwa elimu yako tupe vigezo na usitulishe matango pori😂😂😂
@halidimgonza5945
@halidimgonza5945 11 месяцев назад
Pendo Njau ni refa mzr sn lkn angalia uzalendo usikuharibie
@zahiruhamisi4162
@zahiruhamisi4162 11 месяцев назад
Kapendelea sn🤮
@fatinamsuya1305
@fatinamsuya1305 11 месяцев назад
Ndio Mana dulla mbabe kamkataa
@SaidiBwax-em9gz
@SaidiBwax-em9gz 11 месяцев назад
Tumepigwa
@YuvencePatrice-w8h
@YuvencePatrice-w8h 11 месяцев назад
Kwel tumepigwa lkn bx tu
@ramadhankhatwib8561
@ramadhankhatwib8561 11 месяцев назад
Hii mbona ni ngumi kabisa iliomdondosha😂😂😂
@twintangastone9489
@twintangastone9489 11 месяцев назад
Uhakikaa..
@mropeamadeus54
@mropeamadeus54 11 месяцев назад
Mcheza Kwao utuzwa, sio mbaya hata wao ukiwa Kwao Wana figisu nyingi. Kwahiyo amebebwa pia kajitahidi sana, sio kinyonge
@abasmwika3432
@abasmwika3432 11 месяцев назад
Ngumi ilimpata lakini alidondoka kwa kuteleza angalia mguu wake. Sikila ngumi ukipigwa unaondoka pale aliteleza
@AGREYMWANKENJA-ye5sb
@AGREYMWANKENJA-ye5sb 11 месяцев назад
Umepambana sana Ibra classic hongera sana
@hancysadaty4799
@hancysadaty4799 11 месяцев назад
Ngumi kari mnasema kichwa daahhh Bongo kila kitu bado
@peterngallya4022
@peterngallya4022 11 месяцев назад
Wamepiga vijana maana hakuna kukumbatiana 10 rounds zote
@FatumaMwaluhanga-ui3kl
@FatumaMwaluhanga-ui3kl 4 дня назад
Ibra akili nyingi ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@abelmwandenga3919
@abelmwandenga3919 11 месяцев назад
Lakin wamuzi wa bongo ni wa mchongo sana hii ni drow Kazi kuwabeba
@flova7022
@flova7022 11 месяцев назад
Tusiwe wajinga...waamuzi hawakuwa WA TZ alone...pia ibra kascore Sana...ni ushindi wawaz kabisa machina kascore round 2 tu 3 na 4
@leskarmeikok8956
@leskarmeikok8956 11 месяцев назад
Mchina ameshambuliwa sana ila ana ngozi ngumu avimbi.
@YuvencePatrice-w8h
@YuvencePatrice-w8h 11 месяцев назад
Jamaa nakupenda bure 😍 Coca-Cola baridi kwako hata wwevumeona
@AwadhiAlfani-bd5pj
@AwadhiAlfani-bd5pj 11 месяцев назад
ngumianazo pigamchina hawaonyeshi achenizambi mubabebana bebanatu
@damianmcba9525
@damianmcba9525 11 месяцев назад
Ile right kapigwa ibra kaanguka refa anasema katereza. Ile ni knock down
@abdallhabinmkasibayyat6657
@abdallhabinmkasibayyat6657 11 месяцев назад
Huyu ndio bondia anaye sifiwa kuwa ndio classic
@WilliamGidion-cv4wm
@WilliamGidion-cv4wm 11 месяцев назад
kama kunapambano gum kwa ibra nililo waikuagaria ni hii umepambana sana crasi
@kabichishida8137
@kabichishida8137 11 месяцев назад
Mcheza kwao hutuzwa wabongo wamebebwa sana hata yule mhindi alishinda sema tu mbeleko
@CloudiAdauti
@CloudiAdauti 11 месяцев назад
Ety viongozi kwann ibra awekewi mkanda
@inno4953
@inno4953 11 месяцев назад
Mchina won that match period.
@ferdnandkarty4482
@ferdnandkarty4482 11 месяцев назад
Refa ndo shida uyo sio mara ya kwanza kubeba mabondia
@YuvencePatrice-w8h
@YuvencePatrice-w8h 11 месяцев назад
Anazinguw
@abdymmanga6338
@abdymmanga6338 11 месяцев назад
Safi sana Ibra Class umepambana mpka dakika ya mwisho 🔥
@jamessanga2176
@jamessanga2176 11 месяцев назад
Umetisha home boy
@mbenambenanga8889
@mbenambenanga8889 11 месяцев назад
Wengi wetu sisi ni mashabiki tyu,,, ndio maana tunaamsema Ibra kabebwa ,, tunakosea mpongezeni class,, ametumia maarifa makubwa mno,, kwa uwo moto wa uyo mchina ,xio pwh ingekua mabondia wenu vilaza tungepigwa , k, o mapema
@mohamediabdirashidi1099
@mohamediabdirashidi1099 11 месяцев назад
Point sana jamaa ni fundi wa kutumia akili sanaaa
@isayajonh7363
@isayajonh7363 11 месяцев назад
Mwanangu nyumbani ilinga.
@abdulhalimali9229
@abdulhalimali9229 11 месяцев назад
ndio njia muno tumia hiyo kumshusha mchinaa
@KatibaalmasiallyKatibaalmasial
@KatibaalmasiallyKatibaalmasial 11 месяцев назад
VAR inaitajika kabondwa uyo
@geoffreynghumba1029
@geoffreynghumba1029 11 месяцев назад
Mara hii Pendo kazidisha mapendo na uzalendo kwa Classic. Ametumia muda mwingi kumtoa mchezoni Xiao kwa maonyo yasiyo na ulazima.
@muadhihassan4486
@muadhihassan4486 11 месяцев назад
Mwakinyo na kiduku wapumzike class na kina majiha wanatutosha
@moricemaseke2832
@moricemaseke2832 11 месяцев назад
Huu sio mpira ww
@moricemaseke2832
@moricemaseke2832 11 месяцев назад
Huu sio mpira ww
@allyabdallah4641
@allyabdallah4641 8 месяцев назад
Mue unachezesha game kwahalali mtu anapigwa kateleza mtu apingwa vichwa vimefongana chezesheni kwahalali mabondia wetu wapate kujidunza kutoka kwawageni
@mkanganails5839
@mkanganails5839 11 месяцев назад
Safari ii tumebebwa🙄🤣🤣🤣
@AbuahmadSalim
@AbuahmadSalim 11 месяцев назад
Uyo mtoto ibra ansongea xana kumamake kila siku nyumbani siatoke nnje tumuone amepigwa ibra amna kitu bondia wa mchongo
@rockygappi1018
@rockygappi1018 11 месяцев назад
😂😂😂..yaaani we zuzu kweli kwani mama yake Ibra na mama yako wana tofauti gani..hapo ni sawa umemtukana mama'ko mzazi bure kabisaaaa😅😅😅
@hansmswagara2789
@hansmswagara2789 11 месяцев назад
Kuna mtu kabebwa apa
@maalimseifk-gumuadui123
@maalimseifk-gumuadui123 11 месяцев назад
Yan kuna mijitu haijui ngumi kabisa yan😂😂😂 sasa pambano km hili halihitaji majaji kabisa,yan Round zote Mchina amepigwa km punching bag,bado et unasema kuna mtu kabebwa 🤔
@DominicBwanali-xl4wj
@DominicBwanali-xl4wj 11 месяцев назад
Kabisa mtu kabebwa
@BeckaBaraqat
@BeckaBaraqat 11 месяцев назад
Kazi nzuri sana Ibra
@omarymkasi2012
@omarymkasi2012 11 месяцев назад
hahaha! ibrah mjanja pale mlipo sema ameteleza pale amesukumwa na ngumu ndio imefanya aende chini pia pale mlipo dai wamegongana kichwa pale ni amepigwa ngumu ila yoote na yoote ni mistake ya kibinadam ila Ngumi nzurii ila kiukweli jamaa ametuweza wala sio masiharaa japo matokeo yapo juu ya majaji
@hancysadaty4799
@hancysadaty4799 11 месяцев назад
Refa amna kitu
@SelemanKidunda-q9q
@SelemanKidunda-q9q 11 месяцев назад
Ibla ngumisanatu oalekateleza acheniwivu
@ip_header
@ip_header 11 месяцев назад
Kumbe mpaka kwenye Ngumi Majaji wanapiga Chabo, yaan wote watoe Alama zinazofanana, mmmh kweli mcheza kwao hutuzwa😂
@wokovumwazembe3505
@wokovumwazembe3505 11 месяцев назад
🎉ngumi hiyo
@saidibaruwani5602
@saidibaruwani5602 11 месяцев назад
Nyumbani ni nyumbani
@joelnoel2016
@joelnoel2016 11 месяцев назад
Pambano lilipaswa kuwa sare hili
@rockygappi1018
@rockygappi1018 11 месяцев назад
😂😂..si kweli hata kidogo..sare kwa mizania ipi??..simama na hoja Namba ya jabs kwa Ibra ni nyingi mno..zilizopenya na zilizopiga moja kwa moja.. tofauti na ngumi nzito na zenye nguvu za mchina zilikuwa chache..hata straight head punch za mchina zilikuwa chache japokuwa zote alipiga kwa uhakika na zilimpata Ibra
@michaelmwamanda8418
@michaelmwamanda8418 9 месяцев назад
Nimeiangalia hii game leo nimra ya tatu na nacoment kwamba ibra alishinda kahalali ,, na anaesema ibra hajui ngumi yeye ndi hajui kwasababu ibra nikati yamabondia wanaokutana namabondia wagumu kama huyu jamaa
@mlokaferdinand
@mlokaferdinand 11 месяцев назад
Wote mnaosema ibra kapigwa ni either mna wivu au hamjui ngumu..kwa maoni yangu,ibra ameshinda kihalali kabisa,ila ikipimwa kiwango Cha maumivu yawezekana ibra kaumia zaid
@YuvencePatrice-w8h
@YuvencePatrice-w8h 11 месяцев назад
Saw kaumia ila droo
@rockygappi1018
@rockygappi1018 11 месяцев назад
Sio droo.. Ibra kashinda na kama unavyosema maumivu ya mwili kwa Ibra yatakuwa makubwa kwa sababu mchina ngumi zake alikuwa anatumia nguvu.. yaaani upiganaji wa mchina unafuata mtindo wa Mike Tyson kukinga uso wote na mwili kisha ana tafuta muda mwafaka wa kupiga na akipiga ni heavy punches
@MuniruBakari97
@MuniruBakari97 11 месяцев назад
Ibra amebebwa stumai kabebwa yaan lkn ngoja ninyamaze
@YuvencePatrice-w8h
@YuvencePatrice-w8h 11 месяцев назад
Yaan naumia sana
@jaybee3429
@jaybee3429 11 месяцев назад
huyu IBRA CLASSIC ni bonge ka bondia always ana2mia jebu kumchakaza bondia lakini pia anamtengenezea angle mpinzan wake kwaiyo anapiga kila pande ..alaf anatembea ulingoni sio bondia kobe...kwa anaeijua ngum classic kashinda....
@AbuuFawzaani-zn6hh
@AbuuFawzaani-zn6hh 11 месяцев назад
Ibra kashinda hili pambano tukiacha ushabiki
@abasmwika3432
@abasmwika3432 11 месяцев назад
Kashinda kihalali kabisa kapiga points nyingi sana toka raundi ya kwanza. Watoto hawajui ngumi humu. Mchina aliitaka k.o akawa anapiga ngumi kwa kuvizia ila ana ngumi nzito sana ikiikuingia vizuri lazima itakuathiri
@IQRAMJULU-bg1zx
@IQRAMJULU-bg1zx 11 месяцев назад
Uyu mchina mgumu zaid ya mpingu kwakwel ibra amejitahid atakama tumebebwa
@nasibugunda7927
@nasibugunda7927 11 месяцев назад
class kayakanyaga sema nn kihome boy lazmz atoboe
@venturejackson6357
@venturejackson6357 11 месяцев назад
Yaan huyu refa anastaili kufungiwa hii ni aibu kwa taifa anambemba mtu adi aibu yaan jamaa anapokuwa kwenye motion anacmamixha pambano,hata dulla ameshawahi kumpinga sana hyu refa hili pambano bora angeamua liwe hata sare, at least
@YuvencePatrice-w8h
@YuvencePatrice-w8h 11 месяцев назад
Me nataka Sana afungwe chap kwa haraka sana
@chochastar7781
@chochastar7781 11 месяцев назад
Nyieeeee waongo
@meddyplutonium374
@meddyplutonium374 11 месяцев назад
Bila kufumba macho ibra amekalishwa hili pambano
@justinjasson7070
@justinjasson7070 11 месяцев назад
Huyu dogo, hachukuagi watu wanao jua, wote maandazi tu. Aende huko Duniani
@timetravellor5367
@timetravellor5367 11 месяцев назад
Boxing imekuwa ya kijinga Tz ibra kabebwa na kule Suudia Tyson Fury kabebwa fucken skuizi
@rockygappi1018
@rockygappi1018 11 месяцев назад
😂😂...fucken kabisa sasa kama wamebebwa Ibra na Tyson si uende ukawateremshe???😅😅😅😅😅
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 10 месяцев назад
Pendo njau anapenderea sana
@AyubuJudith
@AyubuJudith 11 месяцев назад
Ibrahim anauwezo na akili kubwa sana japo pambano lilikuwa kali sana ,,one❤❤❤❤
@Alexthadey-lm3ju
@Alexthadey-lm3ju 11 месяцев назад
Mmmmh hii game kwa kweli ilikua ngumu iringa oyeeeee! Tunawakilisha nchi
@khalifatito6145
@khalifatito6145 11 месяцев назад
Ibrahim class uwezo mkubwa saana hii ni zawadi kwa watanzania
@PreygodMariki-pm1ym
@PreygodMariki-pm1ym 11 месяцев назад
Kwanza huyo refa wa kichaga akatishe mbege na dadii rombo kilimanjaro,anawabeba mabondia wa kibongo mnooo,ibra kafuliwa vizuri tuuuuu
@allybakari28
@allybakari28 11 месяцев назад
Ndio sababu hatuendi kupigana nje, tumekuwa watu wa ndani tu
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 10 месяцев назад
Amebebwa kampiga wapi kisogoni
@YemgaBoytz-ig9vq
@YemgaBoytz-ig9vq 11 месяцев назад
Mkong.Oto mda wte unampelekea moto saf xn
@Smartofficial96
@Smartofficial96 10 месяцев назад
Ibra hamna kazi hapo 😂😂😂😂😂😂
@chochastar7781
@chochastar7781 11 месяцев назад
Shida wengi mnaongalia ngumi Amjui wengine wanadhani anavyokimbia ndio anaepigwa Ukweli ni kwamba ibra amekusanya point nying sana japo mchina nae alivyoambia score zako umepitwa akawa anatafuta jins ya kuzisawazisha
@allybakari28
@allybakari28 11 месяцев назад
Kuna kitu ambocho hujakielewa, watu wanazungumzia kupigwa KO. Refa kazingua, ni KO za wazi kabisaaa Upendo leo huu wa kijinga ndio mana hatufiki mbali, tunakuwa wa humu humu ndani tu
@swaifsouq
@swaifsouq 11 месяцев назад
ibrah hongera jama nangumi mbaya sanaaaaaa
@abdulhalimali9229
@abdulhalimali9229 11 месяцев назад
ibra mzuri ila utanzania umewazidi ndugu zanguu
@PaulinaAntoniPeter-jz6yf
@PaulinaAntoniPeter-jz6yf 11 месяцев назад
Bad najalb kuludia kuangalia Ili pambn man wanaosem ibl kabebw bad sjajua kabebw sem gan mchn kapokea kichapo chakutosh
@EDSAUTOSPAREPARTS
@EDSAUTOSPAREPARTS 11 месяцев назад
Wewe kama mimi
@aishasilaji2266
@aishasilaji2266 11 месяцев назад
Daaaah classic classic kwel🎉 pongez Kwa ibra ana pgana Kwa hesabu akurupuk unaachaje kuitwa mjeda
@abdulhalimali9229
@abdulhalimali9229 11 месяцев назад
naona wachina mumekuwa nyinyi sasa
@chochastar7781
@chochastar7781 11 месяцев назад
Jamaa amepigwa bila ubishi
@Adasdonrajbjr-vc3ky
@Adasdonrajbjr-vc3ky 11 месяцев назад
Shida tyuna bebwa halafu mwakinyo akiongea mna muona mjinga
@williamjohn7907
@williamjohn7907 11 месяцев назад
Sasa mwakinyo Kafata nn shida tunabebwa ata mwakinyo nae ali bebwa pambano na mfilipino
@EvanxkillyMan
@EvanxkillyMan 11 месяцев назад
Hii tumepigwa tumebebana😅😂
@yunussera4146
@yunussera4146 10 месяцев назад
Rasta kayatimba ila ajitahidi
Далее
荧光棒的最佳玩法UP+#short #angel #clown
00:18
МАЛОЙ ГАИШНИК
00:35
Просмотров 342 тыс.
Salama Na MWAKINYO Ep 44 | VITASA OVERLOAD Part 2
29:53
PAMBANO KAMILI: IBRAH CLASS  v  SIMON NGOMA
53:50
Просмотров 226 тыс.