Тёмный

FULL VIDEO: BARNABA Alivyofika Ukweni kumvalisha Pete ya Uchumba Raya The Boss mtoto wa Mama Kimbo 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 99 тыс.
50% 1

Спорт

Опубликовано:

 

22 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 131   
@ashaally6993
@ashaally6993 Год назад
Mashaallah (Mo) karibu sana kwenye uislam hakika hutojutia maamuzi yako M.mungu awafanyie kheri kwenye safari yenu ya ndoa ikawe kheri inshaallah ❤️
@yassinsaid7061
@yassinsaid7061 Год назад
@sheshi beshi come o
@yassinsaid7061
@yassinsaid7061 Год назад
@sheshi beshi come o
@hadijahaji9712
@hadijahaji9712 Год назад
Raya umuheshimu sana mime wako mwanaume hadi kubadilisha Dini kwasababu yako muheshimu sana
@zaynabb9051
@zaynabb9051 Год назад
Tena amuheshim sana
@mishelamomade1664
@mishelamomade1664 Год назад
Tanga ureeee ongera mama kimbo
@husseingabo5497
@husseingabo5497 Год назад
Mwanaume kama ni mkristo yeye ndio anatakiwa abadili mwenyezimungu anasema kwenye qurani ni Bora kuolewa na mtumwa au kijakaz ambae ni muislam kuliko kuolewa na washirikina ambao ni wakristo mungu amewaita wakristo washirikina kwasababu wao wanamuabudu yesu badala ya mungu
@vickymaharindo9397
@vickymaharindo9397 Год назад
​@@zaynabb9051😅😅😅
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Год назад
Mashallah, hongera sana Barnaba 😘
@D-Man.B-Free
@D-Man.B-Free Год назад
Takbir!!! Muhammad Alias 👊👊👊 welcome 🙏 brother
@sakinamixpambe2602
@sakinamixpambe2602 Год назад
Mashallah Mashallah Barnaba nakuombea kheri
@abuumicheni1935
@abuumicheni1935 Год назад
MASHAALLAH MASHAALLAH MWENYEZIMINGU AWASIMAMIE KWENYE NDOA YENU MR MOHAMED BARNABA
@salmasaid1521
@salmasaid1521 Год назад
Mashallah barnaba na hongera kwa hatua mliofikia na allah awasimamie ktk kila hatua muweze maliza slm
@simbarajabu4157
@simbarajabu4157 Год назад
Asante sana mdogo wangu barnaboy mungu akupe maisha marefu kwenye ndoa yako
@shersaid7988
@shersaid7988 Год назад
Kapendeza Raya simple and nice hongereni.Hongera Mr.Mo.Mubarikiwe msanii anayejiheshimu barnaba
@wisdomjohn-nj9po
@wisdomjohn-nj9po Год назад
Bro barnaba umeyumba sana kubadili dini,..
@fatmamrihani6828
@fatmamrihani6828 Год назад
Mashallah Ndoa anaepanga ni M/Mungu hongeren sana imeandikwa muwe mke na mume
@zakiahaji1683
@zakiahaji1683 Год назад
Shuhuli simple haina makorokoro nzr imependeza maa shaa Allah
@fallymetoo191
@fallymetoo191 Год назад
Mashallah! Allahumma bareek inshallah 🤲
@kamikazisalma5209
@kamikazisalma5209 Год назад
Raya kafanana namamayake adiraha 😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤
@hadijangaoga2326
@hadijangaoga2326 Год назад
Mungu awabarki Sana jamn nawapenda ila mama kpo 😂😂😂amenfany nmecheka kwa saut kubwa
@fathimamct232
@fathimamct232 Год назад
Mtoto wa kiislam bwana kabadili dini Kwa kufuwata wewe bibie lakini nguo uliovaa SI ya maadili kotekote maana Hata huko Kwa wakiristo hawawezi kuvaa nguo hiyo wanavaa shela linafunika viungo nyeti na mtandio mzuri mama kimbo amevaa vizuri amejistiri mtoto kifuwa wazi matiti wazi
@sebonikegobi6244
@sebonikegobi6244 Год назад
Pole sana kwa kumuacha Yeau kristo
@husseingabo5497
@husseingabo5497 Год назад
Yesu nani bwana we ulitaka nani awe kafiri Kwa ajili ya mwanaume
@zakiahaji1683
@zakiahaji1683 Год назад
Watu wnpendana mpk wanafanana maa shaa Allah
@salamanauthar5261
@salamanauthar5261 Год назад
Hongera sana Raya' mpende sana' Barnabas usimuumize kivyovyote' Pepo yako ipo kwa ALLAH' Ni hatua kubwa ulomfikisha Barnaba kumleta katika dini yetu ya Haki. Mashaallah Kheir
@EmyJoseph-j2o
@EmyJoseph-j2o Год назад
Dni ya haki anaijua mungu amepnda kubadilisha abadilishe tu mambo ya dini ya kweli muachien mungu
@kazkaz1943
@kazkaz1943 Год назад
Hapo ingekua moo kabadili din kuwa elias weeee pangechimbika humu😂
@happyhousekeeper
@happyhousekeeper Год назад
Yaani tumepoa wenyewe hapa Mungu katujalia kuchukulia poa🙏🤲
@vickydan2869
@vickydan2869 Год назад
Hatariii
@hanifa9153
@hanifa9153 Год назад
🤣🤣🤣🤣🤣🙌
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 Год назад
ila mama kimbo jamani sio kwa maneno ayo 😂😂😂🙌🏻🙌🏻
@olicej7837
@olicej7837 Год назад
😂😂😂😂😂😂😂Jamn nafrahi saana kumskia mama kimbo
@auntneema1358
@auntneema1358 Год назад
Pole Barnaba,,
@amahorofaridah519
@amahorofaridah519 Год назад
Mashallah tabarakallah mohamed Allah akupe mwishomwema
@tumadhrahtwarik993
@tumadhrahtwarik993 Год назад
You will never regret to be Muslim welcome to the dini with alit of peace alhamdulillah
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu Год назад
Mungu akubaik sana bwana mo na mke wako raya na familia Yako yote inshallah aamin
@aishabaruti7130
@aishabaruti7130 Год назад
Karibu sana kwenye uislam umefanya sahii
@subirajohn728
@subirajohn728 Год назад
Hongera sana Barnaba na Raya❤️❤️❤️❤️
@hawajulius2509
@hawajulius2509 Год назад
Hongera sana
@estherkimario7940
@estherkimario7940 Год назад
Hujitambui kumbe wew
@kamikazisalma5209
@kamikazisalma5209 Год назад
Allahumma Amiin 🤲
@bettiejoy-mtotowamama
@bettiejoy-mtotowamama Год назад
Huyu dem nae ako tu hivo nikama analazimishwa kuoleka 🙄🙄🙄🙄
@neemachalamila590
@neemachalamila590 Год назад
Mhhh Huyo mama mkwe?
@beathagabriel8438
@beathagabriel8438 Год назад
Zamaradi mttm umependeza sana.
@dorisfabian4776
@dorisfabian4776 Год назад
Mhhh huyu mama mh
@zaharatijuma6623
@zaharatijuma6623 Год назад
Watanga kwa maneno mmmh hatar😂😂😂nawapenda bure tyuu
@olgachrispin1787
@olgachrispin1787 Год назад
Mhhhh jamani Barnaba na kuhulumia Sana najuwa sio akili zako Mungu afunguwe ufahamu wako pamoja na family yako
@shazminasalim6885
@shazminasalim6885 Год назад
acha uchawi na we pia si akili zako kuongea haya mungu akufungulie
@jonisiamdulingwa6900
@jonisiamdulingwa6900 Год назад
Hata wewe Mungu akufingue siyo akili zako kuongea vitu ambavyo huvijui🙄
@estherkimario7940
@estherkimario7940 Год назад
Mmmmmmmmh kubadili dini vp
@salamanauthar5261
@salamanauthar5261 Год назад
Mashaallah
@priscarmkilima3373
@priscarmkilima3373 Год назад
Mungu awabariki sana ❤🎉
@glorylema
@glorylema Год назад
Last born haji mpaka aitwe Kwa kingleza
@furahachuma9039
@furahachuma9039 Год назад
Yaani unabadili dini kwa ajili ya mwanamke? Seriously? Yaani mwanamke kakushinda ushawishi?
@minaelnathanael1846
@minaelnathanael1846 Год назад
Wachagga si wanajifanya wao ni pindua meza
@isihaqkerdehaqker1403
@isihaqkerdehaqker1403 Год назад
Mipango ya Mungu na si yeye
@zaidihussein4311
@zaidihussein4311 Год назад
Inshaalah Kila la heri mo
@mathewungani9724
@mathewungani9724 Год назад
Ufala sana kubadili Dini
@husseingabo5497
@husseingabo5497 Год назад
Sio ufara we ulitaka nani awe kafiri Kwa ajili ya mwanaume
@rizikahmad6930
@rizikahmad6930 Год назад
Manshallah
@minaelnathanael1846
@minaelnathanael1846 Год назад
Buza to kishumundu. Kilimanjaro mlima mrefuuuu kuliko yote Africa. Mama mkwe Karibu hata kule upareni tutakupa zawadi ya Tangawizi
@davidmbwilo4954
@davidmbwilo4954 Год назад
Safi sana
@beathagabriel8438
@beathagabriel8438 Год назад
Mama kimbo umependeeza. MWAMBIE RAYA NI MZURI HATA AKIVAA GUNIA ATAPENDEZA TUU.
@FortunataCharles-m2q
@FortunataCharles-m2q Год назад
@swaumusalumu6408
@swaumusalumu6408 Год назад
Allah awahifadhi
@saraphinasalila9202
@saraphinasalila9202 Год назад
Ongera raya
@D-Man.B-Free
@D-Man.B-Free Год назад
Daaaah,Mama’kwe ana maneno 🤔 😅😅😅
@halimaadamsalummwalaji3838
@halimaadamsalummwalaji3838 Год назад
Nampenda mama kimbo
@estherkimario7940
@estherkimario7940 Год назад
Mama shikamoo
@minaelnathanael1846
@minaelnathanael1846 Год назад
Mmh hata mbege hamjanywa wachagga hawahawa ninaowajua mimi mmmmh haya
@najmahhassan7853
@najmahhassan7853 Год назад
Mashallah 👌🥰
@remaothuman
@remaothuman Год назад
Nakupenda Sana barnaba unajiheshimu Sana na unajua kuimba asilimia100% mungu awafanyie wepes
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
Wamependez sana
@fredymasawe2862
@fredymasawe2862 Год назад
Uyo nae kachanganyikiwa
@husseingabo5497
@husseingabo5497 Год назад
Ukristo ni dini ya wazungu na sio ya mungu kwasababu hakukutokeaga mtume wala nabii mzungu wala kutoka ulaya. Sasa jiulizen wao din wameitoa wapi na wakat hakukuaga mtume yeyote au nabii wa mungu ambae alikuwa mzungu tafakalini chukueni hatua
@EmyJoseph-j2o
@EmyJoseph-j2o Год назад
Yote tutayajua mbinguni mcpnde kudhihaki dini za watu stand kwenye din yko
@anenragnesmunis8490
@anenragnesmunis8490 Год назад
Mwanaume unabadisha dini ufala huo
@joycejackson2320
@joycejackson2320 Год назад
mbona hujiamini bro
@paulinanyanzala9072
@paulinanyanzala9072 Год назад
Mnashangaa nini kwani kubadili dini ni. Tatizo mungu ni mmoja ni sawa na kunywa uji au chai vyote ni vifungua kinywa uondoeni ubaguzi wa imani
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 Год назад
Jmn mama rays kanihuzunisha
@momosaid6193
@momosaid6193 Год назад
😂😂😂😂😂khaaaa mama kimbo
@magdalenajoseph9910
@magdalenajoseph9910 Год назад
Barnabas find the meaning of your name and you will regret why you have left it.
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 Год назад
Miguu ya mama kimbo nayaona kwa mbaali halafu na kicheko cha mama kimbo kama amekula kungu leo
@kamikazisalma5209
@kamikazisalma5209 Год назад
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@ashaabdhallah4874
@ashaabdhallah4874 Год назад
Allah hu Akbar
@evaristkiiza1938
@evaristkiiza1938 Год назад
kumbe Mopao hovyoo kbx yn umebadr dini kwajl ya mwanamke?? hovyoo kbx we barnaba
@happyhousekeeper
@happyhousekeeper Год назад
🤩mapensiii😁 mambo
@uvuvweweonyetenyevwe1348
@uvuvweweonyetenyevwe1348 Год назад
Ndio mana mi miziki yake huwa sisikilizi
@happyhousekeeper
@happyhousekeeper Год назад
@@uvuvweweonyetenyevwe1348 Hahaha jamani😁
@zawadichalale4047
@zawadichalale4047 Год назад
Hawa si walikuwa wanaishi pamoja na wana mtoto?
@zuhura3378
@zuhura3378 Год назад
Makasiliko
@ashabady9616
@ashabady9616 Год назад
Mabr0q
@batulimohamed6088
@batulimohamed6088 Год назад
❤❤❤❤
@amisjabubakari7734
@amisjabubakari7734 Год назад
Poa sana
@amisjabubakari7734
@amisjabubakari7734 Год назад
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉😢
@janwizzarak207
@janwizzarak207 Год назад
🤷‍♂🎂🦑🗣🏈⚽🎊🎊🍭🍡🍬🌿🍔🍔 *Mungu alionyesha upendo wake kwetu kwa kumtuma Mwanawe Yesu Kristo, ambaye alikufa na kufufuka kutoka kwa wafu ili kutupa uzima wa milele.* *Pia aliahidi kuponya. mwili wako.* *Ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu* *atakupa uzima wa milele* *(Angalia mbinguni na umuulize Mungu)*
@EmyJoseph-j2o
@EmyJoseph-j2o Год назад
Amina wakristu hatubishani kwenye mambo ya mungu pia hatupigani vitavya kimwili tunapigan kiroho na ndo mana hatubishani na hatuiingilii kazi yake muumba
@fediruben5009
@fediruben5009 Год назад
Pumbavu mwanaume mzima unabadilishwa dini mwanamke mwenyewe anaekubadilisha dini hata siyo mzuri kiviiile
@jantsjefta8381
@jantsjefta8381 Год назад
Nimechek kwel et sio mzr kiviiile
@olicej7837
@olicej7837 Год назад
Sijamuona kimbembe😅😅😅😅😅😅
@ellyanaelly8104
@ellyanaelly8104 Год назад
Mama kachangamka mpaka raha
@سعيدالشكري-ت8م
@سعيدالشكري-ت8م Год назад
🥰🥰🥰🥰
@perusimugendaneza6099
@perusimugendaneza6099 Год назад
Mama mkwe🙄
@khadijauledi3293
@khadijauledi3293 Год назад
ILA MAMA KIMBO DAAH🤣🤣🤣
@ceciliahertson4795
@ceciliahertson4795 Год назад
Maashallah Allah humma aamin
@jacquilinenoah949
@jacquilinenoah949 Год назад
et chidy boy😂😂😂
@husnamfuko4938
@husnamfuko4938 Год назад
Unamachoz yakarib kama mm
@ashaali7154
@ashaali7154 Год назад
Mbona bi kharusi kama wanaigeria na hicho kipepeo mmh watanzania kwa kuiga hatujambo.🤪🤪
@stellamsokwa6785
@stellamsokwa6785 Год назад
Nafikili kuiga mazuri ni vizuri au🤗
@uvuvweweonyetenyevwe1348
@uvuvweweonyetenyevwe1348 Год назад
Kwani waslam wana valishana pete??
@farhatothman3710
@farhatothman3710 Год назад
N zawad tu
@hawayusuph6818
@hawayusuph6818 Год назад
We asa
@salmaissa8723
@salmaissa8723 Год назад
Mo uxije ukadanganyik ukarud kweny Ukristo...Ukristo ni ukafiri2
@muddysheikh2111
@muddysheikh2111 Год назад
Muogope Mungu amini dini unayoiamini ww sio kukufuru dini usiyoisali ...umelaniwa 😏
@muddysheikh2111
@muddysheikh2111 Год назад
Kafiri mwenyewe Mbwa
@salmaissa8723
@salmaissa8723 Год назад
🤣🤣🤣🤣🤣 umelaniwa ww mbwa mkubwa ww hujamfata mtume wetu
@jantsjefta8381
@jantsjefta8381 Год назад
We matako ungefunga hlo domo lako kwanza fara ww
@jantsjefta8381
@jantsjefta8381 Год назад
Sasa mnauislam gan mbn mnavaa kama wakrsto majuba yenu yanawakera eeh lazma mtuige wanjanja sio kutuvalia minguoa mijuba mtafkr wachaw alf mlivyo ka hamna akir vzr
@amisjabubakari7734
@amisjabubakari7734 Год назад
Mashallah
@mozasaid3869
@mozasaid3869 Год назад
❤❤❤❤❤❤❤
Далее
Rosine &Felicien part 3
38:36
Просмотров 3
DUNIA (Ep 11)
23:09
Просмотров 15 тыс.
Как не носить с собой вещи
00:31
ТЕСЛА КИБЕРТРАК x WYLSACOM / РАЗГОН
1:40:47
ZUCHU AIMBA WIMBO HUU MBELE YA ALIKIBA NA MWIJAKU,
6:45
Sincronias Perfeitas no Futebol 🥶 #2
0:20
Просмотров 29 млн
Испанский стыд🙊
0:23
Просмотров 2,6 млн