Mwanaume kama ni mkristo yeye ndio anatakiwa abadili mwenyezimungu anasema kwenye qurani ni Bora kuolewa na mtumwa au kijakaz ambae ni muislam kuliko kuolewa na washirikina ambao ni wakristo mungu amewaita wakristo washirikina kwasababu wao wanamuabudu yesu badala ya mungu
Mtoto wa kiislam bwana kabadili dini Kwa kufuwata wewe bibie lakini nguo uliovaa SI ya maadili kotekote maana Hata huko Kwa wakiristo hawawezi kuvaa nguo hiyo wanavaa shela linafunika viungo nyeti na mtandio mzuri mama kimbo amevaa vizuri amejistiri mtoto kifuwa wazi matiti wazi
Hongera sana Raya' mpende sana' Barnabas usimuumize kivyovyote' Pepo yako ipo kwa ALLAH' Ni hatua kubwa ulomfikisha Barnaba kumleta katika dini yetu ya Haki. Mashaallah Kheir
Ukristo ni dini ya wazungu na sio ya mungu kwasababu hakukutokeaga mtume wala nabii mzungu wala kutoka ulaya. Sasa jiulizen wao din wameitoa wapi na wakat hakukuaga mtume yeyote au nabii wa mungu ambae alikuwa mzungu tafakalini chukueni hatua
🤷♂🎂🦑🗣🏈⚽🎊🎊🍭🍡🍬🌿🍔🍔 *Mungu alionyesha upendo wake kwetu kwa kumtuma Mwanawe Yesu Kristo, ambaye alikufa na kufufuka kutoka kwa wafu ili kutupa uzima wa milele.* *Pia aliahidi kuponya. mwili wako.* *Ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu* *atakupa uzima wa milele* *(Angalia mbinguni na umuulize Mungu)*
Amina wakristu hatubishani kwenye mambo ya mungu pia hatupigani vitavya kimwili tunapigan kiroho na ndo mana hatubishani na hatuiingilii kazi yake muumba