Mtangazaji Uislam ulikuwepo toka kuumbwa kwa baba yetu Adam, Allah alipenda kuutengeneza kidogo kidogo kwa kuongeza kanuni kulingana na nyumati na ulikuja kukamilishwa na Allah subhana wataala wakati wa mtume wetu Mohammad sww.
Ni fakhari tuu to na kujionyesha , hawana umoja wowote waislamu kazi kutukanana wenyewe Kwa wenyewe. Wakumbavu wakubwa wameshughulika na ufunguo badala ya kushughulikia umoja wa waislamu na maendeleo ya waislamu duniani.malaghai hawa .
Duuuh.... Unamtukana hadi mtume... Alie peleka jukumu la Kaaba Kwa Banu shaiba... Unataka apelekewe unaemtaka ww?... Tubia Kwa mola wako kama ni muislamu