Ee mora muumba mbingu na ardhi, twakukabidi wachezaji wote pamoja na makocha wote,viongozi wetu wote mkononi mwako, uwapatie ulinzi wako mzazi mtakatifu, popote pale walipo, uwaongoze makocha wetu,viongozi wetu, uwasisimamie katika majukumu yawo, kawapangie kira kitu wafayacho, uyafanikishe ww YESU, ww ndo temegezi na tumaini letu la mwisho katika mipango yetu yote aminaaaaaaaaa
Mwenyezi Mungu aendelee kuwapa afya njema, hekima na busara katika kila hatua ili tuweze kufanya vizuri tunawategemea saana mashujaa wetu mtupe furaha tena club bingwa tubebe kombe ili tuzidi kujiwekea heahima zaid
Huu uwanja kama huna d mbili huwezi just hapo wanakabiliana na viwanja vyovyote especially isamuhyo stadium au wanayanga wenzangu mmejizima mkongo wa taifa😅😅😅😅
Kila nikiangalia Musonda simuoni kabisa sijui ndo washamuuza dah jamaa mshambuliaji lakini anajua kusaidia timu inaposhambuliwa nikikumbuka mechi mbili na MAMELODI alijua kumpa shughuli MUDAU