Respect mr Patrick hata kijana huyo amesema ubunifu unaanzia chini, kwa keli kijana ana akili ya KIOAJI KIKUBWA SNA , WIZARA YA KAZ SAYANSI NA ELIMU Sasa NI wakati wa kukaa pamoja kushauri serikali ngazi ya juu KUANZISHA SHULE YA VIPAJI kwa WATOTO Kama Hawa, naamini tuna wataalam wengi Sana wamekosa support, na Kuna wanaokatisha tamaa Kam hao dogo anasema wanamshusha moyo
Nimekaa chini na mafundi wenzangu wa magari nchini Sweden, tunamsikiliza huyo mtaalamu. Mtundu sana bro, na ukizingatia udogo wa hilo gari. Bravo big up all the way 2u. 👍🏽💪
Nimesikiliza interview yako mdogo wangu kwa umakini saaana kiukweli umeeleza vizuri sana. Pia uko vizuri ninavyokuona miaka 8 ijayo utakuwa mbali saaaana kimaendeleo na kifedha coz una hadhina kubwa kichwani mwako. Mungu aendelee kukuweka na uwe mzima wa afya na ushangaze wapumbavu wasio ishiwa majungu kama mtoto mdogo asivyoishiwa kamasi puani. Nakupenda mdogo wangu. Piga kazi
Ma Sha Allah. This brother is should be supported by the government or anyone. Technically n physically in d wiring of cars( garage) much love from Uganda
It's interesting how you can make a call without a simcard. I guess there's a loophole which exists in airtel line TZ. I'm going to test it if it will work here in Kenya. If possible please tell me which phone you used? If it works then It's gonna revolutionized our communication system. With technology, you are free to do what ever you want. As for the bank card, I don't think your card chip reader is capable of distingtively reading that ATM card. The mechanical part is amazing. Keep up the spirit. The owner of this channel should offer a helping hand to that guy from earnings from this video.
Hongera sana bro, sioni haya kukuita kaka maana kwa ujuzi huo wewe ni KONKI KONKI KONKI...!!!!! Mungu akusimamie usichoke kwenye hizo juhudi zako. Hongereni Milardayo Tv kwa kazi kubwa mnazofanya ila huyu bro kanitoa machozi kwa kweli maana nipo na degree zangu za fani tofauti ila kaka wewe ni zaidi ya hizi degree zangu. Aiseee it's amaizing!!!!!
Huyu kijana ana uwezo mkubwa wa kufikiri, unajua system huwa zinatengezwa kukuzuia kuwasiliana salio linapokuwa limeisha ila yeye ameweza ku'overrule hiyo kwa jinsi alivyounda mtambo, He really needs protection from the government. He is kinda hacking into telecommunication companies without knowing. Lakini akiendelezwa atakuwa msaada mkubwa kwa nchi, wanasayansi mashuhuri darasani hawakuwa wakielewa na waligundua vitu nje ya darasani na wengi walifukuzwa shule, Serikali imuangalie huyu kijana kwa jicho la umakini sana.
Huyu dogo alindwe ingekuwa ulaya mpaka hapo anaweza kuendeaha Lamborghini Kwanza tu hapo kwenye ATM kardi anaweza kutoa pesa ATM yoyote na maisha yakawa matamu tu kwa hiyo likitokea jizi konki likawalinamtumia na likamwekea ulinzi atavuna mkwanja huyu.
Hahahaaaaa haya maisha bhana....kijana ana kipaji wizara inaacha kumfadhili kwa kumsomesha vyuo vyenye ujuzi zaidi hata nje ya nchi kwa manufaa ya taifa,wanamsomesha nusu nusu....hahahahaaaaaaaa Mwenyezimungu amsimamie huyu jamaaa
NI BAHATI MBAYA SANA HII KITU NA HUYU GENIUS HAYATREND BALI STORY ZA UMBEA THIS LEVEL OF NEGLIGENCE SPEAKS VOLUMES ILA MTU AINVEST KWA HUYU JAMAA NA ANWEZA KUWA NA KIWANDA CHA AUTO MOBILE YA TZ NA YA BEI RAHISI KILA KITU NI DARING
Mashaallah! Yaani naomba Raisi wa Tanzania achukue hii fursa ya kutengeneza hili gari lenye kutumia ATM card, ili Tanzania iwe ya kwanza kuvumbua gari la tofauti kbs. Hongera sana mdogo wangu. Utafika tu. I just love you.
This is why we need to teach our kids in our African languages. Kiswahili should be introduced in all African schools. Kiswahili oyeee! Tafadhali tujifunie kiswahili chetu. Hii lugha adimu ya kiswahili ni tamu sana.
Tunafeli wapi. !!!??? Wataalam wapo wengi,lakini wanaishia kwenye interview Wizara husika zìwakusanye Tumechoka na bidhaa za wachina Tutumie zetu Tz ya viwanda na UCHUMI WA KATI
Is Good... uyo .. ina takiwa mmpe kazi ... kwenye campuni . Ya kuunda na kugundua... .. ita msaidia sana ku gundua zaidi.... mana ata kua .. yuko sehem ambayo. Ata pata....... izo marigafi anazo itaji.. kubuni na kuhunda .. ita msaidia
Am a kenyan but nmekua impressed na uyu kinana mwenzangu waandishi wa habari nyinyi ndo nguvu ya pili ya taifa trendisheni ichi kitu mpaka uyu dogo afike bunge sio kina pierre mlevi na yuaingia bunge..badala uyu kijana atafute rizki kwa kuonesha hiki kitambo serikali imnunulie izo vifaa ametaja yuaeza ata kua ambasador wa kampuni yyte ya kuuza magari...namuombea afike mbali
Hata "Benz" wa ujerumani alianza kama hivyo . Zidisha juhudi Dodo Allah سبحانه وتعالى atakusimamia vilivyo. Endelea kuwashukuru sana timu nzima ya Waziri na media pia. Hongera ndugu yetu. Mama amezaa chema hapo.
Dogo akili nyingi san talent ya hali ya juu hyu marekani wakimuona watamuiba watu km hawa muhimu san but kibongo bongo watamuangalia tu nakumkatisha tamaa
Huyo dogo anapoteza muda bure.Anatakiwa afundishwe 'self learning' kupitia mitandao, vitabu workshop. Sayansi inamisingi yake, bila kupita ktika njia zake unakuwa unapoteza muda.Lazima ajue chemistry,physics,mathematics hatabiology. Teknolojia ya sasa iko deep sana sio ya kuunga unga. Mi ningekuwa mwandushi ningemuuliza 'ndoto yako ni nini?" 1.Kuwa fundi 2.kuwa car designer 3.Kuwa mjasiliamali anaemiliki kiwada cha pikipiki au Gari. Dogo weka malengo,jiulize unataka uwe nani katika uwanja wa teknolojia.
Daaah huyu mtu ni hatari sana, serikali isimuache huyu...ni lulu ya taifa zaid ya hizo Tanzanite,,,,, huyu anaweza akaleta faida kubwa mno org kwa Taifa
Serikali inapaswa kuwachukua watu kama hawa waende nje kuongeza elimu then waje kulitumikia Taifa, watakuwa Na mchango Mkubwa sana, Na watu wenye vipaji hivi wapo wengi sana, tatizo ataishia kufanya kazi gereji huyu.
Huyu kijana nikipaji ambacho hakitakiwi kupotezwa maana watu mithiliyake ktk dunia hii niwachache .serikali imshikelie imsapoti huyu atafanya makubwa sana
Huyu dogo yupo vizuri Sana sana sababu waswahili tunafahamu nyota njema huonekani alfajiri,asivunjike Moyo maana hata mbuyu ulianza kama mchicha tunamatarajio mazuri na makubwa kakwe sisi watanzani
Huwa nawaza siku zikiyokea fursa kwa watu wenye vipaji watatoka watu ambao hatukuzania wapo katika Tanzania ama Africa kwa ujumla Mungu aendelee kutuonekania