Watanzania nawapenda sana.... Napenda vile mnavyo ishi, na ubunifu wenu. Natamani sisi Wakongo na nyinyi watanzania tuwe inchi mbili zinazo weza kutumika pamoja myaka za usoni.... Nyinyi mnatufaa kabisa kuwa inchi jirani, hamuna mambo ya vurugu, ni maendeleo na kazi kwenda mbele... Strong 🇨🇩💪🇹🇿
This is very good , the problem was government to support these talent people . After opening the door now people are innovative. We have to create special program to certify these people .
You need to be university and graduate to be professional, thats why when you sick you have to meet Doctor, and to get good leader. Without good education is too many problems.
Hapana nimeuliza tu kwani kapoteza muda na pesa nyingi kwa muda mlefu na maisha ya sasa tz hapa ndio maana nikauluza na sio kama mamtaka no 🔕 nilitaka kujua tu amina mfaume
Asante kaka natamani kujiunga na ubunifu huoo laaa mungu akubariki hata bill get alianza hivi hivi lakin amini siku moja utafika malengo yako niliwahi kusikia radioni nadhani kama sitakosea redio free kama miaka miwili au mitatu iliopita ila ahimidiwe mungu barikiwa sana @milladi ayo nashukuru hata kumwona live !!!!!!!!!! Amen
Hongera Sana na Mungu azidi kukuinua ukafanikuwe lengo lako.wabongo tumezoea kuoneanaga wivu badala ya kusaidiana,lakini ifiki hatua watu kama hawa serikali iwasaidie watafika mbali na watawasaidia wengine.siyo mzaha kabisa huyu Kaka basi tu sina uwezo ningemwezesha kazi nzuri sana bro.big up💪
Angesoma asingeweza kufanya hivyo kwani ingemlazimu kufuata na kukariri anachofundishwa kwa lugha ya kikoloni ambayo haieleweki , asingefuata ubunifu wake na ukitaka kufanya vizuri shuleni ukubali kuoshwa ubongo kisha ukaririshwe mawazo ya wengine
Umefuhisha sana uchizi umekamilika no yako ngapi nikiwezeshe mkombozi wa vijana ndio tanzania viwanda vijana tufanye kazi vizuri baadaye utajiri utakamilika ndio watakushangia sana weka no yako
Huyu mjasiriamali ana juhudi sana. Kiwango cha ubunifu wake ni cha hali ya juu. Ingelikuwa mimi nisingewaendea hao wafadhali wote na taasisi zote zile, si eti kwamba niko na hela mbali ningekuwa nishachoshwa nao. Hongera!!
Hii ndiyo Turiani ya vipaji njooni mjionee vipaji vipo vingi tu halafu watu hawajaenda sikuli (School) saloot kwako Mtu wangu jilani yangu, pongezi sana Faroock
Hii akili ikitumika vizuri italeta ukombozi Mkubwa sana kwenye jamii ya watu wa tuliani, Serikali inahaja ya kufikiria kuhusu MTU Kwa Mkubwa wote unaostahili
If you've a strong intellect, no need of university intelligence( where human being have turned into intelligent robots,they feed with you informations,materials of no Use). Super Brother, good work
Nimeshindwa hata kusema hongera nikihisi haitoshi kwa Mr. Hassan F. Maana ubunifu huu mpaka sasa Mimi najiona zero kabisa. Ila cha Msingi Mungu ambariki sana MTU Huyu na ikiwezekana aweze kuanza kuibua vijana wengine ili kuwa na wabunifu wengi zaidi nchini.
Mashallah hongera sana Brother, uyu ndio aina ya mume ninaemuhitaji, anajituma sana, nimependa sana jitihada zako bro, Allah akusimamie katika kazi zako na akutimizie ndoto zako kila cku zijazo 🙏
huyu ni talented ila hawez kuwa engineer, engineering inanzia kwenye paper ndo field lakin wabalikiwa wanaanzia field, kuna utufauti mkubwa sana na failure ni nyingi mno hata yy amekili kuwa kaangaika sana mpaka hapo alipo fika, lkn angekuwa n ujuz wa kihandisi asingesota kama alivyosota. All in all ni hongera kwake asikate tamaa atafikia malengo
Kijana smart sana huyo! Ila hapo Turiani inaonekana kama kuna wabunifu wengi sana. Nilipokuwa hapo kwenye project yangu ya sukari miaka ya nyuma nikishirkiana na Mtibwa nilikutana na watu wengi sana wabunifu wa aina aina. Kulikuwa na mmoja aliyebuni na kutengeneza mashine zake za kupasua na kuranda mbao, mwingine alikuwa amebuni na kutengeza mashine yake ya kuvuna miwa shambani. Tuniani si pa kuchezea kwani kuna watu wenye bongo kali.
Ata me nishaitwa sana chizi b4 nilikua nikiimba mziki huku Germany kwakutumia kiswahili nikiwa kazini au Park waafrica wengi walikua wananiona mimi walikua wanajua nishaanza kudata au chizi lakini now kilaweek napiga shoo kwenye Hotel kubwa na nimeajili watu kwenye bend yangu na kila mwezi naingiza sio chini ya eur 2000 mbali na kazizangu nyengine ninampango wakufungua shule ya mziki kwa kwa kujifunza kiswahili.
Brother hongera sana juhudi safi very good, Lakin hapo kama mto uta over floor yani maji mengi kupita kiasi chake je mitambo yako ipo imara kwa hilo Au ni vipi unadhani
Kwa tuliosomea electrical engineering .......huwezi anzisha power generation bila ya kua na knowledge hata devices to implant huwezi oteshwa tu ukaziweka some skills is needed .....msipotoshe watu eti kaishia lasaba bila ya knowledge akafanya
Safi sana braza farooq proud kukufahamu na kma wewe ni mwana turiani na unamfahamu farooq au unafahamu eneo lake hilo lilipo mto mbulumi LIKE hpa ku show appreciation kwake👍👍✌✌#WE ARE PROUD OF BROTHER
vijana wengi wanafanya kazi nzuri ila hawakupata elimu ya darasani "formal education" . Itabid sasa tubadili mfumo wa elimu yetu maana tuna wasomi Ila sio wataalamu, maana matunda ya kusoma kanuni na principles zote bado hatuyaoni. Mfumo wa elimu tuliorithi toka kwa wakoloni inaua ubunifu wetu. MUDA WA SISI KUAMKA NDIO HUU na tumeanza
Kuna mtu/watu hawajafanya kazi yao au wameshindwa kwenda na kasi ya Mh Rais. Siku Mh Rais alipokutana na wabunifu pale Ikulu maafisa watendaji wakuu wa Tanesco waliondoka siku iliyofuatia kwenda Njombe kukagua miradi ya wabunifu wale. Inastikitisha sana Tanesco wamepuuzia au kutolipa umuhimu mradi wa Farouk Hassan ambao pamoja na mambo mengine una manufaa makubwa sana kwa jamii inayomzunguka. Huyu kijana ni tajiri lakini taasisi za serikali zimeshindwa kumshika mkono ili afaidi utajiri wake. Labda tumuombe Mh Rais atoe maelekezo kwenye hili pia.
Usikubali kuwapa deep siri yako serekali haswa ya awamu hii watakumaliza nakukuzima hutoamini we jifanye kumsifia chuma😲. broo keep it up ungelikuwa ulaya ungesha kuwa siyo mwenzetu kwanza wangekusaidia kuwa kisasa na kukuza. Baada ya hii zideo utasikia ndiyo wanakutafuta km vile umeanza jn aibu kweli😩
Pia kwa ushauri ndugu mtangazaji; usikose kuweka mawasiliano ya watu unaowahoji IPI kuwa promote. Watu wengi wanahitaji Huduma za wabunifu wetu na hii itakuwa kama support ya watz kwa shughuli za watz. Makala nyingi za kiubunifu tunazishuhudia ila tunakosa connection hivyo kukosa proximity na wabunifu wetu
Swaliiii kwa Maprofesaa wa Tz wamesha wahiii kubuni vituganiii:::;?!!!!!hongelasana mzebabaaaa yani hongelasana sana kigoma michikichi kibao lakin hakunakiwandaaa cha kukamulia maweseeeee daaaah God bless U::;;!!!!
Hongera Millard Ayo,kwa hakika kiasi uwe juu..Na mungu akujaalize uzidi kuwa juu na ufanikiwe kwa kila jitihada,kwa hakika unajitahid juu ya kazi yako na unaitendea haki itakiwavyo,uko juu kikazi,kuongea,kuhoji na kufwatilia kila habari au jambo,big up sana na mungu azidi kukuongoza na mafanikio zaidii