Kramo asiachwe wanasimba lindeni sana wachezaji kramo alikuja mzima tu mvumilieni atatupa kitu mpeni hata miezi 6 dirisha dogo kama hatafaa basi aachwe
Uyu GB 64 Umesha geuzwa naona umeshalambishwa tu pesa sio ule GB 64 tuliozoweya kbs kwasababu simba bado kbs hayijawa na kikisi cha kupambana na Yanga ni danganya toto msimbazi kwasababu akuna mchezaji oliyosajiliwa aliyetoka timu yakwanza amo ya pili katika ligi yao
Kimfano umealikwa ulaya kucheza champions league wanakwambia uchukuwe wachezaji wanaweza kukufaa katika michezahiyo kati ya Geita gold na Ruvushouting amo yanga na azama tuuu kama umataka kufika mbali mu ayo mashi dano utachukuwa wachezaji wapi kati izo nafasi mbili?
@@willieymesh7823 Na dube katoka kwenyetimu iko nafasi yangapi na simba mbovu ni ya iyimya michache imepita kabla ya icho kipindi simba sc ilikua tishiyo tanzania so wachezaji wapilio sajiliwa yanga wafiliye na perfomance ya timu zao , Wachezaji wa simba wote wachunguze vzr mtu mwenyewe alitoka mu timu ya tatu katika league yao ni uyo mzambia tuu wangine na fasi 8, 7 ... wangine timu zao zimeshuka daraja. Simba sc inakazi kubwa yakufanya zidi ya kupambana na yanga