Тёмный
No video :(

GB 64 AFUNGUKA KINACHOENDELEA SIMBA MISRI KWENYE PRE SEASON, USAJILI ELIE MPANZU 

Ngwale Sports HD
Подписаться 34 тыс.
Просмотров 39 тыс.
50% 1

Simba

Опубликовано:

 

12 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 57   
@user-vv9wb9he2x
@user-vv9wb9he2x 27 дней назад
Safi sana GB 64 unafanya jambo la muhimu na lenye tija katika club ya Simba be blessed
@albamwanja4304
@albamwanja4304 Месяц назад
Kama timu Ina commitment na spirit ya kupambana then chemistry ni suala la muda tuu. Simba inaweza kufanya makubwa msimu ujao
@vituslawa6366
@vituslawa6366 26 дней назад
Huyu mwam anajua mambo na ni kweli simba hii wengi tutajiuliza huu mpira wa simba ni nchi ya wapi
@user-pf4vx5yx1q
@user-pf4vx5yx1q Месяц назад
Kazi na umri sadi sana
@barnabasngungo3521
@barnabasngungo3521 Месяц назад
Gb 64 nakukubali sana mchezaji anayejua mpira hahitaji muunganiko
@RHOIDAKALUKWA-bw4jo
@RHOIDAKALUKWA-bw4jo Месяц назад
Tunaomba viongozi wampe hata miezi 6 au acheze league ya ndani tu kuliko kumuacha tutakutia
@adudeswalehe8724
@adudeswalehe8724 Месяц назад
GB nakukubali sanaa 😂😂😂 kazi na umri
@TunuAdam-gc9rc
@TunuAdam-gc9rc Месяц назад
Naipataj kadi ya simba jmn
@dechmusi1661
@dechmusi1661 Месяц назад
Uje na mwanza siyo tu kwa huko Dar
@Salum-ij6mg
@Salum-ij6mg Месяц назад
Tunakuja
@RHOIDAKALUKWA-bw4jo
@RHOIDAKALUKWA-bw4jo Месяц назад
Kramo asiachwe wanasimba lindeni sana wachezaji kramo alikuja mzima tu mvumilieni atatupa kitu mpeni hata miezi 6 dirisha dogo kama hatafaa basi aachwe
@user-yw7uu6mc3m
@user-yw7uu6mc3m Месяц назад
And their bodies streamlined to the pitch so as to enhance contest
@augustinobongo9962
@augustinobongo9962 Месяц назад
Gb 64 nakukubali Sana, eti kazi na umri...carbon 14 itatumika kupima umri wa timu ya NSSF😂😂😂
@lautz8377
@lautz8377 Месяц назад
Uyu jamaa awe msemaji
@EliasMikidad
@EliasMikidad Месяц назад
Wanachokiangalia simba ni ubora wa mchezaji na si tim wanazotoka ziko nafasi ya yanga wamemchukua chama simba ipo nafasi ya yangapi?
@jumasaid9340
@jumasaid9340 Месяц назад
Kwa huku Zanzibar tunazipata vipi
@user-cz9me7mq9r
@user-cz9me7mq9r Месяц назад
GB64 umetisha bro❤
@KingMbaz0-p8u
@KingMbaz0-p8u 23 дня назад
Yani we sio gb 64 tu naisi ni gb 1000 mana ni mtu mwanye pwent kubwa sana
@Ramadhanjumanne-vl4sv
@Ramadhanjumanne-vl4sv Месяц назад
Mpanzu lini anapewa welcom
@DadeSaide-qr7ti
@DadeSaide-qr7ti Месяц назад
Nakukubari kaka
@AllyHussein-so1hr
@AllyHussein-so1hr Месяц назад
Huyu jamaa anafit kuwa semaji
@OS-pf6op
@OS-pf6op Месяц назад
Shs 10,000/-? Mcheze majaribio na taxi drivers😂
@RaphaelNdameze
@RaphaelNdameze Месяц назад
Nikuone wapi GB 64 nimetafuta kadi muda mrefu
@user-mw5xs2wx8n
@user-mw5xs2wx8n Месяц назад
Simba yetu mpk ubao hatuiachi hata iweje tutazikwa nato
@user-oq6to7pf2u
@user-oq6to7pf2u Месяц назад
nakubar kaka
@YasinSadick
@YasinSadick Месяц назад
Gb 64 mm nakuita Gb 125 salut kwako mwamba
@user-ff1it9og8y
@user-ff1it9og8y Месяц назад
Wewew nahakiri yako unataka aweje? Wachezaji wapya anataka awasemeje mechi bado kuanza acha ajenge team Simba nguvu mojaaa
@mohsinrajab7350
@mohsinrajab7350 Месяц назад
Kwani simba imesajili timu au imessajili mchezaji watu wanaangalia mchezaji anayefanya vzr ktk timu jifunze kujua jinsi ya kusajili sio unabwabwaja tu
@ambwenemwamwimbe153
@ambwenemwamwimbe153 Месяц назад
Niwivu tu
@FlavianEdson
@FlavianEdson Месяц назад
Tupe taarifa ticket lini
@Zenampande
@Zenampande Месяц назад
Ticket walisema zitaanza kuuzwa wiki mbili kabla ya Simba dey
@sijaonamjungufinias481
@sijaonamjungufinias481 Месяц назад
Kramo asiondoke ni mchezaji mzuri Sana Kwa sasa kapona
@pascalvitalis
@pascalvitalis Месяц назад
Huyu sahiz anapiga hela hakuna kitu tena😂😂
@ambwenemwamwimbe153
@ambwenemwamwimbe153 Месяц назад
Kapige naww
@jumafarid8861
@jumafarid8861 Месяц назад
Ww unafnya nn hapa duniani piga hela naww allaaah
@kazyn9554
@kazyn9554 Месяц назад
😂😂😂saw tutakutana kwenye derby jimalizen tu
@christopherngereri76
@christopherngereri76 Месяц назад
G.b 64....weka namba hapa tukujie in box Kwa maelekezo namna ya kujiunga
@NgwaleSportsHD
@NgwaleSportsHD Месяц назад
Gb 64 +255678682963
@AbbasyMdabwa
@AbbasyMdabwa Месяц назад
Gb,64 Nina kukubalisana ila wachezaji wetu walindwe hatahuko misiri wafanyiwe kisomo
@kassidpandu866
@kassidpandu866 Месяц назад
sio kama yule benchika yeye mpira unachezwa anakaa tu kwenye dumu
@kassidpandu866
@kassidpandu866 Месяц назад
wachezaji wa utoporo hawafundishiki tena umri ni Mkubwa
@desuretvonline255
@desuretvonline255 Месяц назад
NFCC😂😂😂
@MwinyjumaRamadhani
@MwinyjumaRamadhani Месяц назад
Kwaio fei Azam wamegoma kumuuza?
@abdoulkarenzo3138
@abdoulkarenzo3138 Месяц назад
Uyu GB 64 Umesha geuzwa naona umeshalambishwa tu pesa sio ule GB 64 tuliozoweya kbs kwasababu simba bado kbs hayijawa na kikisi cha kupambana na Yanga ni danganya toto msimbazi kwasababu akuna mchezaji oliyosajiliwa aliyetoka timu yakwanza amo ya pili katika ligi yao
@willieymesh7823
@willieymesh7823 Месяц назад
Kwan wachezaji wazuri wanatakiwa watoke team yakwanza na yapili😂😂
@abdoulkarenzo3138
@abdoulkarenzo3138 Месяц назад
Kimfano umealikwa ulaya kucheza champions league wanakwambia uchukuwe wachezaji wanaweza kukufaa katika michezahiyo kati ya Geita gold na Ruvushouting amo yanga na azama tuuu kama umataka kufika mbali mu ayo mashi dano utachukuwa wachezaji wapi kati izo nafasi mbili?
@willieymesh7823
@willieymesh7823 Месяц назад
@@abdoulkarenzo3138chama katokaa team iliyoshika nafasi ya ngap🙄
@abdoulkarenzo3138
@abdoulkarenzo3138 Месяц назад
@@willieymesh7823 Na dube katoka kwenyetimu iko nafasi yangapi na simba mbovu ni ya iyimya michache imepita kabla ya icho kipindi simba sc ilikua tishiyo tanzania so wachezaji wapilio sajiliwa yanga wafiliye na perfomance ya timu zao , Wachezaji wa simba wote wachunguze vzr mtu mwenyewe alitoka mu timu ya tatu katika league yao ni uyo mzambia tuu wangine na fasi 8, 7 ... wangine timu zao zimeshuka daraja. Simba sc inakazi kubwa yakufanya zidi ya kupambana na yanga
@harunachinja7801
@harunachinja7801 Месяц назад
Chama baleke, duka ambuya sijui boka hao wote timu walizotoka zimemaliza nafasi ya ngapi?? Mbwiga wewe​@@abdoulkarenzo3138
@Ramadhanjumanne-vl4sv
@Ramadhanjumanne-vl4sv Месяц назад
😂😂 kwamba weka kunyavu gb 64
@frankshirima4029
@frankshirima4029 Месяц назад
We jamaa ulisema chama akienda yanga unahamia azam bp tena huku mkuuu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Далее