Mangungu mzee wa lushwa yanga wanamtumia mangungu kutuumiza Hela hawana wanatumia Hela za nchi walikula Hela 5 goli prisons manual mangungu wanatuhujumu mangungu ipo siku wanaokupa bichwa Leo kesho haijulikani
Mangungu laana itamwandama kama haachii timu.Masononeko ya watu anapataje usingizi huyu Mzee? Ana roho mbaya sana huyu Mangungu,yaani Kila mtu hakutaki lakini anakomaa tu na anapata usingizi. Huyu Mangungu mmmh
Ngao tuliwachia kwa figisu ,mleteni boss wenu anatangaza biashara zake ,anapiga hela.msimu ujao kufa kupona ,team spirit.nyamaza kenge.shikaa mo fc ,tukutane uwanjani wengine tushacheza mpira wa kibongo,shirikisho fikeni hata nusu tuwapongeze.kenge wa jangwani.
Hard drive ikingia virus memory inaanza kuchanganya ma file, inaanza kuwa slow katika ku process data. Illogical thinking. Ni kweli ana jitekenya na kucheka Mwenyewe.
Mnawafunga watu wanaopambania timu yao yani hi simba ni hovyooo sana wanaoteseka kwa Aajili ya timu yao wanazuiliwa kuongelea timu yao hi timu mbovu sana haki tena mimi tahama huu ni ujinga sana
Mangungu amekosea sifa zote za kuwa Kiongozi, haiwezekani mashabiki wanampigia kelele nchi nzima lkn Bado ameshindwa kuwajibika, nafikiri kuna kitu kikubwa sana anakipata pale Simba
Wewe km ni kiongozi kwann hutaki kuambiwa ukweli? badala yakujenga timu nyie mnapoteza muda kuwajadili mashabiki nakuwafungia mashabiki hawajafurahishwa kabisa na hicho kitu. au mnataka mashabiki wasiende uwanjani? MUWE MNAKUBALI MABADILIKO NDY MAANA MNAFELI HAMTAKI UKWELI KUIGA CY DHAMBI IGENI KWA YANGA.
Pale Yanga palitokeaga mgogoro mkubwa sana, wakafukuzwa wachezaji wotee, wakaanza na vijana wadogoo kabisa ndo wakala 6 na simb ( ndo kibadeni akafunga 3) je mnayataka hayo?.
KAMA CCM INAKOSOLEWA ITAKUWA HUYO MANGUNGU ASIKOSOLOWE YEYE AKIWA NANI? KWELI TUMEROGWA. JEZI SINUNUI. SIMBA DAY SIENDI. MECHI ZA LIGI NA KIMATAIFA SITOHUDHURIA. SITOSAFIRI NA TIMU MECHI ZA MIKOANI NA NJE YA NCHI.
Mangungu anatakiwa aondoke siyo aendelee kubaki, abaki ili iweje? Huyo Mzee ni kabila gani kwanza? Ili tujue asili ya kazi anazotakiwa kuzifanya? Maana siyo lazima aongoze klabu ya mpira
Hapa nataka niwaulize serekali kwa Nini munahusika kuikandamiza Simba waziri wa michezo kimia raisi wa tff uko wapi? Serekal semeni lolote mangungu anatesa watu namuna hii
Kaka GB wewe Ni kiboko yao haswa. Umenyooka Kaka. Sasa viongozi wengine wa Simba kuweni makini tumesema Sana kuhusu huyu chizi Mangungu. Sasa Kuna hasara kubwa inakuja msimbazi. Mangungu hebu kuwa na hekima ya madaraka kwa Hali hii wewe Mangungu HAKUNA utakayemwongoza sasa akakuheshimu Kama mwenyekiti wao. TUACHIE TIMU YETU BASI.
GB 64 Kweli ni shabiki wa Simba ila kichwani hamnazo,ndio maana anaropoka na kutiwa ndani kwa kuwa huwa anaingia bila kufikiria.Mdomo huwa hauna ushirikiano na ubongo,anaongea kabla ya kufikiri huyu jamaa.Sielewi hata alivyokuwa anafundisha huko shuleni