Тёмный

GB G4 KWA HASIRA AMPASUA MANGUNGU Achukizwa AGGY SIMBA NA DR MO KUFUNGIWA | ONDOKA TUACHIE TIMU YETU 

SANGA TV
Подписаться 140 тыс.
Просмотров 42 тыс.
50% 1

#gb64 #simbasc #mangungu #simbaleo #migogoroyasimba

Опубликовано:

 

11 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 165   
@LilianMasilayo
@LilianMasilayo 3 месяца назад
Mangungu mzee wa lushwa yanga wanamtumia mangungu kutuumiza Hela hawana wanatumia Hela za nchi walikula Hela 5 goli prisons manual mangungu wanatuhujumu mangungu ipo siku wanaokupa bichwa Leo kesho haijulikani
@NoelKiwike-wc8wh
@NoelKiwike-wc8wh 3 месяца назад
Mangungu mwehu😮
@PendoMatemba-ql1ng
@PendoMatemba-ql1ng 3 месяца назад
Mangungu Akakae mwenyewe uwanjani mashabiki Atuendi
@nesto_automobiles6537
@nesto_automobiles6537 3 месяца назад
Umeongea ukweli GB
@leonardfungo
@leonardfungo 3 месяца назад
Umemsahau Mohamed Mwameja Idd Pazzi
@khamisalawi9397
@khamisalawi9397 3 месяца назад
Kimenuka na kitaendelea kunuka🤣🤣🤣🤣🤣♥️🙏
@reinfridlipili5666
@reinfridlipili5666 3 месяца назад
Press YAO lakini maelezo meeengi Yanga wanaimbwa😇😇, Huku kuchanganyikiwa bana, Wanawaza Yanga tu..
@franccoz94
@franccoz94 3 месяца назад
BILAA MANGUNGU KUTOKA MADARAKANI SISI WANASIMBA HATUTANUNUA JEZI NA UWANJAN HATUENDI
@TitoJeremia-g1t
@TitoJeremia-g1t 3 месяца назад
Mo kama atakumbatia nyuki mingungu.Basi ahesabu hasara mara dufu.
@frankmwinuka6298
@frankmwinuka6298 3 месяца назад
Kweli kabisa
@yusufsong7993
@yusufsong7993 3 месяца назад
Cha kufanya jezi akuna kununua basi iyo ndio dawa yao
@mkaguru-lz2tn
@mkaguru-lz2tn 3 месяца назад
GB unanikosha kaka hunatupa serious issue
@AllyShaban-ms7ot
@AllyShaban-ms7ot 3 месяца назад
Mangungu ondoka
@AtuganileMwaigomole
@AtuganileMwaigomole 3 месяца назад
Umenena wengi hatuna kadi tunambiwa hamna
@omarymtotela3751
@omarymtotela3751 3 месяца назад
Mm nampenda mangungu muacheni bana yupo vizuri
@frenciustryphone4531
@frenciustryphone4531 3 месяца назад
Mangungu mitano tena😂😂😂😂🙌🙌🙌
@ChandeJunior
@ChandeJunior 3 месяца назад
Hata mama yako anampenda baba yako
@moseshaji1177
@moseshaji1177 3 месяца назад
Jezi hatununui na uwanjani simba day hatwendi
@ElzaMungure
@ElzaMungure 3 месяца назад
Sem hauwendi ww wengine bado tunaendaa
@SADICKITHOMAS
@SADICKITHOMAS 3 месяца назад
hatuendi na wengi hawataenda Amin kwamba
@iddykivu050
@iddykivu050 3 месяца назад
​@@ElzaMungureNenda hujalazimishwa Kutokuenda Sisi Wenye Akili Timamu Hatuendi
@MilyaLemanda-lr2vu
@MilyaLemanda-lr2vu 3 месяца назад
Kuku wewe usiende mwenyewe nyani mzee wew
@bulugubujashi6378
@bulugubujashi6378 3 месяца назад
Hatuendi hawa Jamaa wajinga sana
@AyubuKhalid
@AyubuKhalid 3 месяца назад
Mangungu Hana Kila kitu hataki kukoselewa.
@LilianMasilayo
@LilianMasilayo 3 месяца назад
Jezi atanunua mangungu na familia yake uwanjani ataenda mangungu na gsm mangungu njaa kali hana pakwenda
@LetasKomba-br1xh
@LetasKomba-br1xh 3 месяца назад
Nikweli kaka yanga hawana hera Eng heris atajuta kuwaongoza watu wa ccm wanaopenda vya bule bule yanga nitimu ya siasa hawana hera
@masoudmongomongo244
@masoudmongomongo244 3 месяца назад
Maneno meeeengi tutawanywa tena kuku waheed😅😅😅
@barackbrysonramsey
@barackbrysonramsey 3 месяца назад
Mbumbumbu
@YohanaMwakaje
@YohanaMwakaje 3 месяца назад
Naipenda Simba ila mangungu hatukutaki wewe nimchawi wetu sinunui jez 🤸
@PendoMatemba-ql1ng
@PendoMatemba-ql1ng 3 месяца назад
Simba day waende hao viongozi waende peke yao kwa nini hawataki kusikiliza mashabiki viongozi waende wenyewe hiyo simba day
@PhilipoNjalika
@PhilipoNjalika 3 месяца назад
Mangungu Hana hoja za msingi chamsingi na Cha secondary Aondoke full stop
@salimmalaka256
@salimmalaka256 3 месяца назад
MANGUNGU SIMBA SIO TIMU YA MKEWE AONDOKE TU KUMA LA MAMAKE
@silvanuskisinza4303
@silvanuskisinza4303 3 месяца назад
Mangungu ni kimavi
@adilmohamed2117
@adilmohamed2117 3 месяца назад
Gb tupo na ww jezi hamna kununua kaka tuna isusa mpka kielewe
@Ommybabaa47
@Ommybabaa47 3 месяца назад
MO +Magori+Barbara❤ Speed 200 Alhamdulillah
@MADINAKITEMO
@MADINAKITEMO 3 месяца назад
Mangungu ni mwehu
@vuauvae8552
@vuauvae8552 3 месяца назад
Kwani Mungungu anakaa wapi tukamjazie nzi Geto kwake
@PendoMatemba-ql1ng
@PendoMatemba-ql1ng 3 месяца назад
Mangungu Asipotoka uwanjani mashabiki tusiende tuweni wamoja wana simba
@LorynNila
@LorynNila 3 месяца назад
Ataondoka tu
@ambakisyemwanjemba5787
@ambakisyemwanjemba5787 3 месяца назад
Mangungu mchawi wa simba kazee kipara haka kana maudhi . harafu kaking'ang'anzi hako
@leonardlunguya7112
@leonardlunguya7112 3 месяца назад
Mangungu laana itamwandama kama haachii timu.Masononeko ya watu anapataje usingizi huyu Mzee? Ana roho mbaya sana huyu Mangungu,yaani Kila mtu hakutaki lakini anakomaa tu na anapata usingizi. Huyu Mangungu mmmh
@SadickKapalali
@SadickKapalali 3 месяца назад
Mbona Gb64 kama anapiga vilevi😂, ukifuatilia hata haelewi yani, simba inaitaji Maombi kwakwel
@ukuvukiland2387
@ukuvukiland2387 3 месяца назад
Ngao tuliwachia kwa figisu ,mleteni boss wenu anatangaza biashara zake ,anapiga hela.msimu ujao kufa kupona ,team spirit.nyamaza kenge.shikaa mo fc ,tukutane uwanjani wengine tushacheza mpira wa kibongo,shirikisho fikeni hata nusu tuwapongeze.kenge wa jangwani.
@omarysebwa8280
@omarysebwa8280 3 месяца назад
Pambana Mangungu aweze kuondoka atuachie timu yetu sawa kiongozi?
@BenjaminiBnyetanyau
@BenjaminiBnyetanyau 3 месяца назад
Azizi yupo Sana mzee
@shabanikamchacho1949
@shabanikamchacho1949 3 месяца назад
Kabla ya kumlaumu Mangungu turejee kwenye KATIBA yetu
@flova7022
@flova7022 3 месяца назад
Yako Nanani ban
@JosephTibu
@JosephTibu 3 месяца назад
SIMBA NGUVU MOJA🎉🎉🎉❤❤❤
@KASKOCHAWAPROMAX
@KASKOCHAWAPROMAX 3 месяца назад
Ni kweli somba yenu amnazo
@jamesjames2368
@jamesjames2368 3 месяца назад
Hard drive ikingia virus memory inaanza kuchanganya ma file, inaanza kuwa slow katika ku process data. Illogical thinking. Ni kweli ana jitekenya na kucheka Mwenyewe.
@ZamizaKinyamkela
@ZamizaKinyamkela 3 месяца назад
Mangungu,ondoka kwa heshima,usingoje kufedheheshwa
@protaspeter5371
@protaspeter5371 3 месяца назад
Mangungu atoke we Gb 64 umeanza uoga au umekula hela,mangungu abaki tena
@protaspeter5371
@protaspeter5371 3 месяца назад
Hata Fredy aondoke msimsahau hana ubora wa kuichezea simba,badae mtakuja kunikumbuka
@Lulaboytz
@Lulaboytz 3 месяца назад
Tugome kununua jezi zao na tusiende uwajani, uyo mangungu ndo sumu inayotusumbua asipotoka tugairi maswala yote yatimu
@cornelkapinga8926
@cornelkapinga8926 3 месяца назад
Mangungu aondoke
@PendoMatemba-ql1ng
@PendoMatemba-ql1ng 3 месяца назад
Mnawafunga watu wanaopambania timu yao yani hi simba ni hovyooo sana wanaoteseka kwa Aajili ya timu yao wanazuiliwa kuongelea timu yao hi timu mbovu sana haki tena mimi tahama huu ni ujinga sana
@MICHAELLUHUNGA-oz1rh
@MICHAELLUHUNGA-oz1rh 3 месяца назад
Tuungane tusinunue jezi Wala kwenda uwanjani aende Mangungu na wahuni wenzie
@sadih5333
@sadih5333 3 месяца назад
Wewe ni Yanga usituletee habari za kususia timu yetu ya damu.
@RahimMahadi
@RahimMahadi 3 месяца назад
Mangungu out
@AllyIssa-k5k
@AllyIssa-k5k 3 месяца назад
Jb64 unanikosha sana, unalaumu weee mwisho wa siku unatambaaaa na usajili.
@allysinge7096
@allysinge7096 3 месяца назад
HUYU NDO ANASABABISHA MASHABIKI WA THIMBA WAONEKANE HAWAJUI WANATAKA NINI.... YAANI UKIMFATILIA KWA UMAKINI UTAGUNDUA ANATAKA KULAUMU LKN HAHUI ALAUMU NINI
@erickmasumbuko3841
@erickmasumbuko3841 3 месяца назад
Bwabwaja😂😂 tu ngao ya jamii sio mbali tutakutana😂😂😂
@AmiriMalenge-kc5jk
@AmiriMalenge-kc5jk 3 месяца назад
Unazungumzaaa halafu unaludi nyuma 😂😂😂 na bado na nimeitunza hii tukutane mwisho wa msimu Inshallah biidhinllah
@YoabuNdabhaha
@YoabuNdabhaha 3 месяца назад
Majez watanunua wakina mangungu na familia yake
@daudhabona8897
@daudhabona8897 3 месяца назад
Simba mna mikwara. Tukutane ngao ya jamii. 😊
@ElizabethLukosya-lv2vf
@ElizabethLukosya-lv2vf 3 месяца назад
Leta timu,na jipangie kikosi
@adilmohamed2117
@adilmohamed2117 3 месяца назад
Kifupi mangungu hutoki jezi utanunua mwenyewe tuwe wamoja
@twahakabajemi9716
@twahakabajemi9716 3 месяца назад
Kama hamniridhiki na viongozi acha neni na timu lao
@andrewmaiga4331
@andrewmaiga4331 3 месяца назад
Umenena kweli,
@abubakarishariff8489
@abubakarishariff8489 3 месяца назад
Atununui jezi na uwanjani atuwendi
@GentleGiant-pj2rk
@GentleGiant-pj2rk 3 месяца назад
Mangungu ndiye atakayeivusha Simba
@frankmwinuka6298
@frankmwinuka6298 3 месяца назад
Yule mzee na kamati ya maadili iondolewe ndiyo wachawi wetu
@clarencemeena1628
@clarencemeena1628 3 месяца назад
Mangungu amekosea sifa zote za kuwa Kiongozi, haiwezekani mashabiki wanampigia kelele nchi nzima lkn Bado ameshindwa kuwajibika, nafikiri kuna kitu kikubwa sana anakipata pale Simba
@barakakevela245
@barakakevela245 3 месяца назад
HIVI MANGUNGU HIYO SIMBA NI YA KWAKO? UNATAKA TUFANYAJE ILI UELEWE HATUKUTAKI KWENYE SIMBA YETU MWISHOWE UVUMULIVU UTATUSHINDA
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 3 месяца назад
Wewe km ni kiongozi kwann hutaki kuambiwa ukweli? badala yakujenga timu nyie mnapoteza muda kuwajadili mashabiki nakuwafungia mashabiki hawajafurahishwa kabisa na hicho kitu. au mnataka mashabiki wasiende uwanjani? MUWE MNAKUBALI MABADILIKO NDY MAANA MNAFELI HAMTAKI UKWELI KUIGA CY DHAMBI IGENI KWA YANGA.
@SaidiSaidi-o6r
@SaidiSaidi-o6r 3 месяца назад
huyu mangungu huyu tunamshitakia mungu ahukumu
@nkansionlinetv
@nkansionlinetv 3 месяца назад
mangungu asepe
@matronamushi7021
@matronamushi7021 3 месяца назад
Mchekeshaji huyo...et Aziz Ki hayupo zuzu kama zuzu😂😂
@Esterkomba-ef7eb
@Esterkomba-ef7eb 3 месяца назад
Mm naomba mashabiki tusiende uwanjani Wala jezi tusinunue
@ibrakulwa2737
@ibrakulwa2737 3 месяца назад
Kuchanganyikiwa kubaya
@Esterkomba-ef7eb
@Esterkomba-ef7eb 3 месяца назад
Wanaogopa kufukuzwa kwanza serekali inakosea kuingiria mambo ya mchezo
@LorynNila
@LorynNila 3 месяца назад
Movement iendelee like south africa mpaka waondoke amna kutafuta timu zingine waondoke tu
@johnmarwa4702
@johnmarwa4702 3 месяца назад
We mbwa kweli kisugu kaangalie familia Acha taarabu
@MamaBagiya
@MamaBagiya 3 месяца назад
Mangungu ana kigogo anaemsapoti kuiharibu simba asipotoka basi abaki na timu yak
@rashidmkoga3053
@rashidmkoga3053 3 месяца назад
Mwaka huu jezi tuna mwachia mangungu na Mo wanunue wenyewe
@SalvatoryMtunga
@SalvatoryMtunga 3 месяца назад
Pale Yanga palitokeaga mgogoro mkubwa sana, wakafukuzwa wachezaji wotee, wakaanza na vijana wadogoo kabisa ndo wakala 6 na simb ( ndo kibadeni akafunga 3) je mnayataka hayo?.
@hafidhnzota2142
@hafidhnzota2142 3 месяца назад
Leo machawa mmeona ujinga wenu WASHABIKI WOTE UNGANENI UMOJA
@PhilkevinFelix
@PhilkevinFelix 3 месяца назад
KAMA CCM INAKOSOLEWA ITAKUWA HUYO MANGUNGU ASIKOSOLOWE YEYE AKIWA NANI? KWELI TUMEROGWA. JEZI SINUNUI. SIMBA DAY SIENDI. MECHI ZA LIGI NA KIMATAIFA SITOHUDHURIA. SITOSAFIRI NA TIMU MECHI ZA MIKOANI NA NJE YA NCHI.
@silvesterrichardhelenya1319
@silvesterrichardhelenya1319 3 месяца назад
Huyo alikuwa mwanasiasa ana damu ya ccm kuachia ngazi mpaka muende nyumbani kwake mpige ngoma ndani ya siku 5 mkiimbwa hatukutaki mangungu
@mbogowambogosabaganga
@mbogowambogosabaganga 3 месяца назад
😢 5:54
@ramaMuhomba
@ramaMuhomba 3 месяца назад
Hapo cha msingi tukitaka kuonyesha nguvu za mashabiki tusinunue jezi wala simba day tusiende kujaza uwanja ndio tususie wote
@abdallahathumani3796
@abdallahathumani3796 3 месяца назад
Mangungu hatumtaki bila yeye kuondoka pale tutashabikia simba yetu kwenye TV uwanjani wataenda viongozi wenyewe
@AdamGerson-hz2gs
@AdamGerson-hz2gs 3 месяца назад
Yanga ni Tim ya ccm
@DeusiMorisi
@DeusiMorisi 3 месяца назад
Wewe unawafanya yanga waendelea kuchochea fujo katika simba
@omarysebwa8280
@omarysebwa8280 3 месяца назад
Mangungu anatakiwa aondoke siyo aendelee kubaki, abaki ili iweje? Huyo Mzee ni kabila gani kwanza? Ili tujue asili ya kazi anazotakiwa kuzifanya? Maana siyo lazima aongoze klabu ya mpira
@LESHABAHATI
@LESHABAHATI 3 месяца назад
Nendeni nyie viongozi simba day mnatukosea sana
@malietamaliet
@malietamaliet 3 месяца назад
😂😂😂ety yanga ??? Sijasikia vizur jichanganye daima mbele nyuma mwiko tanben pande zenu tu na babra mwenyewe anawachamba ety oooh diarra aziz ki juzi walikua dodoma vip dodoma inapatikana kenya??
@DeusiMorisi
@DeusiMorisi 3 месяца назад
We mtu achana na maneno unasababisha migogoro simba
@maribahanyora8478
@maribahanyora8478 3 месяца назад
Mi naona upande wapili walitaka wamtoe mangungu kama huamini mbona waliojiuzuru mbona wote wamerudi??
@Esterkomba-ef7eb
@Esterkomba-ef7eb 3 месяца назад
Tumsikilize mangungu wanini
@YosiaKasabago255
@YosiaKasabago255 3 месяца назад
Uwanjani ataenda Mangungu na mke wake
@omarymwenebatu
@omarymwenebatu 3 месяца назад
MANGUNGU sio astahilikuwa kiongozi na nimamluki.
@abujumanne7570
@abujumanne7570 3 месяца назад
Hapa nataka niwaulize serekali kwa Nini munahusika kuikandamiza Simba waziri wa michezo kimia raisi wa tff uko wapi? Serekal semeni lolote mangungu anatesa watu namuna hii
@omarymtotela3751
@omarymtotela3751 3 месяца назад
Haiwausu
@omarymtotela3751
@omarymtotela3751 3 месяца назад
Umeanza kuwaliwaza wenzio
@ziadantara1345
@ziadantara1345 3 месяца назад
Hakuna kununua jezi wala simba day
@JumanneMakaluti
@JumanneMakaluti 3 месяца назад
Nikisikia tu hilo jina la Mangungu au kuona hata mchoro wa sura yake basi moyo na nafsi yangu inachafukwa mnoooo!
@CareenJulias-iu7tf
@CareenJulias-iu7tf 3 месяца назад
Kaka GB wewe Ni kiboko yao haswa. Umenyooka Kaka. Sasa viongozi wengine wa Simba kuweni makini tumesema Sana kuhusu huyu chizi Mangungu. Sasa Kuna hasara kubwa inakuja msimbazi. Mangungu hebu kuwa na hekima ya madaraka kwa Hali hii wewe Mangungu HAKUNA utakayemwongoza sasa akakuheshimu Kama mwenyekiti wao. TUACHIE TIMU YETU BASI.
@peterjisema4222
@peterjisema4222 3 месяца назад
GB 64 Kweli ni shabiki wa Simba ila kichwani hamnazo,ndio maana anaropoka na kutiwa ndani kwa kuwa huwa anaingia bila kufikiria.Mdomo huwa hauna ushirikiano na ubongo,anaongea kabla ya kufikiri huyu jamaa.Sielewi hata alivyokuwa anafundisha huko shuleni
@silvanuskisinza4303
@silvanuskisinza4303 3 месяца назад
Wewe mangungu tena
@HAMIDURAMADHANI-ev5od
@HAMIDURAMADHANI-ev5od 3 месяца назад
Shondoooooooo😂😂😂😂😂😂😂
@meshackthomas1341
@meshackthomas1341 3 месяца назад
Hayo maneno ya kipuuzi kama haya. Ndo tatizo hayana uhalisia unasfia 0. Et Kwa sababu zipo nyingi 😂😂😂😂. Sifuri ni nini?
@HappynessBashite
@HappynessBashite 3 месяца назад
Mangungu niwakupiga mawe nahicho kichwa kigumu
@valentinotemba505
@valentinotemba505 3 месяца назад
Ningewa mchawi ngemloga mangungu huyu mzee spend hvi Simba n baba ake hili lizee bhna
@zainabsimbamtoro6790
@zainabsimbamtoro6790 3 месяца назад
Mimwe yewe Nataka kadi jamani Simba tuko Wengii
@saddiqmageta7904
@saddiqmageta7904 3 месяца назад
Hawa kuwasusia tu msimu mzima
Далее
World‘s Strongest Man VS Apple
01:00
Просмотров 33 млн