Movie za kibongo bhana shida sana yaani watu hawajavaa muhusika kabisaa, issue kama hizo ilitakiwa wawe wadada flan wabishi wamepinda na wapo serious haswa sio nyie hapo mnarukaruka tuu hamna maajabu😢😢😢
Kwa nini wakogwe mnaboa sana watanzania wanafurahishwa na wanaangalia sana kina mokojani,chumvi nyingi, na madebe lidai wakongwe ziwekeni movie zenu hasa kwenye uasilia wa maisha ya mtanzania kama wanavyo fanya wao halafu mtaona