Amedanganya Nini? Siku zote mashabiki walio wengi mmezoea uchambuzi wakudanganywa. Au taarifa zakudanganywa kama msemaji wa Simba Ahmed Ally. Ambae tangu anaingia kwenye kitengo Cha Habar Simba. Amekua akitoa taarifa za usajili za uongo Kila msimu. Anaesifia usajili na mashabiki wa wanshangilia alafu mwisho wa siku wanaokuja kuulalamikia uongozi. Kati ya wachambuzi siriasi ni pamoja na Gharibu mzinga