Тёмный
No video :(

GPS: ISRAEL yatishia kuifanya YEMEN kama GAZA majibizano na WAHOUTH yakizidi, IRAN yahusishwa 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 36 тыс.
50% 1

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 355   
@Siasia209
@Siasia209 Месяц назад
Henry uko vzr sana big up brother
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj Месяц назад
Jamaa anajua sana na ana mpangilio mzuri sana wa kiuzungumzaji.
@harrymwinuka5930
@harrymwinuka5930 Месяц назад
Shukrani sana🙏
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj Месяц назад
@@harrymwinuka5930 Kaka siku GPS mje mchambue suala namna Russia inavyo survive na economic sanctions kutokea west na hasara walizopata pia.Hii maada mnaisahau sana
@Gulfnas1
@Gulfnas1 Месяц назад
Napenda the way unavyo state au ku explain mambo aiseee be blessed bro​@@harrymwinuka5930
@Gulfnas1
@Gulfnas1 Месяц назад
Henry na Sma masha Allah ​@@harrymwinuka5930
@SalamaKhamis-un8vn
@SalamaKhamis-un8vn Месяц назад
Thanks so much for anything that you analyse us
@OlivierCelestin-eb7om
@OlivierCelestin-eb7om Месяц назад
Dj sma nakufata kutokea Congo 🇨🇩 mungu akupe maisha marefu (...)❤❤❤❤
@djsma255
@djsma255 Месяц назад
Amin kwa sote na yenye baraka
@bajosdamour2347
@bajosdamour2347 Месяц назад
​@@djsma255namim nakukubali sna kaka kutokea 🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮 257
@Gulfnas1
@Gulfnas1 Месяц назад
​@@djsma255 akhiy Allah akuzidishie ilmu zaidi na afya njema
@ramamabinda5063
@ramamabinda5063 Месяц назад
Masubi ni mbishi sana, Henri Kaongea vizuri sana hapo kwenye difensi sistim
@allymatilda7519
@allymatilda7519 Месяц назад
Ndio maana wako 3 wanachambua wewe ukijua hivi mwenzio anajua vilee sioni kibaya kwa upep wao wote kila mtu yupo sahihi kwaupande wake
@JohnBasoro-
@JohnBasoro- Месяц назад
DJ Sma uko vzr binafsi naelewa speech zako sana
@hawa6052
@hawa6052 Месяц назад
Henrry umeeleza vizuri kuhusu uwezo wa iron Dom uko vizuri Allah awaongezee Elimu yenye manufaa
@AwatifSharif-j1n
@AwatifSharif-j1n Месяц назад
Dj sma future genius ❤ upo mbele mdaa...
@dramatic2558
@dramatic2558 Месяц назад
Hii battle ya Ali Masubi na Dj Sma kwenye defence system tamu sana... Natamani siku moja kuiona GPS ikiruka kutokea Moscow, Pyongyang, Havana na sehemu zingine... Guys mnafanya kazi nzuri sana
@Gulfnas1
@Gulfnas1 Месяц назад
Hawa watu wa2 ni balaaa
@Gulfnas1
@Gulfnas1 Месяц назад
Binafsi Sma na Henry huwa nawaelewa zaidi kwenye GP kisha Ally kwenye kuchambua silaha au anything related to tech ni noma
@hamidamussa-sy4fm
@hamidamussa-sy4fm Месяц назад
Mumenielewesha vizuri sana kama nipo skull Asante sana sns na mchambuzi wenu
@yesseedward83
@yesseedward83 Месяц назад
Nakubali Sana sma, Henry Ally na sky , kiukweli mnatimu kamili ya uchambuzi, SMA ana connect dots taratibu.
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj Месяц назад
Ally yuko vizuri sana kiuchambuzi na pia balanced sana.
@francomwacha2262
@francomwacha2262 Месяц назад
Aisee 👑 kwenu wana gps wote.. hii ni zaid ya mdahalo! Nakubali sana mm mwanafamilia kabisa 🫡
@richardomondi3107
@richardomondi3107 Месяц назад
Ali masubi nakuaminia sana..u are the best..uko na madini mengi sana
@richardomondi3107
@richardomondi3107 Месяц назад
Gonga likes hapa team Ali Masubi apewe maua yake❤
@ahmadabdu2998
@ahmadabdu2998 Месяц назад
Big up snaa GPS kwa kutupa taarifa za hali ya juu snaaa
@muhitira
@muhitira Месяц назад
Asante Sana Wana GPS Mpo juu zaidi
@mozamoza3960
@mozamoza3960 Месяц назад
Allah afanye wepes mana Dunia ya mwisho hii
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 Месяц назад
Amiiin
@Gulfnas1
@Gulfnas1 Месяц назад
Aaaamin
@husseinhemedi9314
@husseinhemedi9314 Месяц назад
Dah hichi kipindi cha GPS nikiboko axee
@JeremiahJustine-b3o
@JeremiahJustine-b3o Месяц назад
Mpo vizur
@user-kp7co8je3l
@user-kp7co8je3l Месяц назад
Jamani maombi na sio ushabiki sisi ndo maisha yatakuwa magumu sana MUNGU atusaidie kwa kweli
@user-kp7co8je3l
@user-kp7co8je3l Месяц назад
@@abdallahalwardi588 Mungu atusaidie
@RamadhaniMohamedi-de2vc
@RamadhaniMohamedi-de2vc Месяц назад
Shida ni kweli tutapata ilandio tujifunze kutegemea vitu vyetu zaidi kuepuka majanga kama hayo.
@user-kp7co8je3l
@user-kp7co8je3l Месяц назад
@@RamadhaniMohamedi-de2vc kaka mkubwa sisi Bado sana kujitegemea hatuwezi na sijui tutaweza lini Mungu atusaidie...wewe subiri vita ikolee petrol litre moja elfu kumi
@DevidNgosiyo
@DevidNgosiyo 20 дней назад
Israel is the nation of God, bealives me gaiz, nobody can fight with israel on earth.❤
@aminaali792
@aminaali792 Месяц назад
Kaka Ally uko yaani uko vizuri na unajuwa sana kwenye kuelezea tu ndio tatizo but your getting better kwa kuelezea maa sha Allah 😍🥰
@bajosdamour2347
@bajosdamour2347 Месяц назад
Wew nae nauyo ali humkomi ao umempenda😂😂😂
@user-ww5iu4gz4b
@user-ww5iu4gz4b Месяц назад
Twajua unamtetea baba ako😅😅😅😅
@user-mm9qr7em8k
@user-mm9qr7em8k Месяц назад
Vita yadunia ndo inaaza mdogo mdogo .na hii itachanganya tuu anaebisha.ipo siku atanikumbuka .
@hemedmwipopo780
@hemedmwipopo780 Месяц назад
Mimi naona kuwa kuna kiwingu mbele yetu tunacho paswa kufanya ni kumuomba Mungu aingilie kati kwani Dunia inaenda kuangamia.
@roberttagaya9098
@roberttagaya9098 Месяц назад
Huyu Dj Sama anatakiwa apunguze unazi.
@youngcleva7841
@youngcleva7841 Месяц назад
WAONGEAJI, NAUCHAMBUAJI AMAZING SANA. Ila nauona UDINI kwambali plz tuache udini tu stick kwenye reality❤
@Gulfnas1
@Gulfnas1 Месяц назад
Umeingiaje udini em tujuze nasi
@billskeez92
@billskeez92 Месяц назад
The best combinenga❤🔥👌
@juliussamson6143
@juliussamson6143 Месяц назад
anachokifanya ally ninkumfanya msikilizaji aelewe vizur na sio kupinga mimi naona tim work nzuri hapa
@rashidyunus1835
@rashidyunus1835 Месяц назад
Ninachokiona mimi binafsi ni kusahau historia za hizi nchi ambazo zinapigwa na kushambuliwa zilikuwaje kipindi cha zamani kabla ya technology, hichi kinachotokea ni kuonyesha kuwa binadamu hasarifiki na sio kila mda utafanya kama ulivyofanya Kila kilichotengenezwa na binadamu hakina ukamilifu wa asilimia mia moja, Ukitaka kunielewa, fuata introduction of chemistry
@peterilimwa5754
@peterilimwa5754 Месяц назад
i sallute u guys
@AFRICA_D669
@AFRICA_D669 Месяц назад
Alafu mjue nini mimi nimechoshwa nakuwasifia waislamu wetu hali yakua sasahivi, wamekufa wapalestine 17 wakati Israel akifa mmoja dunia inakakamaa, tuuwe kama tukipigwa nyuklia ni sawa tu inshallah 🙏😢😢
@JeremiahJustine-b3o
@JeremiahJustine-b3o Месяц назад
Tatizo lá waarabu hawatumii
@AFRICA_D669
@AFRICA_D669 Месяц назад
@@JeremiahJustine-b3o kutumia nini
@salimali-rf9er
@salimali-rf9er Месяц назад
Kwani alokwambia ufwatilie GPS, na uskilize ni nani? Si tosheka na CNN,BBC, SBN, FOX NEW na idhaa nyingine
@abdullahmapesa
@abdullahmapesa Месяц назад
🙏🙏🙏
@Daidizz01chinga
@Daidizz01chinga Месяц назад
Yemen moto israel itapigwa mpaka mwisho marekani itapigwa mpaka mwisho na iyo ndo yemen naapo tuna wapunguza wapumbavu israel África tuwe na akirii ingikuwa ndo sisi tunao zurumiwa arzi mungi semaje
@mimiyeye123
@mimiyeye123 Месяц назад
Hahahahah Yemen haina ubavu huo
@malkavoice2570
@malkavoice2570 Месяц назад
😮Netanyahu mchawi wa kiafrica sio mwanasayansi. Uchawi wa Africa ni local lkn ni bora kuliko sayansi na wazungu hawana uchawi totaly. ALLY hapo anaeleweka mara 50 zaidi ya wenzie japo anaelezea kwa uoga,namuelewa sana guys. Izrael ni Taifa la mfano so haiwezi kuwa na kiongozi mzembe hata hivyo!
@user-nv6wt3nx5h
@user-nv6wt3nx5h Месяц назад
Ivi Kwa Nini Israel ilaumiwe..wakati Yemeni imekuwa ikitupa drone zaidi ya 200 na kushambulia meli..Israeli imejibu jumamosi..tayari watu wanalia...jiulize ndege zimepia kwenye mipaka zimepia na kurudi.
@user-ij9te1ck9p
@user-ij9te1ck9p Месяц назад
Lazima ilaumiwe kwa sababu imekalia maeneo ya waarabu kwa mabavu miaka na miaka Palestine west bank Jerusalem Syria golan height Lebanon waliikomboa Hizbullah,au ndio wale wanaoifumbia macho haki na kuunga mkono dhuluma huku mkijinasibu ndio dini itakavyo au shule imepita pembeni soma topic The threaten of the world peace in middle east Crices.
@eliasaNgahehwa-l2f
@eliasaNgahehwa-l2f Месяц назад
Pale kuna frigate za mmarekani nato bro tumia akili, vita sio kusoma magazeti au kuona tv
@eliasaNgahehwa-l2f
@eliasaNgahehwa-l2f Месяц назад
Viet cong influence ndio inawabeba hawa jamaa
@AliBakar-sx7lu
@AliBakar-sx7lu Месяц назад
Uchambuzi mzuri sana time imekamilika
@MuhammedRashidi-ki6cb
@MuhammedRashidi-ki6cb Месяц назад
Kwanza natowa pongezi kwa.wana sns Kitupa kile ambacho hatuwezi kukipata Sehem yoyote newapa pongezi Aligna jsm
@franklukazula
@franklukazula Месяц назад
Safi sana
@princejames7438
@princejames7438 Месяц назад
Kwaiyo mnataka kutuambia hao sijui wakina Nan wanaweza kushindana na mataifa matatu jaman mbona mnapotosha watu
@AsaMtuli
@AsaMtuli Месяц назад
😂😂😂😂 jamani me nainjoy tu
@Del_busi5
@Del_busi5 Месяц назад
Henry ni mwana sheria kweli kweli
@noelnjementi8511
@noelnjementi8511 Месяц назад
Wew bundara ndio unajuw kuliko awoo watoto useme unatabia nzur sn yakujishusha nakupenda kwairo TU kk ila co awo taka taka wenye upendereo wakidini wapo kipropanganda zakidini zaid
@NurudinZuberi
@NurudinZuberi Месяц назад
Pole umetumia nguvu nyingi kuandika akili zko kisoda
@hemedmwipopo780
@hemedmwipopo780 Месяц назад
Mchangiaji lugha uliyo tumia kwa wachambuzi sijafurahishwa nayo hujalazimishwa kufungua au kutazama Chenel hii. Ila kwamtazamo wewe unachembe za Udini na Chuki binafsi.
@aishaarusha894
@aishaarusha894 Месяц назад
Takataka ni wewe noel mwenye kupenda ushoga
@Moseskoome-l1t
@Moseskoome-l1t Месяц назад
Big up
@msodokidasilva6739
@msodokidasilva6739 Месяц назад
Nawaelewa vizuri wanangu nyie ni familia tuendelee kukiwashaa 🔥
@Teralkum
@Teralkum Месяц назад
Nakukubali nyote, msiache kazi mnayoifanya🇺🇲
@user-eg1ts2fu9z
@user-eg1ts2fu9z Месяц назад
Ali upo sahihi Sana Kila kitu kina nadhaifu yake
@chancekambale3498
@chancekambale3498 17 дней назад
Kwawalio sapoti mbona hunitaje ? Ama zakwangu hamukuziona??
@jeanclaudeakili2372
@jeanclaudeakili2372 Месяц назад
Sito koma kuwasikiliza 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
@browskymuba6923
@browskymuba6923 Месяц назад
Aise hao watu wako vizuri kueleza big up
@SuleimanAliy-qi7wk
@SuleimanAliy-qi7wk Месяц назад
Hongeren wana sns kwa uchambuzi
@duniekere7612
@duniekere7612 Месяц назад
Wakakazangu nawakubali Sana tena sana❤❤❤
@FatumaRashid-db6cc
@FatumaRashid-db6cc Месяц назад
Jamani muwe mnaweka chupa za maji Nahisi mate yanawakauka😊
@user-ku3om4bu8j
@user-ku3om4bu8j Месяц назад
kwenye muvi kuna hekima nyingi zina patikana kwa adui na adui asipo kufa ndio staaa remember saimoni say is like Israel
@georgekimasaofficial1629
@georgekimasaofficial1629 Месяц назад
Mnachambuwa vzuri Lakini lazima mkumbuke kuwa Israel kupigana na inchi za kiarabu zikiwa zimeungana na Israel ikashinda zaidi ya mara Moja si lakupuuza. So msisahau hili ktk uchambuzi wenu.
@DeusiKasusu-yj9eg
@DeusiKasusu-yj9eg Месяц назад
Mimi ni mdau wenu kutoka morogoro kiukweli natmn mumualike thabiti mlangi siku moja nitabalikiwa sana vinginevyo nyinyi jamaaa ni wanyama sana
@jumamasele5793
@jumamasele5793 Месяц назад
Ndio nakuunga mkono kuna mtu anaitwa thabit mrangi harafu kuna mtu anaitwa Ibrahim labi jumla muwe wa 5
@jumaciza461
@jumaciza461 Месяц назад
Kweli Israel peke yake hawawezi wa houthi bila Saudia kumuunga mkono.
@emaneez
@emaneez Месяц назад
Ally mzee wa technically engineering. Unamliza san.
@user-pb2zf7zj7k
@user-pb2zf7zj7k Месяц назад
All the time sma speak the truth
@user-nz8bv6xn9r
@user-nz8bv6xn9r Месяц назад
Saf mko vzr hamna upande ukilinganisha na wachambuz kama akina benson mwakilembe mchambuz hutakiwi kuonesha upande saf sana
@charlesmwita7484
@charlesmwita7484 Месяц назад
Kwenye uchambuzi ally hakuna hapo anaweza uchambuz ni henry
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 Месяц назад
Apa Sasa mmenifurahisha Sana mlivyo kuwa live huku Mnachambua
@abunajreenELSESANY
@abunajreenELSESANY Месяц назад
YOU CAME WITH VERY BIG THINGS. Tumezoea kuona midahalo ya MIPIRA na UDAKU. But now we can see vijana wa ki Tanzania kujadili mambo ya kidunia kama haya.
@osmanngaya6212
@osmanngaya6212 Месяц назад
Masubi anaongea sana alafu mantiki zake ni ndogo
@RAKIIMRAKIIM
@RAKIIMRAKIIM Месяц назад
Henri Mwinuka unafunguka ualisia sanaa namuona dj smaa pia anakubali hapo pembeni Masubi anachambua lkn bdo uwezo mdogo hana ualisia wa mambo
@salymsuleiman2035
@salymsuleiman2035 Месяц назад
Huyu sma Mashaallah anajuwa vitu vingi sanaa
@lidamudy2842
@lidamudy2842 Месяц назад
Kutoka burundi 🇧🇮 pamoja sana❤❤
@hassansingano1150
@hassansingano1150 Месяц назад
Tupo pamoja
@yassinmohamed8241
@yassinmohamed8241 Месяц назад
Fact bro nimewakubari sana wana sns Allah akulindeni
@SaraphinaKidoti-qe7gi
@SaraphinaKidoti-qe7gi Месяц назад
Apo kwenye umiliki wa.mipaka ya bahali sio km 64 ni 44
@MikelSitoe
@MikelSitoe Месяц назад
Na wa pata 🇲🇿🇲🇿
@mapundawilliam370
@mapundawilliam370 Месяц назад
Keep it up Israel piga hao magaidi Waslamu. Chakula cha mbwa Waslamu.
@yassinhamza1969
@yassinhamza1969 Месяц назад
Binadamu wote Ni sawa ww unavyoenda chooni na waisrae Ni hivyo hivyo acha fikra za kitumwa
@jumamasele5793
@jumamasele5793 Месяц назад
K ww
@JeremiahJustine-b3o
@JeremiahJustine-b3o Месяц назад
Okey
@user-ue7re5rx5k
@user-ue7re5rx5k Месяц назад
Tuko pamoja sana ndugu zangu sana sns. Tukiwa bujumbura
@Williamstozzo
@Williamstozzo Месяц назад
Drone kupenya tel aviv,,siyo kwamba israel ni dhaifu. .. ukraine ni ndogo kijeshi lakini wameweza kupiga ndani ya Russia...kuwa mbabe siyo kwamba wewe huwezi kuguswa cha mhimu ni kushinda vita muraa
@noelnjementi8511
@noelnjementi8511 Месяц назад
Kupigwa Yemeni juzi naona dj smar kakahaa kimya kbs haha😂😂
@abdillahiharuna0029
@abdillahiharuna0029 Месяц назад
Kwa akli hiyo hutoelewa ki2
@themoredwamichano8636
@themoredwamichano8636 Месяц назад
😂😂😂
@raydanfrenk
@raydanfrenk Месяц назад
😂😂😂😂😂 apo awezi kuongea ila wanavyo jipa mwoyo
@paschaljuma3312
@paschaljuma3312 Месяц назад
Kapigwa wapi sasa yani kuripua kityo cha mafuta ndo unachekelea kweli mjinga ni mjinga kila kitu kinamfurahisha😂
@emmadora7848
@emmadora7848 Месяц назад
​@@paschaljuma3312wewe ndio lijinga la mwisho ,hujui kama mafuta ndio chanzo kikubwa Cha pesa Kwa hao wahuthi ,Sasa adui Yako akikuharibia chanzo kikuu Cha mapato unafikiri nn kinafuata ?
@DeusiKasusu-yj9eg
@DeusiKasusu-yj9eg Месяц назад
Lakini pia nashauri ally na smaa msiache kubato sisi tunapata faida sana kupitia bato Henry ukubwa unakufanya uwe na busara Acha wangatane
@IsayaMngaza
@IsayaMngaza Месяц назад
Wahouth kujibu mapigo kunawezekana, ila ninachokiona watu wengi wanawachukulia wahouth kama timu ya ndondo cup, ila sio hivyo, ndimana unaambiwa ukubwa wa pua si wingi wa makamasi,,
@mapundawilliam370
@mapundawilliam370 Месяц назад
Chezea wengine bali sio Israel mtaendelea kupigwa nyie magaidi. God bless Israel
@AmusedCatfish-hd8wo
@AmusedCatfish-hd8wo Месяц назад
Ww njaa utakufa njaa tu huna jipya wanaume wapo tayari Hadi mtu mwisho mmiliki ninyi mafuta na gesi umeelewa mtt kike
@woah.africa99
@woah.africa99 Месяц назад
Bwege sio god satan atamsaidia hata huyo mbwa satanyahu jina lake la kishetani esrael fake sio wale wa kale ulijua wale waje ktk ardhi yako uone kama na ww hujalipiza kisas na hao wazionist ulijua ni wakristo kua watoto tu sio jingone
@OzilSalum-r6c
@OzilSalum-r6c Месяц назад
Mfano Mzuri vita kati ya marekani na vetnamu Au Somalia na malekani
@AsaMtuli
@AsaMtuli Месяц назад
😏🙄🤣🤣🤣
@peterilimwa5754
@peterilimwa5754 Месяц назад
iron dome ni best air defence ever cos mara nyingi iko kwenye action
@yassinhamza1969
@yassinhamza1969 Месяц назад
Hiyo si chochote ikikutana na wababe kama urus,china,Korea,Iran nk
@jumamasele5793
@jumamasele5793 Месяц назад
Iron dome hakuna kitu
@user-it7ih1it3m
@user-it7ih1it3m Месяц назад
Ukisoma vitabu vya dini ni kwamba israel haipigiki kirahc toka enzi na enzi,,,, labda kama vitabu vinadanganya
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 Месяц назад
Kwa imani yako
@RaphaelJickson-t7u
@RaphaelJickson-t7u Месяц назад
Israel yakudanganywa
@user-it7ih1it3m
@user-it7ih1it3m Месяц назад
@@fahadfaraj6474 sio kwa imani hata vitabu vya historia visivyo vya dini vinaeleza pia
@user-it7ih1it3m
@user-it7ih1it3m Месяц назад
@@RaphaelJickson-t7u kapigane nao basi wakufanye kitu mbaya
@omarykyutta6681
@omarykyutta6681 Месяц назад
Wangekuw utumwani uko misri
@YasiniMkakile
@YasiniMkakile Месяц назад
Dj sma ni genius
@SaraphinaKidoti-qe7gi
@SaraphinaKidoti-qe7gi Месяц назад
Hii bifu ya ally na smaa kuusu mifumo ya ulinzi sjuw itaisha lin 😂😂
@peterilimwa5754
@peterilimwa5754 Месяц назад
ally yuko sawa iron dome ni mfumo the best sana
@user-ui7lb5yc2l
@user-ui7lb5yc2l Месяц назад
Nawakubari Sanaa bro
@sharifahabsi5004
@sharifahabsi5004 Месяц назад
Pamoja from oman 🇴🇲
@shaabanyusufu2997
@shaabanyusufu2997 Месяц назад
Marekani nawashirika wake na izrail wananguvu sana zakijeshi ndomana wa nataka wanaume wao wane na wanawake waowane
@saidambarouk2804
@saidambarouk2804 Месяц назад
Nmewakubali wachambuzi🔥🔥🔥
@khalfanmlala5093
@khalfanmlala5093 Месяц назад
From kigoma asanten
@browskymuba6923
@browskymuba6923 Месяц назад
Lkn ikumbukwe yemen ndio watu matajiri duniani kwa mfano hapa tanzania mtajiri wote wayemen
@yuscoramadhan8462
@yuscoramadhan8462 Месяц назад
Haya makundi watajifunza kutengeneza hizi slaha kadri cku zinavyoenda ili wasitegemee sana misaada kw ukubwa😊
@Pedeshee01
@Pedeshee01 Месяц назад
Wahutu wa Yemen nao ni vichwa ngumu sana ni kama wasomali hao,israel asitegemee ni wepesi hao wahutu
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke Месяц назад
Sio hutu ni khuthi
@user-qq6mv6vh3e
@user-qq6mv6vh3e Месяц назад
Massoud anachambua tena san
@anoldishengoma4229
@anoldishengoma4229 Месяц назад
Mada zenu nazipenda sana na na enjoy sana, ila mwambie Mr Ally atoe content asimkabili mtabili wetu DJ, maana anaonekana kumu-attack tu anatukosesha uondo😋
@GraceMashinga-be9wb
@GraceMashinga-be9wb Месяц назад
GPS 🔥🔥🔥🔥
@eliudkazoba5170
@eliudkazoba5170 Месяц назад
Muko sawa.
@felisteronesmo3091
@felisteronesmo3091 Месяц назад
Tunaposema Ally ni Technical detailed, muwage mnaelewa ..
@serijofesto9068
@serijofesto9068 Месяц назад
Kutokuogopa sio kwamba ndio wanaweza Vita,
@SalamaKhamis-un8vn
@SalamaKhamis-un8vn Месяц назад
From the river to the sea Palestine 🇵🇸 will be free ❤❤❤
@user-xc6ls9xn8h
@user-xc6ls9xn8h Месяц назад
Yemeni msiwogope vitisho vya Izrael Hana lolote
@trendz_2548
@trendz_2548 Месяц назад
Kitengo changu pendwa. Nafuatiliaga sana tokea kenya
Далее
Средневековый киборг
00:39
Просмотров 534 тыс.
لدي بط عالق في أذني😰🐤👂
00:17
Просмотров 3,7 млн
The Story Book : Firauni na Kufuru Zake
44:34
Просмотров 1,1 млн
HUKUMU JUU YA GAZA (AMOSI 1 : 6 - 8).
16:43
Просмотров 205 тыс.
KILICHOMPONZA YONA KUMEZWA NA SAMAKI : THE STORY BOOK
29:26
Средневековый киборг
00:39
Просмотров 534 тыс.